GIGY MONEY AMWAGA MACHOZI: 'SIO KILA MWANAMKE ANAEJIUZA ANAPENDA, BORA NIDANGE'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 11. 2018
  • #OnAirwithMillardAyo #GigyMoney #AyoTv

Komentáře • 363

  • @amnemkubwa7353
    @amnemkubwa7353 Před 5 lety +687

    Mimi nataka kujua tunaompenda gigymoney❤🔥.. wacha like yko hapo🙌

  • @lindasophia1288
    @lindasophia1288 Před 5 lety +42

    Uyu dada nilikua sijawai muelewa nilikua naona ni msumbufu tu, ila leo nimekubali ww ni mtu flani unae itaji mapenzi kutoka kwa watu ... Nakupenda sana Gigy 💜😘

  • @yaelvictor5809
    @yaelvictor5809 Před 5 lety +193

    Ukimsikiliza kwa makini gigy ana akili ila mazingira aliyokulia ndio tatizo na ameshajitambua mungu amwongoze tu kwa sasa kwa vile yuko hivyo kwa ajili hakupata fursa za msingi kutokana na familia ploblems

  • @naimanassib4900
    @naimanassib4900 Před 5 lety +59

    Gigy go gigy go gigy tukikuelewa wachache inatosha nakupenda mama mayra

  • @mfalmegideon3987
    @mfalmegideon3987 Před 5 lety +28

    Gigy is too real
    Hii interview inamengi ya Kujifunza kwa Vijana Wanaokuwa
    Acha kukimbilia Maisha Kabla Ya Wakati
    Gigy amechukua The past kama Njia Ya kupambani in a future

  • @gombatv7046
    @gombatv7046 Před 5 lety +115

    hii interview, ni kiboko GIGY amefunguka vilivyo, atafika mbali kwakuwa ni mkweli

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 Před 5 lety +29

    She is real , She only mixup mood and attitude and that’s normal in a real life.

  • @nicefit_ness
    @nicefit_ness Před 5 lety +20

    Gigi unaakili saaaana,, na unaongeaga point mnooo,,, nakupenda saaaana ❤❤❤❤❤

  • @zawadisimoni8616
    @zawadisimoni8616 Před 5 lety +25

    Daaa me zawadi pia ulio pitia nimepitia mpaka naogopa kwann Story inafanana kiasi hiki chamsing dua tutafika 😍

  • @saumjuma7546
    @saumjuma7546 Před 5 lety +4

    Gigi no mkweli Sana anachukia drama drama....Kama unamin hill gonga like to show love❤

  • @Joze-ko9he
    @Joze-ko9he Před 5 lety +112

    Napenda iterviu ya gig ni mkweli tena tunajifunza kuhusu anaco sema

    • @mwajumajuma3813
      @mwajumajuma3813 Před 5 lety +1

      nakupend xan Gigi ww unaonge ukwel kila ukiojiwa

  • @zainabguthera7923
    @zainabguthera7923 Před 5 lety +24

    Kweli zaa ukomae gigy umtisha sana point taken" co kila mwanamke anapenda kujiuza"

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 Před 5 lety +2

    Mimi siku zote nampenda Gigy kwa akili yake Na ukweli anavojizungumza. Kwa age yake, maskini kapitia mengi. Alaiti wasichana wajifunze kwake. Mungu akutengenezee maisha yako Gigy. Millad wewe ni one of d best! Umetua and a good listener. Much respect for both of you🌹

  • @jojolicious_1445
    @jojolicious_1445 Před 5 lety +78

    Yani hili demu lina akili basi tu

  • @ivournanjala
    @ivournanjala Před 5 lety +3

    I don't know her but I think I like her..she is sooo real and honest.love from 🇰🇪

  • @ludacrissrangiyabank3737
    @ludacrissrangiyabank3737 Před 5 lety +64

    Giggy matata lkn leo kanihuzunisha kweli, kiukweli umasikini unasababisha matatizo mengi

  • @anisayahya5018
    @anisayahya5018 Před 5 lety +22

    Dah.... giygy mungu akupe hitaji la moyo wako umehaso kwa kweli so sad

  • @deearacemarg450
    @deearacemarg450 Před 5 lety +37

    I love your spirit Gigy .I hope things will change for good.Yeah ghetto is tough life....been there seen that.

