MBUNGE ADAI VIJANA WANAOGOPA KUOA/KUOLEWA WANA TATIZO LA AFYA YA AKILI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 05. 2022

Komentáře • 49

  • @mwitamahende4394
    @mwitamahende4394 Před 2 lety +6

    Afya ya akili ianzie bungeni ili kujenga hoja zenye kuleta maendeleo ya nchi.

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 Před 2 lety +3

    Safi sana muheshimiwa mbuge makofi kwako 🤣👏👏👏

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 Před 2 lety +2

    Safi sana mh. Mbunge

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 Před 2 lety +3

    Afya ya akili point kubwa sana 👏👏👏👏

  • @evaristjoseph8151
    @evaristjoseph8151 Před 14 hodinami

    Nikweliii pisha njiaaa waambie haoooo!!!!!!

  • @msetikebwasi7270
    @msetikebwasi7270 Před 2 lety +4

    Na hili si jambo la kufanyia utani!!!.jamii nyingi inahangaika sana,na ukiangalia kwa umakini zaidi unagundua tatizo ni afya ya akili.Hasa wanawake wanadanganywa sana makanisani.

  • @beatusmtui507
    @beatusmtui507 Před 2 lety +1

    Waambieee japo najua hutarudishwa bungeni awamu ijayo kwan u emewaudhiiii

  • @Bise270
    @Bise270 Před 2 lety +1

    Nampenda sana Mh jesca🇹🇿❤

  • @emmanuelbonaventura4258
    @emmanuelbonaventura4258 Před 2 lety +4

    Nadhani swali zuri ni nini nitaifanyia familia yangu na sio Tanzania, kwa sababu tunaona walioifanyia makubwa Tanzania wanabezwa na kudhihakiwa na watanzania haohao.

  • @njiwapori8749
    @njiwapori8749 Před 2 lety +2

    Kuoa sio lazima mama

  • @hoseamaguta651
    @hoseamaguta651 Před 2 lety +2

    Safi sana mama waambie ili waelewe make ishakuwa kila secta ni wazee

  • @saketnicholaus9962
    @saketnicholaus9962 Před 2 lety +2

    Umeeleweka mama

  • @StevenMasunga-fd7xf
    @StevenMasunga-fd7xf Před 20 dny

    Kweli jesca, mizee leo hi ndo yametufikisha

  • @clintonnyaluke1567
    @clintonnyaluke1567 Před 2 lety +1

    Umetisha

  • @aronatv47
    @aronatv47 Před 2 lety +2

    Fact tu..Kama ni Matatizo ya Akili Basi hata viongoz hawana afya Akilii Maana Hapo ndani kwenye Utopolo Tu kwa jinsi ulivyo zungumzia hoja yako..Big up ukweli mtupu unawahusu wenyewe hapo ndani Mama kaamua kuwachana ukweliii mtu

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 Před 2 lety +1

    Safi sana Mheshimiwa afya ya akili ndio mpango mzima

  • @omaryjuma8002
    @omaryjuma8002 Před 2 lety +2

    Ayo sio maendeleo ya kuzungumzia

  • @mageisuli4031
    @mageisuli4031 Před 2 lety +2

    Mama nimekupenda bure unao ujuzi wakujenga maendereo natamani ningekuona nikupe mkono ila nipe comenti

  • @castomnyama
    @castomnyama Před 2 lety +1

    Safi Sana mama maneno mazuri...

  • @abdultandala6576
    @abdultandala6576 Před 2 lety

    Nimekuelewa sana😃😃😃😃😍😍😍😍😍

  • @hoseakavubu2844
    @hoseakavubu2844 Před 2 lety +2

    Huyu mbunge alistahili kuwa mbenge 2010 Twende kazi 2025. Tunakutegemea.

