EXCLUSIVE: HISTORIA YA GIGI MONEY "BABA POLISI, MAMA MHALIFU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 10. 2018

Komentáře • 488

  • @chimwanajayne2700
    @chimwanajayne2700 Před 5 lety +48

    Kama unampenda gigy Cardi Gonga like hapa😍

  • @anko_luufocus7454
    @anko_luufocus7454 Před 5 lety +244

    Gigy me nampenda anaongeaga ukweli halafu ukimuuliza maswali ya kijinga anakujibu hivyo hivyo kijinga ...kama unamuelewa vizuri GiGy huwezi kumlaumu kwa lolote

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan6365 Před 5 lety +171

    Interview kama hii ndio Naipenda ya Gigy Money, tupo na msema kweli 😍😍😍

  • @aikajuma6855
    @aikajuma6855 Před 5 lety +99

    nakupenda gigy yaan wewe hudanganyi kabisa yaan maisha yako ni real hufek kabjsa

  • @saulosarmiento8632
    @saulosarmiento8632 Před 5 lety +37

    Nampenda Gigi cause anajitaidi kuwa mkweli hata kama co asilimia 100% lakini anajitaidi #i love u Gigi keep it up girl. "Mtoto mdogo kweli asahau kabisa" I like that it's totally thruth.

  • @sativaclan4221
    @sativaclan4221 Před 5 lety +47

    Siku zotee hua ndomaana sipendag kuaribu brand ya mtu bila kujua magumu aliyo yapitia kuipata hiyo brand aliyo nayo!!!... hongera sana Gift.. ww ni lulu ya sisi wa wanyakyusa!!! Munguu akujaliee

  • @dicksonmbiu2179
    @dicksonmbiu2179 Před 5 lety +45

    Nafikiri Millard Ayo umeniwahi mana nilitaka kukuambia show hii irudi,mn katika interviews zenye utulivu this is no 1#interview session

    • @danielmadenyeka4248
      @danielmadenyeka4248 Před 5 lety +1

      B blessed dogo Ayo. Napenda sn intev zako.

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před 5 lety +2

      asante sana Dickson

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před 5 lety

      Amen nawe pia Daniel, shukrani mtu wa nguvu

    • @lindajeremia9680
      @lindajeremia9680 Před 5 lety

      Mh gig mii nakukubali coz ww nimwamke unayejikubali

    • @rawrpromostudio8372
      @rawrpromostudio8372 Před 3 lety

      kaka kwamajina naitwa rawr naishi mara ila nilkuw natafuta namb yako ya cm kam utojali wawez nisaidy au kunitft kwa mawasiliano zaid
      0628818740 rawr

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 Před 5 lety +12

    Gigy kumbe umazaliwa nyumbani ndio maana tunafanana akili nakupenda bure my love wangu

  • @mwanaamisa8193
    @mwanaamisa8193 Před 5 lety +9

    Napenda saan gigy money.. Hanaga swaga za kujishau.. Safi saaaaaan my friend gigy money

  • @loveness6732
    @loveness6732 Před 5 lety +1

    Dah! Millard tuwekee part 2... maana huyu dogo ana madini sana. Mungu amuongoze tu 👏🏾👏🏾

  • @zainabumtubwi263
    @zainabumtubwi263 Před 5 lety +1

    Gigi money anamuekea mtu wepesi mtu anaipeleka interview vizuri.pole kwa shida zote maisha .unajielewa mungu atakusaidia

  • @gracegracegrace1827
    @gracegracegrace1827 Před 5 lety +1

    Kwenye hii interview nimejifunza kutokuwa mwepesi Wa hukumu na mtu yuko hivyo alivyo kutokana na aliyoyapitia !! Thanks Millard for this interview maana kufunguka kwa GigY hivi ni vile NA wewe hauna makuu

  • @mwalysmodel8232
    @mwalysmodel8232 Před 4 lety +1

    BEST INTERVIEW IN 2018.....nan bado anaiangalia hii interview mwaka 2020

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 Před 5 lety +12

    I lv Giggy so much!!

