WAZEE WA YANGA WAMUHARIBIA DIVA THE BAWSE SIKU, AGEUKA MBOGO - "HELA HAWANA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 162

  • @alexandernkwamah5905
    @alexandernkwamah5905 Před měsícem +5

    Hata watakaoisikiliza hiyo kesi na kuwaelewa wazee hao watakuwa punguwani au WAMETUMWA kuivuruga YANGA. Wananchi tuwashtukie. Mnanielewa, tuwashtukie. Huyu dada anasema kweli.

  • @saliieking7279
    @saliieking7279 Před měsícem +1

    Kumbe diva ni mwananchi safi sanaaaaaaaaaaaaaa

  • @Adrianolaurian
    @Adrianolaurian Před měsícem +4

    Wazee hatuwataki 💪

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 Před měsícem +3

    Wazee wamemuharibia Mood kila mtu aisee, hata mimi cjalala kabisa aisee

  • @ibrahimmtoni1863
    @ibrahimmtoni1863 Před měsícem +4

    Hawa wazee kwa nini mambo ya mpira yapelekwe mahakamani wao walitakiwa wshitaki kwenye vyombo vya michechezo wana sheria zao hili seala ni batili mgoja tusubiri kdg mtapata ukweli na hiyo kesi kwa nini ijulikane wakat wa hukumu tu ilitakiwa iwe wazi na watuhumiwa waitwe hamna kitu hapo

  • @JumaMusa-q4y
    @JumaMusa-q4y Před měsícem +1

    Hongera sana INJINIA

  • @seiphomary834
    @seiphomary834 Před měsícem +3

    Mahakama kwan kesi ya yanga ipo mahakaman kuna kesi mbaya dunian kama kesi ya ushoga unataka hiv mahakama kuwa tass zetu zote hawajafksha swala hl mahakaman kwel je hapa unapata tafsr gan kwenye stability ss tunabomoa kwenye ujinga tuna imarisha # tuna uliza mwenye hii timu ni nan wakat mwengine ndio unaona mungu kionyesha ujinga unaishia kwenye ujinga sizan hii kesi ilihtaj hata airtime mahakaman kuna hak hapo ya msng kwel #

  • @Mwenjala
    @Mwenjala Před měsícem +6

    Naitwa Aboubakar Hawa wazee wa yanga Wangalieni Wana matatizo ya akili

  • @JackSanga-fw9xt
    @JackSanga-fw9xt Před měsícem +3

    Hao wazee watuachie yanga yetu tumewachoka jmn kila ck wao tuu 🙏🙏🏻🙏🙏mungu ibariki yanga yetu

  • @EnessioRhumba
    @EnessioRhumba Před měsícem +2

    Ongea kiswahili

  • @JumanneTitto
    @JumanneTitto Před měsícem +1

    Team ilipo kaa kwenye njia dowakajuwa kunasheria au wanataka turudi kwenye bakuri wao wazee wamekua wakatfute pakujipoza siokuogoza Team

  • @AbubakarmadaiAbubakarmad-qo3cq

    Siwapingi wasaf

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před měsícem +1

    Vimetumwa hivyo vizee

  • @iddibishinaba644
    @iddibishinaba644 Před měsícem +2

    Hello there mimi naitwa Iddi kutoka Marekani. Dada yangu kazi nzuri unayo fanya ila nataka kutowa ufafanizi kidogo. Kinachomfanya mchezaji alipwe kiwango kikubwa na service yake anayo towa kwa timu wala sio mtu. Kinachosajiliwa sio mtu bali nikilile unacho fanya. Mbona feiso analopwa mpunga wakutosha nikwasababu yakile anacho honyesha uwanjani.

