TAHARUKI!!! SHUHUDIA MAFURIKO Mwanza, watu wanasa majini

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 01. 2024
  • Malori yaliyosheheni bidhaa yamenusurika kusombwa na mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Mwanza kwa zaidi ya Saa 4.

Komentáře • 42

  • @JoharikabonaKabona
    @JoharikabonaKabona Před 5 měsíci +1

    Alhamdulilah nilihama hili eneo niliteseka sana

  • @luciasamweli9697
    @luciasamweli9697 Před 5 měsíci +1

    Mungu awalinde wapendwa

  • @user-cg6iy2et7q
    @user-cg6iy2et7q Před 2 měsíci

    Acheni uzinzi. Ushoga mungu amechukia

  • @stemarcely7493
    @stemarcely7493 Před 5 měsíci +2

    MUNGU wangu...

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před 5 měsíci +1

    Mungu tuhurumie na utusamehe

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx Před 5 měsíci

    Poleni sana

  • @tirigimusiba3815
    @tirigimusiba3815 Před 5 měsíci

    Poleni sana ndg zetu .

  • @EmanuelMaliti
    @EmanuelMaliti Před 5 měsíci +1

    Hatari sanaa

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Před 5 měsíci +2

    Mwanza sehemu gani?

  • @marymgimwa
    @marymgimwa Před 5 měsíci

    Kipindi cha nuhu lkn wala hatuna habari na mungu aliyetuumba🎉

  • @HasaniShija-ye5xg
    @HasaniShija-ye5xg Před 5 měsíci

    Dah niatari sana

  • @JoyceMigwata-lu9le
    @JoyceMigwata-lu9le Před 5 měsíci

    Polen sana

  • @ElishaSolomoni-kc4zk
    @ElishaSolomoni-kc4zk Před 5 měsíci +1

    Duh ni hatari xna

  • @user-td8td3om5r
    @user-td8td3om5r Před 5 měsíci

    Hatari sana

  • @ThomasNdaki
    @ThomasNdaki Před 5 měsíci

    Poleni sana ndg zetu kwa mafuliko

    • @Mundi-oz7os
      @Mundi-oz7os Před 5 měsíci +1

      "Mafuliko" ni kitu gani wewe andika kiswahili kinachoeleweka la sivyo acha kabisa kupotosha😠

  • @omarysaidmangara3333
    @omarysaidmangara3333 Před 5 měsíci +1

    Binfisi sina mashaka simba ni hi ushindi upo pale pale wapenzi longido tupo na timu yetu matumani yapo

  • @pendopeter9075
    @pendopeter9075 Před 5 měsíci +1

    Sauti haisikiki wakt ni kituo kikubwacha habari

  • @BeatriceSaid
    @BeatriceSaid Před 5 měsíci +1

    Mafuriko na mpira wapi nawapi huyu nae😂😢😢😢

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 Před 5 měsíci

    Hii sijui kama siio mto mirongo

  • @protusmushi7162
    @protusmushi7162 Před 5 měsíci +1

    Hapo inabidi kikosi cha uokoaji kiwahi haraka.

  • @suzyjohn6885
    @suzyjohn6885 Před 5 měsíci

    Mabatini hapo kawaida yake mafriko ni kawaida hapo ila watu huwa hawa sikii kuhama hawataki

  • @csato9415
    @csato9415 Před 5 měsíci

    Jamani sasa hao waliosimama juu ukuta, wana uhakika gani kuwa uko imara.

  • @barakaaman2668
    @barakaaman2668 Před 5 měsíci

    Daraja la Masai kanoni Mwanza tandamu la Mangarama Bunda pazuro

  • @luciasamweli9697
    @luciasamweli9697 Před 5 měsíci

    Yote tumwachie mungu

  • @AnnaMunisi
    @AnnaMunisi Před 5 měsíci

    Cjc

  • @lilhydon452
    @lilhydon452 Před 5 měsíci

    Uokowaji wako wapi?

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k Před 5 měsíci +1

    Hapo yaweza kuwa tatizo ni serikali.Lakini wananchi ndiyo tatizo kubwa.Hasa linapokuja swala la kujenga ,tunataka bila kujali,jasa maeneo hatarishi kama vilw karibu mito,karibu na mabonde, karibu na milima., karibu na baraba na hata kwenye mikondo ya maji (Ujenzi hole).Hatujali,hatushauriki na wala hatukatazwi.Pesa inatuwasha ,kiburi cha pesa.

    • @josephkulija293
      @josephkulija293 Před 5 měsíci

      Lakini wakati ujenzi unapoanaza Serikali huwa ipo kuanzia mjumbe wa nyumba kumi kumi, ukiacha hao manispaa zipo zina mainjinia waliosomeshwa na Serikali ambao wanapaswa kutoa ushauri wao Kwa wakuu wao wa kazi. Utakuta jengo linajengwa likifikia kwenye rinta ndo wanakuja kuandika kwenye nyumba "Simamisha ujenzi". Mitaro hukumbukwa kufanyiwa usafi pindi mvua zinapoanza. Watumishi watoke ofisini waingie site waache viyoyozi.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Před 5 měsíci

      Mipango Miji amkeni. Fanyeni kazi zenu

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 Před 5 měsíci

      Nchi gani duniani amba haipatwi na mafuriko?

    • @aminatanzanya7475
      @aminatanzanya7475 Před 5 měsíci

      Hat huko kweny miundombinu bora kuna mafuriko pia usisahau

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Před 5 měsíci

      Two wrongs does not make it a right

  • @onesmombele2571
    @onesmombele2571 Před 5 měsíci

    Watengeneze dalaja wakati wanaona bola wafanye usafi

  • @aliyuabdallah3210
    @aliyuabdallah3210 Před 5 měsíci

    Hii hatar

  • @user-mw3jb3gb8j
    @user-mw3jb3gb8j Před 5 měsíci

    Mwanza sehem gani

    • @dee4144
      @dee4144 Před 5 měsíci

      Daraja la Masai

  • @dee4144
    @dee4144 Před 5 měsíci

    Daraja la masai

  • @edinamadebele973
    @edinamadebele973 Před 5 měsíci

    Huyu anaeishauri serikali mbona kama kaweka ugolo mdomoni😂

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 Před 5 měsíci +1

      We unaangalia ugoro au unasikiliza ujumbe alioutoa?

    • @BeatriceSaid
      @BeatriceSaid Před 5 měsíci

      Angalia ujumbe acha ushamba

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 5 měsíci

    Hii hatar