Simba sasa waache tofauti zao ili kuwa karibu na wachezaji wao kwanza Uongozi, Bench la ufundi na wanachama anzeni na namba 1moja ili wachezaji wajisikie kama wapo Nyumbi tu viongozi ndo chanzo cha kuwagawa wachezaji na kila kitu kuharibikaaaa Acheniiiiii
Nasema hawa wachezaji lazima kwanza simba hii tuwakinge na kisomo cha kumuapiza mtu ikiwa watafanyiwa ushirikina na hasa na yanga .kazi waliobaki nayo nikuvaa misuli kama wanamabusha
Kweli wewe ni mbwaduke statics Father unafanya kazi yako ipaswavyo mnooo hata awe mchezaji mbaya kias Gani akifika kwako ni mzuri saana akiwa mzuri pia ni mzuri saana kweli sasa nimeelewa usemi kazini Kuna kazi @oscar Oscar @Kaka wa Arsenal Eddo@ Baba levo Tukutane Jana na Leo
Mung walind wachezaj wet na hasad za yanga
mwenyezi mungu tumelia sana tunaomba uwapenguvu wachezaji na uwalinde na majeraha Simba nguvu moja
Sana ndugu zangu nikuomba sana kwa mwenyezi mgu Tim yetu ya simba nipende kuwatakia usajili mzuli
Huyu mwamba Mimi Nina imani kubwa naye, akimpata na mpanzu moto utawaka
Mungu wasidie wachezaji wa simba msimu huuu
Mungu awatie nguvu tupate furaha kwenye Simba yetu
Mungu atusaidie wachezaji waipende simba
Mungu naomba uwalinde wachezaji wetu wakinge na maradhi na uwalinde na hatari zozote
❤❤❤❤❤💪
Heshima ya simba msimu huu ni viongozi kuwa na wachezaji karibu nao
Good analysis sir
Mayele watamtambulisha mwisho niko hapa mje mnipe maua yangu❤❤❤ simba nguvu moja
Simba sasa waache tofauti zao ili kuwa karibu na wachezaji wao kwanza Uongozi, Bench la ufundi na wanachama anzeni na namba 1moja ili wachezaji wajisikie kama wapo Nyumbi tu viongozi ndo chanzo cha kuwagawa wachezaji na kila kitu kuharibikaaaa Acheniiiiii
Tuko pamoja tusikate tamaa
Utasubuliwa sana na simba.
Sana apo nimoto tuu kama tuta fanikiwa 😊
Allah bless ximb
Duh huyu jamaa kwa uchambuzi tuko vzr sana
❤❤❤
❤❤❤❤
We huyu ni moto 🔥🤣
Wasimloge tu majirani hahaha
Kabla yote nshaota hii kiru😊
Hahahahha! Hongera kwa ndoto nzr
jamaa anamkwara 😂😂
Mo Tafadhali huyo Mangungu akileta kujua na au kugawa wachezaji ataolewa hapo kwa njia asizoweza kuhimili atachota kilichomchelewesha kujiuzuru.
Uyu mukwala ni mali haswa
Ile somba ya kina kagere kahata mugalu naona inarudi tena kwa maranyingine
jamaa anamkwara 😂😂 9:48
Yanga wakimloga mtamkataa
Nasema hawa wachezaji lazima kwanza simba hii tuwakinge na kisomo cha kumuapiza mtu ikiwa watafanyiwa ushirikina na hasa na yanga .kazi waliobaki nayo nikuvaa misuli kama wanamabusha
Uko VEMA Mkuu Mchambuzi mbobezi.
Huyu ndo mchambuzi sio kina baba levo
Hahahahaha Kwan baba levo mchambuzi wa nin jmn hukoooooooo 😂😂😂😂😂😂
Kweli wewe ni mbwaduke statics Father unafanya kazi yako ipaswavyo mnooo hata awe mchezaji mbaya kias Gani akifika kwako ni mzuri saana akiwa mzuri pia ni mzuri saana kweli sasa nimeelewa usemi kazini Kuna kazi @oscar Oscar @Kaka wa Arsenal Eddo@ Baba levo Tukutane Jana na Leo
Hawezi kutusumbua sisi yanga
Sawa
jamaa anamkwara 😂😂
jamaa anamkwara 😂😂
jamaa anamkwara 😂😂