MBWADUKE: VERY SERIOUS! AISEE SIMBA KWA STRAIKA HUYU WATU WAJIPANGE/ ANATISHA MABAO, ASSISTS...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 07. 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

Komentáře • 40

  • @user-zv2cp5bz3t
    @user-zv2cp5bz3t Před 2 dny +8

    Mung walind wachezaj wet na hasad za yanga

  • @user-su1gt7gn4g
    @user-su1gt7gn4g Před 2 dny

    mwenyezi mungu tumelia sana tunaomba uwapenguvu wachezaji na uwalinde na majeraha Simba nguvu moja

  • @justinmwanyingili8073
    @justinmwanyingili8073 Před dnem +1

    Sana ndugu zangu nikuomba sana kwa mwenyezi mgu Tim yetu ya simba nipende kuwatakia usajili mzuli

  • @ifmknowledgepower7333
    @ifmknowledgepower7333 Před 3 dny +5

    Huyu mwamba Mimi Nina imani kubwa naye, akimpata na mpanzu moto utawaka

  • @FreniceFrenice
    @FreniceFrenice Před 2 dny +3

    Mungu wasidie wachezaji wa simba msimu huuu

  • @jacobando7186
    @jacobando7186 Před 2 dny +2

    Mungu awatie nguvu tupate furaha kwenye Simba yetu

  • @AmiryHamza-gs8pp
    @AmiryHamza-gs8pp Před 2 dny +3

    Mungu atusaidie wachezaji waipende simba

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky6973 Před 2 dny +2

    Mungu naomba uwalinde wachezaji wetu wakinge na maradhi na uwalinde na hatari zozote
    ❤❤❤❤❤💪

    • @WalterJosephat
      @WalterJosephat Před dnem +1

      Heshima ya simba msimu huu ni viongozi kuwa na wachezaji karibu nao

  • @danfordbarnaba4423
    @danfordbarnaba4423 Před dnem

    Good analysis sir

  • @rahmamussa5683
    @rahmamussa5683 Před 2 dny

    Mayele watamtambulisha mwisho niko hapa mje mnipe maua yangu❤❤❤ simba nguvu moja

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y Před 2 dny +3

    Simba sasa waache tofauti zao ili kuwa karibu na wachezaji wao kwanza Uongozi, Bench la ufundi na wanachama anzeni na namba 1moja ili wachezaji wajisikie kama wapo Nyumbi tu viongozi ndo chanzo cha kuwagawa wachezaji na kila kitu kuharibikaaaa Acheniiiiii

  • @justinmwanyingili8073
    @justinmwanyingili8073 Před dnem +1

    Tuko pamoja tusikate tamaa

  • @VenastusMuganga
    @VenastusMuganga Před 2 dny

    Utasubuliwa sana na simba.

  • @justinmwanyingili8073

    Sana apo nimoto tuu kama tuta fanikiwa 😊

  • @KapelahassanKapela
    @KapelahassanKapela Před dnem

    Allah bless ximb

  • @user-gz2or2ui9n
    @user-gz2or2ui9n Před 21 hodinou

    Duh huyu jamaa kwa uchambuzi tuko vzr sana

  • @JumaBakari-pt9lr
    @JumaBakari-pt9lr Před 11 hodinami

    ❤❤❤

  • @maxgerad5083
    @maxgerad5083 Před 2 dny

    ❤❤❤❤

  • @BazuuKanakarha
    @BazuuKanakarha Před 2 dny

    We huyu ni moto 🔥🤣

  • @julianajeremiah4353

    Wasimloge tu majirani hahaha

  • @darlingtonekagose2750
    @darlingtonekagose2750 Před 3 dny +2

    Kabla yote nshaota hii kiru😊

  • @HamzaMbatto
    @HamzaMbatto Před 2 dny

    jamaa anamkwara 😂😂

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Před 2 dny

    Mo Tafadhali huyo Mangungu akileta kujua na au kugawa wachezaji ataolewa hapo kwa njia asizoweza kuhimili atachota kilichomchelewesha kujiuzuru.

  • @rashidimalolo3894
    @rashidimalolo3894 Před 3 dny +2

    Uyu mukwala ni mali haswa

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 Před 2 dny

    Ile somba ya kina kagere kahata mugalu naona inarudi tena kwa maranyingine

  • @HamzaMbatto
    @HamzaMbatto Před 2 dny

    jamaa anamkwara 😂😂 9:48

  • @WorldView24hrs
    @WorldView24hrs Před 2 dny

    Yanga wakimloga mtamkataa

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 Před 2 dny

    Nasema hawa wachezaji lazima kwanza simba hii tuwakinge na kisomo cha kumuapiza mtu ikiwa watafanyiwa ushirikina na hasa na yanga .kazi waliobaki nayo nikuvaa misuli kama wanamabusha

  • @AndrewLikiti-yb2ws
    @AndrewLikiti-yb2ws Před 2 dny

    Uko VEMA Mkuu Mchambuzi mbobezi.

  • @user-ys4zk3hx4f
    @user-ys4zk3hx4f Před 2 dny +1

    Huyu ndo mchambuzi sio kina baba levo

    • @princetongejr
      @princetongejr Před 2 dny

      Hahahahaha Kwan baba levo mchambuzi wa nin jmn hukoooooooo 😂😂😂😂😂😂

  • @danielmgina7375
    @danielmgina7375 Před 11 hodinami

    Kweli wewe ni mbwaduke statics Father unafanya kazi yako ipaswavyo mnooo hata awe mchezaji mbaya kias Gani akifika kwako ni mzuri saana akiwa mzuri pia ni mzuri saana kweli sasa nimeelewa usemi kazini Kuna kazi @oscar Oscar @Kaka wa Arsenal Eddo@ Baba levo Tukutane Jana na Leo

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo Před 2 dny +1

    Hawezi kutusumbua sisi yanga

  • @HamzaMbatto
    @HamzaMbatto Před 2 dny

    jamaa anamkwara 😂😂

  • @HamzaMbatto
    @HamzaMbatto Před 2 dny

    jamaa anamkwara 😂😂

  • @HamzaMbatto
    @HamzaMbatto Před 2 dny

    jamaa anamkwara 😂😂