DIAMOND nimeshtakiwa kwa Rais na HARMONIZE leo RAYVANNY anaondoka afu mnasema unyonyaji

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024
  • Credit : DW

Komentáře • 355

  • @saumomar2017
    @saumomar2017 Před 2 lety +25

    Hebu njoo kwanza,,,,,,🥰 nakupenda ww Bure msanii wangu

  • @chizashungu8364
    @chizashungu8364 Před 2 lety +34

    Pure,honest and Nice Person.Keep it up DIAMOND.

  • @bonifacekisina
    @bonifacekisina Před 2 lety +17

    I support Diamond on this one

  • @elizabethkea8850
    @elizabethkea8850 Před 2 lety +30

    Big up diamond

  • @Team-t6k
    @Team-t6k Před 2 lety +24

    Ninacho kuombeya tu Allah akupe mwisho mwema na akufishe ili hali amekuriziya na unameno yenye busara na hekima kunako zungumza mkataba ni mkataba tu wasisahau kuwa walipo kuja kwenye kuomba msada hawakulazimishwa

  • @davianjosephjoseph3121
    @davianjosephjoseph3121 Před 2 lety +11

    Diamond platnumz keep it up kaka sisi tunapkufaham tunajua unachokifanya acha wabweke usisimame keep it up Big

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 Před 2 lety +8

    Umeongea fact sana Diamond kwa kweli baba hana tofauti na jalala kila mzigo ataangishiwa tu lakini hakatishi majukumu yake kwa watoto wake

  • @favourspapatv
    @favourspapatv Před 2 lety +3

    Kazi Safi Almasi keep it up,alafu huyu interviewer anamfanana Sana Dudu baya

  • @almshher5197
    @almshher5197 Před 2 lety +26

    Vp diamond mbona unasaidia wa tazania wenyewe masikini ni wengi ichi zote wanataka musada wako

    • @ibrahimfarha3853
      @ibrahimfarha3853 Před rokem

      Diamond saidiya zako zingine nci jirani wanaku appreciate saana

  • @mwinyihajjsalim4405
    @mwinyihajjsalim4405 Před 2 lety +14

    Wanadamu ndivyo walivyo wanasahau nyuma walikotoka kimaisha.so big bro diamond tenda wema nenda zako waalimwengu ndo walivyo umewakuza toka awanakitu sai wamejua njia zakutafuta ndo wanakulaumu kukusema vibaya mungu atakulipa kwafadhila ulizowafanyia.MWINYIHAJJ KUTOKA KENYA MOMBASA

  • @felixlawrence6221
    @felixlawrence6221 Před 2 lety +12

    Yes diamond "money finds money"

  • @steventagaya4066
    @steventagaya4066 Před 2 lety +28

    Anajiunga wasafi akiwa hohehahe anaondoka akiwa tajiri na amefanikiwa kimuziki then anatangaza amedhurumiwa ,,, hiyo ni ushenzi.

    • @donkaloza6985
      @donkaloza6985 Před 2 lety

      Kabisa

    • @utambevilla2054
      @utambevilla2054 Před 2 lety

      Ujui kitu boya ww kaa kimya. Ata kama anaondoka akiwa tajir bado alichokipata sio staikie yake. Kwaiyo akiondoka tajir ndio ajazulumiwa?

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 2 lety +2

      @@utambevilla2054 kwani walilazimishwa kwenda wasafi?

    • @greaterjustin2231
      @greaterjustin2231 Před 2 lety

      Kama wanakua matajiri inakuaje harmo aliomba kulipiwa Milion600 wakati wanasema wana hela nyingi

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 2 lety

      @@greaterjustin2231 hizo Range rover kanunuaje kama sio tajiri?

