Hongereni sana TRC, huduma zitakuwa nzuri tu, tunaamini hivyo, teething problems are expected and can be dealt with due time, wakati huohuo endeleeni na huduma nzuri tuliyoisubiri kwa hamu, safi sana lakini msimsahau muasisi wa mradi Mh Magufuli aliyekuwa na uthubutu wa kufanya kitu hiki kikweli kweli si kimakaratasi yaliyokaliwa ofisini miaka nenda rudi
Hongereni sana TRC WAZO: Msiweke manyimbo ya ovyo ovyo mle acheni documentary za kawaida za kizalendo. Manyimbo ya matusi na watu ambao hawavai nguo kama kwenye mabasi haipendezi, acheni.
@@abdulwaheedsheikh8015 Ni KWELI kabisa, daaah tumechoka na uhuni wa kwenye mabasi ngoja tupumzike huku ukisafiri from Dar to Dodoma unafika kichwa kinauma
Futeni hilo meno changamoto.HAMJUI NENO 'COMPETENCE' na hamko tayari kufanya hudumuma kwa viwango vya kimataifa....bado ni 'uswahili' maneno kibao HERI contract out management kama Kenya walivyofanya waendeshe wachina miaka 5 nipate mafunzo kijeshi.
Kiukweli wanajitahidi kwenye muda... Wanamsimamo mzuri mno. Leo nimechelewa kukata ticket, dakika kumi na tano kabla ya safari wanafunga madirisha ya ticket. Dakika tano kabla ya safari wanafunga milango ya mabehewa. Wanaondoka ndani ya muda. Wengi waliokata nimeshuhudia wakiachwa leo. Kwnye siti hapo nilipata changamoto one time.. Ikabidi mim na mtoto wangu tutengwe siti ilihali tulikata siti za kufuatana. Sina hakika kama wameweza kutatua hii ishu ya siti number.
Matamko haya yaondolewe kwenye msamiati wa Kiswahili: changamoto, ajali, bahati mbaya, matatizo, kupambana... Hata hiyo fibre kukatwa, kwa nini hamkuwa na back up? Mara fulani taa za kuongozea ndege Kilimanjaro airport zilipata shoti. Ndege zilielekezwa Uganda. Watalii wengine iliwachukua siku tano hadi kuweza kufika! No back up hata uwanja kama KIA! Hiyo ndiyo Tanzania! Halafu kujisifu sanaaa hasa awamu hii, kama watoto!
Tatizo lilelile "denial of the truth" na kukataa ukweli. Wengi tumeshasafiri sana duniani,hakuna matatizo kama haya!! Kubali ukweli,toa solutions. Kulikuwa na muda wa kutosha wa majaribio,sasa tatizo tena nini??
Acha uongo ndugu!! labda useme dunia ambayo na sisi wengine hatujasafiri! Uingereza, Switzealand, Poland, Norway, Sweden na hata hao magwiji wa uchumi bara la Ulaya Ujerumani, changamoto ni hizi hizi, delays happen, technical faults na unatangaziwa mapema tu, kukutayarisha kisaikolojia, tuambie wapi mwenzetu hakuna hizo changamoto za treni? TRC wanajitahidi sana na waendelee tu, service zitaimprove
Anajitetea Sana mwishoe ni uongo Wanaosafiri ndo wanaolalamika Ilitakiwa uwe upande wa wananchi Hujatetea hata kidogo manake hayo yote yanayomzungumzwa yafanyieni Kazi Na muaeshimu wananchi
KWA UKWELI NA UWAZI.... TANZANIA BADO HATUFAHAMU UMUHIMU WA ,KUTUMIA MUDA KWA WAKATI(ON TIME).... -WAZO: OMBI KWA WAZIRI WA ELIMU ,KUWEKA SOMO HILI....MUDA...AU WAKATI ...KATIKA SHULE ZA MSINGI...KAMA ZAMANI .(SAYANSI KIMU).....INGAWA KWA SASA ,HAKUNA
Mwendokasi ( DART ) mwanzo ilikuwa ni nzuri ila kwa sasa hivi ni Kama wakimbizi wanagombania chakula hali ni mbaya mno, SGR naanza kuona tunaelekea kwenye DART , sijui kunashindikana nini kwenye utunzaji wa hizi mali za watanzania 😮
Tuna ujinga mnoo na upuuzi mwingi hatujawahi kuwa serious na jambo lolote unashindwa vipi kucontrol na unajua wakuingia wangapi na tiketi ulizouza na ndo maana washaanza kuita wawekezaji maana wao kuweza hawawezi bora wawaite tu hao kina bakharesa basi
Lazima watu wajifunze kwenda na muda inapofika muda wa kuondoka hata kama train Ina watu kumi inatakiwa train iondoke kwa kufanya hivyo watu watakuwa makini na muda
Mm sipendi meneja wa kusema changamoto kwani hizi changamoto mwanzo wa majaribio hamkuziona ????na vp mnaanza kazi rasmi tena mnakuja na changamoto tena
Mbona mambo ya kusema changamoto yanaanza mapema? Kwani muda wa kuondoka haujulikani, tiketi zinakatwa kwa mkono? Kama sivyo siti moja wanapewaje watu wawili?
