Video není dostupné.
Omlouváme se.
Kuku mkavu | Mapishi rahisi ya kuku mkavu mtamu sana.
Vložit
- čas přidán 30. 08. 2020
- #mapishiyakiswahili #kukumkavu #mapishiyakuku
Website:rukiaskitchen.com
Instagram: rukias _kitchen
Facebook: Rukias kitchen
Cookpad: Rukias kitchen
Mahitaji:-
Kuku kilo moja
Chumvi kijiko kidogo
Pilipili manga kijiko kidogo
Manjano kijiko kidogo
Paprika kijiko cha kula
Garamasala kijiko cha kula
Chicken masala kijiko nusu kidogo
Kitunguusaumu na tangawizi vijiko 2 vya kula
Magi / jumbo
Mtindi /youghrt vijiko 4 vya kula
Ndimu nusu
English recipe follow the link➡️ Chicken recipe | How to cook tasty and tender chicken curry recipe | Chicken curry recipe . • Chicken recipe | How t...
Spices za kiswahili ➡️ • Viungo 16 muhimu kutu...
Nambari ➡️+254 787 022663 / +254 791 784401
Instagram ya spices ➡️ Laltia's_swahili_spices
If you would like to watch this video in English language press the link ➡️ czcams.com/video/6LiOuRsrohE/video.html
Je unaeza kumchemsha kwnza ama ita haribu
Naomba namba naitaji viungo
Kuku avutia huyo masha'Allah, nimpate na ugali mwembamba😋👌
Ha ha haa tayr ushampata
mash allah nimependa sana Shukran sana habibty kila la kheir
mashallah shukran kwa mafunzo mazuri allah barik
Mashallah shukran ukhty jazaakallah kheyr kwa mapishi mazuri😋😋
Ma Shaa Allh
MashaaAllah
Mashaallah dada Mungu akupe afya na uzima uzidi kutupa ujuzi
MashaAllah,it looks so yummy..!shukran habibty...!
Napenda sana mapishi haya
Shukran sana my dear. Mungu akujalie kheri kwa juhudi zako za sadaka unazo tufundisha.
Mashaallah tamuu,,,,ntajaribu
Maashaallaah
Nimependa sana preparation
Kikwale Elisha Asante sanaa
Shukrani sana,kuku mtamu km sauti yako.Mungu abariki mikono yako
Masha Allha
Yummy! Mouthwatering recipe Thank you 👌
Mashallah
U made it seem so easy thanks 😊
Wow so yummy, , thank you always for sharing your talent,,my favourite female chef
mariam ibrahim awww thank you soo much dear
Mashaallah tabarakallah ❤
Shukran Dear
Safi
Shukran sana Allah ijazik kheir fi duniya wal akhera
Oman triplets Mom ameen yarabi inshallah shukran habibty
Wajib habibty
napenda mapishi yako sana
Yummy 🥰😘
Shakila Shariff shukran habibty
Hizo spice tu jmn but hongera Kwa mapish matam
❤
Mashaallah tunahitajihizo bidhaa
Zipo uko sehemu gani ??
So fantastic darling!😋😋I like it!
Thank you habibty 😘
Habibty recipe zako wallahi ni tamu zina ladha ya pekee ...NIAMINI
Oman triplets Mom shukran sanaa
Afwan Qalbi🌹
Kweli kabisa kama chakula chako ukipika habibt ni kitamu sana love you
Thank you for sharing dearest
4
Shukran tuambie tuliokua mbali na Tanzania na Kenya tutapataje hiyo huduma belgium
At the moment tunatuma Eastafrican pekee yake ,Europe na nchi zengne bado
Assalamu Aleykum Rukia nakuliza nikipika tuwi ya nazi ya mbahazi enakatika
Nitumiye.nabayako
Spice my dear nitakuwa tu mteja wako mamii❤
Inshallah habibty Shukran 🙏 ❤️ 😘
Tutaipata aje Nairobi
So yummy dear, naweza kufata hiyo process yote ya viungo but nikamkaanga na mafuta?
Waeza
Samahan kipenz nimependa mapishi yko, ila ningependa kujua Kam ntaweza kupata hizo spices
Hii process naweza kutumia kwa nyama ya bata ?
Au viungo gani vizuri kwa nyama ya bata?
Tunaomba majina ya spices
Aaaaah we dada unatumia spices nyingi sana bhna khaaaa
😂😂😂😂😂 tumia ambazo unazo...bora ushajua mbinu yakupika au sio
🤣🤣🤣🤣umeona eee
Looks super yummy. Too bad u didn't at least state the English names of the ingredients in the video😩
All my videos are in English and swahili
czcams.com/video/6LiOuRsrohE/video.html
Thanks so much. Later saw ur pinned comment n watched. You hv great recipes new subscriber
Mm nipo Zanzibar napataje spice nataka kununua ?
Kwa sasa hatuna wakala zanzibar wala tz tunatuma mzigo tu , malipo ya u safiri unalipia
Hii yogurt mnaotumia ndo ile ya kunywa !?
Plain yoghurt
Hapikwi na mafuta
Una wakala wa viungo Tz?
Juliana Sabrere ikiwa unataka ndio tunatuma tz
Me natak nipate izo spice nitapat wap? Nipo zanzibar
Namba ako ya sim kama nahitaji spices
+254 787 022663
Rukia Laltia are you doing delivery to +255
Yes we do
Rukia Laltia Oky ,,so how much for each
Samahan kipenz nimependa mapishi yko, ila ningependa kujua Kam ntaweza kupata hizo spices