  • @zulfatothman1051
    @zulfatothman1051 Před 5 lety +18

    Nakupenda bureeeh umesemagi uwongo

  • @victordenis2411
    @victordenis2411 Před 5 lety +1

    Daaah ! Hii interview iko poa sana, kweli usimdharau usije mjua,Gigy unajibu vizuri kabisa mtu akiangalia awezi kuamini coz tulishamzoe Gigy wa mapicha picha mwenye majibu ya shit shit !! Ongera sana Gigy Pia Dat's why nakukubali millard Ayo na penda sana kazi zako coz zinanifanya nijue kipi nifanye kipi nisikifanye ili nije kuwa mtangazaji na mwandishi mzuri kama wewe ikiwezekana zaidi yako wewe Much Bless to you Brother MILLARD AYO.

  • @mfalmegideon3987
    @mfalmegideon3987 Před 5 lety +50

    Hii interview ni Darasa Tosha kwa Vijana Wengi
    Wanakimbilia Maisha na kukataa Shule👏🏾
    Gigy amesema kweli Yote ...

  • @aishadunia4953
    @aishadunia4953 Před 5 lety +4

    Let me just be honest .. This is my favorite interview about Gigy Money .. I really love you 😍

    • @allym6326
      @allym6326 Před 3 lety

      Nakupenda sana gigy money

  • @maggiezammy1192
    @maggiezammy1192 Před 5 lety +21

    Salute gig 21yrs 😘😘😍😍

    • @ashakigumi2263
      @ashakigumi2263 Před 5 lety

      Gigy bn et karatasi 😂inaitwa living certificate

  • @5starsmoviecenter714
    @5starsmoviecenter714 Před 5 lety +28

    Gigy #BUSINESSLADY
    WACHANA NA WANAO JIITA BOSS LADY SIJUI TZ SWEETHEART SISI HAPA 254 WE CALL YOU BUSINESS LADY HUWA UNAJITUMA DADA.
    BIGUP AND NEVER LOOK BACK.
    KENYA TUNAKUTAMBUA

  • @vicentjames5691
    @vicentjames5691 Před 4 lety +1

    Leo ndo nagundua nmemaliza. Lasaba na gigymoney....
    # Be blessed gigy, fight tukutane top ⏫

  • @magehkihwele8274
    @magehkihwele8274 Před 5 lety +15

    Nakupenda saaana gigy mihela😘😘😘

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 5 lety +15

    Now I understand you gigy..

  • @barwancb5723
    @barwancb5723 Před 5 lety +1

    Sound quality is perfect. Interview is best. Story is good.

  • @niceladeus1697
    @niceladeus1697 Před 5 lety +44

    gigy kumbee unajibugii kutokanaa na MTU

  • @worldlyricssongs6141
    @worldlyricssongs6141 Před 5 lety +14

    Woooooow kuojiwa na Millard 😍😍😍😘I love you gigy n Millard

  • @lilianjeremiah2880
    @lilianjeremiah2880 Před 5 lety +7

    Nampenda sana gigy kwanz anajikubali cn ilo 2

  • @purity3776
    @purity3776 Před 5 lety

    Her honesty is refreshing,people like her can give you a rush in life

  • @amosbinmahona9947
    @amosbinmahona9947 Před 5 lety +58

    Bora wewe umenana ukweli wengine huwa ni full kutudanganya

  • @rosejohn6818
    @rosejohn6818 Před 5 lety

    Sjawah pitwa na interviews za gigy.....she iz rly......i just love her

  • @sifamugwaneza1178
    @sifamugwaneza1178 Před 5 lety

    Nawapend san nyie watu 2 #gigy mpz nakupend san my intaviu yako imenipa mafunz makubwa ujue yaan maisha nisafar kbs, Asante san kaka ake #millardAyo kwa story nzuri kam hiz..

