Mama zetu wanapambana kutulea katika maadili mazuri na kutuombea kwa Mungu ila tamaa zetu zinatufanya kukengeuka. vijana wenzangu hii movie inafunzo kubwa tujifunze
Move zenu nzuri saana zinamafunzo piya ila tafadhari naomba mmengeweka sauti ya kawaida na si hiyo yaani kama vikatuni wakati move ni yenye mafundisho mazuri 😊siyo kwa ubaya nawapenda saana ❤🎉
#kp waquino izi movie ndo tunazopenda ,msihegemee kwenye vitu vya manyokanyoka achieni akina clam , sisi tunapenda movie zisizo tabirika kinachofuata ,kama hii na last card ❤❤❤ much love from democratic republic of congo
Nyie ombeni like tu 😂😂hamna kazi nyingine....mimi wa elfu kuni Mia nane na themanini na sicomplain,,,yaani sina maoni...Crew yote ni fire..nawapenda aisee..shei shei,big up my girl.. zebuu.cograts...likoo..kp..chizi diboz..norah..dah.sitowataja wote ila mpo vizuri wapenzii
Jamani kazi Kali sana zaidi hata ya Ile LAST CARD, KP ni noma hii story ni level nyingine baba ila Sheila unajua sana daahhh nimeipenda hii movie mungu aniongoze nisikose hata epsd moja❤❤❤❤❤
Leo hii Norah anasidiria hongera uko mrembo,,,halaf Sheila uko next level mashallah kazi yako Iko lit🔥I really love it keep it up guys en feel loved from 🇰🇪🇰🇪
NIKIWA zangu huku huku Dar -tmk yombo kilakala full bando❤ namuona Norah Mara hii akiwa mwana IT anakwenda kuharibu mipango Mapema 😂. KP akili nyingi sanaaa..... Good job 🔥❤ wewe na TIMU yako endeleeni kutuburudisha. Dibozz Hana uchizi yupo kwa kazi maalum hapo mtaniambia
Yaani tanguu nianze kuangalia vipindi vya hawa wajama sijapata hata like moja nipeni like moja tuu plz
Unataka like za nini kalale
@@BundalaShija-yb4voAkalale voo😂😂
😢😢😢😂
Sasa like we za nini wewe ndo utoe like Kwa wahusika
Uliwahi kutoa maoni yeyote??
tunaopenda kuangalia uku tunasoma comment gonga like KP one love❤❤❤❤
Ila mimi nipenda sana muonekano mpya WA sheishei kama wewe kama mm like hapo please
Mama zetu wanapambana kutulea katika maadili mazuri na kutuombea kwa Mungu ila tamaa zetu zinatufanya kukengeuka. vijana wenzangu hii movie inafunzo kubwa tujifunze
Kama wa mkubali sheishei gonga like zake hapa
❤
Huyu dada shei wa moto tembeaji yake kama mgambo wa jiji
Yaani we Acha tu, sheishei wa moto sana🔥
Jaman sijawai ata kupata like moja nisaidien ata tano tu
😂😂😂 nmependa iyoo sawa mm acha njitolee kukusaidia na like yangu maskini mpenziiiiiiii 🤣🤣🤣🤣
Wow kp nimewahi tena jaman naomba like zangu plz alafu bila kusahau team strong wale wa 2025 January tujuane kwa comment nawapenda sana ❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Heri ww...mm n 2026
Ila sheila jamani kila sekita kanapendexaaa tu❤️🌹🌹
Kwel kabisa😂
Mimi niwa pili, nipeni likes zangu please 🎉 Je suis à Lubumbashi en RDCongo
Chukua hiyoo
Congo kwa ambaje???
Sheila ongera kwa ubora zaidi wa ujuz wa computer naona umefanya kazi nzur🎉🎉🎉🎉🎉
mimi wakwanza kutoka burundian naomba like hata moja bas❤
Tupo wengi frome burundi 😅😅😅❤
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Vp
Wakwanza leo naomba likes zangu kp na zebuu, 🎉🎉🎉🎉watching from 🇰🇪
Kuomba like tu kutoa maoni aaah 😂😂😂 ila kisai ujambazi unafaa kweli kazi nzuri sana washirika
na tamani kuonana sheilah una nifurahishaga saana karibu simiyu
Wakwanza Leo kp like zangu tupo pamoja sana
Style ya Kp ... Round hii iko Poa sana🥰🙏👍🙌
Wangp wanasubir kuona couple ya kp n zebu ❤❤❤
wangap wanakubali hii PLAN B❤guys kazi nzur sana tumpeni Sheila mauwa yake kwakwel Sheila kila kazi unaendanana party yake❤❤❤😂
Sheila mmh Mungu akusamehe, ila n Kaz tu ucjar
Hawa waigiza movie hii wanaonekana wasomi sana ❤❤
I see.sheishei.ukatili.umekupendeza.kwel
Congrats Sheila napenda unavokua sirious❤❤❤❤❤❤
Bonge moja la movie ya kwenda 🎉🎉🎉🎉
Shey shey ww ni noma kabisa nimekupenda bule🎉🎉
nampenda sana sheibshei jaman mwambyen jamess nampenda sana ety ❤❤❤ daa!!!