  • @pindotanzania579
    @pindotanzania579 Před 5 lety +78

    Afu ww millard kila siku tunakuambia weka tissure hapo mezan kwan shingap😏unafanya watu wafute makamasi kwa mikono

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 5 lety +12

    Nakukubali Gigy, kusikiliza interview yako napata kitu hapa dear, Allah akuongoze kwa hili uyu c mtu wa kumuhukumu kwa maneno kwakweli, *Millard* jitahidi uweka box la Tissue hapo Ofisini kwako., Mbona unatuwekea interview nusu Millard?

  • @mamadoublem353
    @mamadoublem353 Před 5 lety +18

    Maelezo yako gigy yamenipa furaha kujuwa kuwa umekuwa kiakili na wengi wamefahamu kuwa shida au njaa ndio chanzo kinacho dhalilisha wanawake wengi big up to one day yes u will make it to money house

  • @dorcaskibona8619
    @dorcaskibona8619 Před 5 lety +2

    This woman is too real 🙌🏽🙌🏽

  • @worldlyricssongs6141
    @worldlyricssongs6141 Před 5 lety +14

    I love you gigy 😍😘😘

  • @agnessinja8967
    @agnessinja8967 Před 5 lety +17

    You are going somewhere baby girl

  • @tiffahhassan1192
    @tiffahhassan1192 Před 5 lety +6

    love you😘❤️😘 gigy mapesa
    na
    milard big💪 up bruh

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus7255 Před 5 lety +4

    In shaa Allah;hata huko utatoka . Ukipata mda kidogo mkumbuke ALLAH kwa sababu ni mwenye huruma na atoae rizq

  • @elieshishamy9902
    @elieshishamy9902 Před 5 lety +12

    nakupenda Mdogo Wangu kweli mawazo yako makubwa japo umri mdogo

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 Před 5 lety +60

    Yaani gigi ninavyokupenda ni vile unaongea ukweli yaani sitamani hata interview iishe

  • @sintajulias3555
    @sintajulias3555 Před 5 lety +2

    😭😭 this interview iko so emotional Gigy ameniliza

  • @evelyneroselusasila4687
    @evelyneroselusasila4687 Před 5 lety +19

    Duuuuh inaumiza love u gigy

  • @munahally2473
    @munahally2473 Před 5 lety +2

    safari ya maisha ulianza vibaya...ila safari ya mafanikio ni nzuri sana sana jitihada sana harakati kama zote...keep it up my gal.......lv u much

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 Před 5 lety +35

    Gygy huaga nasema daily this girl is iron..yani shupa..huyu ndo jike shupa

  • @jacklindaudi9038
    @jacklindaudi9038 Před 5 lety +19

    Usilie mamy tunapitia mengi ss watoto wa mama

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 Před 5 lety +7

    MAMA gigy mcheshii sana and 4sure anapambanaa sanaaaaaaaaaa yn mpiganajii anatafuta bt gigy sometime kichwa chako kizurii

  • @loveness6732
    @loveness6732 Před 5 lety +1

    Gigy uko real.. we ni fighter na cash madame 😘😘😘

  • @rhonjanjaim7173
    @rhonjanjaim7173 Před 5 lety +1

    Daaaah! We ni mwanamke dada ur strong enough my dear

  • @esterdavid6664
    @esterdavid6664 Před 5 lety +5

    Gigy umekuwa mama I like it 😍😍

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 Před 5 lety +12

    Pole Gigi kwa uliyopitia najua unavyojisikia ila ni mapito tu 🙏

  • @abdulrahmanhassan3825
    @abdulrahmanhassan3825 Před 5 lety +4

    Yani mm nampenda sanaa Huyu dada aijalishi Tabia zake

  • @charlesgadi5293
    @charlesgadi5293 Před 5 lety +1

    I salute you, you're such an Insperational to all young people godbless more for being so honesty I hope to meet you oneday!

