IMEFICHUKAA!! SABABU 3 BENCHIKHA KUSEPA SIMBA NI BALAA! MANGUNGU, TRY AGAIN...?
Vložit
- čas přidán 28. 04. 2024
- #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
- Sport
😂😂😂😂😂Tajiri analala mika kama mwanake yuko leba hoo napata hasara siuachie klabu yetu
Benching ajawai kukaa miaka miwili time yoyote
MwAndishi acha kumumunya maneno simba pale hakuna mtu wa mpira viongozi hakuna hata ukiwatazama hawafanani waondoke pale bila hivyo tutakaa sana
😊😅😊
Mo kweli ni tajiri???
Mimi nafurahi Benchika kuondoka maana hakuwa kocha wa kukuza wachezaji.Mgunda Yuko vizuri
Kila kocha atakuwa anaondoka na tunaona kama kocha ndiyo tatizo kumbe Uchafu unabaki ndani, makocha wangapi wameondoka tena kwa mda mfupi? tatizo siyo kocha tatizo ni uongozi.
Jaman wazawa watajulikana lini? Mgunda apewe mkataba wa mwaka ili sivi yakenikuwe akafundishe na inch zingine lakin kwa tabia hii wanao mfanfia mguda ni unyanyasaji kwa mgunda kwa nini mtu anamatokeo mazuri halafu mnamtoa?muacheni mgunda mwaka tujue uwezo wa mzawa muache kumfanyia ukatili mgunda hivi hapa Tanzania kuna nini? Marefa na makocha hawaendi kufanya kazi inje ni kwa sababu hatuwathani wazawa mpaka wa chezaji wanakaa benchi sana wanathaminiwa wageni hii iangaliwe kwa umakini
Mo amna kitu mavi matupu
MO siyo tajiri kabisa tajiri gani anaye idhamini klabu kubwa kama simba anashindwa kutowa hata b. 20 hata tano huyu siyo mdhamini labda adhamini watoto wake
Acha matusi wewe ulitakaje kwa mfano huyo pesa akupe wewe?