washaupiga tena jaman hawa jamaa nawakubali sana maana wanacheza kama pele
Wow sheila weeeh Nakubali kazi zenu nizuri sana kp ❤❤❤💪💪💪
Nmeingoja sana🎉🎉🎉 kaz zenu nzuri
Kp you are so intelligent bro ,my best actor in tz❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Sheila nakuona mbali katika uigizaj keep it up! 🎉🎉
Najua lazima kp atakuja kumpenda zebu mazima💪💪
Move zenu nzuri saana zinamafunzo piya ila tafadhari naomba mmengeweka sauti ya kawaida na si hiyo yaani kama vikatuni wakati move ni yenye mafundisho mazuri 😊siyo kwa ubaya nawapenda saana ❤🎉
Zebuu ndo anaongea kama kitto alekebishe saut
@@Thedy-tp5ei ndo sauti ya mtoto wakitajiri siwajia wadekezwa😂
@@Thedy-tp5ei shida wametengeza sauti
Jamn Mimi wakwanza kp njoo nipe like yanguuuu nawewe kama ni mpenzi wa hii movie usininyime likee❤
Ila kp jamn basi Muwe mnarusha Kila baada ya siku Moja mnachelewa tunakosa uhondo pliiiiiiz
Nyumba ndani nzr nje sasa 😊😊
Shei shei na kp hongereni sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yaani huu uyanya mm naukubar kama last card vile
Love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI 🇧🇮
Mimi uyo kwa kp na zebuu tukiona nani atamshinda kisai 😂😂😂❤❤❤❤❤
Nakubal sana kp Kwa kazi nzuli
FROM RWANDA ,, APPRECIATE 🎉💪💪💪💪SANA THIS FILM PRODUCTION,, GREAT ORGANIZATION 💪💪💪💪
How is Rwanda
Mimi ni watatu naomba like zenu jamani
Thank you kb na zebun na all the team ❤❤❤❤4rm United Kingdom 🇬🇧 🇬🇧
Hii team ni noma wee Sheishei na Kp alaf Libozi uchizi na uganga una kufaa kabisa 😂😂😂😂😂
Nimewahi leo kp kipengele hanacho kipenda love form kenya pesa kwanza kp
Kenya Kwa ambaje??
Sheila jasili kweli nakupenda juu unajiamiya kabisa
Sheila unanifurahisha sana
Wp suraj
Hivi mnaombanga like za kazi gan
Ila KP movie zako ni movie ambazo ni za kutumia akili sana, wewe ni nouma
Kabisaaaa
Kabisaa ata enye ilimuangushà ni Ile ya sonaà😅
@@Gladys-254 unaona last card imetumia akili kubwa, na wamangushi ni movie za kutumia akili achana na hizi movie nyingine ambazo story zao ni common
Zepuu kaa rada mwamba anakuja(KP)🎉🎉🎉🎉
KP ukatumia akili nyingi Sana hongera endelea kutuburudisha
Aki shei shei amefiti his sehemu kabisa😂😂😂😂😂😂 nikiwa kenya 🇰🇪 ♥️
Kabisa nilijua nimeona pekeyangu
Upande wa mrembo pia yupo Norah yaan kitaeleweka tu😂
#kp waquino izi movie ndo tunazopenda ,msihegemee kwenye vitu vya manyokanyoka achieni akina clam , sisi tunapenda movie zisizo tabirika kinachofuata ,kama hii na last card ❤❤❤ much love from democratic republic of congo
Sheila unajikubali kama mm rafk yang,
Shey shey and you team keep up,,,,, good job❤
Sheria hongera sana unastahili upewe maua yako 🎉🎉🎉🎉🎉
Wow shei shei yuko vzr san kaz nzur kp 🎉🎉🎉 mambo ni🔥🔥
Mambo ni deadly deadly yaan chapchap hongereni sna team kp n zebuu
Kazi nzuri sana mmetisha sana KZ kp na zebuu❤️❤️❤️ ila wapi mr Suraj tumemmisi sana 🙏🙏
You guys .....walai mmebarikiwa...your acting are professional .kazi nzuri wadau
msijifanye hamjamiss suraj😅😅😅 mnipitie
Shey shey nakukubari sana kuwa afsa unaweza kuwa mgai Gai unaweza sarut kwako
Daah sijawai ona watu wenye akili kama ya sheishei mungu akupambanie ufike mbali
Mwaomba like tu lkn kupongeza kazi y kp aaah
NAKUBALI SAN TEM KP HII KAZI KALI SAN 🎉🎉🎉 HONGERENI SANA
Shukran Sana
Hii series akiwemo miss shey shey akiharibiki kitu, I can't wait to see ep 4 please!