  • @anneguth2390
    @anneguth2390 Před 5 lety +1

    Your a strong woman I love ❤️ it

  • @emmahKK2024
    @emmahKK2024 Před 5 lety +1

    You have made me cry Gigy l see myself in you😭😭😭😭

  • @julianadominic7436
    @julianadominic7436 Před 5 lety +18

    Nampenda xn MTU mkweli ukwel unamfanya MTU awe huru xn anakuwa sio MTU Wa uoga na wasiwasi nakupenda gigy ww ni mkweli xn na ni muwazi mungu akusaidie upate mafanikio makubwa upate na mume bora Wa maixha yk

  • @marykangina4476
    @marykangina4476 Před 5 lety

    Nakupenda tu mummiii... Your fan from kenya

  • @edrickniwamanya439
    @edrickniwamanya439 Před 5 lety +7

    Millard nampenda interview zako sana lkn weka tishu

  • @nexakadeus7855
    @nexakadeus7855 Před 5 lety +14

    dah Gigy hongr mumy unachsema ni kwelii kikubwa ni kujua ni wap watokaa na kutokukumbk maumivu Bali kuhaso ili upate utulivuu

  • @sifamugwaneza1178
    @sifamugwaneza1178 Před 5 lety

    Nawapend san nyie watu 2 #gigy mpz nakupend bure dada ake mie nimejifunz mengi kupitia ww mpz... Asante sn #millardAyo kwa story nzuri kam hiz

  • @kajjd40
    @kajjd40 Před 5 lety +12

    Pole sana gigi

  • @Mariam-ez4qw
    @Mariam-ez4qw Před 5 lety +15

    Daah kila mtu na mapito yake

  • @joytz4401
    @joytz4401 Před 5 lety +8

    Nakubali Gigy mihera

  • @raysulesh8589
    @raysulesh8589 Před 5 lety

    She is always true to her self...Allah akujalie mema

  • @ladybilionaire379
    @ladybilionaire379 Před 5 lety +1

    Una ufahamu mzuri saana Gigy lv u saana 😘😘

  • @khalifacyrus4300
    @khalifacyrus4300 Před 5 lety

    gigy l love the word you said sio kila anaye jiuza anapenda 👌

  • @samiraabdallah3987
    @samiraabdallah3987 Před 4 lety

    Na kupenda gigi mungu atakusaidiya nakuheshimu mimi samira kutoka kenya

  • @mayathomas5560
    @mayathomas5560 Před 5 lety

    pole sana gigy,Mungu akusaidie to become a better person, you have been shaped like that by life, so be strong

  • @merryn4891
    @merryn4891 Před 5 lety +8

    pole gigy kila mtu anayapitia

  • @violetyurassa4392
    @violetyurassa4392 Před 5 lety +23

    Pole mwaya gift umepita kipindi kigumu ila usikate tamaa Pambana bado mdogo

  • @nurumanyota2592
    @nurumanyota2592 Před 5 lety

    I love gigy so, much , and mirad is very nice

  • @jacklinkangero3339
    @jacklinkangero3339 Před 5 lety

    Its enough Bby saiv ushakua na jina Fanya biashara sasa sahau hayo maisha. Pole mom

  • @veronicamichael8351
    @veronicamichael8351 Před 5 lety

    I love this dada

  • @tymermtatya565
    @tymermtatya565 Před 5 lety +12

    Umeongea point

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 Před 5 lety

    Asante millard kwa part2...dah pole sana gigy

  • @AliBaba-zb3tg
    @AliBaba-zb3tg Před 5 lety +6

    Etiii Mtu ufanye video upate M8 ya kununua gari imetoka wapi aki gig lina akili ili😂😂😂

