@@fadhilinyengo8262 naogopa kwasabu sijawah kushuhudia kitu hicho huenda ww umewah kushuhudia kwaiyo si ajabu kwako kwaiyo usinione mwehu Mzee wa kale mshuhudia makubwa ya duniani 😅😅😅
Ni kweli bro natumia wifi inagoma kabisa na sio kawaida haijawai kusumbua kabisa miaka yote, nilikuwa najiuliza leo kuna shida gani katika kuifosi tu ndo hii video post yako ime pop up so ndo napata taarifa kutoka kwako thanks bro keep it up
Na chukuru san SNS kaw kutufafanuliya vizuri hili tatizo limetokey duniani. Mimi ni byamungu Rashidi.#king byam's kutoka Burundi Bujumbura sisi uku Bujumbura tuna wiki mbili na nusu internet iko slow sana. Ila tuna chukuru kutufafanuliya ivyo. Nawapenda sana wana SNS BYAM'S toka Bujumbura
Nimezima cm mara nyng mpk imepoteza kiwango cha charg sio hvo tuu mpk nimewapigia mtandao hata hawarespond kwa kwel nimekereka bored but hahaaaaaaha lipo nje ya uwezo wetu,ahsante kutuhabarisha
Mimi toka jana usiku saa 6 kwenda saa 7 ilikuwa simu haipandoshi 4g ni 3d had 2g ila asubuh leo ikawa hamna kabsa nikajua simu imeisha bando kucjek nina gb2 nzima nikakosa majibu na kuwa watu wamenipigia simu nikajua ni shida ya watu wengi ila sikujua chanzo ni nini
Nitafurahi sana kama hii solarst izidi ili tubaki kwenye giza kwa mda wa miaka 30 ili nchi zetu za kiafrika ziweze kujitambua kwa kujitegemea zenyewe... Sababu huu utandawazi unasumbuwa sana hadi vifo kuwa vingi....
Sisi Malawi TUKO vizuri tu hapa yaani mtandao wa tz umeamia huku....wote itasepa tutabaki sisi hapa sababu hapa tuko mbali sana na juwa hapa ...hadi barafu zinaanguka hapa tuko mbali hata juwa tuna liona kwa mbali
Hili swala limenifanya nimkumbuke Jamali April wa the story book yaani juzi katoka kuliongelea hili haijapita hata siku mbili halafu jambo linatokea mmh! kwani yeye nabii asee?? 😮
Earth magnetic Field sometimes are natural protection wallah it’s so Amazing creation of the Lord Nilikuw na fatilia tukio Hilo one week before linashangaza Sana jua Lina radiation za aina nyingi sana maranyingine hupiga katika uso wa dunia na hutolewa na mifumo asilia ya dunia chaja ajabu kila kitu katk systm ya soloa system kina ashiria mwisho kuba mambo kbao nw yanatokea kwenye sola systm huwenda km sio kuwa na hiz vita tungejifunza mengi sn pia tungerudisha nadhari juu ya uumbaji wa mwenyezi mungu sns big up sana tuna wafatilia pia hakija jamii inapenda mnacho fanya🇹🇿✋
Daaaah yaan huyo Ally masubi wenu mnavyomsujudu😀😀😀 Kila kitu huyu hapa ally masubi, ally masub amekuwa ally masubi, yy vita niyeye madawa ni yeye nguvu za kiume niyey, mtandao niyeye, tumbafu
Ghazabu zamungu watu wanajihalaishia vilivyoharamishwa natunateseka wote tumrudie mungu atusamehe
Story book imetabili 😢
Jamal ame hatarisha mambo mno.. kuizungumzia seems like anazungumzia kiama😂
The Story book ya Wasafi ameilezea kwa upana wake siku ya jana tupitie na kule kdg
❤prof April,❤djsma❤Ally
Asante SNS kwa taarifa maana nimepata shida sana leo na sikujua nini tatizo
Kila siku nakua wa kwanza kuview video zenu SNS wakuu. Mnipee hata gift
😂😂😂😂
Ndomana Leo jua lilikuwa Kali 🙌
Zawadi ni hayo madini
Kaka elimu wanayotupatia ni zaidy ya gfy Viva sns Viva Russia....