Nyie ombeni like tu 😂😂hamna kazi nyingine....mimi wa elfu kuni Mia nane na themanini na sicomplain,,,yaani sina maoni...Crew yote ni fire..nawapenda aisee..shei shei,big up my girl.. zebuu.cograts...likoo..kp..chizi diboz..norah..dah.sitowataja wote ila mpo vizuri wapenzii
😂😂😂😂😂
Jamani kazi Kali sana zaidi hata ya Ile LAST CARD, KP ni noma hii story ni level nyingine baba ila Sheila unajua sana daahhh nimeipenda hii movie mungu aniongoze nisikose hata epsd moja❤❤❤❤❤
Ila sheila kachangamka sana nyie kamsela kabisa😂😂😂 shei sheii umeweza uhunii dadangu ama mwaonajee na nyie😂
Kisai kanenepa adi kitambi 😅❤
Chezea pesa wewe😂😂😂
Hujakuona deboz😅
Nayule mwenye kisura cha kitoto sijui yuko wapi😂😂😂.Suraji
Ino move ina watu wazuri nahakili zao .sijaona nyinyi mwamba team kp saluti nawapa🎉🎉🎉🎉🎉
Wow nimefurahi sana kwa kutuletea part 3 anyway good job Mr kp na team yako for really mnajua San may God bless you all love you guys❤❤❤❤
Oui ça ira un jour,la vie c'est un combat,hongereni sana tunawapenda kweli🇧🇮
Daaaah kp and shei shei penda sana nyinyi ❤❤❤❤❤❤kp na watu zako mungu azid kuwapa kipaji KP ukinyoa una pendeza sana🎉
Shei shei bonge la msanii namuona ikifika mbaliiii inshallah
Aki nyinyi wezi nawaona sana nakwani mwizi anaishi ndani ya maji😂😂😂😂
Nimechelewa Lakn Niko Ndani Kwa kweli Mungu Awabariki Kwa Kazi yenu Muko Vizuri Sana Ongerani Sana lovely ❤❤❤❤❤❤
Sheishei WW Hauna baya❤❤❤😂😂
Ww napenda sana mwonekano mpya wa sheishei
Leo wa kwanza nipeni like zenu
Kupitia movie zenu naendelea ku improve level yakutumia cm ❤🇨🇩
wa kwanza
😢sheishei nakupenda bure pamoja na KP ilove you so much from Burundi 🇧🇮🇴🇲
Hawa ni hatari sanaaa kp group nawapenda sanaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤
Sheishei wee Ni mukali bana nakwaminia 💪💪💪💪💪
Hongera Kwa kaz nzuriii🎉🎉🎉🎉
Wapi darkid
Wapi suraj
My favourite ❤ Sheila nakupenda mama Allah akujalie kipaji chako inshaallah
Leo hii Norah anasidiria hongera uko mrembo,,,halaf Sheila uko next level mashallah kazi yako Iko lit🔥I really love it keep it up guys en feel loved from 🇰🇪🇰🇪
Me naamin sheishei cio mwiz ni mpelez pamoj na diboz cio chinz ni mpelez Bali sheishei anashilikian na kp kuwajuwa waarifu
At mm naisi ivyo
Sema huyu mzee likoma balaa sanaa
Yaan imeishia patamu sana kp nakukubali
Nimeipenda sana iyo nyimbo ya français from congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Merci beaucoup on la fera plus mieux
😮😮mmmmmh jamani hii plan b inafanana na last card kabisa ❤❤ jamani nawapenda nahizo historia zenye mafunzo mazuri sana 💖 🎉
Sana
Daa team kp na shey shey mwanibanba kweli.tuwapeeni like zao jameni
NIKIWA zangu huku huku Dar -tmk yombo kilakala full bando❤ namuona Norah Mara hii akiwa mwana IT anakwenda kuharibu mipango Mapema 😂. KP akili nyingi sanaaa..... Good job 🔥❤ wewe na TIMU yako endeleeni kutuburudisha. Dibozz Hana uchizi yupo kwa kazi maalum hapo mtaniambia
Oooh!! My friend unae omba like jiunge na kp uingize ili tukupe like
kp kazi zenu nzr sana japo mnatoa mwendelezo kwa kuchelewa
Jaman ngoja tuone kazi ya kp kama anaswaga za kutosha na akiweza atakuwa mwanaume ila mm navojua atazama mazima
Kp, uko best,, kazi Jema ❤❤🎉🎉
Asandi sana kp na zebuu ndakika iko sawa nawapenda💓