BALAA la HARMONIZE MBELE ya RAIS SAMIA, WAKATA MAUNO na H BABA Si ya KITOTO, Watu WAWAMWAGIA HELA..
Vložit
- čas přidán 22. 11. 2021
- BALAA LA HARMONIZE MBELE YA RAIS SAMIA USIPIMEE, WATU WAMMWAGIA MIHELA...
Msanii Harmonize ameperfom leo, katika hafla ya uzinduzi wa wiki ya nenda kwa usalama barabarani iliyofanyika jijini Arusha ambapo mgeni rasmi katika hafla hiyo alikua Rais Samia.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Zábava
Huyo ndio jeshiiii msanii
Pekee mwenye uwezo wa kumiliki
Jukwaa lolote dunia bila dancers
Na kikaeleweka💪🐘🐘🔥🔥🔥
Dogo acha sifa za kijinga hizo utakuja kupigwa dole
Mmmh so Kweli
@@sarahgaula2220 mnateseka mkiwa wapi?🤣🤣🤣 kazi inaongea
Ni kweli kabisa Yaani jitihada zake ni mfano kwetu 😍
Aksante Sana konde boy pigs kazi kaka Jana ulikua dar leo Arusha unafanya kazi ya jamii vyema sio kama wale ambao kutwa kutuimbia matusi Hongera Sana konde
Pamoja sana🙏🏼😍
Kila mtu na bahati yake jmn,kijana anapambanaaa huyo hongera zake nyingi kwake
Ongela sana tembo pambana tunakupenda ♥️♥️♥️🔥🔥
Kabisa
Uko sehemu gani omani
@@baysuraoman7910Niko oman
@@gboman166 ok mm pia niko oman
Pamoja sana🙏🏼😍
Huyu ndo Msanii hasaa, sio Naseb na nyimbo za matusi tu huko WBC Hongera sana Harmonize .
Pamoja sana🙏🏼😍
ila mbunge hamonize umetishaa 🥰🥰🥰🥰🥰
Jeshiii 🔥🔥🔥🔥
Jeshiii 🔥🇰🇪💯💯
Sio uchawi ni maombi kondeboy mjeshi for everybody nionesheni kwa kulike Kama unapenda jeshi
Mungu akupe maisha marefu konde boy
Jeshi kama Jeshi safiiiii
Serikali haiiti wanyonyaji wa haki za wengine kaeni kushoto
😂🤣🤣
We mungu wa bongfreva kwa xax aminia konde boy mjexhi
Hongerz
Huyo ndiyo jeshiiiiiiii sasa🥰🥰🥰🥰🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Proud of u tembo kip going
Jeshiiiiiii
naona wala unga wamepanick selikali ailogwi ingekua inalogwa basi angekuwepo uyo simba nyau kuja kuwatukana watu hadharani ila ndo ivyo tena watu wema wameitwa na selikali kwaiyo musiumie jaman tembo 🐘🐘 kashawakanyaga vumilieni maumivu 🤣🤣
Pamoja sana🙏🏼😍
Yaani wavuta bangi ndiyo watu wema haya bana
Mwambieni yule mchawi huwezi iloga selikali halafu konde ndio anapendwa balaa na selikali hapa konde hapa kiba rahasana uchawi hauwendi kwa mentali 💪💪💪💪😄😄😄😄😄
Brazzza villy
Jeshiiiiiii 💪💪💪💪💪
Huwa nikomtazama h baba nafurahi sanaa
I love U BRO
Good good 👍
Jeshiiii
Jeshiiiiiiiii
Motoooo
WASAFI Mungu awazidishie pale mlipotoa kumpika Kijana huyu ambaye sasa ni kipenzi cha wote waliokuwa wanawapenda kwa moyoni lakini wanavungaaaaaaa machonii. Shabaki wote wa Konde Gang ni wenu kwasababu mtoto ni hakosi damu ya babaaaaaaa
Konde boy 🤴🏻✨ all the best
Harmo 🔥🔥🔥🔥🔥🚒🔥🔥
Diamond najua anaungua mahali yupo
Elibarik
Mmmmmmmmmm
Jicho liko nyanya alishakula kijiti mbele ya polisi 😂😂😂
Bass haya
konde gang for life 🇿🇲🇹🇿🇹🇿
Mashaallah konde boy
Imeweza kama yangu
Sauti hamuna
Nampenda Sana h Baba mkaka ananyonga
Dogo ana balaa sana huyu! Wale wazinguaji waangalie sana! Huyu dogo bongo nyingi kichwani!