  • @BlackBoy-ny2ke
    @BlackBoy-ny2ke Před 2 lety +12

    diamond anakili sana nanajua kuongea sana bgp brother wambie wambie wambie

  • @josephmsomi3094
    @josephmsomi3094 Před 2 lety +8

    We utaendelea kuwa Simba wa nchi asante Mungu yupo pamoja nawe

  • @josaphatjames1367
    @josaphatjames1367 Před 2 lety +15

    First to comment
    Watching from 🇸🇪

  • @mkokafrank2278
    @mkokafrank2278 Před 2 lety +11

    Hermonize alikua amekulipa pesa yote na ukakataa kumpea termination letter ndio maana ikafika kwa rais.Acha kujisafisha kwa media

    • @hamisimwacha7076
      @hamisimwacha7076 Před 2 lety +2

      Lakin paspo yy angepata wap pesa ya kumlipa .inaumiza sana pale unapo msaidia mtu badae anavyokuchukulia ni tofaut na uliko mtoa .harmonize wa Sasa n tofaut na Yule wa Bss alipikwa kwanza ndo akawa alivyo alikaa ndan ya wasaf miaka .ata masta Jay alisema.tatzo vijana tukipata tuna sahau tulikotoka na tunajinyanyua sana

    • @kibabysaid6692
      @kibabysaid6692 Před 2 lety +4

      Hata huyo diamond mwenyewe kabla ya kufika hapo alipo ....hapo mnapo muona Leo ...pia yeye kuna msaada wa watu alipitiaya....au kwa kua walio msaidia hawakujiweka hadharani kusema ndio mwaona n km alifika mwenyewe huko juu....na kila binadamu lazima aanze chini ndipo afike juu....n kufika huko juu mungu kaweka msaada ..kwa wewe utapita njia hii mpka ufikie mafanikio yako.

    • @user-pr1cv8zl2q
      @user-pr1cv8zl2q Před 2 lety +1

      @@kibabysaid6692 umesema ukweli kwaza nahawi wasaniwake wananguvunyingi kwareboyake ya Wasafi kikubwa wafanyekanzi kwabidi ili wazidi kufanikiwa wote.

    • @samwelivenanci6820
      @samwelivenanci6820 Před 2 lety

      Ulikuepo wakat anampa iyo pesa au roho zakimaskini zinakusumbua

    • @m___ck799
      @m___ck799 Před 2 lety +1

      Huo ndio ukweli !!am even glad that Harmonize alishaongelea hili na kufafanua kilichofanya akaenda kwa Raisi ambaye alikuwa karibu na Harmonize wakati wa uhai wake!

  • @fishianmbango9170
    @fishianmbango9170 Před 2 lety +15

    Kweli kabsa simba

  • @patrickmukundichalamila3038

    Ipo siku Daimond ataeleweka kwa wasio muelewa,hiv kweri mfano akina Mo wanasema eti wameweka billion 20 Simba ni mchezo mchezo tuu? Daimond piga kazi watajua hawajui yan u promote mtu umeweka milion zote hizo afu ale Kona kirahisi rahisi.

  • @josaphatjames1367
    @josaphatjames1367 Před 2 lety +11

    Speech iko cool

  • @josephgoliama8068
    @josephgoliama8068 Před 2 lety +4

    Diamond utafika mbali zaidi. Moyo wako uko vizuri

  • @mohamedschaeublin7374
    @mohamedschaeublin7374 Před 2 lety +3

    Inafanana na ukweli, investment😎 Money make Money 👌

  • @pillyolsen8377
    @pillyolsen8377 Před 2 lety +7

    Wakubali wakatae daimond ww ni mfano wa kuigwa sina Tim Ila ww uko vizuli sana wacha waseme lakini ww ndiyo nguli wa muziki nakupenda kwa uhodali wako wa kazi chapa kazi Baba ww wacha waseme mradi ww akauti zako zinasoma🤼‍♂️💥💥💥🔥💥🔥🔥🔥🔥🔥😄😄 mambo ni faya😃😃😃😃😄🌹🤼‍♂️💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿

    • @smukelomkhize9775
      @smukelomkhize9775 Před 2 lety

      Kwa 666 na kulala na Mama Yake

    • @halimasaidhamis1657
      @halimasaidhamis1657 Před 2 lety +1

      Kijana yupo vizuri hongera sana

    • @shimbirobo9586
      @shimbirobo9586 Před 2 lety

      @@smukelomkhize9775 we ni mkundu kwel una uhakika gan kama analala na mama yake au ndo kuhic tu, pumbav kabix, unajiona mwenda mbinguni sana kumbe na ww una madhambi kibao tu shenzi kabix

