Video není dostupné.
Omlouváme se.
Makange ya kuku | Jinsi yakupika makange ya kuku matamu sana | Rosti la kuku.
Vložit
- čas přidán 6. 01. 2020
- Facebook: Rukias kitchen
Website:rukiaskitchen.com
Instagram:rukias_kitchen
Cookpad: Rukias kitchen
Mahitaji:
Tomato mkebe vjko 3
jumbo ama magi cube
ndimu nusu
kitunguu maji1
pilipiliboga
carrot 1
garammasala kijiko kidogo
curry powder kijiko 1 kidogo
pilipilimanga kijiko nusu kdogo
Kuku nusu kilo
royco kijiko 1 kdogo
chumvi
kitunguusaumu na tangawizi vijiko 2 vya kula
Mafuta.
If you would like to watch this video in English press the link ➡️ Chicken stew | How to cook a tasty and thick chicken stew | Kenyan chicken stew . czcams.com/video/3xTwDYGSBMY/video.html
Hello sister mm nataka kupika mapange ya kuku mzima wa kisasa Recipes please
Kwenye picha kuku anaonekana mkubwa kumbe wa kiasi vipande
Asante 😋
Tunapenda
Ty Rukiya for the awesome n lovely chicken Makange I'm pleased and happy watching ur post from Tanga Tanzania Wow.
Mashaa ALLAH
Napia wajua kueleza step by step Hongera yammy.,
Asante sana kwa maelezo ya upishi mzuri.
Masha Allah nice
Sauti yenyewe mashalla , nice one
Ma sha Allah yummy yummy
Thank you dear. You are such an amazing chef
MaashaaAllah habibty
Mimi naipend San saut yk pia so yum😋😋
Shukran habbty
MAA SHAA ALLAH
Nimependa sauti yako dear unaelekeza vizur hongera
Asante sana nimesoma jinsi ya kutayarisha kuku leo
Aiiiiiii wedada unaniuwa mwenzio kwa mapishi yako mazuri,
Mashallah mashallah habibty 😍 😋 😋 😋 looks so yummy jamani, must try hun ❤️❤️
Your my favorite chef,I love how you cook.
Mary Mathew aww thank you so much ❤️
Mashallah. Bado tanduri
Soo yummy
Asante dear
Yummy
Nimeelewa dada nilitamani sana kujua hapo sawa
I love u Rukia...God bless u
🥰🥰🥰Ameen
Nice
Safi sana kazi nzuli
Asante sana
😋😋👍
Sauti yako nzuri Mungu amekujalia, je unaweza kuimba kufanya muzik ?
👌👌👌👌👌what is Royco?
Looks delish😋😋😋
B's Magic Kitchen thank you so much ❤️
@@RukiaLaltia you're welcome dear😘❤
Nimependa hingeraa
Ukipika kwa muda mrefu hizo vegetables, vitamins na enzymes zilizomo humo ndani yake si zinaharibika?
Sauti tu mie
tatizo hivo viungo vengine ntavitoa wapi sie wa mbeya huku....daah sema unaelekeza vizuri sana dada
😁😁😁
😂😂😂😂😂😂😂😂 mahiii umegusaaa penyew 😂 ... hata uyolee havipo hivyo viungo
Mapishi mazuri ila Royco, Jumbo na Tomatoe ya mkebe ni bidhaa vya kemikali nyingi - vinachangia pakubwa katika kuenea kwa mangonjwa kama vile kansa.
how about curry powder?
@@missykayla2460 Ideally Curry Powder is a mix of natural herbs
@@missykayla2460 Ideally Curry Powder is an assortment of herbs originally from , very good ...
Point kubwa sana
Hayo siyo makange bana,ni rosti
Jumbo ni nini
Makinika nami mpk mwisho napenda
Nimeipenda bule
Mbona hajatumia tomato fresh?
Mi kila siku najiuliza makange nini jaman kumbe nii ivyo
Y
Where can i buy the greated ginger plus garlic?
Supermarkt
Je siwezi tumia nyanya ya kawaida tofauti na nyanya ya mkebe?
Unaweza dear isage kwa blender ndio uxuri
Si nimchuzi tu
Naweza kutumia nyanya fresh instead of nyanya ya kopo katika hiyo recipe yako?
Waeza
Pilipili manga yaitwa aje na kizungu
Black peper...
Naweza changanya ndiz zilizokatwa kma chips na kuacha dk 1au nitapoteza ladha my
Ndio waeza
@@RukiaLaltia asante dear
Zaman nilikuwa napenda viive Sana kalot hila wanasema za makange Ata za kawaida hazitakiw kuiva Sana
Dada naomba niwe muonjaj
Glory Lema karibu sana 😂😂 dada sema uko mbali
@@RukiaLaltia ntakuja tu mbali ni mbinguni jaman
Dada mambo gani hayo yakunitoa mate kwenye mtandao. You are great my dear.
Naomba namba yako ya wasap
Nice
Mashallah mashallah habibty 😍 😋 😋 😋 looks so yummy jamani, must try hun ❤️❤️
Omg it’s really really tasty love 😋😋😋👌 im just making u to salivate 🙈🙈
Masha'allah