Gigy me nampenda anaongeaga ukweli halafu ukimuuliza maswali ya kijinga anakujibu hivyo hivyo kijinga ...kama unamuelewa vizuri GiGy huwezi kumlaumu kwa lolote
Nampenda Gigi cause anajitaidi kuwa mkweli hata kama co asilimia 100% lakini anajitaidi #i love u Gigi keep it up girl. "Mtoto mdogo kweli asahau kabisa" I like that it's totally thruth.
Siku zotee hua ndomaana sipendag kuaribu brand ya mtu bila kujua magumu aliyo yapitia kuipata hiyo brand aliyo nayo!!!... hongera sana Gift.. ww ni lulu ya sisi wa wanyakyusa!!! Munguu akujaliee
Kwenye hii interview nimejifunza kutokuwa mwepesi Wa hukumu na mtu yuko hivyo alivyo kutokana na aliyoyapitia !! Thanks Millard for this interview maana kufunguka kwa GigY hivi ni vile NA wewe hauna makuu
Daaah ! Hii interview iko poa sana, kweli usimdharau usije mjua,Gigy unajibu vizuri kabisa mtu akiangalia awezi kuamini coz tulishamzoe Gigy wa mapicha picha mwenye majibu ya shit shit !! Ongera sana Gigy Pia Dat's why nakukubali millard Ayo na penda sana kazi zako coz zinanifanya nijue kipi nifanye kipi nisikifanye ili nije kuwa mtangazaji na mwandishi mzuri kama wewe ikiwezekana zaidi yako wewe Much Bless to you Brother MILLARD AYO.
Gigy #BUSINESSLADY WACHANA NA WANAO JIITA BOSS LADY SIJUI TZ SWEETHEART SISI HAPA 254 WE CALL YOU BUSINESS LADY HUWA UNAJITUMA DADA. BIGUP AND NEVER LOOK BACK. KENYA TUNAKUTAMBUA
Nawapend san nyie watu 2 #gigy mpz nakupend san my intaviu yako imenipa mafunz makubwa ujue yaan maisha nisafar kbs, Asante san kaka ake #millardAyo kwa story nzuri kam hiz..
Giggy we ni mkweli mweshim sana mamaako na usijali kashipha za walimwengu wasio jitambua we ni mama wa mtoto angalia maisha yako oky we ni mwanamke wa nguvu na ni jasili sana love u more 🔯🔯🔯🔯🔯
Nimekuelewa sana mdogo wangu takushauri , plz go back to class ur dreams are valid dear get a private tuition then register for the exams in a public schools...kwetu Kenya tuna Elimu ya watu wazima ila unafanya mtihani wa kitaifa sawa na wanafunzi wa kidato cha nne sehemu tofauti , usife moyo wewe ni mwana sheria mkubwa mbeleni jaribu kutafakari plzzzz ikihitaji usaidizi wa masomo sema +254
Gigy mbona leo unahojiwa unaheshima zote umetulia tofauti na online interview zingine unajibugi ovyo ovy not serious but leo na Millard umetulia mdada.
@@millardayoTZA asante sana najifunza mengi na harakati zangu nazidi kupambana hasa nikiona picha ya hapo stuido kwako siwezi kulala kabisa hadi malengo yangu yatimie kuisimamisha GERIC MEDIA LIVE kwenye ramani ndio maana unaona hata vifaa navijua ni kwa sababu ndo michakato yangu...Tuombeane tu afya na nguvu @millardAyo
Milard mwenyewe,...I say apo Nimekuelewa mzee Baba,...Gigy Ni habari nyengine mi nampendaga pamoja na ukichaa wake....keep it real Gigy...ipo siku utachange na utapata deals nono tuu#MilardAyo#GigyMoney•••√
I love you dear really.. unanikumbusha ujana wangu kweri nilikuwa kama wewe lakini shule sikuacha vitu vingene twafanana. sasa unaweza kuwa mwanangu.. nahisi unahakili binti tumia pesa uipatauyo nenda shule ya sheria kesho uteteee wanawake kamautaweza. kumbuka msema kweri hufa haraka najuwa mama yangu alilipa... pls do it ... najuwa itakuwa mwanasheri mzuri fanya ndoto zako lakini usijizalilishe tena mwanangu jina unalo sasa jitahidi vaa kiafrika pia changanya utaona .