    • @smukelomkhize9775
      @smukelomkhize9775 Před 2 lety

      @@shimbirobo9586 wewe unanini Nyuma Hapo unapokalia msunu WA Nyoko ,

    • @smukelomkhize9775
      @smukelomkhize9775 Před 2 lety

      @@shimbirobo9586 black mampara

  • @daudmtange8005
    @daudmtange8005 Před 2 lety +9

    Kweli harmonize alisema kweli banaa pesa mlipewaa Termination contact mlikua mnamzungushaa huna jipyaa

  • @officialkassimu7791
    @officialkassimu7791 Před 2 lety +13

    Simba father of African music and the father of big artists out of wasafi like harmonize and Rayvanny

    • @brayo001
      @brayo001 Před 2 lety +1

      Father of Tanzanian music...sio Africa

  • @robertmagangira8127
    @robertmagangira8127 Před 2 lety +9

    Mondi uko vizuri

  • @jcwformedia5032
    @jcwformedia5032 Před 2 lety +13

    Diamond merece 200000 beijos de parabéns

  • @michaelkibona1198
    @michaelkibona1198 Před 2 lety +2

    Nakubali kazi yako simba

  • @tiktokTviral
    @tiktokTviral Před 2 lety +9

    UKIMSIKILIZA VIZURI DIAMOND
    UTAMUELEWA VIZURI SANA
    HIVIV HAO WASANII WA WCB
    KABLA YA KUSAIDIWA NA DIAMOND
    WALIKUWA HOI HAWANA KITU
    LEO HII WANAMUONA ETI MNYONYAJI🥴

    • @samiridicksoni9067
      @samiridicksoni9067 Před 2 lety +1

      Kaka uyo awasaid ila mi nacho jua mimi kama alivo sema anafanya nao biashara apo ndo nimemwelewa

    • @ibrahimfarha3853
      @ibrahimfarha3853 Před rokem

      Sasa byashara Huna ata mtaji MTU anawekeza kwako n'a anakufunza n'a kukuweka ........duh heartless zingine bin Adam

  • @dicelwantu2192
    @dicelwantu2192 Před 2 lety +7

    Tenda wema nenda zako kaka
    Coz unaowatendea wema leo ndio watakuwa wa kwanza kukurushia mawe

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před 2 lety +1

    nakuelewa sana bro mod upo vizuri sana

  • @charlesmasele6327
    @charlesmasele6327 Před 2 lety +3

    Kizazi sana 💥 simba

  • @donhussle948
    @donhussle948 Před 2 lety +8

    Mdomo unasema tuu ila moyoni mwiba

  • @gloireirenge5338
    @gloireirenge5338 Před 2 lety +1

    Mungu aku zidishiye kkngu

  • @wasadikigang599
    @wasadikigang599 Před 2 lety +4

    Don't give a dem about ma negah wafadhilaka wapundaka remember that..the big boss 😇🎤🎶❤️💯

    • @mohammedsalum3502
      @mohammedsalum3502 Před 2 lety +1

      Uyo mtoa post ni mavi bila hao waliotoka wcb wangefahamika au

    • @mohammedsalum3502
      @mohammedsalum3502 Před 2 lety +1

      Unajua baba wawatu angetaka kuimba yy peke yk mngesema leo hii nawambia angekua na myimbo nying kishenz na ata ivyo ana nyimbo nying na bd atakua juu akutaka kuimba peke bali akoona avute wasiojiweza leo wamepata vi ela wanamuona mjinga

    • @mohammedsalum3502
      @mohammedsalum3502 Před 2 lety +1

      Nawaambien uyu baba wawatu atuombei mabaya siku amefumba macho muziki unakufa serious sasa ivi si mnadharau

    • @wasadikigang599
      @wasadikigang599 Před 2 lety

      @@mohammedsalum3502 siku zote wachache ndio hukumbuka fadhila ni ngumu sana kumsaidia mtu alafu akaona wema wako

  • @evelynmuholeza5458
    @evelynmuholeza5458 Před 2 lety +3

    That is true diamond

  • @williamkeita1519
    @williamkeita1519 Před 2 lety +14

    Fact unaenda wapi njooo hapa kwanza.upo sahihi sana sana mond hao umewajenga kimziki lazma walipe vizur coz hiv jamaa wa tandahimba bila wewe siangelikua anatumbuiza bar tu mpaka tenda za kule sio dar.