  • @hellenabeid2601
    @hellenabeid2601 Před 5 lety +10

    siblings children it hurt for real but only GOD knows our tmr..We just winning always

  • @alikiba9723
    @alikiba9723 Před 5 lety +11

    Millard Ayo is Back 🙏🏻🙏🏻 +1

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před 5 lety +1

      Yeees mtu wa nguvu, karibu sana na asante kwa support

  • @neemalkiswaga6126
    @neemalkiswaga6126 Před 5 lety

    Ukweli ni mzuri kwani tunajifunza vingi thanks @ Gigi money thanks @Millard Ayo kwa kazi kubwa Mungu azidi kukuongoza

  • @elizabethmyula982
    @elizabethmyula982 Před 5 lety +10

    pole cna gigy ni changamoto za maisha ck zt ww n mkwl

  • @sesiliajoseph211
    @sesiliajoseph211 Před 5 lety +1

    Aliosikia miaka ya gig kama katuburuza like hapa twende sawa... Japo vyet hatuna

    • @omarighadafi7598
      @omarighadafi7598 Před 3 lety

      Ameongopa ktk miaka mm namjua siku nyingi na nimepata bahati ya kuishi nyumba moja mbagala

  • @grolykombe5218
    @grolykombe5218 Před 5 lety +1

    Nakupenda bure gigy Kama unamkubal gigy gonga like

  • @aminasubira6591
    @aminasubira6591 Před 5 lety +1

    Jaman Nakupenda we dda Wallah ila kumbe unamiaka21😊😊😊#NeverLoseHopeBaby #KiKiNiGigy💪💪💪

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla6504 Před 5 lety +21

    Millard mimi naona kama vile interview haijaisha maana gigi bado anaendelea

  • @batulajama4171
    @batulajama4171 Před 5 lety +9

    Nice News

  • @suphytz0750
    @suphytz0750 Před 5 lety +7

    Kumbe gigy ni bright tumia uwezo uyo ingiza pesa wasikutumie

  • @fadhiliibrahim9702
    @fadhiliibrahim9702 Před 5 lety +5

    Gigy kama kweli unataka kuwa lawyer u can do it u are still very young just go back to school

  • @maggyenick5310
    @maggyenick5310 Před 5 lety +14

    Ma lovely gigy

  • @familylove5417
    @familylove5417 Před 5 lety +17

    Wallah na nampendaa uyuu dada

  • @realnewz2261
    @realnewz2261 Před 5 lety +17

    Giggy we ni mkweli mweshim sana mamaako na usijali kashipha za walimwengu wasio jitambua we ni mama wa mtoto angalia maisha yako oky we ni mwanamke wa nguvu na ni jasili sana love u more 🔯🔯🔯🔯🔯

  • @zuhuramabrouk5184
    @zuhuramabrouk5184 Před 5 lety +3

    Nimekuelewa sana mdogo wangu takushauri , plz go back to class ur dreams are valid dear get a private tuition then register for the exams in a public schools...kwetu Kenya tuna Elimu ya watu wazima ila unafanya mtihani wa kitaifa sawa na wanafunzi wa kidato cha nne sehemu tofauti , usife moyo wewe ni mwana sheria mkubwa mbeleni jaribu kutafakari plzzzz ikihitaji usaidizi wa masomo sema +254

  • @zalubiakambona6987
    @zalubiakambona6987 Před 5 lety

    Kumbe mmwera mwenzangu ndio maana mjanja wamwera akuna aliezubaa big up

  • @azizraj7478
    @azizraj7478 Před 5 lety +1

    Best interview of giggy

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Před 5 lety

    Napendaga kumsikiliza Gigy yan utacheka stress zote zinapungua 💕

  • @hashboy6889
    @hashboy6889 Před 5 lety +16

    Nmekupenda sana upend kuongopa

  • @emademaad5520
    @emademaad5520 Před 5 lety +4

    interview za gigy kua nazipenda san love gigy

  • @marywillium9830
    @marywillium9830 Před 4 lety

    Daaaah hongera nimemaliza na we mam

  • @prinareality5442
    @prinareality5442 Před 5 lety

    Gigy umekua kiakili sana hamna mtu anayependa kuteseka sana katika maisha tujifunze kumwelewa kila mtu Muhimu upendo tu.

  • @nanahtzcharlz2567
    @nanahtzcharlz2567 Před 5 lety +6

    penda sana gigi jamani❤️

  • @zuuhxtarcode2412
    @zuuhxtarcode2412 Před 4 lety

    I love u gigy a. K. A Mama mayrah....i like ur interview

  • @vj8313
    @vj8313 Před 5 lety +17

    Gigy mbona leo unahojiwa unaheshima zote umetulia tofauti na online interview zingine unajibugi ovyo ovy not serious but leo na Millard umetulia mdada.