@@chesterbrand6723viva Russia tena😂
Jamaaal wa wasafimedia kweli profesa 🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Jamal amekuza mambo kinoma.. it was seems like anazungumzia kiama😂💔
The story book katuambia yoote haya kama kaifahamu mapema vile duuuh ni msakaji wa kweli kabisa
Jamal amekuza mambo kinoma.. it was seems like anazungumzia kiama😂💔
kwel kk 😂😂@@salashbooben7622
Jamal katuambia juz ya Allah tuokowe wengine tuko mbali na familiar jmniiiiiiiiii naogopaaa 😢😢😢😢
Amen 😢😢
Wewe ni mwehu sasa unachoogopa ni nini sasa. Iyo ni nature inafanya kazi yake kipi kigeni hapo
@@nasrasalum6298 Allah atatulinda InshaAllah 🤲
@@fadhilinyengo8262 naogopa kwasabu sijawah kushuhudia kitu hicho huenda ww umewah kushuhudia kwaiyo si ajabu kwako kwaiyo usinione mwehu Mzee wa kale mshuhudia makubwa ya duniani 😅😅😅
Jamal amekuza mambo kinoma.. it was seems like anazungumzia kiama😂💔
Wa Yemeni washakata waya wa internet kwnye bahari nyekundu
Ni kweli bro natumia wifi inagoma kabisa na sio kawaida haijawai kusumbua kabisa miaka yote, nilikuwa najiuliza leo kuna shida gani katika kuifosi tu ndo hii video post yako ime pop up so ndo napata taarifa kutoka kwako thanks bro keep it up
Yaan mm wifi nimezima na kuwasha empty
@@ashabakari1448 duuuhh pole sana dhambi zimezd 😂 hawa watu wa 🌈 🏳️🌈 🌈 watatuponza sana kwa Sir God
Najiuliza WiFi imeisha kumbe ni hii kitu bwana
Kaka sky uyo ally kilakitu anajua duh
The Story book
Yesu anarudi
Yani nataka kutoa mkeka wanguu leo bet zote mtandao unazinguwa yani😂
Kwenye The story book 📚 wasafi wameelezea zaidi
Na chukuru san SNS kaw kutufafanuliya vizuri hili tatizo limetokey duniani.
Mimi ni byamungu Rashidi.#king byam's kutoka Burundi Bujumbura sisi uku Bujumbura tuna wiki mbili na nusu internet iko slow sana. Ila tuna chukuru kutufafanuliya ivyo. Nawapenda sana wana SNS BYAM'S toka Bujumbura
Nimezima cm mara nyng mpk imepoteza kiwango cha charg sio hvo tuu mpk nimewapigia mtandao hata hawarespond kwa kwel nimekereka bored but hahaaaaaaha lipo nje ya uwezo wetu,ahsante kutuhabarisha
Hii inatokana na mashoga kuzidi duniani ndio maana mabalaa hayaishi
All masudi namkubali sana sns msije mkamtoa..mchambuzi mzuri sana I APPRECIATE SO MUCH
Dj Sma ndo noma.. nigga angepona tu arudi kutujuza mambo
very dangerous for self driving cars, especially in china
Mtzfuteni #Mr_cosmas Huyu mzee numwana sayikrojia.anzjuwa anajuwa tena
Dar wasafi kiboko janatu nimeangalia the story book af leo yametokea yote waloyasema jamar shikamoo wasafi
Hahaha nape yeye kasema kuna waya zimekatika chini ya maji 😂
Naomba ueleze "the history of solar storms".
The story book
Adhabu za Allah izo dhidi ya viumbe wake...so jaman tutubuni
😂😂
Mwisho wa dunia huwooo😂😂😂
JAMAL APIRL KATUTABIRIAAA TOKEAA JANAAA
Hili suala limeanza kuongelewa wiki ya pili
Yani unasumbua balaaaaaa
Hata huku Kenya
Mimi toka jana usiku saa 6 kwenda saa 7 ilikuwa simu haipandoshi 4g ni 3d had 2g ila asubuh leo ikawa hamna kabsa nikajua simu imeisha bando kucjek nina gb2 nzima nikakosa majibu na kuwa watu wamenipigia simu nikajua ni shida ya watu wengi ila sikujua chanzo ni nini
Asante sana Kwa updates maana jana almost masaa 6 na fanya settings za Internet bila mafanikio
Nilizani mb zimekwisha nikazima nikawasha nikazima nikawasha duuu Allhamdulillah
Izi dalili za kiama jamani tumrudie mungu tumejisahau sana
No wonder my fiancé nimejarubu mpaka kumpigia namkosa mpaka kidogo tushwane woow anyway thanks guys for the updates as usually
kwa sisi wapenda info. hapa umenishibisha sina swali zaidi. EMP ni balaa ila Solar storm ni balaa zaidi
Kweli leo ilikuw ina goma saana hata tuliokuwa nje ya nchi
Yesu anarudii..
Daaah! Kwel😢 kabisa
Mi nilikuw nashangaa mbona leo Wi-Fi inasumbua na sio kawaid yake nikajua labd wamebadilish ile zima washa ndio imekubali sashv
hiyo solar storm imepiga wapi, yaan nielezee vzr,
Duuuu nilikuwa sielew Leo ujue kumbe Asante San Kaka kwakutujulisha daaa🤝🤝
Solar flash mass great awakening
Lkn huku 🇿🇦 south Africa mitandao yipo fresh kbx
Kunasehem network haikupanda as usual
Nakukumbusha masudi kiswail cha neno "storm" Ni dhoruba
Kweli, internet imesumbua sana leo
Nitafurahi sana kama hii solarst izidi ili tubaki kwenye giza kwa mda wa miaka 30 ili nchi zetu za kiafrika ziweze kujitambua kwa kujitegemea zenyewe... Sababu huu utandawazi unasumbuwa sana hadi vifo kuwa vingi....
