PLAN B _ Episode 3

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 07. 2024
  • #bintinyoka #kp #kpnazebuu #lastcard #wamangushi #zebuu #tanzania
  • Komedie

Komentáře • 760

  • @sylvieminani3913
    @sylvieminani3913 Před 2 dny +215

    Yaani tanguu nianze kuangalia vipindi vya hawa wajama sijapata hata like moja nipeni like moja tuu plz

  • @user-pf3zc6kv5q
    @user-pf3zc6kv5q Před 2 dny +94

    tunaopenda kuangalia uku tunasoma comment gonga like KP one love❤❤❤❤

  • @abubacarassanetoziy4747
    @abubacarassanetoziy4747 Před 2 dny +57

    Ila mimi nipenda sana muonekano mpya WA sheishei kama wewe kama mm like hapo please

  • @user-xc2kn6ml7u
    @user-xc2kn6ml7u Před 2 dny +48

    Mama zetu wanapambana kutulea katika maadili mazuri na kutuombea kwa Mungu ila tamaa zetu zinatufanya kukengeuka. vijana wenzangu hii movie inafunzo kubwa tujifunze

  • @GentilKakule-rd2pz
    @GentilKakule-rd2pz Před 2 dny +66

    Kama wa mkubali sheishei gonga like zake hapa

  • @user-sz2wl4nr5q
    @user-sz2wl4nr5q Před 2 dny +61

    Jaman sijawai ata kupata like moja nisaidien ata tano tu

    • @user-tx3qk8yz5l
      @user-tx3qk8yz5l Před 2 dny +1

      😂😂😂 nmependa iyoo sawa mm acha njitolee kukusaidia na like yangu maskini mpenziiiiiiii 🤣🤣🤣🤣

  • @user-su5oi5wb6c
    @user-su5oi5wb6c Před 2 dny +41

    Wow kp nimewahi tena jaman naomba like zangu plz alafu bila kusahau team strong wale wa 2025 January tujuane kwa comment nawapenda sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Nyotajada
    @Nyotajada Před 2 dny +30

    Ila sheila jamani kila sekita kanapendexaaa tu❤️🌹🌹

  • @PaulChanda-er4wx
    @PaulChanda-er4wx Před 2 dny +83

    Mimi niwa pili, nipeni likes zangu please 🎉 Je suis à Lubumbashi en RDCongo

  • @user-ii1ym5fe7j
    @user-ii1ym5fe7j Před 2 dny +31

    Sheila ongera kwa ubora zaidi wa ujuz wa computer naona umefanya kazi nzur🎉🎉🎉🎉🎉

  • @chadiaManirakiza
    @chadiaManirakiza Před 2 dny +76

    mimi wakwanza kutoka burundian naomba like hata moja bas❤

  • @purityrehema543
    @purityrehema543 Před 2 dny +22

    Wakwanza leo naomba likes zangu kp na zebuu, 🎉🎉🎉🎉watching from 🇰🇪

  • @sadahamad6158
    @sadahamad6158 Před 2 dny +24

    Kuomba like tu kutoa maoni aaah 😂😂😂 ila kisai ujambazi unafaa kweli kazi nzuri sana washirika

  • @shabaniathumani2284
    @shabaniathumani2284 Před 2 dny +23

    na tamani kuonana sheilah una nifurahishaga saana karibu simiyu

  • @ChukuwaChako4
    @ChukuwaChako4 Před 2 dny +29

    Wakwanza Leo kp like zangu tupo pamoja sana

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp Před 2 dny +22

    Style ya Kp ... Round hii iko Poa sana🥰🙏👍🙌

  • @SharifuAlbughuli
    @SharifuAlbughuli Před 2 dny +18

    Wangp wanasubir kuona couple ya kp n zebu ❤❤❤

  • @dadaamwazewe1299
    @dadaamwazewe1299 Před 2 dny +16

    wangap wanakubali hii PLAN B❤guys kazi nzur sana tumpeni Sheila mauwa yake kwakwel Sheila kila kazi unaendanana party yake❤❤❤😂