  • @edrickniwamanya439
    @edrickniwamanya439 Před 5 lety +16

    Kumbe ni mdogo sana

  • @hurremkuchie9721
    @hurremkuchie9721 Před 5 lety

    Oya gigy umeongea point kinomanoma aiseee big up san

  • @ireneqeen2784
    @ireneqeen2784 Před 5 lety +1

    nakupenda sana hua unaongea kweli love u gigy❤❤❤

  • @sakinamarjebi4290
    @sakinamarjebi4290 Před 5 lety

    pole sana mdogo wng gigy story yko imenigusa sana endelea kupambana utatoka tu kwauwezo wa mungu wasamee wte walokukosea mpenz

  • @GericMediaLive
    @GericMediaLive Před 5 lety +6

    karibu tena Millard maana show hizi nilikuwa nimezimiss naona umekuja na new studio look kitu cha shure microphones kama UK

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před 5 lety +1

      Yes mtu wa nguvu, sasa hivi show imerudi hivyo kila wakati usikose kupita hapa mtu wa nguvu Geric.

    • @geraldjoseph8155
      @geraldjoseph8155 Před 5 lety

      @@millardayoTZA asante sana najifunza mengi na harakati zangu nazidi kupambana hasa nikiona picha ya hapo stuido kwako siwezi kulala kabisa hadi malengo yangu yatimie kuisimamisha GERIC MEDIA LIVE kwenye ramani ndio maana unaona hata vifaa navijua ni kwa sababu ndo michakato yangu...Tuombeane tu afya na nguvu @millardAyo

  • @nicefit_ness
    @nicefit_ness Před 5 lety +4

    Namkubali saaaana gigy moneyyyyyyyy

  • @abdulazizsharif2984
    @abdulazizsharif2984 Před 5 lety +31

    Gigiiiii kumbe unamajina mingi Kama kurasa za Bible ... hongera BTW uko 2poa msalimie Member... mwambie video yake nimefuta

  • @dominicnzai8256
    @dominicnzai8256 Před 5 lety

    Milard mwenyewe,...I say apo Nimekuelewa mzee Baba,...Gigy Ni habari nyengine mi nampendaga pamoja na ukichaa wake....keep it real Gigy...ipo siku utachange na utapata deals nono tuu#MilardAyo#GigyMoney•••√

  • @ladybilionaire379
    @ladybilionaire379 Před 5 lety +1

    Aaah nakupenda saana Gigy unasema kweli mno

  • @ibraton4071
    @ibraton4071 Před 5 lety +17

    gigy manotiiii.......hyu sasa ndio msanii wala haongopii kabsaaaa....napenda alisemaga atawaua ma X wake wooote

  • @juliekavishe4768
    @juliekavishe4768 Před 5 lety +4

    namkubali sana gig mapesa

  • @esthermfaume513
    @esthermfaume513 Před 5 lety

    Nampenda sana huyu dada jmn..Gigy yupo wazi sana na maisha yake

  • @KiooTvOnline
    @KiooTvOnline Před 5 lety +21

    Safi sana Millard umerud na hii show yangu pendwaaaa

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před 5 lety +2

      asante sana kwa kutazama mtu wa nguvu, kila wiki zitakuwepo Interview za kutosha

    • @KiooTvOnline
      @KiooTvOnline Před 5 lety

      Nipo karibu na ww alldays, coz ww ni kama Maj lazma nikunywe maana u're my role model....

  • @imanimillanzi6444
    @imanimillanzi6444 Před 5 lety

    Good GIGY . I like that.

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 Před 5 lety +5

    Mama mayra 😍😍😍

  • @KiooTvOnline
    @KiooTvOnline Před 5 lety +6

    On Air With Millard Ayo

  • @ayshahusseinmohamed5984

    I love you dear really.. unanikumbusha ujana wangu kweri nilikuwa kama wewe lakini shule sikuacha vitu vingene twafanana. sasa unaweza kuwa mwanangu.. nahisi unahakili binti tumia pesa uipatauyo nenda shule ya sheria kesho uteteee wanawake kamautaweza. kumbuka msema kweri hufa haraka najuwa mama yangu alilipa... pls do it ... najuwa itakuwa mwanasheri mzuri fanya ndoto zako lakini usijizalilishe tena mwanangu jina unalo sasa jitahidi vaa kiafrika pia changanya utaona .

