Malori yaliyosheheni bidhaa yamenusurika kusombwa na mafuriko yaliyotokana na mvua kubwa iliyonyesha katika maeneo mbalimbali ya jiji la Mwanza kwa zaidi ya Saa 4.
Hapo yaweza kuwa tatizo ni serikali.Lakini wananchi ndiyo tatizo kubwa.Hasa linapokuja swala la kujenga ,tunataka bila kujali,jasa maeneo hatarishi kama vilw karibu mito,karibu na mabonde, karibu na milima., karibu na baraba na hata kwenye mikondo ya maji (Ujenzi hole).Hatujali,hatushauriki na wala hatukatazwi.Pesa inatuwasha ,kiburi cha pesa.
Lakini wakati ujenzi unapoanaza Serikali huwa ipo kuanzia mjumbe wa nyumba kumi kumi, ukiacha hao manispaa zipo zina mainjinia waliosomeshwa na Serikali ambao wanapaswa kutoa ushauri wao Kwa wakuu wao wa kazi. Utakuta jengo linajengwa likifikia kwenye rinta ndo wanakuja kuandika kwenye nyumba "Simamisha ujenzi". Mitaro hukumbukwa kufanyiwa usafi pindi mvua zinapoanza. Watumishi watoke ofisini waingie site waache viyoyozi.
Alhamdulilah nilihama hili eneo niliteseka sana
Mungu awalinde wapendwa
Acheni uzinzi. Ushoga mungu amechukia
MUNGU wangu...
Mungu tuhurumie na utusamehe
Poleni sana
Poleni sana ndg zetu .
Hatari sanaa
Mwanza sehemu gani?
Kipindi cha nuhu lkn wala hatuna habari na mungu aliyetuumba🎉
Dah niatari sana
Polen sana
Duh ni hatari xna
Hatari sana
Poleni sana ndg zetu kwa mafuliko
"Mafuliko" ni kitu gani wewe andika kiswahili kinachoeleweka la sivyo acha kabisa kupotosha😠
Binfisi sina mashaka simba ni hi ushindi upo pale pale wapenzi longido tupo na timu yetu matumani yapo
Sauti haisikiki wakt ni kituo kikubwacha habari
Mafuriko na mpira wapi nawapi huyu nae😂😢😢😢
Hii sijui kama siio mto mirongo
Hapo inabidi kikosi cha uokoaji kiwahi haraka.
Mabatini hapo kawaida yake mafriko ni kawaida hapo ila watu huwa hawa sikii kuhama hawataki
Jamani sasa hao waliosimama juu ukuta, wana uhakika gani kuwa uko imara.
Daraja la Masai kanoni Mwanza tandamu la Mangarama Bunda pazuro
Yote tumwachie mungu
Cjc
Uokowaji wako wapi?
Hapo yaweza kuwa tatizo ni serikali.Lakini wananchi ndiyo tatizo kubwa.Hasa linapokuja swala la kujenga ,tunataka bila kujali,jasa maeneo hatarishi kama vilw karibu mito,karibu na mabonde, karibu na milima., karibu na baraba na hata kwenye mikondo ya maji (Ujenzi hole).Hatujali,hatushauriki na wala hatukatazwi.Pesa inatuwasha ,kiburi cha pesa.
Lakini wakati ujenzi unapoanaza Serikali huwa ipo kuanzia mjumbe wa nyumba kumi kumi, ukiacha hao manispaa zipo zina mainjinia waliosomeshwa na Serikali ambao wanapaswa kutoa ushauri wao Kwa wakuu wao wa kazi. Utakuta jengo linajengwa likifikia kwenye rinta ndo wanakuja kuandika kwenye nyumba "Simamisha ujenzi". Mitaro hukumbukwa kufanyiwa usafi pindi mvua zinapoanza. Watumishi watoke ofisini waingie site waache viyoyozi.
Mipango Miji amkeni. Fanyeni kazi zenu
Nchi gani duniani amba haipatwi na mafuriko?
Hat huko kweny miundombinu bora kuna mafuriko pia usisahau
Two wrongs does not make it a right
Watengeneze dalaja wakati wanaona bola wafanye usafi
Hii hatar
Mwanza sehem gani
Daraja la Masai
Daraja la masai
Huyu anaeishauri serikali mbona kama kaweka ugolo mdomoni😂
We unaangalia ugoro au unasikiliza ujumbe alioutoa?
Angalia ujumbe acha ushamba
Hii hatar