    • @DM_15
      @DM_15 Před měsícem

      Nikweli kulipwa pesa nyingi nikutokananskazi unayo fanya but hii hapa tz imeanzajuzituu wakati simba ikifanya transformation. Nyumahuko wachezaji walikua waburudishajituu hawakua wanalipwa pesanyingi hata uwe star, unakumbuka akina Alex masawe pawasa akina chumila mogela chuji wotehao wengiwao waliendesha maishayao kwa biasharanyingine nje yampira walioweza kujipanga mbakaleo wana maisha angalau wengine walipoteakabusa. Hivyo diva hajakosea

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před měsícem +3

    Siasa na mpira wapi na wapi

  • @jimmymhina1264
    @jimmymhina1264 Před měsícem +1

    Wewe sijui Diva sijui na hicho Kingereza chako mmh hebu acha unajua, wewe ni mtangazaji hii radio husikiluzwa na wanajua Kiswahili na wasiyo jua.Diamond fungua idara ya Kingereza mpeleke huko binafsi sijapenda.

  • @ezekielabel5843
    @ezekielabel5843 Před měsícem +2

    Hajui sheruhi,

  • @fadhilindunguru7946
    @fadhilindunguru7946 Před měsícem +1

    Wazee Day

  • @RoseMnyampanda
    @RoseMnyampanda Před měsícem +1

    Hao wazee wasitutimbue

  • @sakinamsafiri8660
    @sakinamsafiri8660 Před měsícem +1

    Yaani....yaani...wazee tulikuwa tunawaheahimu lkn mimi naomba kuanzia leo wapite hivi👉

  • @samben4442
    @samben4442 Před měsícem +1

    Team inakuwa na wazee kwani ni ukoo huo, waache mambo yao

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx Před měsícem +3

    Hawako kwa maendeleo walitka wachangishe pesa hovyo hovyo ili wapate chakula kupitia Logo ya timu

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před měsícem +1

    Anaharibu kipindi huyu dada jamani mpira wanasikiliza hata wasio soma lugha tangaza kiswahili mhuuu

  • @DutuPaul
    @DutuPaul Před měsícem +2

    Hawa wazee maskini wanaweza kuendesha tim tuwalaani waachie timu yetu wakaae mbali na umaskini wao huko

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 Před měsícem +1

    Jamani Kwan wao ni nani hasa katika YANGA hiii

  • @jimmymhina1264
    @jimmymhina1264 Před měsícem +1

    Nyie waandishi mkiwa mna ongea na mteja mumsikiluze Kwa makini na siyo pale Penye point yenu mnayo itaka,Mzee kasema amekubali maendeleo ya Yanga .Lakini hayo maendeleo aliyo leta yasifanye kukukuka taratibu yaani katiba

  • @remmymkhumbi3095
    @remmymkhumbi3095 Před měsícem +4

    Diva unaongea na watanzania hicho kiingereza chako nawe tutakupeleka mahakamani 😅

  • @ushiwamarandu7433
    @ushiwamarandu7433 Před měsícem +2

    Kwakwel hili taifa letu linamambo ya ajabu sanaaa...! si hasa imekaa vibaya sana kwa tanzania hiii...!

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 Před měsícem +4

    Tunaomba majina ya wazee hao please. Tulikuwa tunasikia waarabu wanamaamzi magumu sasa wakati unaenda kufka

  • @SaidMbande
    @SaidMbande Před měsícem +1

    Kwan lazima kuwa yanga wanatakiwa wajue njaa mbaya awatakiwi kuvumiliwa hata kidogo

  • @JumbeOjaso
    @JumbeOjaso Před měsícem +2

    Hii kesi ilifunguliwa lini na kwa nini vyombo vya habari havikuiripoti?
    Hukumu ya mahakama ya kisutu itakatiwa Rufaa na maisha ya kawaida yataendelea, wala Hukumu hii isiwatie hofu, kwani, wanachama wa yanga % 99 wanaikubali yanga hii na hakuna zaidi ya.
    Kuweni na amani hizi ni kelele za muda tu.

  • @TheSalama2525
    @TheSalama2525 Před měsícem +2

    Hao Wazee ni Wachawi lazima mulifahamu...Haikubaliki hivi wanavyotaka...kusudio Lao kuchafua Nchi yetu..... Wasaidizi wa Mama mpelekeeni Habari hiyo mbaya asione ajabu Jangwani tukakugeuza Nairobi.. tujuane Wananchi wote.