  • @radbordswamwel6588
    @radbordswamwel6588 Před 2 lety +1

    Broo binadamu hana shukran

  • @janeamos9485
    @janeamos9485 Před 2 lety +9

    mungu umuwekembe watu awana wema wewetu nisimba songabele simba 🦁🦁🦁👑naitwa jennifer mimi nimutuwa kongo naishi zambia mungu azidikumipanguvu

  • @sangapatrick1609
    @sangapatrick1609 Před 2 lety +21

    Simba wewe ndio nembo ya Tanzania hakuna mwingine

  • @barakadaud5323
    @barakadaud5323 Před 2 lety +10

    Hayo ndo maneno ya kusema ni biashala lkn apoapo unasema unawasaidia unakosea harmonize alisema hizo hisa alilipa lkn migogoro ikaanza watu wa kalibu yako ukawatuma kumtukana kumtukunana kumuwekea figisu na ss ni mashabiki mfano baba levo

    • @richardpeter8188
      @richardpeter8188 Před 2 lety

      Na Mwijaku Kwake Inakuwaje

    • @bigjizee4130
      @bigjizee4130 Před 2 lety

      Kwani yeye naye si ana machawa wanatukana

    • @barakakoi5976
      @barakakoi5976 Před 2 lety +1

      Nibiashara lakin hapo hapo ndokafanya msada hebu jiulize niwasanii wangap wakubwa tanzania kulko kna ray angai mahal amefka so mbal na biashara msada upo ulfanyka hapo

    • @mao9622
      @mao9622 Před 2 lety +2

      Kumsaidia ni kumpa nafasi.Hata muajiri wako amekusaidia .unafkiri wangapi Wana uwezo na hawakupewa nafasi?

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před 2 lety

      Huna akili wewe na mwijaku je anatumwa na mmakonde?

  • @Çhrïskãykãy
    @Çhrïskãykãy Před 2 lety +1

    Ni vizuri kusema toka moyoni mondi
    Hatutaki utupendezee sema kweli Toka moyoni

  • @hassanimwaharabu-wm3ti
    @hassanimwaharabu-wm3ti Před 7 měsíci +1

    ❤❤❤❤ ASSAN

  • @jrue6966
    @jrue6966 Před 2 lety +2

    Nakubali sana demod

  • @ramaramady3955
    @ramaramady3955 Před 2 lety

    Daaaa mkuuu hapo upo sawa kaka sikupingi kabisa

  • @muhundaramadhani5057
    @muhundaramadhani5057 Před 2 lety

    Gooood job simba

  • @lukikimo6111
    @lukikimo6111 Před 2 lety +1

    Allah akulinde akuepushe nawenye chuki nawewe

  • @georgegongoli1589
    @georgegongoli1589 Před 2 lety +4

    Big up diamond platinums I con of africa

  • @zaituneadremaneadremane5698

    simbaaaa🔥🔥🔥🔥

  • @mlachakeofficial8289
    @mlachakeofficial8289 Před 2 lety +3

    Unataka ukimbie ..ukimbie wapi ...ebu njoo kwanza

  • @mgeyahnyanga3574
    @mgeyahnyanga3574 Před 2 lety +1

    Fact mond 🔥🔥🔥

  • @ibrahimkagomajr1416
    @ibrahimkagomajr1416 Před 2 lety +1

    This is reality 100%

  • @wilsonnjeru9231
    @wilsonnjeru9231 Před 2 lety +10

    Mondi unapenda sana kujipendeza ...harmo anaishi kwa bidii zake bro wala so nguvu zako

