ENG HERSI AMEMPA MKATABA JEAN BALEKE!! TP MAZEMBE WANAJIBU LA NDIO AU HAPANA!!

Sdílet
Vložit

Komentáře • 9

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před 4 dny

    yanga wanachukuwa kwenye Dampo la simba halafu husema Hamuna wachezaji simba

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před 4 dny

    Yanga wanachukua wachezaji simba mliowaacha. Kama dampo si muache??na huyo mtangazaji unasemaje mtu anazagazagaa??

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 Před 3 dny

    Baleke alicheza Simba akaondoka na akawa team nyingine kama yanga wamemchukua kutoka team nyingine sasa hapo yanga watakuwa wanaibomoa kivipi Simba uandishi wa ovyo kabisa

  • @hassanmwallimu5767
    @hassanmwallimu5767 Před 3 dny

    Wewe mtangazaji ni mtu wa ovyo sana sasa yanga wameibomoa kivipi Simba

  • @mickdaddymjungu8283
    @mickdaddymjungu8283 Před 4 dny +1

    unapenda kuchokonoa mambo ya simba nenda ukafanye kazi yanga

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před 3 dny

    Nyie wachambuzi uchwara. Chama kamaliza mkataba, is free agent, Baleke aliachwa katikati ya msimu, unasemaje yanga wanaibomoa simba. Simba inajibomoa yenyewe.

  • @mickdaddymjungu8283
    @mickdaddymjungu8283 Před 4 dny

    wewe mnafiki

  • @raymondsekabigwa5907
    @raymondsekabigwa5907 Před 4 dny

    Lazima wachukue mtu aliyejuwa wa simba. Hawana jipya. Sasa wanamtaka msemaji wa Caf😅😃😃