Kadogosa anatania tunapanda ndege mbona hakuna tatizo? Wizi ushaanza watu wanao ongezwa kwenye hesabu hawamo kwa sababu kinacho hesabiwa ni wanao kaa kwenye viti. Kwa mfano una mabehewa kumi na una jua kila behewa lina beba watu mia moja unauzaje tiketi mia na kumi? Kadogosa anasema kuhusu watu kusema ndio treni imeanza lakini kwa gharama kubwa sana kupita makadirio yake na hayo yalisemwa na CAG. Tatizo ni wizi au njama za kukabidhi kwa watu binafsi kama bandari tumeitanua kwa fedha za kodi zetu halafu tumempa mwekezaji ambaye hajachangia.Tufanye kama china ukiiba au kuhujumu Mali za Uma au rushwa hukumu yake kifo nchi yetu itaendelea haraka sana.
Kaka kadogosa sisi watanzania tunajua Porojo tu si wakurugenzi wala wakuu wa idara na ninavyo kuona kadogosa ushaanza kutupanga na maneno ya kuamini kwamba changamoto ndio zitakazo ua shirika tena ambazo haziepukiki mbona mapema sana unatutisha
Kipo mbele kidogo baada ya flyover ya bandari... Au ukifika tu kariakoo..... Uliza ilipo stesheni utaelekezwa....... Kama kituo cha basi ni goldstar, barabara - Nyerere road
Kero mavazi mafupi ya wahudimu WA kike. Hivi kutuonyesha mpaja ya mabinti hawo ndo utamaduni gani huo? Kwani wakivaa nguo za kistaarabu inakuwaje?
Yale si mafupi
Ni ushamba
Mzee ulitaka wavaeje?
Hongereni sana TRC, huduma zitakuwa nzuri tu, tunaamini hivyo, teething problems are expected and can be dealt with due time, wakati huohuo endeleeni na huduma nzuri tuliyoisubiri kwa hamu, safi sana lakini msimsahau muasisi wa mradi Mh Magufuli aliyekuwa na uthubutu wa kufanya kitu hiki kikweli kweli si kimakaratasi yaliyokaliwa ofisini miaka nenda rudi
Hongereni sana TRC WAZO: Msiweke manyimbo ya ovyo ovyo mle acheni documentary za kawaida za kizalendo. Manyimbo ya matusi na watu ambao hawavai nguo kama kwenye mabasi haipendezi, acheni.
Hata sauti, volume iwe ndogo, sio wote wanapenda kelele
@@abdulwaheedsheikh8015 Ni KWELI kabisa, daaah tumechoka na uhuni wa kwenye mabasi ngoja tupumzike huku ukisafiri from Dar to Dodoma unafika kichwa kinauma
vina mudaaaaaa basi achieni wazungu 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Duh mapema yote hii tena
Huyu jamaa anachukulia maswali sensitive kwa wepesi sana. TRC must be serious
Even Single minute delay should not happen
Futeni hilo meno changamoto.HAMJUI NENO 'COMPETENCE' na hamko tayari kufanya hudumuma kwa viwango vya kimataifa....bado ni 'uswahili' maneno kibao HERI contract out management kama Kenya walivyofanya waendeshe wachina miaka 5 nipate mafunzo kijeshi.
We are not serious because we are used to be pushed. Bring a manager from Germany and there will be no changamoto! It is demeaning, but truth.
