BALAA la HARMONIZE MBELE ya RAIS SAMIA, WAKATA MAUNO na H BABA Si ya KITOTO, Watu WAWAMWAGIA HELA..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 11. 2021
  • BALAA LA HARMONIZE MBELE YA RAIS SAMIA USIPIMEE, WATU WAMMWAGIA MIHELA...
    Msanii Harmonize ameperfom leo, katika hafla ya uzinduzi wa wiki ya nenda kwa usalama barabarani iliyofanyika jijini Arusha ambapo mgeni rasmi katika hafla hiyo alikua Rais Samia.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
  • Zábava

Komentáře • 106

  • @saidially5892
    @saidially5892 Před 2 lety +19

    Huyo ndio jeshiiii msanii
    Pekee mwenye uwezo wa kumiliki
    Jukwaa lolote dunia bila dancers
    Na kikaeleweka💪🐘🐘🔥🔥🔥

    • @mbogofrank1154
      @mbogofrank1154 Před 2 lety +1

      Dogo acha sifa za kijinga hizo utakuja kupigwa dole

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 Před 2 lety

      Mmmh so Kweli

    • @saidially5892
      @saidially5892 Před 2 lety +1

      @@sarahgaula2220 mnateseka mkiwa wapi?🤣🤣🤣 kazi inaongea

    • @hadija846
      @hadija846 Před 2 lety

      Ni kweli kabisa Yaani jitihada zake ni mfano kwetu 😍

  • @edgartemu8299
    @edgartemu8299 Před 2 lety +22

    Aksante Sana konde boy pigs kazi kaka Jana ulikua dar leo Arusha unafanya kazi ya jamii vyema sio kama wale ambao kutwa kutuimbia matusi Hongera Sana konde

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před 2 lety +35

    Kila mtu na bahati yake jmn,kijana anapambanaaa huyo hongera zake nyingi kwake

  • @gboman166
    @gboman166 Před 2 lety +15

    Ongela sana tembo pambana tunakupenda ♥️♥️♥️🔥🔥

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 Před 2 lety +7

    Huyu ndo Msanii hasaa, sio Naseb na nyimbo za matusi tu huko WBC Hongera sana Harmonize .

  • @tz_africatz9253
    @tz_africatz9253 Před 2 lety +5

    ila mbunge hamonize umetishaa 🥰🥰🥰🥰🥰

  • @halimahalima1984
    @halimahalima1984 Před 2 lety +8

    Jeshiii 🔥🔥🔥🔥

  • @goldenboy8385
    @goldenboy8385 Před 2 lety +6

    Jeshiii 🔥🇰🇪💯💯

  • @princenjoro7701
    @princenjoro7701 Před 2 lety +5

    Sio uchawi ni maombi kondeboy mjeshi for everybody nionesheni kwa kulike Kama unapenda jeshi

  • @veronicaseiyo4057
    @veronicaseiyo4057 Před 2 lety

    Mungu akupe maisha marefu konde boy

  • @kimlorahkimlorah
    @kimlorahkimlorah Před 2 lety +5

    Jeshi kama Jeshi safiiiii

  • @husseinsalimmaula4254
    @husseinsalimmaula4254 Před 2 lety +10

    Serikali haiiti wanyonyaji wa haki za wengine kaeni kushoto

  • @harmonizetz5861
    @harmonizetz5861 Před 2 lety

    We mungu wa bongfreva kwa xax aminia konde boy mjexhi

  • @lazarenzamuraga3725
    @lazarenzamuraga3725 Před 2 lety

    Hongerz

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 Před 2 lety

    Huyo ndiyo jeshiiiiiiii sasa🥰🥰🥰🥰🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @obirinaom9611
    @obirinaom9611 Před 2 lety +1

    Proud of u tembo kip going

  • @annastevensteven9515
    @annastevensteven9515 Před 2 lety

    Jeshiiiiiii

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 Před 2 lety +12

    naona wala unga wamepanick selikali ailogwi ingekua inalogwa basi angekuwepo uyo simba nyau kuja kuwatukana watu hadharani ila ndo ivyo tena watu wema wameitwa na selikali kwaiyo musiumie jaman tembo 🐘🐘 kashawakanyaga vumilieni maumivu 🤣🤣

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Před 2 lety +3

    Mwambieni yule mchawi huwezi iloga selikali halafu konde ndio anapendwa balaa na selikali hapa konde hapa kiba rahasana uchawi hauwendi kwa mentali 💪💪💪💪😄😄😄😄😄