Kama unampenda gigy Cardi Gonga like hapa😍
Gigy me nampenda anaongeaga ukweli halafu ukimuuliza maswali ya kijinga anakujibu hivyo hivyo kijinga ...kama unamuelewa vizuri GiGy huwezi kumlaumu kwa lolote
Ana akili sana ila kutokana na maisha yaliyo mzunguka na majukumu ndio maana maisha yake yapo hivyo
leticia chunga yes ni kweli kabisa..me namuelewaga sana h
Kweli
Old school
nakupenda sana gg Wang hunaga shobo wewe
Interview kama hii ndio Naipenda ya Gigy Money, tupo na msema kweli 😍😍😍
Saumu Hassan umeonaee
@@mwanajumaomahundumla6504 Napenda sana interview za *GigyMoney* azichoshi
Saumu Hassan sana yaani kwanza hata sauti yake ipo sawa sio wale wa kubana bana gygi yuko halisia kabisa hata mimi nampenda sana
Nzuri
Dada wewe unafanyaga kazi zanyumbani kwako kweli?
nakupenda gigy yaan wewe hudanganyi kabisa yaan maisha yako ni real hufek kabjsa
uko vizuri mdada
Nampenda Gigi cause anajitaidi kuwa mkweli hata kama co asilimia 100% lakini anajitaidi #i love u Gigi keep it up girl. "Mtoto mdogo kweli asahau kabisa" I like that it's totally thruth.
Siku zotee hua ndomaana sipendag kuaribu brand ya mtu bila kujua magumu aliyo yapitia kuipata hiyo brand aliyo nayo!!!... hongera sana Gift.. ww ni lulu ya sisi wa wanyakyusa!!! Munguu akujaliee
saTiva clan 🙏🏿
Tupo wengi wa masoko tukuyu mm hapa mwakalindile jr.
Nimekupenda bure
Nafikiri Millard Ayo umeniwahi mana nilitaka kukuambia show hii irudi,mn katika interviews zenye utulivu this is no 1#interview session
B blessed dogo Ayo. Napenda sn intev zako.
asante sana Dickson
Amen nawe pia Daniel, shukrani mtu wa nguvu
Mh gig mii nakukubali coz ww nimwamke unayejikubali
kaka kwamajina naitwa rawr naishi mara ila nilkuw natafuta namb yako ya cm kam utojali wawez nisaidy au kunitft kwa mawasiliano zaid
0628818740 rawr
Gigy kumbe umazaliwa nyumbani ndio maana tunafanana akili nakupenda bure my love wangu
Napenda saan gigy money.. Hanaga swaga za kujishau.. Safi saaaaaan my friend gigy money
Dah! Millard tuwekee part 2... maana huyu dogo ana madini sana. Mungu amuongoze tu 👏🏾👏🏾
Gigi money anamuekea mtu wepesi mtu anaipeleka interview vizuri.pole kwa shida zote maisha .unajielewa mungu atakusaidia
Kwenye hii interview nimejifunza kutokuwa mwepesi Wa hukumu na mtu yuko hivyo alivyo kutokana na aliyoyapitia !! Thanks Millard for this interview maana kufunguka kwa GigY hivi ni vile NA wewe hauna makuu
BEST INTERVIEW IN 2018.....nan bado anaiangalia hii interview mwaka 2020
I lv Giggy so much!!
Nakupenda bureeeh umesemagi uwongo
Daaah ! Hii interview iko poa sana, kweli usimdharau usije mjua,Gigy unajibu vizuri kabisa mtu akiangalia awezi kuamini coz tulishamzoe Gigy wa mapicha picha mwenye majibu ya shit shit !! Ongera sana Gigy Pia Dat's why nakukubali millard Ayo na penda sana kazi zako coz zinanifanya nijue kipi nifanye kipi nisikifanye ili nije kuwa mtangazaji na mwandishi mzuri kama wewe ikiwezekana zaidi yako wewe Much Bless to you Brother MILLARD AYO.
Hii interview ni Darasa Tosha kwa Vijana Wengi
Wanakimbilia Maisha na kukataa Shule👏🏾
Gigy amesema kweli Yote ...
Sure
Kabisa
Let me just be honest .. This is my favorite interview about Gigy Money .. I really love you 😍
Nakupenda sana gigy money
Salute gig 21yrs 😘😘😍😍
Gigy bn et karatasi 😂inaitwa living certificate
Gigy #BUSINESSLADY
WACHANA NA WANAO JIITA BOSS LADY SIJUI TZ SWEETHEART SISI HAPA 254 WE CALL YOU BUSINESS LADY HUWA UNAJITUMA DADA.
BIGUP AND NEVER LOOK BACK.
KENYA TUNAKUTAMBUA
Kennedy Njogu sanaaa
@@allthingdranabeauty cool
@Elida Waya iron lady
Leo ndo nagundua nmemaliza. Lasaba na gigymoney....
# Be blessed gigy, fight tukutane top ⏫
Nakupenda saaana gigy mihela😘😘😘
Now I understand you gigy..
