JINSI YA KUTENGENEZA NA KUWA NA PESA NYINGI /ACHA HAYA MAMBO MATANO (5)
Vložit
- čas přidán 24. 07. 2024
- Unaweza kuwa tajiri mwenye mafanikio makubwa kama ujenga njia nzuri ya jinsi ya kutengeneza na kuwa na pesa nyingi /acha haya mambo matano (5).Watu wengi wanahagaika na uchumi na wanashangaa kwanini hawawi matajiri na mafanikio makubwa ,wanafanya kazi kwa bidii, na kujituma lakini hawafikiii hatua wanayotaka.Ili uweze fikia mafanikio lazima uaze kwa kubadilisha tabia zako kwanza.Anza leo kwa kuondoa mambo haya matano ninayoshare na wewe leo, ili uweze ƙufikia mafaniƙio unayotaka Katika maisha na kuwa vizuri kiuchumi. Angalia video hii hadi mwisho ujifunze ni vitu gani hivyo na uvifanyie Kazi. KARIBU
🔴 SUBSCRIBE MY CHANNEL 👇
/ @gonlinepositivity
............................................................................
🔴JIFUNZE KUACHA HILI KUFANIKISHA MALENGO, NDOTO NA KUFIKIA MAFANIKIO (PROCRASTINATION)- • JIFUNZE KUACHA HILI KU...
🔴FIKRA/MAWAZO YA WATU WALIOFANIKIWA - • FIKRA/MAWAZO YA WATU W...
🔴 KWANINI UNAFELI KATIKA MAISHA NA UNASHINDWA KUFIKIA MAFANIKIO KATIKA MALENGO NA NDOTO ZAKO - • KWANINI UNAFELI KATIK...
🔴Siri 3 Jinsi ya kuweka malengo - • SIRI TATU ZA JINSI YA ...
.............................................................................
Nifuatilie kwenye mitandao yangu ya kijamii
Instagram - zahir11gome...
Twitter - / zahir11gomelo
Facebook- / g-online-2180520768924759
#Pesa #Utajiri #Mafanikio #Gonline - Jak na to + styl
Mashallah ni kweli kabisa shukurn
Nice
Nice🎉
Brother Asante! Ukwel nimesoma kidogo mitandooni kwa watu tofauti Ila Leo nimekuona na nimeipenda Zaid ya wote Thanks
Nashukuru Sana
congratulations 🎉
Safi sana brother, You change my life via your channel, I solute brother
Thank you and welcome brother
🎉
Asante sana nimejifunza kitu. Ni kweli kabisa.
Asante kwa ushauri wako
Nice brother unafundisha kitu kikubwa katka maisha ubarkiwe
Thanks big man
Kweli kaka good advance
Asante sana
Thanks brother
I like it 💥♥️🙏🙏🙏
Asateee Kaka kwa shauri
Shukran sana kwa mafunzo mazuri,
Yaani hii ya kutafuta friends uingie kwa group la business nilikataa kumbe niko sawa 👍
Kabisa Usiweke pesa yako kwenye biashara au jambo ambalo ulifahamu
❤❤❤ aksante
Daaah nimepoteza kinomaaaaaaaaaaaaaaa
My favourite video of all the time in this chanel sijawai kuchoka kuireview
Thank you
Kweli kiongozi wanatufatilia sana hao naniwengi sana tuelimishishe kiongozi
Asante
Bother nimekuelew kamari imenifelisha kikubwa sana
Duuuu kaka ongera san mafunzo mazuri
Thanks so much brother keep advicng us
🙏
Nmekuelewa kaka ubarikiwe
Nashukuru sana
Maisha yangu Maajabu yanashangaza ushuhuda, Jinsi nimepata kisanduku chenye nguvu sana ambacho sasa ni pesa yangu mara mbili kutoka mia hadi elfu ya pesa ndani ya masaa 24, na pia jinsi nimerudisha mpenzi wangu wa zamani, sababu kuu niliwasiliana na Dk Lomi kwa msaada mimi kumrudisha mpenzi wangu wa zamani, basi ananisaidia ni nguvu kubwa ya kumrudisha mpenzi wangu wa zamani, na ananipenda na ananithamini sasa, basi mimi na Dr Lomi tukawa marafiki, baada ya mazungumzo kadhaa namuuliza ikiwa kuna njia anaweza kuniganga ili nipate pesa, hapo ndipo aliponiambia juu ya sanduku hili la uchawi, akaniambia kuna aina na saizi tofauti ya sanduku, aliniambia aina zote za sanduku, ningeweza kumudu ndogo tu ya sanduku, baada ya maombi muhimu anayofanya kwenye sanduku, ananipeleka kupitia huduma ya kujifungua, aliniambia niweke pesa ndani, niliweka ndani ya sanduku 100 euro baada ya masaa 24 nikagundua ilikuwa elfu 10 euro ndani, na nimekuwa nikitumia sanduku kwa miezi 7 sasa, mimi na mchumba wangu tunaishi maisha bora, ikiwa unahitaji b ack mpenzi wako au pesa spell wasiliana na Dr Lomi kwa barua pepe: lomiultimatetemple@gmail.com au WhatsApp namba +2349034287285 unaweza pia kumwandikia kupitia Jina la Mtumiaji la Snapchat: drlomi20 atakusaidia nje, asante kwa kusoma
Kwaheri Gerd Ulrich
Amen
🤝🙏
Asante sana mungu akubariki kwa mafundisho yako
Good idea
je upande wa.ndugu inakuwaje katika kukopa
Ni kweli mi nishawekeza kwenye hizo biashara za mtandao nimepoteza hela yangu mara 2 kwenye kampuni 2 tofauti 1.milion najutia sana
Pole
Zengine ni za ukweli
Thanks bro
Any time
Aisee hiyoo ya kuinvest nimeipenda kuna jamaa alitaka kuniingiza cha kike nikamshitukia
Pole sana
Acha kukunua machangudoaaaaa
Nikwer kaka
Namadem wanafrisi
We ulikutana na alliance kaka hao ni waongo
Sio wewe tuu hata Mimi walishanishawishi niwekeze Kwenye hiyo biashara ya online. Mi nikajiuliza kwanini wasisambaze hizo dawa ili ziwafikie watu kama biashara nyingine?
Daaa! Nimekusoma sana mzee baba ila mm hela yangu huwa naimaliza kwa kula vyakula vizuri na siyo pombe au wanawake je hiyo ni nzuri au mbaya??
Mdudu Emmanuel nzur
Hujakosea kaka mimi yote amenikuta
🙄🙄bro hii nimeielewa I will change my life from now coz nilikua nikiamini kua sigara inaniondolea mawazo dah
Asantee broo Kwa mengi muhim nakubar Na mungu akuongoze tuko pmja naomb pia nisapot Kwa nacho kifanya juu malengo yang👇👇👇
czcams.com/video/yOS0UQz6KcQ/video.html
Nice