Gigy wajifanya strong woman eti sharing is caring hahaha gigy ni kiki kweli ngoja mwanaume wako ampe mimba mwanamke mwengine tuone vile utatoa povu kwenye Live za Insta hahahaa acha nipite mie 🙄
I know im asking randomly but does someone know of a tool to log back into an instagram account?? I was dumb forgot the login password. I would appreciate any tips you can offer me.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 MTANGAZAJI: vp kusuhu m Nigeria? GIGY: Mnigeria gani tena si tulikubaliana karudi kwao MTANGAZAJI: si yule mwenye uchebe uchebe GIGY: Uchebe si ameshaachana na shilole au? 😆😆😆😆😆
But honestly speaking Gigy Money ni mrembo sana..Mashalah
Gigy she is always on point 😋😋....Gigy love you all the way from kenya 💯💃💃
nampenda sana gigy😁😁😁😁 naenjoy sana na enterview zake
RAHA SANA KUITWA MAMA 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Kumbe huyu shetani gigy pia yuko ukumbini hayiaah sasa utaskia lile wigy la lulu nila gigy money mara viatu kaazimu kwa gigy pia khaaa!!😂😂😂😂😂
Lol
Umeonaee
Wakat naanza kumuona gigy nlikuwa namchukia Mungu nisamehe lkn cku znavozid had kufikia leo nmengundua nampenda ety😀😀😚😍🥰
Umber lulu Hongera sana
Mjue mimi nimena kitu kwa GiGY MONEY Kuwa katika mziki wake yeye angeimba RAP Angeuweza sana Mziki wake ebu achukuwe ushauri wangu tuone
Card b wabongo
I love you Gigy😋😋
Naona umeona sura ya nick minaj apo😂😂
Amber kama Amber jmn masha Allah bora ungesubiri uzaee kwanza jamn
Gigy nakupenda My sister umewajibu vizuri
mungu akujalie ujifungue salama daa amber mbona raha💞💞💞💞👏
Jmn hongera bora umeamua kujizalia mana watoto ndo ndguzo watakufaa uzeen hongera sanaaaa
Mimba wengine zinawapendezaga sana hatar kwel kwel na iyo nyimbo wajawazito waliipendaga naipenda
Amependeza kwakua ni mzuri lkn nguo ni mbaya mbunifu alikosoe gigi umependeza sana
@@aminamuhamba180 sana
Adi raha jamani kachangamka adi raha mashaaallah 😍😍😍😍
Kivumbi atakiona Leba😂😂😂
Ila gigy money!🤣🤣🤣 Yaani najioneaga vichekesho TU
Umeonaaaaa eeeeee 😁😁😁😁
Mpiga picha wewe ni mkorofi ndio nini kuweka picha hizo😂😂😂😂😂
She's is a vibe !!!!
Gig na umber wawenzi kosana Aki wachambane 🤣🤣🤣🤣🤣🤣best friends
umependeza kipenz mungu akusimamie ujifungue salama🙏
Amber lulu hongera sana
Ako na mimba
Jamani,Mungu amsaidie Wema pia apate mtt
MUNGU ni mwema, atatenda,wewe unaomba kama mimi
Inshaallah
Inshaallah Mungu ampe mume wa halali, Na apate mtt
@@chunaamina8719 Ameeen
😂😂😂😂gigy unamshushuwaje mwandishi 😂😂😂🙌we nomaaa nakupend ❤
GIGIY nakupendaga unaogeyaga ukweli❤ 10:58
Mungu akujalie ujifungue salama kipenz
Gigy wajifanya strong woman eti sharing is caring hahaha gigy ni kiki kweli ngoja mwanaume wako ampe mimba mwanamke mwengine tuone vile utatoa povu kwenye Live za Insta hahahaa acha nipite mie 🙄
Atali
She is a whole vibe..
I know im asking randomly but does someone know of a tool to log back into an instagram account??
I was dumb forgot the login password. I would appreciate any tips you can offer me.
Hivi hawa ni ndugu gigy na amber
Mungu akubarik cctr Amber
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
MTANGAZAJI: vp kusuhu m Nigeria?
GIGY: Mnigeria gani tena si tulikubaliana karudi kwao
MTANGAZAJI: si yule mwenye uchebe uchebe
GIGY: Uchebe si ameshaachana na shilole au?
