JINSI YA KUTENGENEZA NA KUWA NA PESA NYINGI /ACHA HAYA MAMBO MATANO (5)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 07. 2024
  • Unaweza kuwa tajiri mwenye mafanikio makubwa kama ujenga njia nzuri ya jinsi ya kutengeneza na kuwa na pesa nyingi /acha haya mambo matano (5).Watu wengi wanahagaika na uchumi na wanashangaa kwanini hawawi matajiri na mafanikio makubwa ,wanafanya kazi kwa bidii, na kujituma lakini hawafikiii hatua wanayotaka.Ili uweze fikia mafanikio lazima uaze kwa kubadilisha tabia zako kwanza.Anza leo kwa kuondoa mambo haya matano ninayoshare na wewe leo, ili uweze ƙufikia mafaniƙio unayotaka Katika maisha na kuwa vizuri kiuchumi. Angalia video hii hadi mwisho ujifunze ni vitu gani hivyo na uvifanyie Kazi. KARIBU
    🔴 SUBSCRIBE MY CHANNEL 👇
    / @gonlinepositivity
    ............................................................................
    🔴JIFUNZE KUACHA HILI KUFANIKISHA MALENGO, NDOTO NA KUFIKIA MAFANIKIO (PROCRASTINATION)- • JIFUNZE KUACHA HILI KU...
    🔴FIKRA/MAWAZO YA WATU WALIOFANIKIWA - • FIKRA/MAWAZO YA WATU W...
    🔴 KWANINI UNAFELI KATIKA MAISHA NA UNASHINDWA KUFIKIA MAFANIKIO KATIKA MALENGO NA NDOTO ZAKO - • KWANINI UNAFELI KATIK...
    🔴Siri 3 Jinsi ya kuweka malengo - • SIRI TATU ZA JINSI YA ...
    .............................................................................
    Nifuatilie kwenye mitandao yangu ya kijamii
    Instagram - zahir11gome...
    Twitter - / zahir11gomelo
    Facebook- / g-online-2180520768924759
    #Pesa #Utajiri #Mafanikio #Gonline
  • Jak na to + styl

Komentáře • 56

  • @sharifarajabu7255
    @sharifarajabu7255 Před 4 lety +3

    Mashallah ni kweli kabisa shukurn

  • @SesiliaGoodluck
    @SesiliaGoodluck Před 20 dny

    Nice

  • @SesiliaGoodluck
    @SesiliaGoodluck Před 20 dny

    Nice🎉

  • @sayyidtawaqal1754
    @sayyidtawaqal1754 Před 4 lety +4

    Brother Asante! Ukwel nimesoma kidogo mitandooni kwa watu tofauti Ila Leo nimekuona na nimeipenda Zaid ya wote Thanks

  • @cornelytv2839
    @cornelytv2839 Před 6 měsíci +1

    congratulations 🎉

  • @johnsonkagyamushumbusi1880

    Safi sana brother, You change my life via your channel, I solute brother

  • @KiliyaniMahanganile-xv5mi
    @KiliyaniMahanganile-xv5mi Před měsícem +1

    🎉

  • @elizabethndimbwa5470
    @elizabethndimbwa5470 Před 5 měsíci

    Asante sana nimejifunza kitu. Ni kweli kabisa.

  • @ZeriMwasaka-nl2bx
    @ZeriMwasaka-nl2bx Před 10 měsíci

    Asante kwa ushauri wako

  • @mathiasvicent9955
    @mathiasvicent9955 Před 5 lety

    Nice brother unafundisha kitu kikubwa katka maisha ubarkiwe

  • @bryanbyamungu9891
    @bryanbyamungu9891 Před 4 lety

    Thanks big man

  • @Babaphanicemwenyewe278

    Kweli kaka good advance

  • @mussapfbtz4373
    @mussapfbtz4373 Před 4 lety

    Asante sana

  • @Rashsany
    @Rashsany Před 4 lety

    Thanks brother

  • @frankjosephat1480
    @frankjosephat1480 Před 2 lety

    I like it 💥♥️🙏🙏🙏

  • @BolasieNgongo-rh9wm
    @BolasieNgongo-rh9wm Před 5 měsíci

    Asateee Kaka kwa shauri

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 Před 4 lety

    Shukran sana kwa mafunzo mazuri,
    Yaani hii ya kutafuta friends uingie kwa group la business nilikataa kumbe niko sawa 👍