Hatuja😂zoea kujitawala tumezoea kutawaliwa ivo ndio hujuw number ya siti nauweze kuuza kw mujibu wa tickets
Yatakuwa kama magari ya DART
Kiukweli wanajitahidi kwenye muda... Wanamsimamo mzuri mno. Leo nimechelewa kukata ticket, dakika kumi na tano kabla ya safari wanafunga madirisha ya ticket. Dakika tano kabla ya safari wanafunga milango ya mabehewa. Wanaondoka ndani ya muda. Wengi waliokata nimeshuhudia wakiachwa leo. Kwnye siti hapo nilipata changamoto one time.. Ikabidi mim na mtoto wangu tutengwe siti ilihali tulikata siti za kufuatana. Sina hakika kama wameweza kutatua hii ishu ya siti number.
Hayo ni mambo ya kawaida Kwa shughuli mpya,ila yatatuliwe na yasijirudie.
Usitetee ujinga na tusipokua makini itakua kama mabasi ya mwendo kasi
Matamko haya yaondolewe kwenye msamiati wa Kiswahili: changamoto, ajali, bahati mbaya, matatizo, kupambana...
Hata hiyo fibre kukatwa, kwa nini hamkuwa na back up? Mara fulani taa za kuongozea ndege Kilimanjaro airport zilipata shoti. Ndege zilielekezwa Uganda. Watalii wengine iliwachukua siku tano hadi kuweza kufika! No back up hata uwanja kama KIA! Hiyo ndiyo Tanzania! Halafu kujisifu sanaaa hasa awamu hii, kama watoto!
Kumekucha!
Tatizo lilelile "denial of the truth" na kukataa ukweli.
Wengi tumeshasafiri sana duniani,hakuna matatizo kama haya!!
Kubali ukweli,toa solutions.
Kulikuwa na muda wa kutosha wa majaribio,sasa tatizo tena nini??
Acha uongo ndugu!!!
Hata Ulaya Delay za 🚆 Train zipo hadi zaidi ya masaa.
Mimi mwenyewe naishi Ulaya zaidi ya miongo miwili na nusu sasa
Tujipe muda ndiyo kwanza tumeanza jamaani.
Kikubwa tupo ndani ya mifumo ya kidunia.
Acha uongo ndugu!! labda useme dunia ambayo na sisi wengine hatujasafiri! Uingereza, Switzealand, Poland, Norway, Sweden na hata hao magwiji wa uchumi bara la Ulaya Ujerumani, changamoto ni hizi hizi, delays happen, technical faults na unatangaziwa mapema tu, kukutayarisha kisaikolojia, tuambie wapi mwenzetu hakuna hizo changamoto za treni? TRC wanajitahidi sana na waendelee tu, service zitaimprove
Huwa mnachelewa kwasababu ya wizi ama ya kiusalama kwenye miundombinu@@Majhidymhessa
Anajitetea Sana mwishoe ni uongo
Wanaosafiri ndo wanaolalamika
Ilitakiwa uwe upande wa wananchi
Hujatetea hata kidogo manake hayo yote yanayomzungumzwa yafanyieni Kazi
Na muaeshimu wananchi
HONGERA SANA MUHESHIMIWA KADOGOSA HAKIKA UMEPAMBA MENGINE TARATIBU TU YATAKAA SAWA USHAURI WANGU ENDELEA KUSIMAMIA VIWANGO TUTAFANIKIWA
Mapema yote hii tumeshaanza kuuziwa siti moja watu wawili!!! Tanzania Tanzania tumetia fora kwa magumashi!!!
KWA UKWELI NA UWAZI.... TANZANIA BADO HATUFAHAMU UMUHIMU WA ,KUTUMIA MUDA KWA WAKATI(ON TIME)....