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Před 2 dny +19

    Sheila mmh Mungu akusamehe, ila n Kaz tu ucjar

  • @elizabethuwezo290
    @elizabethuwezo290 Před 2 dny +6

    Hawa waigiza movie hii wanaonekana wasomi sana ❤❤

  • @celestinkenga9212
    @celestinkenga9212 Před 2 dny +12

    I see.sheishei.ukatili.umekupendeza.kwel

  • @HadijaKanze
    @HadijaKanze Před 2 dny +10

    Congrats Sheila napenda unavokua sirious❤❤❤❤❤❤

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 Před 2 dny +6

    Bonge moja la movie ya kwenda 🎉🎉🎉🎉

  • @Leyla-n6x
    @Leyla-n6x Před 2 dny +4

    Shey shey ww ni noma kabisa nimekupenda bule🎉🎉

  • @James-hb2gv
    @James-hb2gv Před 2 dny +6

    nampenda sana sheibshei jaman mwambyen jamess nampenda sana ety ❤❤❤ daa!!!

  • @EdwardTz.
    @EdwardTz. Před 2 dny +12

    washaupiga tena jaman hawa jamaa nawakubali sana maana wanacheza kama pele

  • @madymag6926
    @madymag6926 Před 2 dny +9

    Wow sheila weeeh Nakubali kazi zenu nizuri sana kp ❤❤❤💪💪💪

  • @bayahamisi
    @bayahamisi Před 2 dny +12

    Nmeingoja sana🎉🎉🎉 kaz zenu nzuri

  • @BethshebaNgendabanka
    @BethshebaNgendabanka Před 2 dny +11

    Kp you are so intelligent bro ,my best actor in tz❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @DM.2200
    @DM.2200 Před 2 dny +8

    Sheila nakuona mbali katika uigizaj keep it up! 🎉🎉

  • @user-xd8qy1cx2b
    @user-xd8qy1cx2b Před 2 dny +11

    Najua lazima kp atakuja kumpenda zebu mazima💪💪

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 Před 2 dny +12

    Move zenu nzuri saana zinamafunzo piya ila tafadhari naomba mmengeweka sauti ya kawaida na si hiyo yaani kama vikatuni wakati move ni yenye mafundisho mazuri 😊siyo kwa ubaya nawapenda saana ❤🎉

    • @Thedy-tp5ei
      @Thedy-tp5ei Před 2 dny +2

      Zebuu ndo anaongea kama kitto alekebishe saut

    • @Gladys-254
      @Gladys-254 Před dnem

      ​@@Thedy-tp5ei ndo sauti ya mtoto wakitajiri siwajia wadekezwa😂

    • @salhamrishoi4943
      @salhamrishoi4943 Před dnem +1

      ​@@Thedy-tp5ei shida wametengeza sauti

  • @ShaniLamay-ln6se
    @ShaniLamay-ln6se Před 2 dny +10

    Jamn Mimi wakwanza kp njoo nipe like yanguuuu nawewe kama ni mpenzi wa hii movie usininyime likee❤

    • @ShaniLamay-ln6se
      @ShaniLamay-ln6se Před 2 dny

      Ila kp jamn basi Muwe mnarusha Kila baada ya siku Moja mnachelewa tunakosa uhondo pliiiiiiz

  • @MashaMbwana
    @MashaMbwana Před 2 dny +7

    Nyumba ndani nzr nje sasa 😊😊

  • @zawadichengokatana4750
    @zawadichengokatana4750 Před 2 dny +10

    Shei shei na kp hongereni sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @RAMSOJOSEPHAT
    @RAMSOJOSEPHAT Před 2 dny +12

