HARMONIZE aanzisha KAMPUNI ya BETTING/APANGA kushindana na DIAMOND/TAZAMA UZINDUZI wake ni BALAA....
Vložit
- čas přidán 26. 07. 2024
- _________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe CZcams channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp - Zábava
Napenda sana kwa uthubutu unafanya katka kutafta pesa ila sipendi vile unavyomdharau diamond
Mnajitahidi sana kumpga vita mond lakin mnashindwa na mtaendelea kushindwa
Sikupendi kwa sababu unapenda ugomvi sana na UNADHARAU bila Mond usinge fika hapo ila matusi kila kukicha
Hata wewe kuna watu awakupendi virevire😂😂
Kunywa sumu ujiue km humpendi😅😅
Haha sio lazima umpende wewe penda tu watu wa kwenu 😅
Hata wew pia kuna aina ya watu hawakupendi ila kaa ukijuwa mungu wetu wa mbinguni anatupenda wote
Kwan we MUNGU ww mwenyewe nan anakupenda
Yani ww sikupendi hujuwi tuu!! Fanya maisha yako pasipo kuangalia mond bhn...... Tumekujuwa kuptia diamond
Hakuna hata congrats because hawezi kuwa wa.bunifu wa another business than to follow Diamond business I don't know why this people kama una pesa vitu va kufanya ni vingi wanapata tabu wasio na mitajii. Mwingine Radio, sasa mwingine kaja kubeti kazi ngojeni Dai anzishe kingine tena muige maana many business you can do kushindana na mtu aliye watangulia waigaji it's impossible bro
Tatizo hamfanyi vitu kwaajili yenu mnafanya ili mumshushe mond hiyo ni mbaya ndiyo maana vitu vyenu haviendi😢😢😢
Mbn hata mond haviend 😂😂
@@toneboytz6655 utakuwa umeshazikwa.
@@toneboytz6655wewe malaya wa buzaaaa tulia
Nothing special, Sasa ata makofi ni kulazimisha... Unaiga mondi kila kitu, Ila hufiki
Kampuni za betting zipo nyingi siyo ya Wasafi Bet tu.Kama ana akili hiyo atafeli tena kama alivyofeli kwenye Muziki wake na Label yake ya muzki pia.
Mchawiii weweeee
Huya jama hana hakili! Nipo Congo/ goma ila namuona kama mchawi . angeli feli angeli funguwa kitu ya pesa?
Utakufa kundu wewe
@@AkonJacquesAkonkwa kwani kufungua ndiyo nini? Hapa Bongo mambo ni mengi.Toka ameanzisha Label ya muziki amemuinua nani mpaka akafika level ya mbosso,zuchu,rayvanny na yeye mwenyewe.Halafu muziki angalia nyimbo anazotoa Siku hizi,then angalia anavyohangaika na mitandao kwa mambo ya unafiki.Nawaambieni huyu ni wale ambao vichwa vyao ni vizito sana.
@@nishgold4160 Hamna kitu hill ni Bomu tu.Tena ashukuru hapa TZ tunampokea yoyote yule.lakini kwenye viwango vya kimataifa asahau kabisa.
Kwani lazima ufanye Kenye mond amefanya c ukawuze pilili ww na kiba munaiga simba
HAMUEZI MOND😂😂😂😂
Congratulations broo that's is life need to struggle 😢😢
Harmonize ni mmoja2 mungu yup bro pambanaYou got there because of God and don't get tired of praying t🙏🙏🙏❤️o him every day
Few people who got deceived by crybaby.He has started his own label and what went wrong between him and the artists signed under his label.Right now there is only one artist under his label who actually never grow.He thought and got a wrong advice that to initiate a conflict and attacking Diamond platnumz will take him to the top.Unfortunately Diamond platnumz collected more fans and even fans like shifted complete to Diamond platnumz.When you are employed respect the contract,......Harmonize got it all wrong......Diamond platnumz the level he is,Harmonize will never ever get there.DIAMOND PLATNUMZ IS THE SCHOOL OF BONGO FLEVA.
Baba ni Baba😂 haujui
Tunakupenda sana
Cy kwa ubaya ila kwa 2liosom business 2shajua kinachoenda kutokea, kwa m2 aliyefanikiwa ukijarb kumuiga kila k2, kuanzia v3 Kuna k2,laZm ukimuiga laZm ulkifeee
Mlio nielew bhc😮
🎉
Congrats
great san konde
Jaman naamin hii post itapa comment nying naomba ukiinhia ku comment bas pitia kwang unisapoti uone ninacho kifanya nitashukuru sana 🙏
Uchafu
Nani amesikia “medias”?
Hata alikiba anayo,baba Levo anayo......DIAMOND PLATNUMZ NI LIDUDE.Kwa hapa Tanzania na east Africa DIAMOND PLATNUMZ AMESHAWAACHA NA HAWAMUONI TENA.
Ila nyie watangazaji n wabaya sana yaan sana wa kibongo duh kasema nnashindana na diamond kwn hyo diamond ivyo vtu anavyovifanya yy ndio wa kwnz s kuna watu wamefnya nyuma yke na yy akafnya pia kwhy alikuwa anashndananao😢ovyo kbsa
Konde boy
Pumbav mnanyonya wananchi arf mna sifia rais mknd nyieee