  • @saimonmgeta5239
    @saimonmgeta5239 Před 5 lety +6

    Gig hebu njoo tuanzishe family nimeona kumbe una akili hata zaidi ya wema sepenga

  • @naymahh3504
    @naymahh3504 Před 5 lety

    Yani gigy nakupenda allah akupemuongoza katika maisha yako

  • @razyfaraja1368
    @razyfaraja1368 Před 5 lety

    I luv her❤

  • @sarahzabron4987
    @sarahzabron4987 Před 5 lety

    love you gig😙😙😚

  • @chrispinelwoga4182
    @chrispinelwoga4182 Před 5 lety +9

    Daah wengi tumeyapitia

  • @neemalkiswaga6126
    @neemalkiswaga6126 Před 5 lety

    Pole sana Gigi ndo maisha Ila unaakili.sana.sema tu unaonekana mapepe

  • @chunafetty6737
    @chunafetty6737 Před 5 lety +38

    Maisha ni safari lakini sio changamoto zikufanye uwe unafanya vitu ambavyo havina msingi muhim kujiheshimu mitihani imeumbiwa sisi binadamu +254

  • @shaniamgunda7838
    @shaniamgunda7838 Před 5 lety

    nampenda sana huyu Dada kwanza ni mkweli apendi mambo yakufeki dah maisha ni safari ndefu ila ipo siku tu utanyanyuka mdg wangu gift

  • @noeljacob9644
    @noeljacob9644 Před 5 lety

    Love uuuu ming ming....

  • @richarddazan813
    @richarddazan813 Před 5 lety

    So true.

  • @ibunmurshid3885
    @ibunmurshid3885 Před 5 lety +33

    Si kila anaepitia hayo unayoyataja Lazima awe shetani.... Hamna sababu ya msingi ya kumfanya mtu awe Kama huyu dada... Hizo ni changamoto kila mtu anapitia changamoto zake kikubwa kujiheshimu na hicho ndo anachokosa huyu dada

    • @kyki01
      @kyki01 Před 5 lety

      Ibun Murshid yes as long as uko Africa lazma changa moto kama hii asijitie umaskini ulimtuma

    • @ibunmurshid3885
      @ibunmurshid3885 Před 5 lety

      @@kyki01 yes... Upo sahihi changamoto zipo kwa kila mtu

    • @munahally2473
      @munahally2473 Před 5 lety +1

      hayajakukuta ndio maana unaongea hvyoo...fatitilia sana watu waliopitia maisha hayo utaelewa kwann anaongea au kuishi hayo maisha

    • @davidmushi6770
      @davidmushi6770 Před 5 lety +6

      Kikubwa naona ni kutofautiana katika uwezo wa kustahimili changamoto. Wapo waliobaki katika fikra na mawazo chanya licha ya kua wanapita katika changamoto ngumu huenda zaidi hata ya hizo. So uwezo wake wa kuzimudu ulifikia hapo na uliejaliwa uwezo zaidi mshukuru Mungu wala usimlaumu alieshindwa japo kuna wanaofanya kwa mazoea pia.

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 Před 5 lety

      @@davidmushi6770 kweli kabisa

  • @daniel4kt300
    @daniel4kt300 Před 5 lety

    God bless you

  • @winndelule2302
    @winndelule2302 Před 5 lety

    i lov u gigy...wish nikutane nawew nkuambie tu kua nakupnda sana....n hope utafka mbali...haupo fake...u r so real😊😊

  • @wardasaid9605
    @wardasaid9605 Před 5 lety +12

    Milad naomba nmbr ya gigy plz japo niwe na msalimia nampenda kinyamanyama shost huyu.