    • @mosehfilms
      @mosehfilms Před 2 lety

      Asinge kuwa mondi harmo tusingemjua

  • @selinaaliseni3751
    @selinaaliseni3751 Před 2 lety +1

    just do your work bro, never mind those young children

  • @shebbylove5264
    @shebbylove5264 Před 2 lety +1

    Simbaaaaaaaaaa🤴🏾🤴🏾🤴🏾🤴🏾🤴🏾

  • @Worldwidetv901
    @Worldwidetv901 Před 2 lety +7

    Nooooo Broo ! Usijiweke Mjanja kaka #MWABINO

  • @nocolasendru4196
    @nocolasendru4196 Před 2 lety +1

    Sahii Simbaaaa

  • @ahmadifataha6677
    @ahmadifataha6677 Před 2 lety +5

    Vitendo mbali maneno mbali

  • @user-yd8sp4es9n
    @user-yd8sp4es9n Před 11 měsíci +1

    Ravanyn ndiamondi 😢

  • @-imbyuso-chnel9684
    @-imbyuso-chnel9684 Před 2 lety +2

    Diamond hauna mpinzani baba

  • @bab-jfaliala627
    @bab-jfaliala627 Před 2 lety

    Big up nakubali

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Před 2 lety +13

    😂😂😂😂huyu jamaa kwa kujisafisha jambo kufika kwa magufuli baada ya kutaka kumyima contact zake harmonize ndo magufuli akaingilia maana pesa ulizotaka harmo alikulipa na bado uligoma kumpa haki zake miliki 😂😂huyu bhana

    • @natashanijat3439
      @natashanijat3439 Před 2 lety

      Ulitaka harmo aondoke bure wakat katengenezwa na yeye ndiye aliyevunja mkataba 😆 mashabik jueni sheria za mkataba kwanza Ndo mtetee msiyeyajua Alafu harmo bila mond asingekuwa harmo wala asingejulikana

    • @salmaathuman9156
      @salmaathuman9156 Před 2 lety +1

      @@natashanijat3439 elewe nilichoandika bwege wewe

    • @natashanijat3439
      @natashanijat3439 Před 2 lety

      @@salmaathuman9156 😅😅😅matusi tena unanitukana kisa mtu ambaye hata mia akupi wala akujui ok sawa mie bwege wew mwerevu unanini? Alafu muislam Mzma salma unamtusi mtu dah ok dada siwez tukana mtu simjui so am happy to be bwege 🤪🤪🤪

    • @salmaathuman9156
      @salmaathuman9156 Před 2 lety +2

      @@natashanijat3439 elewa nilichoandika bwege wewe unazani nategemea mtu anipe mia nafanya kazi shoga harmo ni mtanzania mwenzangu panapotokea mtu kijisafisha yeye aoneka Bora zaidi kuliko wenzio 😂😂😂ache kijisafisha

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 2 lety

      @@salmaathuman9156 Harmo wako si keshaachiwa shida yako nini?

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Před 2 lety +5

    Useme sababu ya hamonize kukushtaki kwa raisi ni ipi?

    • @narrissajackson3869
      @narrissajackson3869 Před 2 lety

      Serikali itakuwa na jibu mtakaloliamini

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 Před 2 lety +3

      @@narrissajackson3869 kwani serikali ndio alioikosea au hamonize ndio anaedai kua alilipa pesa aliokua anadaiwa lakini mondi alikua hataki kumpa karatasi ya usibitisho kua hayupo wasafi na alikua anataka kusafili nje ya nchi ndio hamo akapanda hewani kwa jpm na jpm kutoa amli kwa mwakiembe na mwakiembe kutoa masaa matano hamonize apewe hati ya ke kutoka wachafu kua yupo free

