Uyu dada nilikua sijawai muelewa nilikua naona ni msumbufu tu, ila leo nimekubali ww ni mtu flani unae itaji mapenzi kutoka kwa watu ... Nakupenda sana Gigy 💜😘
Ukimsikiliza kwa makini gigy ana akili ila mazingira aliyokulia ndio tatizo na ameshajitambua mungu amwongoze tu kwa sasa kwa vile yuko hivyo kwa ajili hakupata fursa za msingi kutokana na familia ploblems
Gigy is too real Hii interview inamengi ya Kujifunza kwa Vijana Wanaokuwa Acha kukimbilia Maisha Kabla Ya Wakati Gigy amechukua The past kama Njia Ya kupambani in a future
Mimi siku zote nampenda Gigy kwa akili yake Na ukweli anavojizungumza. Kwa age yake, maskini kapitia mengi. Alaiti wasichana wajifunze kwake. Mungu akutengenezee maisha yako Gigy. Millad wewe ni one of d best! Umetua and a good listener. Much respect for both of you🌹
Nakukubali Gigy, kusikiliza interview yako napata kitu hapa dear, Allah akuongoze kwa hili uyu c mtu wa kumuhukumu kwa maneno kwakweli, *Millard* jitahidi uweka box la Tissue hapo Ofisini kwako., Mbona unatuwekea interview nusu Millard?
Maelezo yako gigy yamenipa furaha kujuwa kuwa umekuwa kiakili na wengi wamefahamu kuwa shida au njaa ndio chanzo kinacho dhalilisha wanawake wengi big up to one day yes u will make it to money house
Nampenda xn MTU mkweli ukwel unamfanya MTU awe huru xn anakuwa sio MTU Wa uoga na wasiwasi nakupenda gigy ww ni mkweli xn na ni muwazi mungu akusaidie upate mafanikio makubwa upate na mume bora Wa maixha yk
Si kila anaepitia hayo unayoyataja Lazima awe shetani.... Hamna sababu ya msingi ya kumfanya mtu awe Kama huyu dada... Hizo ni changamoto kila mtu anapitia changamoto zake kikubwa kujiheshimu na hicho ndo anachokosa huyu dada
Kikubwa naona ni kutofautiana katika uwezo wa kustahimili changamoto. Wapo waliobaki katika fikra na mawazo chanya licha ya kua wanapita katika changamoto ngumu huenda zaidi hata ya hizo. So uwezo wake wa kuzimudu ulifikia hapo na uliejaliwa uwezo zaidi mshukuru Mungu wala usimlaumu alieshindwa japo kuna wanaofanya kwa mazoea pia.
Mimi nataka kujua tunaompenda gigymoney❤🔥.. wacha like yko hapo🙌
Nampenda
mm🙋
lov gigy
Nampenda Huyu mimi
Mwenye chuki nimuajii
Uyu dada nilikua sijawai muelewa nilikua naona ni msumbufu tu, ila leo nimekubali ww ni mtu flani unae itaji mapenzi kutoka kwa watu ... Nakupenda sana Gigy 💜😘
ndio maana wanasema usihukumu hali yeyote ambayo hujawahi kuiishi
Hta mm Leo nimemuelewa sana
Ukimsikiliza kwa makini gigy ana akili ila mazingira aliyokulia ndio tatizo na ameshajitambua mungu amwongoze tu kwa sasa kwa vile yuko hivyo kwa ajili hakupata fursa za msingi kutokana na familia ploblems
yael victor na pia akili ilianza kuathirika huyu dada kwa hali ya maisha maskini
yael victor kweli kabisa ana akili sana
yael victor true
Pole waya, yatapita
Real...Mungu amsaidie tyuuu
Gigy go gigy go gigy tukikuelewa wachache inatosha nakupenda mama mayra
❤❤✌
Gigy is too real
Hii interview inamengi ya Kujifunza kwa Vijana Wanaokuwa
Acha kukimbilia Maisha Kabla Ya Wakati
Gigy amechukua The past kama Njia Ya kupambani in a future
hii interview, ni kiboko GIGY amefunguka vilivyo, atafika mbali kwakuwa ni mkweli
Nimekuelewa sana una akili sana
True
She is real , She only mixup mood and attitude and that’s normal in a real life.
