Hoja za Mpina zilikuwa very clear. Tunataka kwanza zijibiwe hoja zake zote moja baada ya nyingine. Hatuwezi kuwa na utaratibu wa kuwalinda MAFISADI na MAJIZI na kuwakandamiza wanaowafichua hao MAJIZI na MAFISADI. RIP, Mwamba wa Afrika na Mzalendo wa kweli wa Nchi yetu, JPM.
Nyiye wote machawa tu hamfai hata kuwa viongozi hamuoni hata aibu? Kama aliruhusu vibali sukari ikaingizwa nyingi mbona bei bado 4000? Kwa 3000 ninyi viongozi wahuni tu ccm tutatupa makadi ya ccm pale bungeni viongozi hawataki kujadili hoja za msingi ni kutoa ahadi za uongo uongo kutufanya wananchi hatuna akili timamu mpina ndio kiongozi ninyi wengine makabwela tu
Good ideas, mawazo mazuri sana na ingekuwa akili yangu huyu ndiye angempa wizara ya kilimo maana aliyepo ni msanii sana na huangalia maslahi yake kwanza.
Tatizo ni kutaka wafabiashara wa inje inanguvu serikalini kuliko viwanda na wafanyabiashara wa ndani. Serikali inapendelea wafabiashara wa inje zaidi ya wanainchi. Kwani Bandari alizo hangaikia Nyerere leo mtu anatoka Zanzibar ati anawapa warabu kwa sababu anazozijua mwenyewe na hao warabu na kuwanyang'anya wanainchi Mamlaka siyo miongozo zilizowekwa na waasisi wa Inchi hii.
Sasa mpina alisema uongo wapi.?mpina ailikua anasema haya haya.sasa baada ya kumfukuza bungeni ili mpitishe kirahisi hiyo bajet. Na baada ya kuogopa mpina kwa yeye kusonga mbele akiwa na hoja nzito zenye mashiko.mmeona atapata nguvu na ataungwa mkono.mmewahi kuyasema yale yale aliyokua akiyasema. Mpina.hii laana itawatafuna sana.msafisheni mpina sasa
Naamini kwa fukuto hili;haitakaa sukari iadimike tena maana sasa inajulikana kuwa "government intervention" ipo ikitokea upande hautimizi au ukiritimba. Total efficiency=production efficiency+consumption efficiency
Umeshawahi kugundua tofauti iliyopo kati ya sukari ya nje na ya humu ndani? Je, sukari inayoingizwa ni ya grade gani? Nitakuwa nimekosea kama nikisema wanalindwa kuliko wanavyopaswa? Nenda majumbani mwao uangalie kama kuna mmoja wao anaitumia sukari kutoka nje? Napongeza kusikia NFRA wawe waagizaji ila ubora wa sukari uangaliwe unaweza kununua sukari kilo moja kumbe ina hadhi au ubora wa nusu kilo nikimaanisha sukari ya nje unahitaji kuweka vijiko vingi kulinganisha na sukari ya ndani ambayo unatumia pungufu ya hapo.
Dawa ya mfumoko wa bei ya sukari na bidhaa zingine Tanzania na tozo za maumivu ni WA Tanzania kuiondoa ccm madarakani tupate angalau mwenye huruma na wananchi maskini.
Mpina was a right man,
Hoja za Mpina zilikuwa very clear. Tunataka kwanza zijibiwe hoja zake zote moja baada ya nyingine.
Hatuwezi kuwa na utaratibu wa kuwalinda MAFISADI na MAJIZI na kuwakandamiza wanaowafichua hao MAJIZI na MAFISADI.
RIP, Mwamba wa Afrika na Mzalendo wa kweli wa Nchi yetu, JPM.
Kwa maelezo hayo, sasa ilikuaje Mh. Mpina akaadhibiwa?
Hiyo Ni Sri yao ya kulindana sasa mpina ameweka hadharani rfk yangu , mwenye macho haambiwi tazama wenye masikio halazimishi kusikia
MPINA ALIKUWA SAHIHI KABISA KWANINI WALIMUADHIBU WAKATI ALIKUWA ANASEMA UKWELI?
Kama ndivyo,Mpina asafishwe,haya yote ni baada ya nguvu ya Mpina watanzania tunauelewa.
Asafishwe kwa lipi?
Serikali impongeze Mpina kwa Moyo 7:12 wake wa Kizalendo na apewe tuzo ya Umahiri wa kutetea Umma
Luhaga Jelson Mpina aombwe msamaha tena kwenye public media Bashe is supposed not to be Minister even for a second!
Kwanini kusiwe na hamasa kutoka kwa wananchi iliapate msamaha, mana walioko bungeni wengi wanafki tu
Nyiye wote machawa tu hamfai hata kuwa viongozi hamuoni hata aibu? Kama aliruhusu vibali sukari ikaingizwa nyingi mbona bei bado 4000? Kwa 3000 ninyi viongozi wahuni tu ccm tutatupa makadi ya ccm pale bungeni viongozi hawataki kujadili hoja za msingi ni kutoa ahadi za uongo uongo kutufanya wananchi hatuna akili timamu mpina ndio kiongozi ninyi wengine makabwela tu
Ndiyo hapo sasa, harafu wabunge wote hawalioni hilo
Yaani mwananchi wakawaida amekuwa muelewa,kuliko hão wanaojiita wasomi.