  • @Mwenjala
    @Mwenjala Před měsícem +3

    Hawa wazee wamerogwa

  • @user-gj1bx9ow3u
    @user-gj1bx9ow3u Před měsícem +1

    Mimi nikijana nitakua mzee ila sio mzee wa hovyohovyo kama wazee wa yanga ingawa sio wote

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před měsícem +6

    Mafanikio ya yanga yamevuruga stability ya simba... na hakuna team ya kufunga yanga, ni mahakama tu.. hiyo hukumu ni kuhamisha agenda ya nchi,tuache kufuatilia issues za wafanyabiashara wa tz na yanayoendelea Kenya

    • @SaidiMkome-qq7hy
      @SaidiMkome-qq7hy Před měsícem +1

      Leo team kwakuwa yamewakuta sio ivi Kuna team inazungumziwa tz hii kma simba wazee mgeni nn Aya mambo ya kawaida tyuu na yakitokea ndiyo kma ivi na sio mara ya kwanza au mgeni ndugu kwenye soka Ili ndugu izo ndiyo simba na yangu karibu acha kujaa upepo🙌

    • @emanuelikisanga7513
      @emanuelikisanga7513 Před měsícem

      0​@@SaidiMkome-qq7hy

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi Před měsícem

      Msianze kusingizia Simba, tangu mwanzo mliambiwa mambo ya kupitisha MTU bila kupingwa. ( Lengo lilikua Zuri, kiongozi Ni mzuri ila shida katiba yenu hamjaifuata). Hawasema kiongozi ni mbaya. " UTARATIBU MLIOJIWEKEA UFUATWE". Mpira wa Bongo bado ujanja mwingi. Migogoro ya Ndani hiyo. Na hiyo kesi imefunguliwa tangu 2022 Wala sio Leo 😂😂

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před měsícem

      Sio kweli wanazuiaje we usiangalie yanaendelea kenya kwa utandawazi huu, hiyo kesi imeenda kortini hata kabla ya hiyo uprising ya kenya haya mambo yako tz kwa vila Hivi huu ni upuuzi ambao upo since time immemorial

  • @majaliwamussa1343
    @majaliwamussa1343 Před měsícem +2

    HAO WAZEE NI WACHAWI

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 Před měsícem +2

    Jamani hawa wazee wamehongwa tu hawana haya

  • @chiefnumborecords4819
    @chiefnumborecords4819 Před měsícem +3

    MAKOLO WAMEFURAHIIIIII SANA KUSIKIA ENGENEER HERISI SAIDI ANATOKA HA HA HA HAAA MAKOLO HOYEEER KWELI LEO NIMEAMINI SIMBA WOOTE NI MAKOLO ILA MTAMBUE YANGA ATOKI MTUUU WANGA NYINYI 😂😂😂😂

    • @TheSalama2525
      @TheSalama2525 Před měsícem

      Hatoki Mtu yoyote Hao Wazee tutawachoma moto.

  • @givenMwakalindile-nd8tp
    @givenMwakalindile-nd8tp Před měsícem +5

    Watangusha watu presha hao wazee

  • @kambalekambale541
    @kambalekambale541 Před měsícem +4

    Mh raisi fukuza hao mahakim watatuharibia nchi

  • @ghulamhaji7856
    @ghulamhaji7856 Před měsícem

    The Best footballers je ni wa kwenu Tanzania kwann msitengeneze the best footballers wa Kitanzania

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před měsícem

    Nyinyi waandishi msigeuke kuwa washabiki fanyeni utafiti kisha ndio mtoe maelezo ndio maana sasa watu wanawskimbia

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před měsícem

    Mpe nafasi mwenzio pia aonger

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před měsícem

    Makombe hayahalalishi batili, na pesa sio kigezo cha kuvunja sheria, Mzee Magoma yupo sahihi na ndio maana Mahakama imetoa hiyo hukumu.

  • @sarahmichael1327
    @sarahmichael1327 Před měsícem

    Hao wazee wametumwa jamani yani dah

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před měsícem

    Mahakama ndio chombo kinachotafsiri sheria sasa kama mna tatizo na hukumu mnatakiwa muende Mahakamani na sio kumzonga Mzee Magoma.

