IMEFICHUKAA!! SABABU 3 BENCHIKHA KUSEPA SIMBA NI BALAA! MANGUNGU, TRY AGAIN...?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 04. 2024
  • #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
  • Sport

Komentáře • 11

  • @mose477mshan9
    @mose477mshan9 Před 18 dny +3

    😂😂😂😂😂Tajiri analala mika kama mwanake yuko leba hoo napata hasara siuachie klabu yetu

  • @saidseleman2973
    @saidseleman2973 Před 18 dny +1

    Benching ajawai kukaa miaka miwili time yoyote

  • @husseinmpuruti1372
    @husseinmpuruti1372 Před 18 dny +1

    MwAndishi acha kumumunya maneno simba pale hakuna mtu wa mpira viongozi hakuna hata ukiwatazama hawafanani waondoke pale bila hivyo tutakaa sana

  • @HawaKibaya
    @HawaKibaya Před 14 dny

    😊😅😊

  • @yahayamyava6638
    @yahayamyava6638 Před 18 dny +1

    Mo kweli ni tajiri???

  • @sijaonamjungufinias481
    @sijaonamjungufinias481 Před 18 dny +1

    Mimi nafurahi Benchika kuondoka maana hakuwa kocha wa kukuza wachezaji.Mgunda Yuko vizuri

    • @omegamwasenga9823
      @omegamwasenga9823 Před 18 dny

      Kila kocha atakuwa anaondoka na tunaona kama kocha ndiyo tatizo kumbe Uchafu unabaki ndani, makocha wangapi wameondoka tena kwa mda mfupi? tatizo siyo kocha tatizo ni uongozi.

  • @husseinmpuruti1372
    @husseinmpuruti1372 Před 18 dny

    Jaman wazawa watajulikana lini? Mgunda apewe mkataba wa mwaka ili sivi yakenikuwe akafundishe na inch zingine lakin kwa tabia hii wanao mfanfia mguda ni unyanyasaji kwa mgunda kwa nini mtu anamatokeo mazuri halafu mnamtoa?muacheni mgunda mwaka tujue uwezo wa mzawa muache kumfanyia ukatili mgunda hivi hapa Tanzania kuna nini? Marefa na makocha hawaendi kufanya kazi inje ni kwa sababu hatuwathani wazawa mpaka wa chezaji wanakaa benchi sana wanathaminiwa wageni hii iangaliwe kwa umakini

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 Před 14 dny

    Mo amna kitu mavi matupu

  • @mose477mshan9
    @mose477mshan9 Před 18 dny +1

    MO siyo tajiri kabisa tajiri gani anaye idhamini klabu kubwa kama simba anashindwa kutowa hata b. 20 hata tano huyu siyo mdhamini labda adhamini watoto wake