-WAZO: OMBI KWA WAZIRI WA ELIMU ,KUWEKA SOMO HILI....MUDA...AU WAKATI ...KATIKA SHULE ZA MSINGI...KAMA ZAMANI .(SAYANSI KIMU).....INGAWA KWA SASA ,HAKUNA
Mwendokasi ( DART ) mwanzo ilikuwa ni nzuri ila kwa sasa hivi ni Kama wakimbizi wanagombania chakula hali ni mbaya mno, SGR naanza kuona tunaelekea kwenye DART , sijui kunashindikana nini kwenye utunzaji wa hizi mali za watanzania 😮
Tuna ujinga mnoo na upuuzi mwingi hatujawahi kuwa serious na jambo lolote unashindwa vipi kucontrol na unajua wakuingia wangapi na tiketi ulizouza na ndo maana washaanza kuita wawekezaji maana wao kuweza hawawezi bora wawaite tu hao kina bakharesa basi
Lazima watu wajifunze kwenda na muda inapofika muda wa kuondoka hata kama train Ina watu kumi inatakiwa train iondoke kwa kufanya hivyo watu watakuwa makini na muda
Tayari mbwa mwitu washavamia😢😢😢😢
Muda wote nimeipanda wanaondoka ontime. Changamoto ilikuwa kiti kimoja watu wawili.
Mm sipendi meneja wa kusema changamoto kwani hizi changamoto mwanzo wa majaribio hamkuziona ????na vp mnaanza kazi rasmi tena mnakuja na changamoto tena
Milrad jitahidi upate picha za kwetu naona unaweka picha za wakenya achananazo kaka
Chuki itakuwa unaka kama mchawi ameamuka akiwa uchi
Mie napenda kujua kama msafiri ana mabegi mawili au matatu ametoka airport na anataka kusafiri na SGR, utaratibu wa station kupokea mabegi upoje?
Mbona mambo ya kusema changamoto yanaanza mapema? Kwani muda wa kuondoka haujulikani, tiketi zinakatwa kwa mkono? Kama sivyo siti moja wanapewaje watu wawili?
Huo ndio upuuzi inakuwaje siti 1 watu 2? Aibu sana kwa karne hii.
Tatizo trc niwa swahili hawapo proper hata ya meter gauge nihivyohivyo
Tayari
Hujuma zimenza hili shirika alifiki mbali tanzagizayetu
Unatelezaje kwenye kazi kuweni makini acha umangumashi
Kadogosa anatania tunapanda ndege mbona hakuna tatizo? Wizi ushaanza watu wanao ongezwa kwenye hesabu hawamo kwa sababu kinacho hesabiwa ni wanao kaa kwenye viti. Kwa mfano una mabehewa kumi na una jua kila behewa lina beba watu mia moja unauzaje tiketi mia na kumi? Kadogosa anasema kuhusu watu kusema ndio treni imeanza lakini kwa gharama kubwa sana kupita makadirio yake na hayo yalisemwa na CAG. Tatizo ni wizi au njama za kukabidhi kwa watu binafsi kama bandari tumeitanua kwa fedha za kodi zetu halafu tumempa mwekezaji ambaye hajachangia.Tufanye kama china ukiiba au kuhujumu Mali za Uma au rushwa hukumu yake kifo nchi yetu itaendelea haraka sana.
Kaka kadogosa sisi watanzania tunajua
Porojo tu si wakurugenzi wala wakuu wa idara na ninavyo kuona kadogosa ushaanza kutupanga na maneno ya kuamini kwamba changamoto ndio zitakazo ua shirika tena ambazo haziepukiki mbona mapema sana unatutisha
Only in Africa 😂😂😂😂😂
changamoto zmeanza
Changamoto ni lazima zitokee ili ndio ujue vya kuzitatua
Bado kunguni siku sio nyingi mtakuwa nazo hapo Kwenye SGR
😂😂😂😂😂
Ipe miezi mitano tu, rudi uitazame!
Tunaomba mfike na kagera
Jamani naonbaa mnisaidie kwa dar tren stesheni yake iko sehem gani kama nataka nipandie tren dar plz wadau nambieni
Kipo mbele kidogo baada ya flyover ya bandari...
Au ukifika tu kariakoo..... Uliza ilipo stesheni utaelekezwa.......
Kama kituo cha basi ni goldstar, barabara - Nyerere road
Mie napenda kujua kama msafiri ana mabegi mawili au matatu ametoka airport na anataka kusafiri na SGR, utaratibu wa station kupokea mabegi upoje?
mabeg yanaruhusiwa ila sio sulfetiau viroba bigno
Hakuna utaratibu...bado twashugulikia hatukufikiria mtu atakuja na mabegi kutoka airpor. Tulijua atakuja nayo kutoka bandarini tu!
Duh mbona aibu sasa🙄🙄🙄🙄