Harmonize Live Performance in NANGWANDA (MTWARA) Part 1
Vložit
- čas přidán 10. 06. 2019
- For Bookings contact : bookharmonize@yahoo.com
Follow Harmonize on:
Twitter : / harmonize_tz
Facebook : / harmonize255
Instagram : / harmonize_tz
Copyright ©2018 WCB WASAFI .All rights reserved. - Hudba
Yaani uyu jamaa anapiga show mwenyewe hivi duh hongera sana kijana mwenzangu
lex chumajr wenye wivu wanasema kutoka wcb ameisha lakini miziki wanayo
Jeshi ni moto balaa kbsa, hakuna mwingine kimuziki isipokuwa Ni harmonize konde boy jeshi AKA tembo. I salute u!
Mtwara people really support this guy, I'm alongside you guys. This is our @konde boy. Much love
This Performance is soooooo liiiiiiit
Harmonize big up...
Nairobi KE..LOUD
How many people got love for Harmonize
Wamakonde wana umoja duh had raha huo umati
Haromize thisnis great boss. AIMÉ. M. HAPA. nitafute mwanangu
So am the first viewer? I deserve likes for this🙈🙈🙈
This guy is doing marvelous kwa industry ya msiki big up harmonize much love to you
All those people.. supporting harmonize..much love tho
Huyu jamaa ndo mwenye shoooooo wengine warisindikiza tuu msafara
Maisha haya utakiwi kukata tamaa
Ukimtoa diamond ,harmonize anasimama vizuri
MUSSA RASHIDI haina ubishi
Kabisa alafu uyu akua na wasika mkono lakini amepata watu
Sanaaaa
Kweli
harmonize...nice paerformance. #mtwara #
Dgo anaweza xnaan huyu ndo ataekja mpindua mondi amin nakwambia
Jimmy Joyouz Atasubri San kwa Simbaaaaa
Hawez kunbidua banaake ww mond hanaga mpenzan sana tu labda amwachie mana nizao lake mwenyewe
Nyie ngja muone...mond 2mpe 3yrs later hana mzki anaofnya,sema ela 2 znamlinda..Katoa inama+one i love.bt hazijafkia record ya kwangwaru,iokote n tetema kwa ustaa wake..tetema ina hit leo hio kulko nymbo zake mpya
Amin 3yrs later 2naenda msahau🎤
Me Jimmy nimemuelewa yaan mond kwa sasa hana hit ukisema kwangaru ni hormoniz ukisema tetema ni ya ray na hizo ndio ngoma kar za miaka hii miwili ndan ya WCB na ukitoka nje ya WCB utapata iokote ya mau sama ..kwaio km mond akiendelea hiv bhas baada ya 3 years tutaongea mengine ............kwa mfano ukiangalia Niagara kulikua p.square akaja d.banj ila akaja davido sasa wizkd ndio tishio kwaio mond anaweza kushuka konde boy akapanda na pia sio zambi mond kushuka konde boy kua juu bado mond atakua na heshima yake km boss pia
Nakuwamin sanaaa
He killed it 🇹🇿😍! From Congo 🇨🇩
Wow this is great.
Sijachelewa ila uliua mzee baba
Baada ya simbaaaaaaaa pia wototo wa simba hawajakaaa mbali
Kwa balaa la uyu jamaa.. Simba akasome
Shaster TV hv nyie mnaem hv mlianglia show ya mond kaham au mnalopoka tyu
Akasome kweli sio masihara mkuu
Gonga like kama umeona bordiguard alivyo mfunza shabiki adabu aliyetaka kumtungua hamo😂😂😂😂
Kaka umetish amn ch alikiba ap ni mwend wa mond na kond stor zinazovua
Wamakond wanaumoja duu kam wameingia bureee duuuuu
upo sawa kijana unajitahidi harmo
Harmonize na staili zake mbili za kucheza uwa haziachi
konde we umeshtoboa kaaza buti ufikishe mziki wa bongo mbali bleeesed konde komaaa
umetisha hom nitakupenda daima
Never give up it's my favorite song.
Hongera sana kaka
Uyu ndio hamonizi conde boy
Umetisha konde boy 🦂🦂🦂🔥🔥🔥
Dogo umetisha💪🔥🔥🔥🔥
Salamu kwa yooooooo
hivi Team kiba tunacoment wapi
🤣🤣🤣hata Mimi nimejiuliza
Timu kiba ndio timu konde jomon
Team kiba mtulie tule show kubwa yenye utamu na burudani Sana ya harmonize konde boy jeshi AKA tembo yaani konde gang for life kbsa!
