Mwana FA: Hakuna Mtu amewahi kupigiwa LIVE kwenye Kizazi Chetu kama nilivyopigia Mimi
Vložit
- čas přidán 15. 12. 2017
- LilOmmyTV channel maalumu ya Burudani na EXCLUSIVE interview kutoka kwa masta unaowakubali.
Hakikisha una Subscribe hapo chini, Angalia show mwanzo mwisho, Gonga Like, Angusha Comment yako kisha Share Link na wenzako kwa Whatsapp au mitandao yako ya kijamii (facebook na twitter).
Ni follow kwenye mitandao ya kijamii.
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com
for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc tembelea lilOmmy.com - Zábava
Big up brother nakubali sn kz yako muonekano uko simpo lkn baba unatosha mi shabiki yako kitambo tangu mi na bint dam dam 100%
Binaaaaam Much Respect Always
MVP BiGuP Mzaziiiii Love The Show💥🔥❤️❤️🙌🏽❤️🇰🇪👍🏽
Lil Ommy the real MVP
MVP Yuko poa sana
Lilyomy, best in the town, msanii anavokuja studio kwako anajipanga kwanza maana maswali yako Soo logic
Fa Yuko poa sana kwenye interview
nashukuru Sana FA Unavyomuheshimu prf jay kweli kabisa hapa bongo tukiongelea mziki lazima tuanze na jay then wengine watafwata
Fa ninoma sana Lili ommy weni mtaaramu wa interview
Lil ommy nimekufuatilia xana kichwa chako kipo full charge mzee
Nakuekewa sn bro
hujamaa noma sana
Dk 2:30 hiyo size anayovaa FA ni "Straight Fit"
bro naomba tena kaka unialike katika show yako ya kibabe kam msikilizaji na mtazamaji wa show kali kam hii plz mkuu
Hata sielewi ningoma yagu Kali kwamwaka 2017
Broo lilommy we ni nouma sana
Kweli bro hapo nishakuelewa kinoma