  • @salmajumaan6143
    @salmajumaan6143 Před 5 lety

    I support u gig money wht happened 2 u is wht had happened to me I feel so sorry for u

  • @rozaalfred4210
    @rozaalfred4210 Před 5 lety

    Am speechless😫😫

  • @dyanatanz6574
    @dyanatanz6574 Před 5 lety

    Gigy nakupenda sana. Unatufundisha sana maisha.hujawah ongea uongo hata siku moja

  • @tzdrama255
    @tzdrama255 Před 5 lety

    Milladayo long time hatuja kuona kwa microphone 🎤 big up Sana milladayo

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před 5 lety +1

      yes mtu wa nguvu, Interviews zetu zimerudi kama kawaida

    • @tzdrama255
      @tzdrama255 Před 5 lety

      @@millardayoTZA ndiyo na Huyu ndiye milladayo tunae mjua na future yangu ni kufanya kazi na milladayo naimani Allah ata bless iwe ivyo

  • @kuruthumumohammedy2207

    Loveeeee u strong women

  • @gracegracegrace1827
    @gracegracegrace1827 Před 5 lety

    Love you Gigy ....

  • @annastaziaprudence7333

    Sio siri Gigy nampenda sana kwa sababu ni muwazi na yuko real. Hafeki, I really like her for sure

  • @elizabethmachary9972
    @elizabethmachary9972 Před 5 lety

    Nakupendaga sana wewe Gigi money mpaka naumwa haunaga unafiki kabisa wasanii wote wangekua kama wewe safi sana upo muwazi sana Luv sanaaa

  • @rojakijana1162
    @rojakijana1162 Před 5 lety

    Watoto wengi wa Tanzania wamekulia ktk hali ngumu sana But even you pole sana kwa mazingira ulio pitia !

  • @sabrinamohamedy1040
    @sabrinamohamedy1040 Před 5 lety

    Anajielwaa sna ananyumbisha dish lak vile wee untakavy mchukuliaa😍😍

  • @oscarmwambonja
    @oscarmwambonja Před 5 lety

    Ahsante kwa #Exclusive tumeyajua

  • @valentinenasike4624
    @valentinenasike4624 Před 5 lety

    That's what the society is going through today #girlchild anyways may God take you far....

  • @ashakigumi2263
    @ashakigumi2263 Před 5 lety

    Gigy unagusa san maisha yangu hata mm nimelelewa na mama n aliteseka san mm nwe hapa lov u gigy wanawake tunaptia meng sana

  • @FatmaFatma-kt1or
    @FatmaFatma-kt1or Před 5 lety

    Nakukubali sana qiqy 💞

  • @herykauli1004
    @herykauli1004 Před 5 lety +10

    Gigy una akili sana .ila hujatulia tu. Ukitulia Gigy utafanikiwa sana.

  • @lucyngowinimrkorogwe2298

    Sijawahi kumfatilia sana huyu mrembo but nimempenda bure. Gigy amin ww ni strong utafanikiwa maana Unajua maisha.

  • @silverman6930
    @silverman6930 Před 5 lety

    Respect Gigi ❤️

  • @losiborand90
    @losiborand90 Před 5 lety

    Gigi istory yako inaumiza ili siyo mwenyewe na sisi njo ivo tena turiyo yapitia njo yametuaribu ila mungu yupo pamoja na sisi nakupenda gigi

  • @cipladapretty8617
    @cipladapretty8617 Před 5 lety

    Nampenda sana gigy jmn nampenda mpaka nachanganyikiwa....cjielew jmn

  • @lulushambazuri4861
    @lulushambazuri4861 Před 5 lety +5

    Dada MUNGUBABA anakupenda utabadirika naamini nakuombea

  • @mwanaamisa8193
    @mwanaamisa8193 Před 5 lety +2

    Gigy money mungu yupo na ww ni mdogo saaan usikate tamaa

  • @wahindiakwembe8066
    @wahindiakwembe8066 Před 5 lety

    Uko vzr sana Gigy

  • @bahatiabdallah5901
    @bahatiabdallah5901 Před 5 lety

    mungu akufanye uzidi kua juu gigi