SAKATA LA MPINA NA SUKARI LAZIDI KUTIKISA, SERIKALI YATOA TAMKO JIPYA, PROF. KITILA AANIKA HADHARANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 53

  • @matatizonkwera8607
    @matatizonkwera8607 Před 17 dny +8

    Mpina was a right man,

  • @davidmpiluka5224
    @davidmpiluka5224 Před 17 dny +5

    Hoja za Mpina zilikuwa very clear. Tunataka kwanza zijibiwe hoja zake zote moja baada ya nyingine.
    Hatuwezi kuwa na utaratibu wa kuwalinda MAFISADI na MAJIZI na kuwakandamiza wanaowafichua hao MAJIZI na MAFISADI.
    RIP, Mwamba wa Afrika na Mzalendo wa kweli wa Nchi yetu, JPM.

  • @user-xy6ed7ve6r
    @user-xy6ed7ve6r Před 18 dny +11

    Kwa maelezo hayo, sasa ilikuaje Mh. Mpina akaadhibiwa?

    • @suzysam6002
      @suzysam6002 Před 17 dny +1

      Hiyo Ni Sri yao ya kulindana sasa mpina ameweka hadharani rfk yangu , mwenye macho haambiwi tazama wenye masikio halazimishi kusikia

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 Před 17 dny +8

    MPINA ALIKUWA SAHIHI KABISA KWANINI WALIMUADHIBU WAKATI ALIKUWA ANASEMA UKWELI?

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku Před 17 dny +9

    Kama ndivyo,Mpina asafishwe,haya yote ni baada ya nguvu ya Mpina watanzania tunauelewa.

  • @gabrieltheodory4090
    @gabrieltheodory4090 Před 17 dny +4

    Serikali impongeze Mpina kwa Moyo 7:12 wake wa Kizalendo na apewe tuzo ya Umahiri wa kutetea Umma

  • @nestor384
    @nestor384 Před 17 dny +5

    Luhaga Jelson Mpina aombwe msamaha tena kwenye public media Bashe is supposed not to be Minister even for a second!

    • @BabuGga-td3mg
      @BabuGga-td3mg Před 16 dny +1

      Kwanini kusiwe na hamasa kutoka kwa wananchi iliapate msamaha, mana walioko bungeni wengi wanafki tu

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 Před 18 dny +11

    Nyiye wote machawa tu hamfai hata kuwa viongozi hamuoni hata aibu? Kama aliruhusu vibali sukari ikaingizwa nyingi mbona bei bado 4000? Kwa 3000 ninyi viongozi wahuni tu ccm tutatupa makadi ya ccm pale bungeni viongozi hawataki kujadili hoja za msingi ni kutoa ahadi za uongo uongo kutufanya wananchi hatuna akili timamu mpina ndio kiongozi ninyi wengine makabwela tu

    • @kadokemarco9966
      @kadokemarco9966 Před 17 dny +2

      Ndiyo hapo sasa, harafu wabunge wote hawalioni hilo

  • @imanimahundi8293
    @imanimahundi8293 Před 17 dny +4

    Yaani mwananchi wakawaida amekuwa muelewa,kuliko hão wanaojiita wasomi.

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před 18 dny +4

    Good ideas, mawazo mazuri sana na ingekuwa akili yangu huyu ndiye angempa wizara ya kilimo maana aliyepo ni msanii sana na huangalia maslahi yake kwanza.

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 18 dny +3

    ❤❤allah nakuomba rabana ijaze yako fanaka tupe upendo amani na umoja na mshikamano tuondolee kila mwenye nia mbaya na ujaze yako roho ya imani

  • @allyhasani3750
    @allyhasani3750 Před 18 dny +6

    Bado kuna kuwalinda watu fulan!

  • @frankhoffa8356
    @frankhoffa8356 Před 18 dny +5

    Sasa kwanini mpina kaadhibiwa? Na kwanini iwe bei juu?

    • @NDEWARA
      @NDEWARA Před 17 dny

      Kaadhibiwa kwa kumdharau Spika na kulidharau Bunge naye anajua hivyo

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 Před 18 dny +4

    Sukari ya nje ya nini ? Acheni kuwa makambela zalisheni vya kwetu viongozi wazima hata hamtumiii akili

  • @SelemanMhana-ol7tk
    @SelemanMhana-ol7tk Před 17 dny +2

    Mpina amefanya hayo kufuatilia

  • @irenekalinga323
    @irenekalinga323 Před 18 dny +4

    Sawa nyinyi kama serikali waziri bashe anachukuliwa hatua Gani kisheria kwa udanganyifu aliyosema?

    • @tashone7884
      @tashone7884 Před 17 dny

      Aliyeonekana muongo na kuchukuliwa hatua Mpina

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před 18 dny +2

    Tatizo ni kutaka wafabiashara wa inje inanguvu serikalini kuliko viwanda na wafanyabiashara wa ndani. Serikali inapendelea wafabiashara wa inje zaidi ya wanainchi. Kwani Bandari alizo hangaikia Nyerere leo mtu anatoka Zanzibar ati anawapa warabu kwa sababu anazozijua mwenyewe na hao warabu na kuwanyang'anya wanainchi Mamlaka siyo miongozo zilizowekwa na waasisi wa Inchi hii.