  • @piussimtala5111
    @piussimtala5111 Před měsícem

    Mahakamani tena?

  • @khajihamisi5054
    @khajihamisi5054 Před měsícem

    Ina maana hoyo kesi toka imefinguliwa mpaka hukumu inatolewa mahakama haikuweza kuujulisha uongozi? Iweje wanachama hatujui kama tunakesi? Vipi watu wawili watuamulie maelfu ya wanachama?

  • @ghulamhaji7856
    @ghulamhaji7856 Před měsícem

    Mpaka leo wachezaji wazawa wanalipwa very low hatuthamini wachezaji wetu

  • @sittandaki2135
    @sittandaki2135 Před měsícem +1

    Wachawi wa yanga wanachangia kuharibu timu za hapa Tanzania hao wazeee wapuuzweee tu hawanauwezo wakuiongoza Timu wanataka kuirudisha yanga ilipotoka

  • @ains1122
    @ains1122 Před měsícem

    Gen Z wa Yanga waamke sasa kuwatuliza hawa wazee

  • @oigenmwaya6018
    @oigenmwaya6018 Před měsícem

    Hiv huwezi kuzungumza kiswahili vizuri au kujishaua uongozi wa wcb mtafutieni kipindi cha kiingereza tu kuliko kuchanganya lugha ovyoo kabisaa

  • @martinkasera1642
    @martinkasera1642 Před měsícem

    Wedada mtangazaji unaboa kiswangilish ni lugha ganihiyo uchagae kutumia lugha unayoijua

  • @user-qe7gw2ox2k
    @user-qe7gw2ox2k Před měsícem

    Wewe mbona kimombo kingi

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g Před měsícem

    Usitumie mabavu kunyonya wengine pesa yakoisikufanye kunyonya wengine utaratibu nikituchamusingi sana

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Před měsícem

    kipindi cha wazungu maaana ni kingereza kitupu tu hapa kinaongelewa

  • @husseinfundikira3616
    @husseinfundikira3616 Před měsícem

    Tuwajue ao wazee au mzee unataka nni ukae miaka yote

  • @user-xz7fm3sf7z
    @user-xz7fm3sf7z Před měsícem

    Katiba inasemaje

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před měsícem

    Ambacho hamkijui hao wazee wanashawishiwa na simba kuivuruga yanga ipoteze muelekeo

  • @BashiruShawed
    @BashiruShawed Před měsícem

    Kwani kiswahili amukijuwi nyinyi

  • @Zenny89
    @Zenny89 Před měsícem

    Wazee Ndo wakina Nani? Wananini?…Njaa tuuu😂

  • @hamzahabibu1050
    @hamzahabibu1050 Před měsícem

    Hao wazee wanatutafuta ubayaaa

  • @VoiceLions-xu7uf
    @VoiceLions-xu7uf Před měsícem

    Wazee wanahalibu timu hawatakiwi kuwepo kwenye yanga yetu

  • @Zuberigangisa-dk9ne
    @Zuberigangisa-dk9ne Před měsícem

    Kuna watu wamekosa fikra Sana, timu hiyo ya wananchi na sio ya mzee, niko NAMTUMBO

  • @habibukassam9702
    @habibukassam9702 Před měsícem +1

    Wazee wachawi utawajua tu wakafirwe na watt wao

  • @SixtusSperatus
    @SixtusSperatus Před měsícem

    Kwanza sheria zime wekwa ili zivunje

  • @allyramadhanikazi2416
    @allyramadhanikazi2416 Před měsícem

    Hawa wazee wangefukuzwa wasijihusishe na Moira hadi wanakufa

  • @TheSalama2525
    @TheSalama2525 Před měsícem

    Hii hukumu Wananchi hatuibali kabisa,, wasisababishe Uvunjifu wa Amani.... Mama Samia kila leo unasisitiza Amani,,, Mbona hawa Wazee wanataka Machafuko makubwa Daresalam??