Sound quality is perfect. Interview is best. Story is good.
gigy kumbee unajibugii kutokanaa na MTU
Nicela Deus umeonaeee? Ukiuliza kichiz na yy anakijibu kichiz
Nicela Deus umeon ee
Woooooow kuojiwa na Millard 😍😍😍😘I love you gigy n Millard
Nampenda sana gigy kwanz anajikubali cn ilo 2
Her honesty is refreshing,people like her can give you a rush in life
Bora wewe umenana ukweli wengine huwa ni full kutudanganya
hahaha Amos nawe upo hadi hapa
Sana tu marybalongo
Lkn kwenye miaka katudanganya duuh 21
Schiphol Athen kumbuka amesema mamake Ana 41 kwaiyo inawezekana ni 21 yeye mama alimzaa akiwa na miaka 20
Amos bin mahona ni kweli kbs
Sjawah pitwa na interviews za gigy.....she iz rly......i just love her
Nawapend san nyie watu 2 #gigy mpz nakupend san my intaviu yako imenipa mafunz makubwa ujue yaan maisha nisafar kbs, Asante san kaka ake #millardAyo kwa story nzuri kam hiz..
siblings children it hurt for real but only GOD knows our tmr..We just winning always
Millard Ayo is Back 🙏🏻🙏🏻 +1
Yeees mtu wa nguvu, karibu sana na asante kwa support
Ukweli ni mzuri kwani tunajifunza vingi thanks @ Gigi money thanks @Millard Ayo kwa kazi kubwa Mungu azidi kukuongoza
pole cna gigy ni changamoto za maisha ck zt ww n mkwl
Aliosikia miaka ya gig kama katuburuza like hapa twende sawa... Japo vyet hatuna
Ameongopa ktk miaka mm namjua siku nyingi na nimepata bahati ya kuishi nyumba moja mbagala
Nakupenda bure gigy Kama unamkubal gigy gonga like
Jaman Nakupenda we dda Wallah ila kumbe unamiaka21😊😊😊#NeverLoseHopeBaby #KiKiNiGigy💪💪💪
Millard mimi naona kama vile interview haijaisha maana gigi bado anaendelea
Yes bado haijaisha, PART II tayari nimeshaiweka unaweza kuitazama
Millard Ayo Asante sana kwa kujali🙏
Nice News
Kumbe gigy ni bright tumia uwezo uyo ingiza pesa wasikutumie
Gigy kama kweli unataka kuwa lawyer u can do it u are still very young just go back to school
Ma lovely gigy
Wallah na nampendaa uyuu dada
Giggy we ni mkweli mweshim sana mamaako na usijali kashipha za walimwengu wasio jitambua we ni mama wa mtoto angalia maisha yako oky we ni mwanamke wa nguvu na ni jasili sana love u more 🔯🔯🔯🔯🔯
real newz gyt
Nimekuelewa sana mdogo wangu takushauri , plz go back to class ur dreams are valid dear get a private tuition then register for the exams in a public schools...kwetu Kenya tuna Elimu ya watu wazima ila unafanya mtihani wa kitaifa sawa na wanafunzi wa kidato cha nne sehemu tofauti , usife moyo wewe ni mwana sheria mkubwa mbeleni jaribu kutafakari plzzzz ikihitaji usaidizi wa masomo sema +254
Kumbe mmwera mwenzangu ndio maana mjanja wamwera akuna aliezubaa big up
Best interview of giggy
Napendaga kumsikiliza Gigy yan utacheka stress zote zinapungua 💕
Nmekupenda sana upend kuongopa
interview za gigy kua nazipenda san love gigy
Daaaah hongera nimemaliza na we mam
Gigy umekua kiakili sana hamna mtu anayependa kuteseka sana katika maisha tujifunze kumwelewa kila mtu Muhimu upendo tu.
penda sana gigi jamani❤️
I love u gigy a. K. A Mama mayrah....i like ur interview
Gigy mbona leo unahojiwa unaheshima zote umetulia tofauti na online interview zingine unajibugi ovyo ovy not serious but leo na Millard umetulia mdada.
Vicky Decent. Sababu mtu anaye muhoji ni mstarabu na mpole
Police 😂hapana chezea
Kumbe ni mdogo sana
Oya gigy umeongea point kinomanoma aiseee big up san
nakupenda sana hua unaongea kweli love u gigy❤❤❤
pole sana mdogo wng gigy story yko imenigusa sana endelea kupambana utatoka tu kwauwezo wa mungu wasamee wte walokukosea mpenz
karibu tena Millard maana show hizi nilikuwa nimezimiss naona umekuja na new studio look kitu cha shure microphones kama UK
Yes mtu wa nguvu, sasa hivi show imerudi hivyo kila wakati usikose kupita hapa mtu wa nguvu Geric.