Good ideas, mawazo mazuri sana na ingekuwa akili yangu huyu ndiye angempa wizara ya kilimo maana aliyepo ni msanii sana na huangalia maslahi yake kwanza.
❤❤allah nakuomba rabana ijaze yako fanaka tupe upendo amani na umoja na mshikamano tuondolee kila mwenye nia mbaya na ujaze yako roho ya imani
Bado kuna kuwalinda watu fulan!
Sasa kwanini mpina kaadhibiwa? Na kwanini iwe bei juu?
Kaadhibiwa kwa kumdharau Spika na kulidharau Bunge naye anajua hivyo
Sukari ya nje ya nini ? Acheni kuwa makambela zalisheni vya kwetu viongozi wazima hata hamtumiii akili
Mpina amefanya hayo kufuatilia
Sawa nyinyi kama serikali waziri bashe anachukuliwa hatua Gani kisheria kwa udanganyifu aliyosema?
Aliyeonekana muongo na kuchukuliwa hatua Mpina
Tatizo ni kutaka wafabiashara wa inje inanguvu serikalini kuliko viwanda na wafanyabiashara wa ndani. Serikali inapendelea wafabiashara wa inje zaidi ya wanainchi. Kwani Bandari alizo hangaikia Nyerere leo mtu anatoka Zanzibar ati anawapa warabu kwa sababu anazozijua mwenyewe na hao warabu na kuwanyang'anya wanainchi Mamlaka siyo miongozo zilizowekwa na waasisi wa Inchi hii.
Sukari ya nje iuzwe kwa nembo za nje...ili tuitambue.
Kulikuwa hakuna mawasiliano kati ya serekali na wazalishaji wa sukari?
Sasa mpina alisema uongo wapi.?mpina ailikua anasema haya haya.sasa baada ya kumfukuza bungeni ili mpitishe kirahisi hiyo bajet. Na baada ya kuogopa mpina kwa yeye kusonga mbele akiwa na hoja nzito zenye mashiko.mmeona atapata nguvu na ataungwa mkono.mmewahi kuyasema yale yale aliyokua akiyasema. Mpina.hii laana itawatafuna sana.msafisheni mpina sasa
Kama sukari no dili Basi ongezeni viwanda ili watu wapate ajira acheni madili mpina Yuko sawa
Kitila miaka mitano ikiisha ukalime tuuu mana ubungo huja fanya chochote umeki kua chawa wa raisi yani sikupendi yani
Maneno mengi utafikiri kuna la maama Proffs Mkumbo hajawai kuaminika
Hii kiongozi iko vizuri tunatamani Kuona hayo yanatokea.
Na spika amuombe msamahaa mh mpina...
Naamini kwa fukuto hili;haitakaa sukari iadimike tena maana sasa inajulikana kuwa "government intervention" ipo ikitokea upande hautimizi au ukiritimba. Total efficiency=production efficiency+consumption efficiency
Nonesense
@@jumacristv :it depends your sense is in which side of XY plane.possibly they are in third quadrant
Mbona bei ya sukari Dar ni shs 3,500 kwa kilo?
Shida iko wapi????
sasa kosa mpina ni lipi sasa hi nchii hi hamna kitu ujanja mwingi sana
Mbunge mpina alionewa Tulia na bashe wanatakiwa wajiuzuru kama kweli ni wazarendo,
Tatizo uchawa
Waache maamuzi ya kupiga kwa kisingizio cha maamuzi magumu
Umeshawahi kugundua tofauti iliyopo kati ya sukari ya nje na ya humu ndani?
Je, sukari inayoingizwa ni ya grade gani?
Nitakuwa nimekosea kama nikisema wanalindwa kuliko wanavyopaswa?
Nenda majumbani mwao uangalie kama kuna mmoja wao anaitumia sukari kutoka nje?
Napongeza kusikia NFRA wawe waagizaji ila ubora wa sukari uangaliwe unaweza kununua sukari kilo moja kumbe ina hadhi au ubora wa nusu kilo nikimaanisha sukari ya nje unahitaji kuweka vijiko vingi kulinganisha na sukari ya ndani ambayo unatumia pungufu ya hapo.
Magufuli aliwafaa watanzania.
Harafu serekkari ya awamu yasita badohaijafika bbadotupo awamuyya Tano mama anamarizia miaka Yao iriyobakii yeyenammakufuri
Brbraa
NYINYI VIONGOZI NI MAFISADI WAKUBWA.... ABDULLY NA MAMA YAKE NDO MNATUKANDAMIZA KWA SUKARI..... IPO SIKU TUTACHOMA KAMA WAKENYA.
Kama ni ya kweli huo uprofessa unakufaa
Tunataka wazili ajiuzulu basi
😂😂 kweli
Tatizo mkivilinda sana hivyo viwanda ndio wanatupandishia bei ,wana control bei ya soko
Hapana Kuna Wala rushwa TU viwanda ni muhimu mno
Dawa ya mfumoko wa bei ya sukari na bidhaa zingine Tanzania na tozo za maumivu ni WA Tanzania kuiondoa ccm madarakani tupate angalau mwenye huruma na wananchi maskini.