HIGHLIGHTS: SIMBA SC {1} VS AZAM FC {0} | MUUNGANO CUP 2024
Vložit
- čas přidán 26. 04. 2024
- SUBSCRIBE NOW:
▶
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App: Iphone User: apps.apple.com/us/app/simba-s...
📱 App: Android User: play.google.com/store/apps/de...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC CZcams Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi - Sport
Mnyama❤🎉
Mungu yu mwema
Ssc nguvu moja
Huo ndio mpira. Huyo onana hukumbuki kwamba alituvusha robo klabu bigwa afrika
Wakati avyompiga wayday goli mbili. Tujifuze kuwa na shukurani mpira ndivyo ulivyo. Anakosa mchezaji yoyote .huo ndio mpira ulivyo.
🎉🎉
Mkubwa mkubwaaa tu
Kabisa onana anaboa Sana
Tum umilie Onana atakuwa vizuri tu
So the new coach will be given new players or will be given new season with these b******* m********* plyayers??
Tunashinda lakin si kwa furaha ,Viungo ,Winga wawe na kasi sana Na fred ameanz kujituma huyo atengenezwe zaid
Onana ana lolote anao anao sana
Huyu Fredi maico atakuja kuwa ninoma Ila onana ubishotuu unamtesa Azam alikuwa anaoga nyingi
Onana bishoo,toa hata Kwa mkopo,Hana lolote
Ayoub kafanyaje kwani😮
0:33
😢
Mangungu mi 5 tena
Mangungu abaki
Yanga awawez kushirik sababu ni timu inajihusisha na siasa
Huyo Onana akacheze shoo huko
Onana ni Moja ya mchezaj maumbuf lakin kama kuna tofaut kat yak na Viongozi ebu yaweke Sawa, kwanz mech nyingi alikuwa anachezeshw dakk 10Za Mwisho huo ni upuuzi,kama Kuna kiongoz yoyote anagawan mshahar na baadhi ya wachezaj Ili wachez Muda mref bora akae pembeni tu. Akina Chasamb, Barua, sijui karabakamtandika ,mikson,
Jobe,mliwaamin ndo maana mkawasajili Ebu angalau wawe wanaanza kipindi Cha kwanz tena mnawajaz hap mbele, na ndo Wengi wasumbufu,
Sihaba kupata japo kikombe cha kunywea kahawa😅😅
hatuhitaj usajili wa kuwaleta watu harafu wanachezeshwa sijui dakk 5 kwani kama hamuwaamini mliwasajir wa nini,Eti mikson dakika za mwisho,yaan Sub Zina chelewa sana,😮
Onana aondoke inawezekana simba haitaki ndio anafanya kusud
Mimi nataka onana,jobs,uyo inonga yaani michezaji yote isiyojitupa peleka kwa mkopo kulee
Onana out
Inkuuma Cana mnyama kubeba kombe hili wenye wivu wajinyonge
Yani kama wachawi😢
Hhhh nan anaumia na kikombe icho
@@user-gc3ec9wx6z povu la nn
Hili kombe angeshiriki yanga lilikuwa lake pia. Hivi kwa nini hajashiriki?
Kamuulize😊
Mbona mapinduzi na ngao ya jamii alishiriki na hajachukua
God@@abdiharuna2818
Hki mm na sema huyu Onana kama aja achwa mmi sijui
😂😂😂
Onanaaa wamemtupia majini kama baleke majini FC so watu wazur kabisa 😄😁
Onana kakosa magoal yawazi kabisa