Iko hivi simple sana Aziz kasaini lkn Soka ni biashara ameshakuwa mali ya Yanga isipokuwa wenye fedha wakiendelea kumtamani wanunue Mkataba kwa mkwanja mrefu zaidi wa kusaidia kileta vyuma vingine Bora zaidi na vyenye maisha marefu eleweni hivi
"Nimemtafuta wakala wa Aziz Ki nikachati nae". Lugha yenyewe hujui ila umeweza kumpata na kuchati nae Mashabiki wa mikia ni waongo sana😅. Ila Hersi kaishika nchi pabaya kwenye upande wa soka😅😅😅😅😅😅
Mkataba umeisha, ila Kuna mapenzi na PESA, Aziz ki ananipa Heshima Yanga, wamuengezee PESA, ila Yanga PESA sijui Awana!!! Sasa akienda kwenye PESA msimchukie, ingekuwa mwingine mbaka Leo angisha sepa, sasa Yanga mmepewa Heshima na ki. Siku aliziwapa Yanga msipo mpa Ela kumuongezea. Anasepa huyo.
HAO WOTE NI WAONGO SANA. KWANN MNADANGANYA? HIZO ZAMA ZILISHAPITA NA WAKATI. KWANN UNAKUWA MWONGO?MARA AMESAINI MARA HAJASAINI HIYO NDY NN?ACHENI UTOTO WENU.
Hiyo ni tension injinia anaandaa ili kumpandisha thaman azizi, azizi kaisha saini muda tu ila maelezo ya injinia yatafanya azizi atafutwe na timu nyingi sana kibinafsi hii itafanya injinia aonekane bora kwa kumzuia azizi, kumbe alishazuiwa. Na kaipata hii kiki baada ya kuona moh dewji kamtaka akaona mmmmmmmh! Hii mbona kama kiki tam.
Kuna mambo mawili hapa unachanganya weka tafakuri yako sawa Ukisha mzuia mchezaji maana yake umesha mfunga sasa na ukisha mfunga anae mtaka aje kwako kwa dau unalo taka wewe (Unaringa) hapo unakua hauja mpandisha thamani watu wataogopa kuja kwa sababu ya dau. Lakini hili la pili wasomi hua wanaongea na kuweka akiba jifunze hili ktk mazungumzo ya Engineer ametaja vilabu vikubwa vinavyo mtaka akavitaja kwa majina lkn hukumsikia akimtaja Mo dewj anamtaka hapo angeitaja Simba lkn hakuitaja. Wewe unapata wapi ujasiri wa kuidanganya akili yako Engineer baada kumsikia MO anamtaka. Kaitafutia kiki. Acheni kukurupuka.
Huyu oruma hana network hohoho jina lake nikama maneno yake yanatia huruma hohoho
60/40
Huyo wakala akimpa taarifa huyo oruma atakuwa chizi anaakili kama ya oruma😂😂😂😂
Eti wakala ametafutwa cheusi mandala wa efm radio hongera mzee wa jambi ila azizi ataondoka yanga ataiacha wee na wenzio endeleeni kudanganya
Iko hivi simple sana Aziz kasaini lkn Soka ni biashara ameshakuwa mali ya Yanga isipokuwa wenye fedha wakiendelea kumtamani wanunue Mkataba kwa mkwanja mrefu zaidi wa kusaidia kileta vyuma vingine Bora zaidi na vyenye maisha marefu eleweni hivi
Huyo aliyeongea ni msemaji wa Yanga??uchambuzi uchwara tu
"Nimemtafuta wakala wa Aziz Ki nikachati nae". Lugha yenyewe hujui ila umeweza kumpata na kuchati nae Mashabiki wa mikia ni waongo sana😅. Ila Hersi kaishika nchi pabaya kwenye upande wa soka😅😅😅😅😅😅
Wapunguzen presha utopolo"wasije wakafaaaa
Uko sahihi maana utopolo wa mo dewji watakufa kwa pressure wakigundua kumbe Aziz Ki bado yupo😅😅😅
Kolo lololooooohao
Hiki ni kikundi Cha kolo FC 😂😂😂
Uyo boko hana akili alafu anachobisha mimi skielewi kwakifup kwaluga laisi aziz hana mkataba pale yanga
Mkataba umeisha, ila Kuna mapenzi na PESA, Aziz ki ananipa Heshima Yanga, wamuengezee PESA, ila Yanga PESA sijui Awana!!! Sasa akienda kwenye PESA msimchukie, ingekuwa mwingine mbaka Leo angisha sepa, sasa Yanga mmepewa Heshima na ki. Siku aliziwapa Yanga msipo mpa Ela kumuongezea. Anasepa huyo.
Hatuuzi silaha wakati tupo vita ni
HAO WOTE NI WAONGO SANA. KWANN MNADANGANYA? HIZO ZAMA ZILISHAPITA NA WAKATI. KWANN UNAKUWA MWONGO?MARA AMESAINI MARA HAJASAINI HIYO NDY NN?ACHENI UTOTO WENU.
Hapo nimekuelewa
Tulieni sindano iwaingie hamjaona usajili yanga hawajatangaza mnaongea pumba
Hizo za ndani ni zakwenu nyie kolo FC😂😂😂
Umbea kwisha sasa
Azizi Ki ni Mali ya Yanga
Hiyo ni tension injinia anaandaa ili kumpandisha thaman azizi, azizi kaisha saini muda tu ila maelezo ya injinia yatafanya azizi atafutwe na timu nyingi sana kibinafsi hii itafanya injinia aonekane bora kwa kumzuia azizi, kumbe alishazuiwa. Na kaipata hii kiki baada ya kuona moh dewji kamtaka akaona mmmmmmmh! Hii mbona kama kiki tam.
Kuna mambo mawili hapa unachanganya weka tafakuri yako sawa Ukisha mzuia mchezaji maana yake umesha mfunga sasa na ukisha mfunga anae mtaka aje kwako kwa dau unalo taka wewe (Unaringa) hapo unakua hauja mpandisha thamani watu wataogopa kuja kwa sababu ya dau. Lakini hili la pili wasomi hua wanaongea na kuweka akiba jifunze hili ktk mazungumzo ya Engineer ametaja vilabu vikubwa vinavyo mtaka akavitaja kwa majina lkn hukumsikia akimtaja Mo dewj anamtaka hapo angeitaja Simba lkn hakuitaja. Wewe unapata wapi ujasiri wa kuidanganya akili yako Engineer baada kumsikia MO anamtaka. Kaitafutia kiki. Acheni kukurupuka.
UNAELEWA MAANA YA 60/40?AZIZI KII AMESAINI YANGA ASILIMIA 60+40=100
Oruma wewe unamuuliza wakala wa azizi kama nani acha kuifata yanga kaa na simba yako
Mbona hueleweki bloo azizi hana mkataba mkataba umeisha
Mkataba upi ulioisha au walisaini mkataba wa wiki 2?😅😅😅😅😅
Oruma hata wakala wa azizi humfaham acha uongo !!
Ndio maana tunasema hiki kikundi cha hii redio ni wahuni TU 😂😂😂😂 wanaumia kweli nakutowa uongo
Nyie hamjaona usajili tulieni sindano iwaingie😂😂😂
Katika mchambuzi mku.. u ambaye simkubali ni huyu msenge oruma sura ngumu kama govi la punda