NI KWA MAMLAKA GANI UNATENDA MAMBO HAYA: Marko 11 : 27 - 33

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 05. 2024
  • Yesu aliulizwa swali muhimu sana na wakuu wa dini ( Mafarisayo na Masadukayo na makuhani wasomi wa torati waliobobea) yaani wazee wa dini waliobobea na walioheshimiwa mno.
    Wakajiuliza maswali mengi mno, amepata wapi huyu mamlaka ya kulaani mti leo na kesho umenyauka, mamlaka ya kubariki mikate mitano na samaki waili halafu wanakula watu kama elfu kumi na zaidi na inabaki;
    Mathayo 14 : 15 - 21
    Yohana 11 : 38 - 44

Komentáře • 8