Kwa kasi hii awavijana wa wcb akuna wakubakamata
Pamoja sana konde boy
Yaan wamejaa htr mskitin au makanisan hawajai ivi duh
Nafsi balaa. Kikubwa kujitambua tu! Na wanaopotosha wenzao ni Waislamu wenyewe. Ndio maana Allah analeta wengine sisi wanafiki.
Daaah, hongera bro
Kizazi sanaaaaaa kond boyyyyyyy
Jeshi la mtu mmoja
dude keep it burnining you inspire me a lot
Wamwisho anakua first
Ukweli kaka,,Mimi APA Kenya ndiye nitajaza stadium one day,najiandaa
Jesh mtu mbadiiii💥💥
Gudy sana konde
Tanks harmonize.
Konde gang uhakika sanaaaaa
Big up sana Konde kazi buti dogo
Noma na nusu dah
This is wat we call a supper star....
Big up konde boy
Much love
Nakukubali kinyama konde boy
From 254 I love konde boy
Harmo hii iko liiiiit sana
Duu siyo kwa shazi hii hamo
Mmoja tu
Hv sasa yani ukimtoa mond anae fatia niuyu harmonize akuna Kiba wala kipayu huyu ndio anatakiwa kuchuana na mondi lkn cyo Kiba
Sam Genster wanaobisha watakua hawajui mziki ipo wazi
Itakuwa unatoka usingizini, ikiwa Mond yenyewe anamuheshimu Kiba wewe unapata ujasiri gani kumwambia legend wa miaka 17 kwenye game la mziki kuwa hajui ? Duh umeshindwa kutafakari
Yametimia sasa wanachuana
That comment aged well
wow never give up i like it
Nomaaa sanaaaa tisho sio kitoto
Great Job
We sasa chui
hapo kila mtu 10000 sio bure kama kure mwisho wa reli
Jamaa kakomesha hakuna baba wala mama lao
Jeshi lamtu mmoja
Your #Aking 👑😍😍😍😍😍
Respect love brooh
Utàbaki kileleni broo #sammy j
Kama unamkubali jeshi jeshii
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 Tank you.
Ule msemo waenda aje ati mcheza kwao....?
GUD
sahaman lakn, hv mwaka huu fiesta ln aisee. ha ha haa
Saanaaa konde boy
mm uwa naxema hivi konde booooooooooooyyyyyy
Shukuru diamond alikushika mkono
Gladys Ngami Makau kushikwa bila bidii yake angefika penye ako sai mtu ka lala lava ama mboso watoke wanaisha bt uyu ni jeshi mmoja
Sioni konde boy akimaliza another two years akiwa wasafi
Kwani we unadhani konde boy akiwa mkubwa zaidi ndio hawezi kuendelea kuwa chini ya WCB?
Wasafi ndio waliomkuza hawezi kutoka kamwe yeye mwenyewe anaheshimu sana WCB
Kwani anamiaka mingapi pale now...zaman ndo wasanii mawaki wanapagawa kifala now madogo...wameshtuka..ɓro
Hatari hatari kila laheri
Unaweza kaka
Jeshiiiiiiii konde boy
We ni fire bro nakuelewa kinoma
NEVER GIVE UP
Wewe mutuwangu kbs
show lov
Rahaaa
mzaliw kwao
Jeshi la mtu mmoja safi sana
👍👌👏💯
dogo konde boy anatixha xana naomba afanye show meru?
wakwanza
#nevergiveup
Jeshi we noma sana
Uko poa kk kaza mwendo to
Jesh la mtu mmoko komesha
Ngono
kondeee boyyy
Hatareeee
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Respect
Hukosei kond
Fireeeee
This is great keep up Kaka kwetu Kenya kuona halaiki Kama hii labda hiwe Niyakisiasa si usaniii
Good my brother
Sema jiandae kutoka wasafi maana sio kwa kuonyesha uwezo huo
Wailes Deus acha unoko atoke wasfi ww ndo ulimpeleka huko nyie ndo wale wale umepata mafnkio kidgo unaanzish zarau kwa boss wako
Yaani mashabik wa Wcb tulivyo ukitoka tu wcb pia nasis tunakukataa hata amini kitakachomtokea,kwni mAvoko yuko wp?
Ata diamond Iishikwa mkono
We noma konde
Ungemchukua na movoko mana nae yuko vizur amekosa tu saport