    • @GOnlinepositivity
      @GOnlinepositivity  Před 4 lety

      Kabisa Usiweke pesa yako kwenye biashara au jambo ambalo ulifahamu

  • @user-mr9di8ri2o
    @user-mr9di8ri2o Před 7 měsíci

    ❤❤❤ aksante

  • @fanuelkidava5655
    @fanuelkidava5655 Před rokem

    Daaah nimepoteza kinomaaaaaaaaaaaaaaa

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 Před 3 lety

    My favourite video of all the time in this chanel sijawai kuchoka kuireview

  • @josephatkimbavala2724
    @josephatkimbavala2724 Před 4 lety

    Kweli kiongozi wanatufatilia sana hao naniwengi sana tuelimishishe kiongozi

  • @swydavis6689
    @swydavis6689 Před rokem

    Bother nimekuelew kamari imenifelisha kikubwa sana

  • @mustafajafari5547
    @mustafajafari5547 Před 4 lety

    Duuuu kaka ongera san mafunzo mazuri

  • @paschalpeter4540
    @paschalpeter4540 Před 4 lety +1

    Thanks so much brother keep advicng us

  • @edsonmaguga3382
    @edsonmaguga3382 Před 4 lety +1

    Nmekuelewa kaka ubarikiwe

  • @gerdulrich5370
    @gerdulrich5370 Před 3 lety

    Maisha yangu Maajabu yanashangaza ushuhuda, Jinsi nimepata kisanduku chenye nguvu sana ambacho sasa ni pesa yangu mara mbili kutoka mia hadi elfu ya pesa ndani ya masaa 24, na pia jinsi nimerudisha mpenzi wangu wa zamani, sababu kuu niliwasiliana na Dk Lomi kwa msaada mimi kumrudisha mpenzi wangu wa zamani, basi ananisaidia ni nguvu kubwa ya kumrudisha mpenzi wangu wa zamani, na ananipenda na ananithamini sasa, basi mimi na Dr Lomi tukawa marafiki, baada ya mazungumzo kadhaa namuuliza ikiwa kuna njia anaweza kuniganga ili nipate pesa, hapo ndipo aliponiambia juu ya sanduku hili la uchawi, akaniambia kuna aina na saizi tofauti ya sanduku, aliniambia aina zote za sanduku, ningeweza kumudu ndogo tu ya sanduku, baada ya maombi muhimu anayofanya kwenye sanduku, ananipeleka kupitia huduma ya kujifungua, aliniambia niweke pesa ndani, niliweka ndani ya sanduku 100 euro baada ya masaa 24 nikagundua ilikuwa elfu 10 euro ndani, na nimekuwa nikitumia sanduku kwa miezi 7 sasa, mimi na mchumba wangu tunaishi maisha bora, ikiwa unahitaji b ack mpenzi wako au pesa spell wasiliana na Dr Lomi kwa barua pepe: lomiultimatetemple@gmail.com au WhatsApp namba +2349034287285 unaweza pia kumwandikia kupitia Jina la Mtumiaji la Snapchat: drlomi20 atakusaidia nje, asante kwa kusoma
    Kwaheri Gerd Ulrich

  • @zuhuramike1399
    @zuhuramike1399 Před 3 lety

    Amen

  • @ZuwenaSinde-hj9qg
    @ZuwenaSinde-hj9qg Před 4 měsíci

    🤝🙏

  • @MaxRubedi-mu8vs
    @MaxRubedi-mu8vs Před rokem

    Asante sana mungu akubariki kwa mafundisho yako

  • @fatumamohamed6358
    @fatumamohamed6358 Před 4 lety

    je upande wa.ndugu inakuwaje katika kukopa

  • @maridadimushroomprojects9310

    Ni kweli mi nishawekeza kwenye hizo biashara za mtandao nimepoteza hela yangu mara 2 kwenye kampuni 2 tofauti 1.milion najutia sana

  • @shodristvtv6121
    @shodristvtv6121 Před 3 lety

    Thanks bro

  • @LovelyRacingHelmet-iv6ti
    @LovelyRacingHelmet-iv6ti Před 3 měsíci

    Aisee hiyoo ya kuinvest nimeipenda kuna jamaa alitaka kuniingiza cha kike nikamshitukia

  • @anordisangah
    @anordisangah Před rokem

    Acha kukunua machangudoaaaaa

  • @bensonkape4919
    @bensonkape4919 Před 11 měsíci

    Nikwer kaka

  • @RenatussylivesterPetro-ct5ck
    @RenatussylivesterPetro-ct5ck Před 10 měsíci

    Namadem wanafrisi

  • @rigotythegreat2496
    @rigotythegreat2496 Před 4 lety

    We ulikutana na alliance kaka hao ni waongo

  • @nyaamajengo5861
    @nyaamajengo5861 Před 4 lety

    Sio wewe tuu hata Mimi walishanishawishi niwekeze Kwenye hiyo biashara ya online. Mi nikajiuliza kwanini wasisambaze hizo dawa ili ziwafikie watu kama biashara nyingine?

  • @mduduemmanuel4585
    @mduduemmanuel4585 Před 4 lety

    Daaa! Nimekusoma sana mzee baba ila mm hela yangu huwa naimaliza kwa kula vyakula vizuri na siyo pombe au wanawake je hiyo ni nzuri au mbaya??

  • @user-wl5wb5dj6d
    @user-wl5wb5dj6d Před 11 měsíci

    Hujakosea kaka mimi yote amenikuta

  • @tonyrhancy9879
    @tonyrhancy9879 Před 4 lety

    🙄🙄bro hii nimeielewa I will change my life from now coz nilikua nikiamini kua sigara inaniondolea mawazo dah

  • @RICHGOLDLOVEOFFICIALL
    @RICHGOLDLOVEOFFICIALL Před 3 lety

    Asantee broo Kwa mengi muhim nakubar Na mungu akuongoze tuko pmja naomb pia nisapot Kwa nacho kifanya juu malengo yang👇👇👇
    czcams.com/video/yOS0UQz6KcQ/video.html

  • @SesiliaGoodluck
    @SesiliaGoodluck Před 20 dny

    Nice