    Yaani huu uyanya mm naukubar kama last card vile

  • @gogoloveofficial5666
    @gogoloveofficial5666 Před 2 dny +6

    Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮

  • @user-pp3vo8rw5j
    @user-pp3vo8rw5j Před 2 dny +8

    Mimi uyo kwa kp na zebuu tukiona nani atamshinda kisai 😂😂😂❤❤❤❤❤

  • @AjuwaeTannu
    @AjuwaeTannu Před 2 dny +8

    Nakubal sana kp Kwa kazi nzuli

  • @edgarlaurian-d8w
    @edgarlaurian-d8w Před 2 dny +8

    FROM RWANDA ,, APPRECIATE 🎉💪💪💪💪SANA THIS FILM PRODUCTION,, GREAT ORGANIZATION 💪💪💪💪

  • @ZainaboAli70Zainabo
    @ZainaboAli70Zainabo Před 2 dny +11

    Mimi ni watatu naomba like zenu jamani

  • @aliyahaji8512
    @aliyahaji8512 Před 2 dny +6

    Thank you kb na zebun na all the team ❤❤❤❤4rm United Kingdom 🇬🇧 🇬🇧

  • @EuniceVureze
    @EuniceVureze Před 2 dny +7

    Hii team ni noma wee Sheishei na Kp alaf Libozi uchizi na uganga una kufaa kabisa 😂😂😂😂😂

  • @amam2211-
    @amam2211- Před 2 dny +7

    Nimewahi leo kp kipengele hanacho kipenda love form kenya pesa kwanza kp

  • @tumainigilbert
    @tumainigilbert Před 2 dny +5

    Sheila jasili kweli nakupenda juu unajiamiya kabisa

  • @mpeliibrahim398
    @mpeliibrahim398 Před 2 dny +12

    Sheila unanifurahisha sana

  • @user-rl5zb1jc9k
    @user-rl5zb1jc9k Před 2 dny +5

    Hivi mnaombanga like za kazi gan

  • @Lovekidoti32
    @Lovekidoti32 Před 2 dny +16

    Ila KP movie zako ni movie ambazo ni za kutumia akili sana, wewe ni nouma

    • @Thedy-tp5ei
      @Thedy-tp5ei Před 2 dny +1

      Kabisaaaa

    • @Gladys-254
      @Gladys-254 Před dnem

      Kabisaa ata enye ilimuangushà ni Ile ya sonaà😅

    • @Lovekidoti32
      @Lovekidoti32 Před dnem

      @@Gladys-254 unaona last card imetumia akili kubwa, na wamangushi ni movie za kutumia akili achana na hizi movie nyingine ambazo story zao ni common

  • @salimasava11
    @salimasava11 Před 2 dny +7

    Zepuu kaa rada mwamba anakuja(KP)🎉🎉🎉🎉

  • @user-gt6qt6yu8b
    @user-gt6qt6yu8b Před 2 dny +5

    KP ukatumia akili nyingi Sana hongera endelea kutuburudisha

  • @samuelbaraza7447
    @samuelbaraza7447 Před 2 dny +5

    Aki shei shei amefiti his sehemu kabisa😂😂😂😂😂😂 nikiwa kenya 🇰🇪 ♥️

  • @Cultandnuture
    @Cultandnuture Před 2 dny +2

    #kp waquino izi movie ndo tunazopenda ,msihegemee kwenye vitu vya manyokanyoka achieni akina clam , sisi tunapenda movie zisizo tabirika kinachofuata ,kama hii na last card ❤❤❤ much love from democratic republic of congo

  • @JullianaEmmanuel-tm5xg
    @JullianaEmmanuel-tm5xg Před 2 dny +9

    Sheila unajikubali kama mm rafk yang,

  • @NipherKwamboka
    @NipherKwamboka Před 2 dny +3

    Shey shey and you team keep up,,,,, good job❤

  • @Sharifaliuma-gb3vt
    @Sharifaliuma-gb3vt Před 2 dny +3

    Sheria hongera sana unastahili upewe maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MaryamSafi-vm6or
    @MaryamSafi-vm6or Před dnem +2

    Wow shei shei yuko vzr san kaz nzur kp 🎉🎉🎉 mambo ni🔥🔥

  • @ZainabShaban-zm8iv
    @ZainabShaban-zm8iv Před 2 dny +2

    Mambo ni deadly deadly yaan chapchap hongereni sna team kp n zebuu

  • @AugustinhoManyangaunitedboetz3

    Kazi nzuri sana mmetisha sana KZ kp na zebuu❤️❤️❤️ ila wapi mr Suraj tumemmisi sana 🙏🙏

