Mama weeeeee!! SUALA LA AZIZ KI MZEE WA JAMBIA ANASIRI YA WAKALA KAMPENYEZEA!! KIMENUKA JANGWANI

Sdílet
Vložit

Komentáře • 29

  • @Izzoh2021
    @Izzoh2021 Před 16 dny +1

    Huyu oruma hana network hohoho jina lake nikama maneno yake yanatia huruma hohoho

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 Před 17 dny +2

    60/40

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Před 17 dny

    Huyo wakala akimpa taarifa huyo oruma atakuwa chizi anaakili kama ya oruma😂😂😂😂

  • @bonifassimon7909
    @bonifassimon7909 Před 17 dny

    Eti wakala ametafutwa cheusi mandala wa efm radio hongera mzee wa jambi ila azizi ataondoka yanga ataiacha wee na wenzio endeleeni kudanganya

  • @jacksonmillengo1913
    @jacksonmillengo1913 Před 16 dny

    Iko hivi simple sana Aziz kasaini lkn Soka ni biashara ameshakuwa mali ya Yanga isipokuwa wenye fedha wakiendelea kumtamani wanunue Mkataba kwa mkwanja mrefu zaidi wa kusaidia kileta vyuma vingine Bora zaidi na vyenye maisha marefu eleweni hivi

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před 17 dny

    Huyo aliyeongea ni msemaji wa Yanga??uchambuzi uchwara tu

  • @msemakweli...
    @msemakweli... Před 17 dny

    "Nimemtafuta wakala wa Aziz Ki nikachati nae". Lugha yenyewe hujui ila umeweza kumpata na kuchati nae Mashabiki wa mikia ni waongo sana😅. Ila Hersi kaishika nchi pabaya kwenye upande wa soka😅😅😅😅😅😅

  • @SurprisedFullMoon-gg9vu
    @SurprisedFullMoon-gg9vu Před 17 dny +1

    Wapunguzen presha utopolo"wasije wakafaaaa

    • @msemakweli...
      @msemakweli... Před 17 dny

      Uko sahihi maana utopolo wa mo dewji watakufa kwa pressure wakigundua kumbe Aziz Ki bado yupo😅😅😅

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před 17 dny

    Kolo lololooooohao

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Před 17 dny

    Hiki ni kikundi Cha kolo FC 😂😂😂

  • @HassanZiroy
    @HassanZiroy Před 17 dny

    Uyo boko hana akili alafu anachobisha mimi skielewi kwakifup kwaluga laisi aziz hana mkataba pale yanga

  • @AzizMangara
    @AzizMangara Před 17 dny

    Mkataba umeisha, ila Kuna mapenzi na PESA, Aziz ki ananipa Heshima Yanga, wamuengezee PESA, ila Yanga PESA sijui Awana!!! Sasa akienda kwenye PESA msimchukie, ingekuwa mwingine mbaka Leo angisha sepa, sasa Yanga mmepewa Heshima na ki. Siku aliziwapa Yanga msipo mpa Ela kumuongezea. Anasepa huyo.

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Před 17 dny

    Hatuuzi silaha wakati tupo vita ni

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 17 dny

    HAO WOTE NI WAONGO SANA. KWANN MNADANGANYA? HIZO ZAMA ZILISHAPITA NA WAKATI. KWANN UNAKUWA MWONGO?MARA AMESAINI MARA HAJASAINI HIYO NDY NN?ACHENI UTOTO WENU.

  • @amanilupembe9788
    @amanilupembe9788 Před 17 dny

    Hapo nimekuelewa

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Před 17 dny

    Tulieni sindano iwaingie hamjaona usajili yanga hawajatangaza mnaongea pumba
    Hizo za ndani ni zakwenu nyie kolo FC😂😂😂

  • @mohamedguveti5372
    @mohamedguveti5372 Před 17 dny

    Umbea kwisha sasa

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Před 17 dny

    Azizi Ki ni Mali ya Yanga

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 Před 17 dny

    Hiyo ni tension injinia anaandaa ili kumpandisha thaman azizi, azizi kaisha saini muda tu ila maelezo ya injinia yatafanya azizi atafutwe na timu nyingi sana kibinafsi hii itafanya injinia aonekane bora kwa kumzuia azizi, kumbe alishazuiwa. Na kaipata hii kiki baada ya kuona moh dewji kamtaka akaona mmmmmmmh! Hii mbona kama kiki tam.

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz Před 16 dny

      Kuna mambo mawili hapa unachanganya weka tafakuri yako sawa Ukisha mzuia mchezaji maana yake umesha mfunga sasa na ukisha mfunga anae mtaka aje kwako kwa dau unalo taka wewe (Unaringa) hapo unakua hauja mpandisha thamani watu wataogopa kuja kwa sababu ya dau. Lakini hili la pili wasomi hua wanaongea na kuweka akiba jifunze hili ktk mazungumzo ya Engineer ametaja vilabu vikubwa vinavyo mtaka akavitaja kwa majina lkn hukumsikia akimtaja Mo dewj anamtaka hapo angeitaja Simba lkn hakuitaja. Wewe unapata wapi ujasiri wa kuidanganya akili yako Engineer baada kumsikia MO anamtaka. Kaitafutia kiki. Acheni kukurupuka.

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před 17 dny

    UNAELEWA MAANA YA 60/40?AZIZI KII AMESAINI YANGA ASILIMIA 60+40=100

  • @issayaibrahim8490
    @issayaibrahim8490 Před 17 dny

    Oruma wewe unamuuliza wakala wa azizi kama nani acha kuifata yanga kaa na simba yako

  • @HassanZiroy
    @HassanZiroy Před 17 dny

    Mbona hueleweki bloo azizi hana mkataba mkataba umeisha

    • @msemakweli...
      @msemakweli... Před 17 dny

      Mkataba upi ulioisha au walisaini mkataba wa wiki 2?😅😅😅😅😅

  • @anyeresa928
    @anyeresa928 Před 17 dny

    Oruma hata wakala wa azizi humfaham acha uongo !!

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 Před 17 dny

      Ndio maana tunasema hiki kikundi cha hii redio ni wahuni TU 😂😂😂😂 wanaumia kweli nakutowa uongo

    • @lucymsheshi5871
      @lucymsheshi5871 Před 17 dny

      Nyie hamjaona usajili tulieni sindano iwaingie😂😂😂

  • @msafirimhagama6445
    @msafirimhagama6445 Před 16 dny

    Katika mchambuzi mku.. u ambaye simkubali ni huyu msenge oruma sura ngumu kama govi la punda