NJIA RAHISI YA KUPANGA BAJETI - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Komentáře • 43

  • @brunotarimo4787
    @brunotarimo4787 Před rokem +5

    Upo sawa mwalimu wetu Nikiwa Nairobi gikombaa kenya

  • @clevermbule
    @clevermbule Před rokem +3

    Hii topic ya leo naingoja kwa shauku zote

  • @frankbujiku9496
    @frankbujiku9496 Před rokem +2

    Joel nanauka na kuzawadia maua yako kaka umenisaidia sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @silviafurah9172
    @silviafurah9172 Před rokem +2

    Mimi nimmoja wa kutumia pesa vibaya lkn Hili somo limenifungua akili asante sana

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 Před rokem +2

    Sita acha kusikiliza video zako labda uache kupost Elimu ninayo ipata Ina enda kwenye vitendo moja kwa moja na Ina toa matokeo chanya

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před rokem

      Nashukuru sana Abraham,tuendelee kujifunza

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 Před rokem +3

    Asantee kwa elimu nzuri, itanisaidia kupanga bajeti yangu

  • @chenkime3258
    @chenkime3258 Před rokem +3

    Hii ni elimu ya bure kabisa asant kaka 🙏🙏

  • @robertmgori8165
    @robertmgori8165 Před rokem +2

    Asante sana brother Joel mimi shida yangu maweza kupanga bajeti na kuweke pesa katika makundi ayo ila nikipata pesa tofauti na mshahara matumizi yanakuwa makubwa nawezaje kuyapunguza

  • @rubbenmacha7254
    @rubbenmacha7254 Před rokem

    Sassa nimeeleewa vzuri namna ya kusev pessa ning

  • @saddamhamimu2224
    @saddamhamimu2224 Před rokem +1

    Fact

  • @shabanially8899
    @shabanially8899 Před 4 měsíci

    hiii imekaa vzr zaidi

  • @tfjtv8929
    @tfjtv8929 Před rokem

    Asante mwalimu

  • @mohamedmchalasi4825
    @mohamedmchalasi4825 Před rokem +1

    Ahsante Sana mwalimu kwa Elimu MUHIMU Sana ya kupambana na maisha

  • @saidalhabsi9257
    @saidalhabsi9257 Před rokem

    Tangu nikufaham kaka umeniokoa pakubwa sana 2021 nilikufaham nikapata mafunzo moyo ulikua unauma nashindwa hata kupumua nikahisi nina corona nilipata somo kupitia wewe kakika shukrani zangu ni kubwa sana kwako😪😪🙏🙏🙏 chochote ninacho kiona kinanisumbua natafta video zako napata suluhu

  • @vedastinaangelo-hl9gm
    @vedastinaangelo-hl9gm Před rokem +1

    Upokee maua yako

  • @julianalaly2095
    @julianalaly2095 Před rokem +1

    Sawa sawa

  • @christermlewa8471
    @christermlewa8471 Před 3 měsíci

    Mimi huyo jamani hata sielewi nazipeleka wapi

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před rokem +1

    Asante sana

  • @mwanaimaabdallah7825
    @mwanaimaabdallah7825 Před rokem

    Naanza sasa Ahsante sana brother Joel Nanauka🙏🙏🙏siku moja nitakuwa shuhuda

    • @mwanaimaabdallah7825
      @mwanaimaabdallah7825 Před rokem

      Ila mwenye kipato kwa mwez laki 6 anatakiwa afanye vipi ktk hizo asilimia brother?😊

  • @saidalhabsi9257
    @saidalhabsi9257 Před rokem

    Mimi vocha inanimalizia sana pesa

  • @tupoonline3520
    @tupoonline3520 Před rokem

    Nikitu ambacho kinawe zekana iwapo mt ataamua acha mi nianze mwalim

  • @nurdininanjota4056
    @nurdininanjota4056 Před rokem

    Ujawai kukosea teacher Joel🇹🇿🙏.

  • @user-mb7ku4is1y
    @user-mb7ku4is1y Před rokem

    Ahsante Mwalimu kwa Somo Muhimu na la Faida Sanaa.

  • @shelairakozeshela8943

    Naanza sasa bro barikiwa sana

  • @StellaFernando-mt9ve
    @StellaFernando-mt9ve Před rokem

    Nimeipenda

  • @beatrixmalakasuka1214

    fact bro

  • @salmasalma9804
    @salmasalma9804 Před rokem

    Shukrani sana

  • @ednaalex2741
    @ednaalex2741 Před rokem +1

    Kaka joel,Jana nimetuma pesa ya kitabu cha money formula,na msg nimetuma WhatsApp,lakini kitabu sijapata mpaka sasa?msg hazisomwi.ninauhitaji Sana wa hicho kitabu mbona sipewii???

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před rokem

      Pole kwa kuchelewa kupata, Tuma neno BADO kwenda watsapp 0742 112 946 utasaidiwa kukipata leo

  • @baboudeira9249
    @baboudeira9249 Před rokem

    🇧🇮🇧🇮🙌🇧🇮🇧🇮

  • @zabronmarco1430
    @zabronmarco1430 Před rokem

    💯💯💯

  • @alexsichivura5928
    @alexsichivura5928 Před rokem

    mjomba je kama kipato unacho PATA mfano kama kwasiku unapata 8000 je bajet yakuwekeza unaweza kufanyaje Ili izalishe

  • @zizoughost9454
    @zizoughost9454 Před rokem

    Wacha nianz kutumia hii njia

  • @yusuphkhan8963
    @yusuphkhan8963 Před rokem

    Naomba ushauri siye wengine kinacho tumalizia Hela ni bando Sasa kati ya kununua bando kidogo kidogo na kununua bando jingi Kwa wakati mmoja kipi boraa ??

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem

    😘🙌🏿✍️

  • @user-jn9rc3oj2k
    @user-jn9rc3oj2k Před rokem +1

    Hii mbona Kama umeirudia mkuu

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 Před rokem +1

    Shukrani