  • @user-bu4op2hq2p
    @user-bu4op2hq2p Před 2 dny +5

    You guys .....walai mmebarikiwa...your acting are professional .kazi nzuri wadau

  • @timothy7615
    @timothy7615 Před 2 dny +2

    msijifanye hamjamiss suraj😅😅😅 mnipitie

  • @user-lg4oo7vu8k
    @user-lg4oo7vu8k Před dnem +2

    Shey shey nakukubari sana kuwa afsa unaweza kuwa mgai Gai unaweza sarut kwako

  • @user-ye7wj8gz1l
    @user-ye7wj8gz1l Před dnem +2

    Daah sijawai ona watu wenye akili kama ya sheishei mungu akupambanie ufike mbali

  • @MwanamisiBakari-xh3jo
    @MwanamisiBakari-xh3jo Před 2 dny +4

    Mwaomba like tu lkn kupongeza kazi y kp aaah

  • @kura.the.boy-
    @kura.the.boy- Před 2 dny +3

    NAKUBALI SAN TEM KP HII KAZI KALI SAN 🎉🎉🎉 HONGERENI SANA

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Před 2 dny +3

    Hii series akiwemo miss shey shey akiharibiki kitu, I can't wait to see ep 4 please!

  • @MichellJohn-zk1hp
    @MichellJohn-zk1hp Před 2 dny +2

    Nyie ombeni like tu 😂😂hamna kazi nyingine....mimi wa elfu kuni Mia nane na themanini na sicomplain,,,yaani sina maoni...Crew yote ni fire..nawapenda aisee..shei shei,big up my girl.. zebuu.cograts...likoo..kp..chizi diboz..norah..dah.sitowataja wote ila mpo vizuri wapenzii

  • @RAM7_TZ
    @RAM7_TZ Před dnem +1

    Jamani kazi Kali sana zaidi hata ya Ile LAST CARD, KP ni noma hii story ni level nyingine baba ila Sheila unajua sana daahhh nimeipenda hii movie mungu aniongoze nisikose hata epsd moja❤❤❤❤❤

  • @Mahratshafi-jn3tq
    @Mahratshafi-jn3tq Před 2 dny +2

    Ila sheila kachangamka sana nyie kamsela kabisa😂😂😂 shei sheii umeweza uhunii dadangu ama mwaonajee na nyie😂

  • @reginajustini5271
    @reginajustini5271 Před 2 dny +5

    Kisai kanenepa adi kitambi 😅❤

  • @user-ge3tn7zs8r
    @user-ge3tn7zs8r Před 2 dny +1

    Ino move ina watu wazuri nahakili zao .sijaona nyinyi mwamba team kp saluti nawapa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @usterbae
    @usterbae Před 2 dny +2

    Wow nimefurahi sana kwa kutuletea part 3 anyway good job Mr kp na team yako for really mnajua San may God bless you all love you guys❤❤❤❤

  • @Uwamahoro-fefe.15
    @Uwamahoro-fefe.15 Před 2 dny +1

    Oui ça ira un jour,la vie c'est un combat,hongereni sana tunawapenda kweli🇧🇮

  • @user-zo8lz3wm7n
    @user-zo8lz3wm7n Před dnem +1

    Daaaah kp and shei shei penda sana nyinyi ❤❤❤❤❤❤kp na watu zako mungu azid kuwapa kipaji KP ukinyoa una pendeza sana🎉

  • @sahraabdallah7242
    @sahraabdallah7242 Před 2 dny +1

    Shei shei bonge la msanii namuona ikifika mbaliiii inshallah

  • @gladysomidohomidoh6629
    @gladysomidohomidoh6629 Před 2 dny +3

    Aki nyinyi wezi nawaona sana nakwani mwizi anaishi ndani ya maji😂😂😂😂

  • @KhamisJuma-ni1vk
    @KhamisJuma-ni1vk Před dnem +1

    Nimechelewa Lakn Niko Ndani Kwa kweli Mungu Awabariki Kwa Kazi yenu Muko Vizuri Sana Ongerani Sana lovely ❤❤❤❤❤❤

