MHE. RAIS SAMIA AKIPOKEA GAWIO NA MICHANGO KUTOKA MASHIRIKA NA TAASISI ZA UMMA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 06. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea gawio na michango kutoka mashirika na taasisi za umma Ikulu jijini Dar es Salaam, leo tarehe 11/06/2024.

Komentáře • 13

  • @bakarisemvua7348
    @bakarisemvua7348 Před 21 dnem +2

    Hongera Mama Samia nakuelewa Rais wetu Mungu akutunze

  • @edwardkagombora3782
    @edwardkagombora3782 Před 22 dny +2

    Mama sisi vijana ambao tuko tunasikitika kuona mabasi yetu ya mwendokasi kutokufanya vizuri mabasi mapya wamepewa barabara nzuri wamepewa lakini Tanzania nzima tumekosa mtendaji tunaumia

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před 21 dnem +1

    Twiga Minerals Corporation hongereni saana. Magu aliona mbali kuanzisha hii taasisi yenu.

  • @shafiialliy5114
    @shafiialliy5114 Před 21 dnem

    Ongera sana Mh Rais hakika wewe ni Mama Mlezi wa taifa hili

  • @robertmujuni4102
    @robertmujuni4102 Před 21 dnem

    Kama na Mwenyezi Mungu angeamua kuziba maskio hali ingekuwaje?? Ni bora kiongozi akaazima na maskio mengine kusudi mambo yatatuliwe.

  • @markwiwi9833
    @markwiwi9833 Před 22 dny +1

    Hotuba nzuri mnoo
    Mama Zidi KUJIGEUZA CHURA
    Ni kati ya Maraisi Bora nchi yetu kuwahi kupata.
    Tufanye kazi sote kuunga mkono sera ya uchumi ya Mama!
    Mungu amlinde mama samia

  • @rabielfadhili994
    @rabielfadhili994 Před 22 dny +1

    Hongera Mchechu

  • @saidbilali7772
    @saidbilali7772 Před 21 dnem

    Tanzania ya viwanda na uchumi wa juu

  • @ShkiruIsmail
    @ShkiruIsmail Před 22 dny +2

    mama Samia Rais wetu,pesa za mikopo ya halmashauri isiyo na riba wanaangalia usoni bila kuzingatia vigezo vya kuunda vikundi,nauliza pesa hizo ni sadaka? kwa wananchi!!!!

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde4384 Před 21 dnem

    Ni rais wa watanzania wasiofika hata asilimia 5, namaanisha wapigaji tu, ukitaka kuthibitisha hilo uliza watu hata 10 mtaani unapoishi kuhusu hicho kitu anachopokea leo uone majib watakayokupa