Jamani nauliza diamond 💎 kasafiri?!
Ticha ticha konde🇹🇿💪💪💪💪
Watanzania bwana ukiwa chin,wanakusaport sana,fanikiwa sasa wote wanaungana kukusha.wasapotin vijana wenu tuwe na akina diamond wengi Achen wivu
Nakukubal San jeshiiii
Konde 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sawaaa konde nimekuelewa
Mhhh...
Konde boy jeshiii
Diamond huwezi muona kwenye show za buza
Show za buku huwezi muona simba wanao tafuta jina ndo wanaenda
Tembo💟
Bureee 🤣🤣🤣
.mzee wa ku rukaruka
Msiwe na wivu jmn msifieni mwenzenu,chibu ametokea wapi hapo Sasa??????
Hahahaha
Chibuchibu angefanya nini zaidi ya kushika uchi wake tu kwendeni zenu huko ns roho mbayaaa piga kazi Harmonize watu wanaumiaaàaaaa
Yaani wajinga wote wanaumia hata usingizi hawapati kabisa Harmonize piga kazi kijana wangu😘🙏🏼😍💯
Jeshiiii mitano tena wasokupenda imekula kwao
Hahaha
@@hadija846 mbona mnahisi???!!! Anaumia na kitu gani sasa!!!
H baba lazima akaombe er10 hpo hawez kumuacha sarama
H Mama amezeeka magoti hakubali
mbna wamepoa km wamemwagiwa maj
dogo pigazoezi sauti inaondoka
Harmo jitahidi upungue
Mtakata nauno sana hata pesa unayolipwa ni ndogo sana alokuwa nauwezo wakumpa kazi mondi ni magufuri raisi wanaskini
Tumbiri wawili mnatingisha matako mfirwe na nani apa...wachafu nyinyi
atafirwa mamaako
Jamani hii ndo nini sasa?
Show kali
Penda ww
Tembo
Hamna kitu wabongo hawamwelewi kabisa angekuwa Simba??
Downoload
Kawaida Sana kelele nyingiiii!!! Angekuwa chibu hpo cjui leo
Angekuwa chibu angeshika dudu lake anaajabubgani huyo chibu 🤔🤔🤔🤔
Piga kazi dogo watu sanateseka hukuuu mtimanyongoooooooo
Pimbi kweli ww chibu mnamuona Kama mungu nyinyi Hana baya Yan munamuona nabii
Huyo chibu angekuja kukuimbia itie mate uzamishe kwa chini mbele ya Rais?
@@jamesjoseph6825 😂😂😂😂
Wewe fuga kifua tu ila jukwaa linakutupa mkono, huna maajabu tena mvuto unaelekea mwishoni
Bi kidude alikua na mvuto wa kila kitu ukilinganisha na hizo kelele zako.
Mmakonde bonge anahaha jukwaani pumzi zinakata kwa ubonge chipanzee viuno ndy mziki?kweli simba atabaki kuwa simba si kwa kuvinginyuka huko mibwanyenye🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
NAKUMBUKA SANA NYIMBO ZA BAND ZETU JAMANI KWELI SIKU IZI HAKUNA CHA MAANA ,HUU NI WIMBO GANI?VIJANA WAMEISHIWA TOTAL.HUYU HANA MAANDALIZI YOYOTEMASKINI ANAAMUA KUIMBA COPY .NA KWA KIWANGO CHA CHINI,NAWAKUMBUKA SHEREHE KAMA HIZI VIJANA JAZZ MWENGE JAZZ JUWATA NK.