    • @narrissajackson3869
      @narrissajackson3869 Před 2 lety

      @@rashidyally8715 mimi nilifikiri utatambua umuhimu wa kupata taarifa kutoa mahali pasipoegemea kokote, ila ajabu huamini anachosema diamond na unataka wengine waamini atakachosema harmonize huoni ni kasoro. Muda mwingine tukiwa realistic itatujenga sana. Na haina haja ya kutoa maneno ya kashfa lugha za kuudhi. Smart minds just give out smart words to work upon

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 Před 2 lety +2

      @@narrissajackson3869 hayo mapovu Sasa baazi ya wa tz wapuuzi Sana yani mtu akiongea ukweli anaonekana muongo na mtu anaeingea uongo ndio anaonekana mkweli na kingine ushabiki Kuna ushabiki wa kipumbavu mtu Kama unamshabikia hata akikosea wewe husemi ukweli kisa unamshabikia 😄😄😄

    • @narrissajackson3869
      @narrissajackson3869 Před 2 lety

      @@rashidyally8715 unajuaje ukweli ili hali wewe si sehemu ya management team, niandhani huo ndiyo ushabiki, binafsi siwezi elewa nani yupo sahihi kwani kila mmoja anajiteetea yeye na wao wanajua vema zaidi. Sisi ni akina nani tujudge aliye sahihi kati yao ili hali hatuna details. Sioni kama kuwasikiliza wao ni njia sahihi ya kuupata ukweli, ila ni uhuru wa kila mmoja wetu kufuata aonalo utambuzi wake unamuongoza. Binafsi ninaona wana bias kubwa.Kuegemea upande mmoja bila hakika sioni umuhimu wake, kwani ni hakika itakuwa kujifariji kujua ilihali sina hakika

  • @adelinafransins6758
    @adelinafransins6758 Před 2 lety

    Nakubali cn

  • @1soundchannel935
    @1soundchannel935 Před 2 lety

    Diamond is the one of the best Tanzanian artist has ever had anyone who denies that is just a blind hater . Amewakuza vijana wengi nchini tz. Na anaajiri wengi kama kijana wa umwri yake. Hakuna wakumulinganisha nawe Easter Africa. Diamond babalao 😀

  • @mwamedypwemu6117
    @mwamedypwemu6117 Před 2 lety +3

    akuna mfano wa kuigwa apa anawapotosha umaa maan daimondi angekuwa sheikh leo waty wangempa sapoti sema umaa anaupotoshaa ukwel ndo uwoooh ibilis utupuu

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 Před 2 lety +3

    wasanii WA wasafi wanajiita mpka matajiri but c matajiri ni kujiita Tu c ndio boss diamond 🤣🤣🤣

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 2 lety +8

    1.Hakuna msanii aliyelazimishwa kujiunga WCB
    2. Kila msanii ajiangalie Hali na umaarufu wake kabla na baada ya kujiunga WCB
    3. Mwisho ndio tutoe hukumu
    Anayeona kuwa WCB inawanyonya wasanii, itapendeza yeye akaanzisha Lebo yake halafu akawa anawasajili wasanii Kwa elfu 20 na mwisho wakitaka kuondoka wanatoa elfu 30 ili waende,,,,,,,,,
    Longolongo zingine tutakuwa hatuwatendei iliyosawa WASAFI

  • @zabronsimfukwe
    @zabronsimfukwe Před 2 lety

    Ni kweli broo

  • @jastinsimon5677
    @jastinsimon5677 Před 2 lety +2

    Nimecheka et njoo hapa kwanza

  • @johnmeshack8284
    @johnmeshack8284 Před 2 lety +11

    Wanaomponda diamond ni wivu tu sio kingine

  • @almshher5197
    @almshher5197 Před 2 lety +4

    Tuna kupenda ata burundi wapo washa biki wako ila hautu oni kweli acha wakuseme vibaya wewe mola kakupa moyo muzur sana

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901 Před 2 lety +1

    Nimekuelewaaa

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Před rokem

    Diamond jipe peteeee kuwatowa watanzania ushamba na kuwaonesha iyo business......Diamond anajuwa n'a anaweza tena

