"TUMEONGEZA AJIRA KWA WAKULIMA WA PAPAI" - ASPEC

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 07. 2024
  • Kutana na Mkurugenzi wa Utafiti, Uzalishaji na Masoko kutoka Kampuni ya ASPEC Ndg. Ascarlyon A. Lufurano akielezea namna Kampuni yao imekuwa sehemu ya kuchochea mapinduzi ya kilimo biashara na kuwawezesha wakulima wa kilimo cha papai kukua kiuchumi.
    PASS Trust imeiwezesha ASPEC kuwa sehemu ya wanufaika wanaopatikana kwenye Banda la PASS Trust katika Maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya Ushirika Duniani (SUD) - 2024 @ushirika_tcdc yanayofanyika viwanja vya Nanenane (Ipuli) mkoani Tabora kuanzia tarehe 01/07/2024 hadi tarehe 06/07/2024.
    Banda la PASS Trust linapatikana mtaa wa pili, upande wa kushoto wa geti la kuingia uwanjani.
    Kwa taarifa zaidi kuhusu huduma zetu, Piga simu bure: 0800 750 037 kuanzia Jumatatu - Ijumaa, Saa 2:00 asubuhi - Saa 11:00 jioni. Tovuti: www.pass.or.tz
    #passtrust #passkilimo #passtanzania #ushirika #kilimo #kijanishamaisha #tanzania #tabora

Komentáře •