HARMONIZE APAFOMU KIMAKONDE, RAIS SAMIA ASIMAMA KUCHEZA MTWARA, NI BALAA!
Vložit
- čas přidán 14. 09. 2023
- HARMONIZE APAFOMU KIMAKONDE, RAIS SAMIA ASIMAMA KUCHEZA MTWARA, NI BALAA!
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Wa Kwanza mm hapa...nipewe likes zangu
Jeshiiiiiiiiiii on top of the world 🌎🌍 God is right for real 🔥🔥🔥🔥
Safi Sana mmakonde wetu
Huyu mmakonde katupeleka mbali sana 😍 ni raha tupu wamakonde wenzangu💖💖💖💖💖
Jamani wamakonde wote pamoja sana 😍💯
Nzuri sana
Big up konde be bless
Safi sanaaaaaa 💪💪💪💪💪💪
Mmakonde noma ngoma ya kingereza inakua hit
❤🎉
Naomba kuuliza wapendwa ni lini hii ?
Jeshiiii mwenyewe❤❤
Big up konde
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
🔥🔥🔥
❤❤❤❤❤Mama tunakupenda
❤❤
Chef sana
Safi sana!
Nic
MAMA YUKO KAZINI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nice song
Wasanii waelimishe jamiii, waache siasa!
Uyu dogoo yuku juuu sana
Imekaa poa sana❤❤❤❤❤❤❤❤
Wa kukay mpkaa raha
Konde Boy we ni mwamba🖐🖐🖐
❤❤❤❤❤❤kusini juuu
Pamoja, wengine watangoja.
😅😅😅
H. Babababaaaaba
🎉🎉🎉🎉🎉😢tembo kama tembo😢😢😢 kuchina
Nakubali bwana Tembo konde boy
Konde boy number one
Shikamooo kondeeee
Konde boy
Tembooo
🦣🦣🦣❤️❤️❤️
Nyimbo haiendani na tukio halafu ni amapiano ya Afrika ya kusini.
Inawaumaga hyooo😂😂😂
@@musiccaentertainment100k8sijui anaumia akiwa wapi maskini
@@musiccaentertainment100k8 hata ni maajabu mbele ya mh rais MTU anaimba amapiano halafu yuko Single hivi mh rais anaweza akanyanyuka acheze nyimbo za kihuni? Kashtukizwa hadi kushindwa kutunga nyimbo kufuatana na tukio?
@@hashimchaoga9566si afadhali huyu kuliko huyo zuchu alieimba Honey mbele ya Samia 😂😂
@@annasolomon9855 Hiyo nayo si sahihi. Single again na amapiano zote si sahihi katika matukio kama hayo
We kwanini unajiita jeshi? Huogopi?
Wao wanataka mavazi Yao tu
Aogope nini.. mwanajeshi ni mtu yeyote Jasir mwenye moyo wa kutokukata tamaa kama huyu Harmo 😊
Hujui kicheza kama mwehu vile
Mmmh Hadi nakucheka unavyotaka kupasuka kwa chuki, 😂😂 pole ndugu Konde is on top always!
Ye anaimba cheza wewe
Ukicheza wewe inatosfa
🦣🦣💪