  • @RoseMnyampanda
    @RoseMnyampanda Před měsícem

    Mh rais ingilia Hilo swala nyie wazeeeee

  • @BensonDickson-xf1ge
    @BensonDickson-xf1ge Před měsícem

    Mbona mnalia sasa!

  • @AmidaNdeu
    @AmidaNdeu Před měsícem +1

    Wana nch tuandamane hakuna kuachia

    • @cngeze
      @cngeze Před měsícem

      Mwambie Hersi afuate sheria basi

    • @Adrianolaurian
      @Adrianolaurian Před měsícem

      ​@@cngezesheria gani,

  • @SmilingBirdwingButterfly-yq3he

    Hao wazee wamezoea kujinufaisha wao sasa naona njia za kujinufaisha zimefungwa sasa wanataka kumtia ili waendelee kujinufaisha wao

  • @JuniorMbando
    @JuniorMbando Před měsícem

    Ongea kiswahili au kingereza ungea hatukuelewi unachanganya nn sasa

  • @GEOFFREYEGNOKUMBURU
    @GEOFFREYEGNOKUMBURU Před měsícem

    HIVI WAKATI MACHAWA WANAPIGA PESA,WALE WAZEE WENYE TIMU HUWA WANAKUMBUKWA?

  • @user-jk3qx3dt6c
    @user-jk3qx3dt6c Před měsícem

    Hebu tumuulize Mwanasheria wa Yanga, anasemaje juu ya jambo Hilo?

  • @proisolution7166
    @proisolution7166 Před měsícem

    tumetoka kwenye majini,tukaleta VAR,sasa tumeleta HERSI atoke YANGA kweli maskini hampendi maendeleo mmeanza hayo,SIMBA PAMBANANENI MMEKWISHAAAAAAAAAA ,HIYO NDIYO SOLUTION YA KUIMALIZA YANGA KWELI NCHI HII INA WATU.MMEWAPA PESA KIASI GANI MMEKWISHAAAA HATA VARAAAA ZENU HAZIJAANZA KUANZA KAZI MMETUMIA WAZEE HERSI PAMBANAAAAAAAA.

  • @ephulaemsengo2816
    @ephulaemsengo2816 Před měsícem

    Laana ata pata mama ako

  • @user-tp3nm1do6j
    @user-tp3nm1do6j Před měsícem

    Hawa wazee makafiri tutawaua tu kabisaa tuju kulaumiana

  • @sairshelly
    @sairshelly Před měsícem

    Diva huna ujuwalo. Yani sifa zote hizo na top 10 kwa yanga bila kuitaja Simba? Unajuwa ka.a Simba ipo top 7? Yanga haipo top 10. Afrika ipi inazungumzia usajili wa Tz? Au hapo wasafi unaona ndiyo Afrika nzima? Fanya mambo ya mapenzi ndiyo fani yako mbibi

  • @meshajohn8713
    @meshajohn8713 Před měsícem +2

    Wazee ndonini? Kumalamamazao?,mmbwa Hawa?

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Před měsícem

    Utopolo ulibwanji

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před měsícem

    case sio kumudu garama case ni uhalali wa uwepo wao tuu

  • @seiphomary834
    @seiphomary834 Před měsícem

    Ss hatuna haja ya sheria tunataka wazee watuambia wao wanataka nn harafu tuwape timu yao wazee ss tutaacha jina lao tutanunua singida fc harafu tutahamia huko harafu tutawaacha na jina lao yanga kuna wakat sio mfumo kuna nyakat sheria zinabadilika sana tena sheria za kibinaadamu tumeshuhudia mengi kwenye chama uwe wa kwanza kula za maono unakuta wa tatu kapewa kiti kwenye jimbo unakuta wa nne katangazwa bas tuwe fair enough mahakama mkiona sehemu kuko stable ebu tuache ujinga tufanye mambo mengine mnataka timu ziende mbele mnataka mafanikio nyny mna haribu mifumo tena kwel nch yetu tunapenda ujinga sio reality

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 Před měsícem

    KUNAWAKATI TUNAHITAJI KUSIKIA MAWAZO YA HUYO UNAEFANYANAE KIPINDI ILA TATIZO DIVA UNAONGEA SANA UNATAKA KUSIKIKA WEWE TU MWEZIO AKIONGEA KIDOGO TU UNAMKATISA WHY UNABOA ETI!"