  • @brazzavillyofficial8141
    @brazzavillyofficial8141 Před 2 lety +1

    Brazzza villy

  • @mtuwamwisho.509
    @mtuwamwisho.509 Před 2 lety

    Jeshiiiiiii 💪💪💪💪💪

  • @msafirisalum8436
    @msafirisalum8436 Před 2 lety +2

    Huwa nikomtazama h baba nafurahi sanaa

  • @angejeanboscohakizimana2402

    I love U BRO

  • @kaylahbaby6779
    @kaylahbaby6779 Před 2 lety +1

    Good good 👍

  • @hafidhinyupa8246
    @hafidhinyupa8246 Před 2 lety

    Jeshiiii

  • @aloysfussi3900
    @aloysfussi3900 Před 2 lety

    Jeshiiiiiiiii

  • @AlHassanMichuzi
    @AlHassanMichuzi Před 2 lety

    Motoooo

  • @jaywi5681
    @jaywi5681 Před 2 lety +12

    WASAFI Mungu awazidishie pale mlipotoa kumpika Kijana huyu ambaye sasa ni kipenzi cha wote waliokuwa wanawapenda kwa moyoni lakini wanavungaaaaaaa machonii. Shabaki wote wa Konde Gang ni wenu kwasababu mtoto ni hakosi damu ya babaaaaaaa

  • @joebaben9593
    @joebaben9593 Před 2 lety

    Konde boy 🤴🏻✨ all the best

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Před 2 lety

    Harmo 🔥🔥🔥🔥🔥🚒🔥🔥

  • @kengaemmanuel6021
    @kengaemmanuel6021 Před 2 lety +2

    Diamond najua anaungua mahali yupo

  • @charlesmungure358
    @charlesmungure358 Před 2 lety

    Elibarik

  • @shebbymusa4222
    @shebbymusa4222 Před 2 lety

    Mmmmmmmmmm

  • @Elite_Forex_Academy
    @Elite_Forex_Academy Před 2 lety +1

    Jicho liko nyanya alishakula kijiti mbele ya polisi 😂😂😂

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 2 lety +1

    Bass haya

  • @kennychifita4909
    @kennychifita4909 Před 2 lety

    konde gang for life 🇿🇲🇹🇿🇹🇿

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před 2 lety

    Mashaallah konde boy

  • @tuwatatu7256
    @tuwatatu7256 Před 2 lety

    Imeweza kama yangu

  • @tshibusaidi7467
    @tshibusaidi7467 Před 2 lety +1

    Sauti hamuna

  • @hanifaomar7438
    @hanifaomar7438 Před 2 lety +3

    Nampenda Sana h Baba mkaka ananyonga

  • @checkchannel3876
    @checkchannel3876 Před 2 lety +1

    Dogo ana balaa sana huyu! Wale wazinguaji waangalie sana! Huyu dogo bongo nyingi kichwani!

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Před 2 lety +1

    Jamani nauliza diamond 💎 kasafiri?!

  • @peragiaisdor6315
    @peragiaisdor6315 Před 2 lety

    Ticha ticha konde🇹🇿💪💪💪💪

  • @samwelmbeye3390
    @samwelmbeye3390 Před 2 lety +1

    Watanzania bwana ukiwa chin,wanakusaport sana,fanikiwa sasa wote wanaungana kukusha.wasapotin vijana wenu tuwe na akina diamond wengi Achen wivu

  • @devidyezakieli1684
    @devidyezakieli1684 Před 2 lety

    Nakukubal San jeshiiii

  • @edgeredson9691
    @edgeredson9691 Před 2 lety

    Konde 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @peterdalushi5713
    @peterdalushi5713 Před 2 lety

    Sawaaa konde nimekuelewa

  • @mwitaagness455
    @mwitaagness455 Před 2 lety

    Mhhh...

  • @navanjkiba2439
    @navanjkiba2439 Před 2 lety

    Konde boy jeshiii

  • @stephanosulle5485
    @stephanosulle5485 Před 2 lety +3

    Diamond huwezi muona kwenye show za buza

  • @sebatech3951
    @sebatech3951 Před 2 lety

    Tembo💟

  • @mandamaking474
    @mandamaking474 Před 2 lety +1

    Bureee 🤣🤣🤣

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Před 2 lety +1

    .mzee wa ku rukaruka

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před 2 lety +4

    Msiwe na wivu jmn msifieni mwenzenu,chibu ametokea wapi hapo Sasa??????