  • @hamadaly8663
    @hamadaly8663 Před 2 lety

    Diamond platnumz safi sana

  • @msalabanireko1518
    @msalabanireko1518 Před 2 lety +1

    Simba kama simb Yuko juu sana

  • @justinemachila9025
    @justinemachila9025 Před 2 lety

    Ukafundishe kuimba Simba I like you

  • @minhokid
    @minhokid Před 2 lety

    Big kama BIG

  • @gidiohkeen3530
    @gidiohkeen3530 Před 2 lety

    Biashara ndio lakini mtu akikata mikataba.. Asighniwe..... Bila kuzubaishwa kutupiwa muda.... Laki tano harmo kalipa ila mnakwepa kumsighni atoke!!.. Ulikuwa unaepa kwenda marekani.. Ndo harmo akaomba usaidizi kwa jpm.... Ukasimamishwa Airport ukasighn.... Hiyo sio kushtakiwa... Alitafuta msaada

  • @mbumbumbu0
    @mbumbumbu0 Před 2 lety

    Kweli broh, au unatupanga

  • @procedure_254
    @procedure_254 Před 2 lety +2

    Ni Kweli Ni Biashara But Contract Ikiisha Wachilia Msanii Usichukue Rong Move 🌋🎸

  • @patrickbasilwango8203
    @patrickbasilwango8203 Před 2 lety

    Good diamonde🇨🇩

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před 2 lety +6

    Acha Uongo alikushtaki lazima ulitaka miezi mitatu mwenzako angeishjie acha Uongo

  • @zainabsuleiman5920
    @zainabsuleiman5920 Před 2 lety +1

    Ndio binaadam walivyo hawatizami hapa na hutizama kule stahamili diomond ni wenyewe walisema kheri adui sheitwan kuliko adui kiumbe hawajakosea acha nao iko siku watakukumbuka

  • @paulinobraimomupaira5277

    Good way diamont

  • @AboveandBeyondAviation1

    Simba ni Simba..muziki ni biashara, kama uko Kwa mkataba kama umesign ndio kufaidika ukisaidika unafaa kuheshimu mkataba.

  • @ebrahimogweezy7442
    @ebrahimogweezy7442 Před 2 lety

    Diamond uko sawa

  • @mamarazaki8975
    @mamarazaki8975 Před 2 lety +1

    Hapo Sasa na Mimi naanza kuelewa

  • @King-Buda
    @King-Buda Před 2 lety +3

    Bless

  • @MJ-rr6dy
    @MJ-rr6dy Před 2 lety +1

    mond ni mond tu hata apigwe madongo vp aliwatoa wasanii wakosa shukran

  • @homeboy2307
    @homeboy2307 Před 2 lety +1

    Sasa kama ni biashara mbona mnadai shukrani

  • @philbertnestory670
    @philbertnestory670 Před 2 lety

    Your alright guy

  • @hassanirashidi1906
    @hassanirashidi1906 Před 2 lety +1

    Mondi uko sahihi

  • @saidybuge9283
    @saidybuge9283 Před 2 lety

    True

  • @kapalataawazi8989
    @kapalataawazi8989 Před 2 lety +2

    Siko shabiki wako but niko shabiki wa HARMONIZE lakini interview yako yaleo unaongea vizuri

  • @Maaworldwide
    @Maaworldwide Před 9 měsíci

    Sasa unatakiwa kujua kwamba harmonize wote pale wasafi mpo kibiashara,, sababu talents zipo ndoo maana mmewekeza,,acha kuwaita watoto wako

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 Před 2 lety

    Kweli Mzee Muziki ni biashara kama biashara nyingine

  • @philipojohn367
    @philipojohn367 Před 2 lety +1

    Ndio wanadamu chibu piga kaziii

  • @farajikazumari2693
    @farajikazumari2693 Před 2 lety

    Mike jackson wa nyoko...mwambino😂😂🤲

  • @johngongana670
    @johngongana670 Před 2 lety

    I love the bottom line

  • @nurdinikilapo4264
    @nurdinikilapo4264 Před 2 lety

    Vijana ukiwabeba wakipata wanasumbua haswa
    Uko sahihi simbaaaa
    #nguvu moja😂