MHE. RAIS SAMIA AKIPOKEA GAWIO NA MICHANGO KUTOKA MASHIRIKA NA TAASISI ZA UMMA.
Vložit
- čas přidán 10. 06. 2024
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea gawio na michango kutoka mashirika na taasisi za umma Ikulu jijini Dar es Salaam, leo tarehe 11/06/2024.
Hongera Mama Samia nakuelewa Rais wetu Mungu akutunze
Mama sisi vijana ambao tuko tunasikitika kuona mabasi yetu ya mwendokasi kutokufanya vizuri mabasi mapya wamepewa barabara nzuri wamepewa lakini Tanzania nzima tumekosa mtendaji tunaumia
Twiga Minerals Corporation hongereni saana. Magu aliona mbali kuanzisha hii taasisi yenu.
Yule mzee ni noma Allah amuweke malaha pema
Ongera sana Mh Rais hakika wewe ni Mama Mlezi wa taifa hili
Kama na Mwenyezi Mungu angeamua kuziba maskio hali ingekuwaje?? Ni bora kiongozi akaazima na maskio mengine kusudi mambo yatatuliwe.
Hotuba nzuri mnoo
Mama Zidi KUJIGEUZA CHURA
Ni kati ya Maraisi Bora nchi yetu kuwahi kupata.
Tufanye kazi sote kuunga mkono sera ya uchumi ya Mama!
Mungu amlinde mama samia
Hongera Mchechu
Tanzania ya viwanda na uchumi wa juu
mama Samia Rais wetu,pesa za mikopo ya halmashauri isiyo na riba wanaangalia usoni bila kuzingatia vigezo vya kuunda vikundi,nauliza pesa hizo ni sadaka? kwa wananchi!!!!
Ni rais wa watanzania wasiofika hata asilimia 5, namaanisha wapigaji tu, ukitaka kuthibitisha hilo uliza watu hata 10 mtaani unapoishi kuhusu hicho kitu anachopokea leo uone majib watakayokupa