Gigi unaakili saaaana,, na unaongeaga point mnooo,,, nakupenda saaaana ❤❤❤❤❤
Daaa me zawadi pia ulio pitia nimepitia mpaka naogopa kwann Story inafanana kiasi hiki chamsing dua tutafika 😍
Poleee Zawadi
Gigi no mkweli Sana anachukia drama drama....Kama unamin hill gonga like to show love❤
Napenda iterviu ya gig ni mkweli tena tunajifunza kuhusu anaco sema
nakupend xan Gigi ww unaonge ukwel kila ukiojiwa
Kweli zaa ukomae gigy umtisha sana point taken" co kila mwanamke anapenda kujiuza"
Mimi siku zote nampenda Gigy kwa akili yake Na ukweli anavojizungumza. Kwa age yake, maskini kapitia mengi. Alaiti wasichana wajifunze kwake. Mungu akutengenezee maisha yako Gigy. Millad wewe ni one of d best! Umetua and a good listener. Much respect for both of you🌹
Yani hili demu lina akili basi tu
Kristine matola sanaa
I don't know her but I think I like her..she is sooo real and honest.love from 🇰🇪
Giggy matata lkn leo kanihuzunisha kweli, kiukweli umasikini unasababisha matatizo mengi
Ludacriss Rangi Ya Bank nic Gigi
Dah.... giygy mungu akupe hitaji la moyo wako umehaso kwa kweli so sad
I love your spirit Gigy .I hope things will change for good.Yeah ghetto is tough life....been there seen that.
Aisee
Afu ww millard kila siku tunakuambia weka tissure hapo mezan kwan shingap😏unafanya watu wafute makamasi kwa mikono
😀😀😀😀😀😀kasikia ataweka
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Its not called tissue.. Its saviet or wipes
Selestine 😒😒 napkins 😔 wipes 😎
Nakukubali Gigy, kusikiliza interview yako napata kitu hapa dear, Allah akuongoze kwa hili uyu c mtu wa kumuhukumu kwa maneno kwakweli, *Millard* jitahidi uweka box la Tissue hapo Ofisini kwako., Mbona unatuwekea interview nusu Millard?
Maelezo yako gigy yamenipa furaha kujuwa kuwa umekuwa kiakili na wengi wamefahamu kuwa shida au njaa ndio chanzo kinacho dhalilisha wanawake wengi big up to one day yes u will make it to money house
This woman is too real 🙌🏽🙌🏽
I love you gigy 😍😘😘
You are going somewhere baby girl
love you😘❤️😘 gigy mapesa
na
milard big💪 up bruh
In shaa Allah;hata huko utatoka . Ukipata mda kidogo mkumbuke ALLAH kwa sababu ni mwenye huruma na atoae rizq
nakupenda Mdogo Wangu kweli mawazo yako makubwa japo umri mdogo
Yaani gigi ninavyokupenda ni vile unaongea ukweli yaani sitamani hata interview iishe
Kweli vyo
😭😭 this interview iko so emotional Gigy ameniliza
Duuuuh inaumiza love u gigy
safari ya maisha ulianza vibaya...ila safari ya mafanikio ni nzuri sana sana jitihada sana harakati kama zote...keep it up my gal.......lv u much
Gygy huaga nasema daily this girl is iron..yani shupa..huyu ndo jike shupa
Usilie mamy tunapitia mengi ss watoto wa mama
MAMA gigy mcheshii sana and 4sure anapambanaa sanaaaaaaaaaa yn mpiganajii anatafuta bt gigy sometime kichwa chako kizurii
Gigy uko real.. we ni fighter na cash madame 😘😘😘
Daaaah! We ni mwanamke dada ur strong enough my dear
Gigy umekuwa mama I like it 😍😍
Pole Gigi kwa uliyopitia najua unavyojisikia ila ni mapito tu 🙏
Yani mm nampenda sanaa Huyu dada aijalishi Tabia zake
I salute you, you're such an Insperational to all young people godbless more for being so honesty I hope to meet you oneday!
Your a strong woman I love ❤️ it
You have made me cry Gigy l see myself in you😭😭😭😭
Nampenda xn MTU mkweli ukwel unamfanya MTU awe huru xn anakuwa sio MTU Wa uoga na wasiwasi nakupenda gigy ww ni mkweli xn na ni muwazi mungu akusaidie upate mafanikio makubwa upate na mume bora Wa maixha yk
Nakupenda tu mummiii... Your fan from kenya
Millard nampenda interview zako sana lkn weka tishu
dah Gigy hongr mumy unachsema ni kwelii kikubwa ni kujua ni wap watokaa na kutokukumbk maumivu Bali kuhaso ili upate utulivuu
Nawapend san nyie watu 2 #gigy mpz nakupend bure dada ake mie nimejifunz mengi kupitia ww mpz... Asante sn #millardAyo kwa story nzuri kam hiz
Pole sana gigi
Daah kila mtu na mapito yake
Nakubali Gigy mihera
She is always true to her self...Allah akujalie mema
Una ufahamu mzuri saana Gigy lv u saana 😘😘
gigy l love the word you said sio kila anaye jiuza anapenda 👌
Na kupenda gigi mungu atakusaidiya nakuheshimu mimi samira kutoka kenya
pole sana gigy,Mungu akusaidie to become a better person, you have been shaped like that by life, so be strong
pole gigy kila mtu anayapitia
Pole mwaya gift umepita kipindi kigumu ila usikate tamaa Pambana bado mdogo
I love gigy so, much , and mirad is very nice
Its enough Bby saiv ushakua na jina Fanya biashara sasa sahau hayo maisha. Pole mom
I love this dada
Umeongea point
Asante millard kwa part2...dah pole sana gigy
Ameskia kilio chako😂😀😅.. bdo part 3
Etiii Mtu ufanye video upate M8 ya kununua gari imetoka wapi aki gig lina akili ili😂😂😂
Gig hebu njoo tuanzishe family nimeona kumbe una akili hata zaidi ya wema sepenga
Yani gigy nakupenda allah akupemuongoza katika maisha yako
I luv her❤
love you gig😙😙😚
Daah wengi tumeyapitia
Pole sana Gigi ndo maisha Ila unaakili.sana.sema tu unaonekana mapepe
Maisha ni safari lakini sio changamoto zikufanye uwe unafanya vitu ambavyo havina msingi muhim kujiheshimu mitihani imeumbiwa sisi binadamu +254
Afu ukijiheshim utakul heshim
nkupend gigy
nampenda sana huyu Dada kwanza ni mkweli apendi mambo yakufeki dah maisha ni safari ndefu ila ipo siku tu utanyanyuka mdg wangu gift
Love uuuu ming ming....