  • @ephulaemsengo2816
    @ephulaemsengo2816 Před měsícem

    Hao wazee mikuma ya mama zao

  • @user-cr4th9lr6b
    @user-cr4th9lr6b Před měsícem +2

    Mimi ningekuwa mdhamini ningewaachia team hao wazee

    • @29WavesTV
      @29WavesTV Před měsícem

      UMEWAZA EXACTLY KAMA MIMI waachie klabu nyngne ianzishwe

    • @rashididotto277
      @rashididotto277 Před měsícem

      😂😂bora ulivokosa kuwa ndugu yangu.maana ungetuchanganya sanna. yan unajuwa kuna watu wengine wamekaa kuvuruga hal ya hewa, hawapend kuona sehem kuna aman. najarbu kujiuliza ao wazee wakipewa iyo team wanaweza kufanya zaid ya alivyofanya ghalib na gsm yake😂. yan uwez amin asilimia 99 yA wana yanga naiman hawatakuwa pamoja na ao wazee muda walio anzisha ili jambo sio sahh watafute muda mwengine lakin sasahv hakuna mwanayanga mpenda maendeleo atakae kubal hersi said aondoke madarakan kwa upumbav wa watu wachache.

  • @chidtec4485
    @chidtec4485 Před měsícem

    Feisal mzimu wake unafanya kaz sasa

  • @elizabetty-rt7py
    @elizabetty-rt7py Před měsícem

    Hawa wazeee awana akili, timu kwa Sasa Iko vizulii hao wazeee wanataka Nini, wazee mtoke yanga msitulenteee mauchawi yenu tokeni yanga, na plizsidet wa yanga atoki msutualibie timu, hiii sio timu ya mtaani, tokeni Yani mmetulibia siku sana, Yani haya mazee ndio yaleyale matumbo mfoko tokeni mkalishwe na watoto wenu,

  • @Mtituboy
    @Mtituboy Před měsícem

    Heshimuni Sheria utopolo

  • @tobiskaswahili6299
    @tobiskaswahili6299 Před měsícem

    Kumbe sa unaongea nin kama ujui

  • @DoreenTesha-kk2kw
    @DoreenTesha-kk2kw Před měsícem

    Iyo siasa ni uchawi kwenye soka ,,wapuuzi hawa

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m Před měsícem +3

    Ao wazeee nyumba zao tuta pija moto waache warete njaaaaa zao izoo

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilunga Před měsícem

    Kikubwa katiba ifuatwe wanayanga wenzangu

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Před měsícem

    Yanga wanapata laana zurumaaa

  • @omarifadhili651
    @omarifadhili651 Před měsícem

    Kuna wazee Hawana akili sijui wamehongwa ili waiharbu timu ama vp

  • @elishagregory1595
    @elishagregory1595 Před měsícem

    hao wazee wamekaribia kufa sasa

  • @khamisassan9556
    @khamisassan9556 Před měsícem

    Wewe diva ni mshamba

  • @saidkhadija7557
    @saidkhadija7557 Před měsícem

    huyo onesmo hajui kitu

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 Před měsícem

    Kwanza wazee hao mambumbumbu kiukweli Kwa wazee hao hakuna hata mmoja mwenye uwezo wa kuiendesha hiyo timu na naamini hao wamepewa mpunga ili watuharibie timu yetu na ni washamba sana walianza na manji afu wanakuja Kwa huyu GSM ,hivi hawaoni Aibu hata Kwa mafanikio tuliyonayo ??? Wamepigwa na kitu kizito!!!

  • @Zuberigangisa-dk9ne
    @Zuberigangisa-dk9ne Před měsícem

    Huyo mzee ni shabiki maandazi, sifa yake hashibi kwa pale alipokula