  • @happysinka1027
    @happysinka1027 Před 5 lety

    love u zawad a.k.a gift ...gigy mapesa

  • @KiooTvOnline
    @KiooTvOnline Před 5 lety +18

    Hii ndio good view nnayoipenda zaid kwenye AyoTv

  • @marrykabuje119
    @marrykabuje119 Před 5 lety

    waooooo ❤❤👏👊nimekupenda sana my

  • @nasrahcute4278
    @nasrahcute4278 Před 5 lety

    Nakupenda xn gigy jmni mungubakuongoze kw kila jambo my dea love youuu

  • @nikkimilian5740
    @nikkimilian5740 Před 5 lety +4

    Gigy nakupenda tuu

  • @agnessinja8967
    @agnessinja8967 Před 5 lety +4

    Gigy nakupenda Hadi naumwa

  • @delldeekhaday8914
    @delldeekhaday8914 Před 5 lety

    I love the gerl ...she is open

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 Před 5 lety +14

    Millard weka part2 napenda sana interview za gigy

  • @nasmaomar5922
    @nasmaomar5922 Před 5 lety

    Kwenyee miakaa kadanganyaa ... Mtihanii Wa darasa LA 7 kafanya 2010 Wa fom 4 ... Kafanyaa 2016 .....
    Alomskia apo ebu gonGa like

  • @nimrodmareges3131
    @nimrodmareges3131 Před 5 lety +6

    Mwenyewe ndani ya Nyumba

  • @esterdavid6664
    @esterdavid6664 Před 5 lety

    Gigy the baddest 🤟🏻🤟🏻

  • @gabrielmugabo9223
    @gabrielmugabo9223 Před 5 lety +7

    Huyu Dada huwa nampenda kwa kuwa husema kweli

  • @abdalahtwahil5202
    @abdalahtwahil5202 Před 5 lety +1

    kapata jina jamn kipenz chetu wakuitwa Business lady ❤ gigy

  • @mbodzebemasika7477
    @mbodzebemasika7477 Před 5 lety +6

    msema kweli anaeleweka kuliko irene hajijui

  • @agnesmwakyusa3036
    @agnesmwakyusa3036 Před 5 lety

    Duuuuu leo umenifanya nishindwe kufanya kazi. du kumbe ndugu yangu kalibu mbeya

  • @stellahmajala7697
    @stellahmajala7697 Před 5 lety

    @gigymoney nakupenda Sana bz huwa unaongea wazi huna jambo la kuficha pia unatufundisha mengi cc wengine big up Sana

  • @peacekiingi5672
    @peacekiingi5672 Před 5 lety +1

    I love you Gigy.

  • @mariamaaa4949
    @mariamaaa4949 Před 5 lety

    Gigy wewe unaongeya ukweli 😘😘😘 Nakupenda Bure

  • @zennahwangare3952
    @zennahwangare3952 Před 5 lety +13

    😂😂😂😂Kma gigy kazaliwa chooni ndo manake hana haya ndo anakaa uchi bila kujali😂😂😂🙈manake chooni kila m2 anavua nguo😂😂ila gigy nampenda sana

  • @pamellauwimana6966
    @pamellauwimana6966 Před 5 lety +2

    wow jamani gigy nimekuwa naku miss

  • @matridahdavis8353
    @matridahdavis8353 Před 5 lety

    yah she is☇...am real lov her

  • @awinooneko728
    @awinooneko728 Před 5 lety

    Millard and zama my best tz interviewers

  • @munahally2473
    @munahally2473 Před 5 lety +14

    me nakupendaga tu ...my only funny gal........

  • @zainabumohamedmohammed2979

    Gigy Napenda unavyo ongeag Ukweli

  • @agu7tv286
    @agu7tv286 Před 5 lety

    Nakubali sanaaaaa🙌🙌🙌🙌 Millard ayo

  • @veronicalelo332
    @veronicalelo332 Před 5 lety

    Waiting for the part two

  • @agapesoka94
    @agapesoka94 Před 5 lety

    Nakupenda saaana namba MUNGU akufanyie njia natamani ubarikiwe saaana MUNGU ana mpango mizuri na wewe