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 Před 18 dny +2

    Sukari ya nje iuzwe kwa nembo za nje...ili tuitambue.

  • @charleslukumai7875
    @charleslukumai7875 Před 17 dny +2

    Kulikuwa hakuna mawasiliano kati ya serekali na wazalishaji wa sukari?

  • @albinusmkono5887
    @albinusmkono5887 Před 17 dny +1

    Sasa mpina alisema uongo wapi.?mpina ailikua anasema haya haya.sasa baada ya kumfukuza bungeni ili mpitishe kirahisi hiyo bajet. Na baada ya kuogopa mpina kwa yeye kusonga mbele akiwa na hoja nzito zenye mashiko.mmeona atapata nguvu na ataungwa mkono.mmewahi kuyasema yale yale aliyokua akiyasema. Mpina.hii laana itawatafuna sana.msafisheni mpina sasa

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy Před 17 dny +1

    Kama sukari no dili Basi ongezeni viwanda ili watu wapate ajira acheni madili mpina Yuko sawa

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t Před 17 dny +1

    Kitila miaka mitano ikiisha ukalime tuuu mana ubungo huja fanya chochote umeki kua chawa wa raisi yani sikupendi yani

  • @joaneskailembo4485
    @joaneskailembo4485 Před 15 dny

    Maneno mengi utafikiri kuna la maama Proffs Mkumbo hajawai kuaminika

  • @esronyuba2575
    @esronyuba2575 Před 18 dny

    Hii kiongozi iko vizuri tunatamani Kuona hayo yanatokea.

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf Před 17 dny

    Na spika amuombe msamahaa mh mpina...

  • @hemedbamja3197
    @hemedbamja3197 Před 18 dny +2

    Naamini kwa fukuto hili;haitakaa sukari iadimike tena maana sasa inajulikana kuwa "government intervention" ipo ikitokea upande hautimizi au ukiritimba. Total efficiency=production efficiency+consumption efficiency

    • @jumacristv
      @jumacristv Před 17 dny +2

      Nonesense

    • @hemedbamja3197
      @hemedbamja3197 Před 17 dny

      @@jumacristv :it depends your sense is in which side of XY plane.possibly they are in third quadrant

  • @rkcomercialenterprises3209

    Mbona bei ya sukari Dar ni shs 3,500 kwa kilo?
    Shida iko wapi????

  • @user-oq6to7pf2u
    @user-oq6to7pf2u Před 17 dny

    sasa kosa mpina ni lipi sasa hi nchii hi hamna kitu ujanja mwingi sana

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 16 dny

    Mbunge mpina alionewa Tulia na bashe wanatakiwa wajiuzuru kama kweli ni wazarendo,

  • @emmanuelmashishanga7141
    @emmanuelmashishanga7141 Před 18 dny +1

    Tatizo uchawa

  • @gasparyephraimmwakatuma9542

    Waache maamuzi ya kupiga kwa kisingizio cha maamuzi magumu

  • @paulokateme7615
    @paulokateme7615 Před 17 dny

    Umeshawahi kugundua tofauti iliyopo kati ya sukari ya nje na ya humu ndani?
    Je, sukari inayoingizwa ni ya grade gani?
    Nitakuwa nimekosea kama nikisema wanalindwa kuliko wanavyopaswa?
    Nenda majumbani mwao uangalie kama kuna mmoja wao anaitumia sukari kutoka nje?
    Napongeza kusikia NFRA wawe waagizaji ila ubora wa sukari uangaliwe unaweza kununua sukari kilo moja kumbe ina hadhi au ubora wa nusu kilo nikimaanisha sukari ya nje unahitaji kuweka vijiko vingi kulinganisha na sukari ya ndani ambayo unatumia pungufu ya hapo.

  • @daudimwita-bk6mg
    @daudimwita-bk6mg Před 14 dny

    Magufuli aliwafaa watanzania.

  • @user-yw7ud9th2l
    @user-yw7ud9th2l Před 17 dny

    Harafu serekkari ya awamu yasita badohaijafika bbadotupo awamuyya Tano mama anamarizia miaka Yao iriyobakii yeyenammakufuri

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 Před 17 dny

    Brbraa

  • @NanaMaembe
    @NanaMaembe Před 17 dny

    NYINYI VIONGOZI NI MAFISADI WAKUBWA.... ABDULLY NA MAMA YAKE NDO MNATUKANDAMIZA KWA SUKARI..... IPO SIKU TUTACHOMA KAMA WAKENYA.

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga Před 18 dny

    Kama ni ya kweli huo uprofessa unakufaa

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf Před 17 dny

    Tunataka wazili ajiuzulu basi

  • @mlambalazikibira
    @mlambalazikibira Před 18 dny

    Tatizo mkivilinda sana hivyo viwanda ndio wanatupandishia bei ,wana control bei ya soko

    • @FelicianSimon
      @FelicianSimon Před 17 dny

      Hapana Kuna Wala rushwa TU viwanda ni muhimu mno

  • @user-uk3eg3uo7s
    @user-uk3eg3uo7s Před 15 dny

    Dawa ya mfumoko wa bei ya sukari na bidhaa zingine Tanzania na tozo za maumivu ni WA Tanzania kuiondoa ccm madarakani tupate angalau mwenye huruma na wananchi maskini.