  • @deogratiasrugangila3100
    @deogratiasrugangila3100 Před 2 lety +2

    Mawazo mazuri yenye kujenga

  • @johnjoycemalusu4886
    @johnjoycemalusu4886 Před 2 lety

    Barikiwa sana kwa kuongelea afya ya akili, maana ni tatizo kubwa sana kwa taifa letu

  • @abuuarqam255
    @abuuarqam255 Před 2 lety +1

    Good

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Před 2 lety

    Sema Mamaaaa

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 Před 2 lety +1

    Wewe.mh mbona umechelewa.kuitowa hiyo hoja ni hoja ya nguvu na yenye mashiko kwa mstakabali wa usitawi wa nchi yetu

  • @nixonjohnson4908
    @nixonjohnson4908 Před 2 lety +1

    Taifa hovyo hili utalifanyia nini matepeli hao ..

  • @jennykave6633
    @jennykave6633 Před rokem

    Jameni, afia ya akili!

  • @valerianakilumile8517
    @valerianakilumile8517 Před 2 lety +1

    Na ww unaukosefu wa afya ya akili ya imani

  • @wardw3022
    @wardw3022 Před 2 lety

    Mama uekewe bango Dodoma hii hoja yako ni nzito sana mama huko smart afya ya akili ni tatizo

  • @mohamedhamad2374
    @mohamedhamad2374 Před 2 lety +2

    Point kubwa sana Mama.

  • @hhusseinsherally8554
    @hhusseinsherally8554 Před 2 lety

    asante dada

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Před 2 lety

    Mimi nimekuelewa sana

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Před 2 lety +2

    Kweri kabisa wakina kinana wameludishwa madalakani

    • @zariadunia6328
      @zariadunia6328 Před 2 lety

      Nao i afya ya akili hivi kinana ana jipya lipi🤣🤣

  • @wilsonndayitwayeko1221

    Uyu mbunge ni wa ukweri

  • @ibrahimnadir4490
    @ibrahimnadir4490 Před 2 lety

    Suala la watu wengi sana kutoweza kujismamia au kuchanganua mambo madogo sana ni kweli Tz lipo sana siwezi kusema ni afya ya akili kwa sababu ni jukumu la serekali na familia kuhakikisha watu wanapewa elimu na ukishakosa elimu kwa kiasi kikubwa utaonekana akili yako ndogo kwenye kila jambo

  • @sulleysonmishlay8253
    @sulleysonmishlay8253 Před 2 lety

    Wewe mama ktk ubunge wako una miaka mingapii? JE hakunavijana hawako ktk Jimbo lakoo?? Mbona huachii ?? Achia jimboo , vijana watawalee ,

  • @friminershayo5325
    @friminershayo5325 Před 2 lety

    Very good points
    She is very good 👍 👏 👌 ❤
    She is very very smart 🤓 woman 👩 👏 ❤ 😍
    We need mp like her..
    She is tell us the truth about our life...

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Před 2 lety

    Maza unachanganya tatizo la akili na ukosefu wa ajira. Watu wengi wanatapeliwa na kutegemea miujiza kwa ukosefu wa ajira na kipato.

  • @anthonymgogo2651
    @anthonymgogo2651 Před 2 lety

    Umeongea point sana basi tu lakin

  • @reneeymike7252
    @reneeymike7252 Před 2 lety

    Afya ya akili

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 Před 2 lety

    Hawana afya ya akili.

  • @noahfilimoni4703
    @noahfilimoni4703 Před 2 lety

    Huyu ndiyo mbadara wa Peter msigwa?
    Mama asante KWa ushilikiano wako 2025 upumzike uachie vijana.

    • @abuidmussa1898
      @abuidmussa1898 Před 2 lety

      kweli mama we ni ninoma Holi tu nakupa Mia ya miya

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 Před 2 lety +2

    Unaongea vya maana sn,ila hilo shati limekufanya uonekane dume la miraba minne,vaa kutokana & umbo lako.

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 2 lety

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @smfkingdom9944
    @smfkingdom9944 Před 2 lety +2

    Usipitwe na hii
    czcams.com/video/EoUNzHZowFY/video.html
    Kamti pombe🔥🍸7