ni ujinga unakusumbua
Mungu anaaza kufanya yake
Leo imesumbua saana
Shida kwelikweli
Inner core,outer core,lower mantle,upper mantle, crust
I learnt something here thanks sns
Good work
Hâta uku kwetu 🇧🇮 mtandao uligoma sana
physicist tunaelewa vzur sana
Nikawa nawalaumu tenco na Airtel wanisamehe sana 😂😂
Hata kazi zimekua slow Kwa wale tunaoudumia wateja online
Mungu Fundi Mwaisa😂😂😂😂 wanasayans ad wanasanda hawana majibu kumbe kuna vitu dunia inaweza kuisha kwa siku 1Tu
Wanasansi wanapofeli wanasema Natural structure, wa nashindwa Tu kusema ukuu wa Mungu. Shenzi MUNGU YUPO.
@@allykwaya kabisa kaka 100%
Nlijua Tanesco kumbe kimbumga Jua kali😅
Pia saùdia
Nime restore had sm yangu
Sisi Malawi TUKO vizuri tu hapa yaani mtandao wa tz umeamia huku....wote itasepa tutabaki sisi hapa sababu hapa tuko mbali sana na juwa hapa ...hadi barafu zinaanguka hapa tuko mbali hata juwa tuna liona kwa mbali
Kweli kabisa
Kwer bro leo jau san
Mimi pia jana ilikuwa shida sana
Kweli nimesumbuka leo
Yani leo 😮
Noma
Naam nmekuwa nashangaa saana
aiseee tunduma moja apa leo sina network
Inasumbua sana aisee
Hili swala limenifanya nimkumbuke Jamali April wa the story book yaani juzi katoka kuliongelea hili haijapita hata siku mbili halafu jambo linatokea mmh! kwani yeye nabii asee?? 😮
😂😂😂bundala huyo Ali masudi nimuongo tu
Duuh aisee
Mmmmh kumbe mi nilitamani kupasua simu sababu ya mtandao unavyosumbua
Hatar
Nikiwa Nairobi gonga like
Kamsikilizeni jamal april wa the story book alieleza kiundani zaid kabla ya kutokea
Alitoa the storybook Jana Professor Jamal kweny Wasafi
Solar storm ipo tangu 1859.isitoshe hii ni tofauti na hiyo ya wasafi sikiliza vizuri ndugu.
Safi sana Tena sana Mungu fanya kitu 👏👏👏👏👏👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
Akifanya kitu hizo emoji unazotuwekea utatumia nini😂😂😂kututambia.
Ili uweje
@@user-hy9pp5rp9i Ili tupate adabu
Kumbe nlikuwa selew mtandao jau jau tu toka asbh mpka sasa
Hata mm nilikuwa najiuliza Nini kumbe tatizo hilo
Earth magnetic Field sometimes are natural protection wallah it’s so Amazing creation of the Lord
Nilikuw na fatilia tukio Hilo one week before linashangaza Sana jua Lina radiation za aina nyingi sana maranyingine hupiga katika uso wa dunia na hutolewa na mifumo asilia ya dunia chaja ajabu kila kitu katk systm ya soloa system kina ashiria mwisho kuba mambo kbao nw yanatokea kwenye sola systm huwenda km sio kuwa na hiz vita tungejifunza mengi sn pia tungerudisha nadhari juu ya uumbaji wa mwenyezi mungu sns big up sana tuna wafatilia pia hakija jamii inapenda mnacho fanya🇹🇿✋
Umetisha.
Majuzi nimeona UFO
Sasa ni nyaya za baharini au soral storm
Ikiwezekana Mungu ashushe mvua kabisa ya moto kifupi itokee kalika kabisa maana Dunia tumezidi kabisa kufanya maovu yamezidi
Leo nimezma simu kila saa had chaj inakata
Leo kwa kweli internet imeleta shida sana
Tunaomba Tupate picha ya Ali masoud 😅😅
Pia kenya ilisumbua sana
Jamani dah niatar 😢
Daaaah yaan huyo Ally masubi wenu mnavyomsujudu😀😀😀 Kila kitu huyu hapa ally masubi, ally masub amekuwa ally masubi, yy vita niyeye madawa ni yeye nguvu za kiume niyey, mtandao niyeye, tumbafu
Dah nimeshindwa kuweka bet yangu leo.....
Leo imekuwa miyeyusho sana
True 😂😂😂mbaka na shindwa why
Yaàn kwq leo imekuw cku bored mnoo
Kuna movie inatoka soon kuhusu hili
Mimi nipo Omani hapa nilipo cjaona dalili yyt,na nimeshinda CZcams,kama kunamtu kaona huku Omani tujuzane
Na oman piy😢😢
The story book juzi katwambia
Daah Ahsant kwa kutujuza
From story book of Jamal April wasafi média.