@@millardayoTZA asante sana najifunza mengi na harakati zangu nazidi kupambana hasa nikiona picha ya hapo stuido kwako siwezi kulala kabisa hadi malengo yangu yatimie kuisimamisha GERIC MEDIA LIVE kwenye ramani ndio maana unaona hata vifaa navijua ni kwa sababu ndo michakato yangu...Tuombeane tu afya na nguvu @millardAyo
Namkubali saaaana gigy moneyyyyyyyy
Gigiiiii kumbe unamajina mingi Kama kurasa za Bible ... hongera BTW uko 2poa msalimie Member... mwambie video yake nimefuta
❤
kwenye ukweli tu ndo nachokupendea gigy mapene
Milard mwenyewe,...I say apo Nimekuelewa mzee Baba,...Gigy Ni habari nyengine mi nampendaga pamoja na ukichaa wake....keep it real Gigy...ipo siku utachange na utapata deals nono tuu#MilardAyo#GigyMoney•••√
Aaah nakupenda saana Gigy unasema kweli mno
gigy manotiiii.......hyu sasa ndio msanii wala haongopii kabsaaaa....napenda alisemaga atawaua ma X wake wooote
Ibra Ton 😂😂ma x
Ila mm nakupenda tuuuuu mdogo ang
namkubali sana gig mapesa
Nampenda sana huyu dada jmn..Gigy yupo wazi sana na maisha yake
Safi sana Millard umerud na hii show yangu pendwaaaa
asante sana kwa kutazama mtu wa nguvu, kila wiki zitakuwepo Interview za kutosha
Nipo karibu na ww alldays, coz ww ni kama Maj lazma nikunywe maana u're my role model....
Good GIGY . I like that.
Mama mayra 😍😍😍
On Air With Millard Ayo
I love you dear really.. unanikumbusha ujana wangu kweri nilikuwa kama wewe lakini shule sikuacha vitu vingene twafanana. sasa unaweza kuwa mwanangu.. nahisi unahakili binti tumia pesa uipatauyo nenda shule ya sheria kesho uteteee wanawake kamautaweza. kumbuka msema kweri hufa haraka najuwa mama yangu alilipa... pls do it ... najuwa itakuwa mwanasheri mzuri fanya ndoto zako lakini usijizalilishe tena mwanangu jina unalo sasa jitahidi vaa kiafrika pia changanya utaona .
love u zawad a.k.a gift ...gigy mapesa
Hii ndio good view nnayoipenda zaid kwenye AyoTv
Ayo upo juu sn dogo.
Love u gigy mkwel
waooooo ❤❤👏👊nimekupenda sana my
Nakupenda xn gigy jmni mungubakuongoze kw kila jambo my dea love youuu
Gigy nakupenda tuu
Gigy nakupenda Hadi naumwa
I love the gerl ...she is open
Millard weka part2 napenda sana interview za gigy
Tumekutana tena!
A.alaykum?
part II tayari nimeiweka Mrembo wangu Asia
@@millardayoTZA thanks😁😍👍
Kwenyee miakaa kadanganyaa ... Mtihanii Wa darasa LA 7 kafanya 2010 Wa fom 4 ... Kafanyaa 2016 .....
Alomskia apo ebu gonGa like
We ndo ujaelewa amesema aliacha form two then akarudia
Mwenyewe ndani ya Nyumba
Gigy the baddest 🤟🏻🤟🏻
Huyu Dada huwa nampenda kwa kuwa husema kweli
kapata jina jamn kipenz chetu wakuitwa Business lady ❤ gigy
msema kweli anaeleweka kuliko irene hajijui
Duuuuu leo umenifanya nishindwe kufanya kazi. du kumbe ndugu yangu kalibu mbeya
@gigymoney nakupenda Sana bz huwa unaongea wazi huna jambo la kuficha pia unatufundisha mengi cc wengine big up Sana
Love u gigy💕💕
I love you Gigy.
Gigy wewe unaongeya ukweli 😘😘😘 Nakupenda Bure
😂😂😂😂Kma gigy kazaliwa chooni ndo manake hana haya ndo anakaa uchi bila kujali😂😂😂🙈manake chooni kila m2 anavua nguo😂😂ila gigy nampenda sana
zennah wangare 😁😁😁😁 unamatusi ww
+melania steven 😳😳toba nimetukana wapi hapo😂😂😂gigy nampenda sana
Sawa my dear
wow jamani gigy nimekuwa naku miss
yah she is☇...am real lov her
Millard and zama my best tz interviewers
me nakupendaga tu ...my only funny gal........
Ugonile gigy
Gigy Napenda unavyo ongeag Ukweli
Nakubali sanaaaaa🙌🙌🙌🙌 Millard ayo
Waiting for the part two
Nakupenda saaana namba MUNGU akufanyie njia natamani ubarikiwe saaana MUNGU ana mpango mizuri na wewe