  • @naahsimaa7419
    @naahsimaa7419 Před 2 lety

    Hahahaha

  • @godfreymasele8853
    @godfreymasele8853 Před 2 lety +16

    Chibuchibu angefanya nini zaidi ya kushika uchi wake tu kwendeni zenu huko ns roho mbayaaa piga kazi Harmonize watu wanaumiaaàaaaa

    • @hadija846
      @hadija846 Před 2 lety +1

      Yaani wajinga wote wanaumia hata usingizi hawapati kabisa Harmonize piga kazi kijana wangu😘🙏🏼😍💯

    • @baysuraoman7910
      @baysuraoman7910 Před 2 lety

      Jeshiiii mitano tena wasokupenda imekula kwao

    • @MaaneML
      @MaaneML Před 2 lety

      Hahaha

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 2 lety

      @@hadija846 mbona mnahisi???!!! Anaumia na kitu gani sasa!!!

    • @meshackjailoss5825
      @meshackjailoss5825 Před 2 lety

      H baba lazima akaombe er10 hpo hawez kumuacha sarama

  • @agnesollie753
    @agnesollie753 Před 2 lety +4

    H Mama amezeeka magoti hakubali

  • @emanrajabu9195
    @emanrajabu9195 Před 2 lety +2

    mbna wamepoa km wamemwagiwa maj

  • @kikundahassani8149
    @kikundahassani8149 Před 2 lety +1

    dogo pigazoezi sauti inaondoka

  • @fatmamatola393
    @fatmamatola393 Před 2 lety

    Harmo jitahidi upungue

  • @athumanhassani9794
    @athumanhassani9794 Před 2 lety +2

    Mtakata nauno sana hata pesa unayolipwa ni ndogo sana alokuwa nauwezo wakumpa kazi mondi ni magufuri raisi wanaskini

  • @timelessdaddy.2542
    @timelessdaddy.2542 Před 2 lety +4

    Tumbiri wawili mnatingisha matako mfirwe na nani apa...wachafu nyinyi

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 Před 2 lety +1

    Jamani hii ndo nini sasa?

  • @baysuraoman7910
    @baysuraoman7910 Před 2 lety

    Penda ww

  • @baysuraoman7910
    @baysuraoman7910 Před 2 lety

    Tembo

  • @thehustlerafrica4368
    @thehustlerafrica4368 Před 2 lety +2

    Hamna kitu wabongo hawamwelewi kabisa angekuwa Simba??

  • @festojoseph6912
    @festojoseph6912 Před 2 lety

    Downoload

  • @samwelmakanzajr1194
    @samwelmakanzajr1194 Před 2 lety +2

    Kawaida Sana kelele nyingiiii!!! Angekuwa chibu hpo cjui leo

    • @godfreymasele8853
      @godfreymasele8853 Před 2 lety +4

      Angekuwa chibu angeshika dudu lake anaajabubgani huyo chibu 🤔🤔🤔🤔

    • @godfreymasele8853
      @godfreymasele8853 Před 2 lety +5

      Piga kazi dogo watu sanateseka hukuuu mtimanyongoooooooo

    • @haroubabuubakar6277
      @haroubabuubakar6277 Před 2 lety +2

      Pimbi kweli ww chibu mnamuona Kama mungu nyinyi Hana baya Yan munamuona nabii

    • @jamesjoseph6825
      @jamesjoseph6825 Před 2 lety +3

      Huyo chibu angekuja kukuimbia itie mate uzamishe kwa chini mbele ya Rais?

    • @alicenice1711
      @alicenice1711 Před 2 lety +1

      @@jamesjoseph6825 😂😂😂😂

  • @gladsonkitua145
    @gladsonkitua145 Před 2 lety

    Wewe fuga kifua tu ila jukwaa linakutupa mkono, huna maajabu tena mvuto unaelekea mwishoni

  • @saheedali7467
    @saheedali7467 Před 2 lety

    Bi kidude alikua na mvuto wa kila kitu ukilinganisha na hizo kelele zako.

  • @bahiyalumelezy3016
    @bahiyalumelezy3016 Před 2 lety

    Mmakonde bonge anahaha jukwaani pumzi zinakata kwa ubonge chipanzee viuno ndy mziki?kweli simba atabaki kuwa simba si kwa kuvinginyuka huko mibwanyenye🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @walawioutreach4055
    @walawioutreach4055 Před 2 lety

    NAKUMBUKA SANA NYIMBO ZA BAND ZETU JAMANI KWELI SIKU IZI HAKUNA CHA MAANA ,HUU NI WIMBO GANI?VIJANA WAMEISHIWA TOTAL.HUYU HANA MAANDALIZI YOYOTEMASKINI ANAAMUA KUIMBA COPY .NA KWA KIWANGO CHA CHINI,NAWAKUMBUKA SHEREHE KAMA HIZI VIJANA JAZZ MWENGE JAZZ JUWATA NK.