So true.
Si kila anaepitia hayo unayoyataja Lazima awe shetani.... Hamna sababu ya msingi ya kumfanya mtu awe Kama huyu dada... Hizo ni changamoto kila mtu anapitia changamoto zake kikubwa kujiheshimu na hicho ndo anachokosa huyu dada
Ibun Murshid yes as long as uko Africa lazma changa moto kama hii asijitie umaskini ulimtuma
@@kyki01 yes... Upo sahihi changamoto zipo kwa kila mtu
hayajakukuta ndio maana unaongea hvyoo...fatitilia sana watu waliopitia maisha hayo utaelewa kwann anaongea au kuishi hayo maisha
Kikubwa naona ni kutofautiana katika uwezo wa kustahimili changamoto. Wapo waliobaki katika fikra na mawazo chanya licha ya kua wanapita katika changamoto ngumu huenda zaidi hata ya hizo. So uwezo wake wa kuzimudu ulifikia hapo na uliejaliwa uwezo zaidi mshukuru Mungu wala usimlaumu alieshindwa japo kuna wanaofanya kwa mazoea pia.
@@davidmushi6770 kweli kabisa
God bless you
i lov u gigy...wish nikutane nawew nkuambie tu kua nakupnda sana....n hope utafka mbali...haupo fake...u r so real😊😊
Milad naomba nmbr ya gigy plz japo niwe na msalimia nampenda kinyamanyama shost huyu.
I support u gig money wht happened 2 u is wht had happened to me I feel so sorry for u
Am speechless😫😫
Gigy nakupenda sana. Unatufundisha sana maisha.hujawah ongea uongo hata siku moja
Milladayo long time hatuja kuona kwa microphone 🎤 big up Sana milladayo
yes mtu wa nguvu, Interviews zetu zimerudi kama kawaida
@@millardayoTZA ndiyo na Huyu ndiye milladayo tunae mjua na future yangu ni kufanya kazi na milladayo naimani Allah ata bless iwe ivyo
Loveeeee u strong women
Love you Gigy ....
Sio siri Gigy nampenda sana kwa sababu ni muwazi na yuko real. Hafeki, I really like her for sure
Nakupendaga sana wewe Gigi money mpaka naumwa haunaga unafiki kabisa wasanii wote wangekua kama wewe safi sana upo muwazi sana Luv sanaaa
Watoto wengi wa Tanzania wamekulia ktk hali ngumu sana But even you pole sana kwa mazingira ulio pitia !
Anajielwaa sna ananyumbisha dish lak vile wee untakavy mchukuliaa😍😍
Ahsante kwa #Exclusive tumeyajua
That's what the society is going through today #girlchild anyways may God take you far....
Gigy unagusa san maisha yangu hata mm nimelelewa na mama n aliteseka san mm nwe hapa lov u gigy wanawake tunaptia meng sana
Nakukubali sana qiqy 💞
Gigy una akili sana .ila hujatulia tu. Ukitulia Gigy utafanikiwa sana.
Sijawahi kumfatilia sana huyu mrembo but nimempenda bure. Gigy amin ww ni strong utafanikiwa maana Unajua maisha.
Respect Gigi ❤️
Gigi istory yako inaumiza ili siyo mwenyewe na sisi njo ivo tena turiyo yapitia njo yametuaribu ila mungu yupo pamoja na sisi nakupenda gigi
Nampenda sana gigy jmn nampenda mpaka nachanganyikiwa....cjielew jmn
Dada MUNGUBABA anakupenda utabadirika naamini nakuombea
Gigy money mungu yupo na ww ni mdogo saaan usikate tamaa
Uko vzr sana Gigy
mungu akufanye uzidi kua juu gigi