  • @user-vg9kf3ss3e
    @user-vg9kf3ss3e Před 2 dny +3

    Sheishei WW Hauna baya❤❤❤😂😂

  • @ElidaGeorge
    @ElidaGeorge Před dnem +1

    Ww napenda sana mwonekano mpya wa sheishei

  • @hoseaemanuel3979
    @hoseaemanuel3979 Před 2 dny +5

    Leo wa kwanza nipeni like zenu

  • @Cultandnuture
    @Cultandnuture Před 2 dny +3

    Kupitia movie zenu naendelea ku improve level yakutumia cm ❤🇨🇩

  • @shabaniathumani2284
    @shabaniathumani2284 Před 2 dny +7

    wa kwanza

  • @user-ep3hw2ki6d
    @user-ep3hw2ki6d Před dnem +1

    😢sheishei nakupenda bure pamoja na KP ilove you so much from Burundi 🇧🇮🇴🇲

  • @JaphethTumbu-f6j
    @JaphethTumbu-f6j Před 2 dny +1

    Hawa ni hatari sanaaa kp group nawapenda sanaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @gianalyn2882
    @gianalyn2882 Před dnem +1

    Sheishei wee Ni mukali bana nakwaminia 💪💪💪💪💪

  • @user-lh4lt3fd7p
    @user-lh4lt3fd7p Před 2 dny +3

    Hongera Kwa kaz nzuriii🎉🎉🎉🎉

  • @samuelbaraza7447
    @samuelbaraza7447 Před 2 dny +7

    Wapi darkid

  • @NadzuaMrema
    @NadzuaMrema Před dnem +1

    My favourite ❤ Sheila nakupenda mama Allah akujalie kipaji chako inshaallah

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf

    Leo hii Norah anasidiria hongera uko mrembo,,,halaf Sheila uko next level mashallah kazi yako Iko lit🔥I really love it keep it up guys en feel loved from 🇰🇪🇰🇪

  • @Clyton593
    @Clyton593 Před 2 dny +3

    Me naamin sheishei cio mwiz ni mpelez pamoj na diboz cio chinz ni mpelez Bali sheishei anashilikian na kp kuwajuwa waarifu

  • @JamesReuben-gt8up
    @JamesReuben-gt8up Před dnem +1

    Sema huyu mzee likoma balaa sanaa

  • @FatmaMusaifa
    @FatmaMusaifa Před 2 dny +1

    Yaan imeishia patamu sana kp nakukubali

  • @deborahmidiburo3541
    @deborahmidiburo3541 Před 2 dny +1

    Nimeipenda sana iyo nyimbo ya français from congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez Před 2 dny +1

    😮😮mmmmmh jamani hii plan b inafanana na last card kabisa ❤❤ jamani nawapenda nahizo historia zenye mafunzo mazuri sana 💖 🎉

  • @user-xq2op3vn7g
    @user-xq2op3vn7g Před 2 dny +1

    Daa team kp na shey shey mwanibanba kweli.tuwapeeni like zao jameni

  • @user-xs2yr3zd1j
    @user-xs2yr3zd1j Před dnem +1

    NIKIWA zangu huku huku Dar -tmk yombo kilakala full bando❤ namuona Norah Mara hii akiwa mwana IT anakwenda kuharibu mipango Mapema 😂. KP akili nyingi sanaaa..... Good job 🔥❤ wewe na TIMU yako endeleeni kutuburudisha. Dibozz Hana uchizi yupo kwa kazi maalum hapo mtaniambia

  • @NurahIbrah
    @NurahIbrah Před 7 hodinami

    Oooh!! My friend unae omba like jiunge na kp uingize ili tukupe like

  • @enockntottea
    @enockntottea Před dnem

    kp kazi zenu nzr sana japo mnatoa mwendelezo kwa kuchelewa

  • @EdwardMweru
    @EdwardMweru Před 2 dny +2

    Jaman ngoja tuone kazi ya kp kama anaswaga za kutosha na akiweza atakuwa mwanaume ila mm navojua atazama mazima

  • @peterngila4221
    @peterngila4221 Před 2 dny +1

    Kp, uko best,, kazi Jema ❤❤🎉🎉

  • @user-zw7mr6jo9b
    @user-zw7mr6jo9b Před 2 dny +5

    Asandi sana kp na zebuu ndakika iko sawa nawapenda💓