😆😆😆😆😆
🤣
Napenda GG sana ❤🎉
Namupnd gigy love 💘 ❤ 💕
Gig wallah nakupenda sana 😙😙😙😙
Jamani make up zipo kwaajili yetu wanawake lakin zikidhidi tunakuwa kama wehu,khaaa!
Hongera ukichukiwa jua umewazidi
Nampenda sana gig sana namkubali sana huyo dem san
Wachekesha kweli gigy💃💃💃😝😝😝
Gigy nampendaaaa mno
Sanaaa
There is an improvement in thant English dear keep it up
How about yours Abuuu
😂😂😂 maswali ya papo kwa papo
Ongea kiswahili Dada ,,,,broken English wacha
😅😅😅dady yoo ,marioo😄😄 mmh jamani
Noted mumy🥰🥰
Hongera amba
ndeza sana munqu akujalie
Mna maswali hamna??? Ghaiii this woman is always crazy
Kingereza kigumu duh.....
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂uwiiiii nimecheka mpk nimejaaaambraaaaaaaaaaa
😂😂😂😂😂
😁😁😁😁😁umejambushwa na nani?
Maisha ya Bongo bwana ukilala nanjaaa kupenda
Gogy me nampendaaa aiseeee
Gigi dah, ovyooo
Wawooo 😍 iloveyou gig
Jmn Huyu dada anachekesha hahahaaa
True love
Upo sahihi miss gigi
Sura ya huyuu dada jamani kama looooh
Hongera
Amberlulu na CZcams ana shine
sometimes giggy naongea point
namkubal sana gigy
Gigy km gigy bwana kapendeza
Maswali mengine bwanaaaa😃😃😃😃
Ila gigy mzuri
Mwanzo nilisikia ya yongi dii paka wakasema kakataa
Gigy bayaaa kama dudu
Gigimony nakupend bur
Haaaaaaaaa mnaijeria yupi tena dah!! Gigy
Gigi nanpendeaga icho tu,akati tamaa,kafungiwa ata ainstui
I luv u Gigy
Nakupenda bule my dear
Kashagonga na pombe ambaa🤣
ila gigy, et mnaigeria gan tena jmn! si tulikubariana arud kwao hahahaaaaaaaaa
Nakubali gigy nakubali Sana
Gigi bhana eti situlikubaliana karudi kwao😂😂😂
Gigi money mweh
Waooooooh
Nampnda gigyyy jamniii😁😁😁
Hahaha et uchebe si kashaachana na shilole
Mbaya na ana sura mbaya wallah vile
Mwehu na mwendawazimu. Na watoto sio rizki nao humohumo ndani. Mungu ongoza vizazi hivi vinavyopotea.
Daaaaaah!!! 🤣🤣
Nakupenda gigy
Walai nakupenda sana kutoka kenya love love you too much 😘😘😘😘😘😘😘🔥🔥🔥😘😘😘😘😘😘😘😘😘🔥😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😘😘😘🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗
Waa gigi
nipoo Kenya lkn gigy jembe langu namfagilia sanaa
Enyewe English is hard !!
Situlikubaliana karud kwao😂😂😂
Sio kama nakufundisha lakn ungevaa gauni la kifua cha mtoto
Haha but I love gigy for free
Nawakubal sana Hawa mabest wawil
Mmmmh jamani ongeree sanaa
Gigy nakupenda tu dada
Da amba kapendeza akizaa ndo kabisa alubain itakuwa bonge La pati wasanii siku izi wanazaa hadi raha
Ila gig ww nakupendag atr
Nakubali mama
gigy noumaaah
Diamond
Kumbe mayai bado mnayo😜nikajuwa yote mme tafuna na chips😁😁😁Mashaallah mungu awajaaliye mjifunguwe salama muwe wazazi bora🙏🙏
🤣😂😂😂😂😂😂😂jman
😆😆😆😆😆dah
🤣🤣🤣Gigi bhana
Yan gig msenge ananiuzg anavyoweka ilo lisura linakaa kama tako la ng'ombe
Haaah ggy ana nichekesha kweli
Hyu cjui ni msanii anaongea sana nahana maaajabu
Hajakaaa Kistaa kabs
👌😍😍😍
Kwan uyo MC n jemc delicious au celew
Ha ha ha
Ndy jmn hata mm nimemuona
Atakuwa delicious 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 unafkiii huuu 💃💃💃💃💃💃
MC ni yule mtt wa mama
😂😂😂😂Yni sijawah kupitwa
Mama kukii😂😂