Mr Blu kuhusu Naj, Baraka Da Prince, Jina la Simba, ku-date na Wema zamani
Vložit
- čas přidán 12. 07. 2016
- THE PLAYLIST ni Show kali ya weekend inayowashusha mastaa kibao ndani ya Studio za 100.5 TimesFM kuchagua ngoma 5 kali wanazopenda na kupiga interview kuhusu Music, Fashion & LifeStyle.
Show inaruka kila Jumamosi, Saa 6 - 8 Mchana kupitia frequency 100.5 Times FM chini ya Presenter Mkali, the Baddest boi, Lil Ommy.
Subscribe, Watch, Share. - Zábava
its one among the best interview kuwahi kufanyika, kip it up #Ommy
dah kwl broo wahuni tunakuelewa unachofany
bonge moja la enterview blue mtu wangu sana nipo Belgium nakufatilia sana Mungu akubariki kimziki na family yako inshallah
Upo belgium mji gani rahma mm niko germany nataka kuja kukutembelea
Rahma Ali non
?!(tu as étais et tu resteras un grand artiste bine complet)
Nakubali sana wewe ni#Simba_kabisa
bayser nakukubali sana Bro yaani unajuwa kuteleza popote pale hata kwenye interview big up komanda wangu hahahah...hongera ommy
Ni kweli kuhusu tatoo sio vitu vibaya ulivyoandika but Izo ink zilizo tumika ukitawadha maji hayafiki ndani ya izo sehemu ulizo chora mdogoangu
Hahahaah byser nomer sna nakukubali miaka 100
big up sana Mr blueee nakukubal
Bizz babylon Byser huyu jamaa vijana katuumiza vichwa sana@GOAT
Ommy mbaya ww eti don't let me go hahaha
love u blue.
Blu fanya bidii kwenye kazi yako
Mungu yupo pamoja nawe
Nigependa kk shauli anayo yakatah mola ata ukuyahandika kwaubaya acha broo
flow Kali sana
wewe Blue wanifanya nacheka sana
Mr blue mapozi nawee
Blue mond ana connection kutokan na kujitum broh
awesome sana tu blue
sasa wema kishatembeya na wasani ote??
heshima kwako blue
Keep it blue u rock
Umetisha mkali wangu
big up baisa nakuelewa xnaa boy
Haram tattoo kabisa l love you ukiweza jitahdi uziondoshe jua kuna mungu ujana mziki vyote mapito hayo ni mtihani tu wallah mungu akuzindue inshallah
Aijatoka kwa ad ends sele afnde john
duh wema kumbe ana weza kujaza semi trela hv hata mbili ana list
I SWEAR U THE BIZ BRO.....so mature n I personally like ur response to the questions u get asked. Haina pressure baba, hio freestyle pia iko juu. Dj Envy hapa str8t outta 103.5 HBR Nairobi Kenya
bg up broo
Nakukubal Miaka 10000000 bro
hii ndit intavieuw ya pekee inaendana na ukweli
ha ha haaa blue bana eti usishangae starling aka act adui .teh
ha ha ha ha nakubali blue
blue hayo maneno ya tatoo unayoyasema chunga sana, na kumbuka ipo siku ya kukutana na mola wako. nadhani kama muislamu unalijua hilo.
who watch 2017
that freestyle though
Ujana Maji ya moto
Good boy
blue tatoo ni haram zifute hizo maana leo dunian ni safi ilatukiingia kaburin ni balaa
kakak nimependaq sna segment yko iko pouwa sna
Nice
sio kujichora tu riski uipatayo kupitia mziki ni haramu
Nakubali kk
Waislamu kwa comments, "ooh tatoo ni haram." Who are you to judge? Kwendeni huko. Mr: blue look for diamond alikua mchizi wake ufanye naye ngoma.
blue mbona unajikataa kaka ww kipenzi cha wahuni
Mr Blu
Nipo ulaya nakufatilia sana jembe langu
Wasajo Mimi 🙌🙌
km ulikutana nae club ujue alishindikana
mr buluu umekuwa mbayaaa😏😏😏😏unamashavu kama bibi
hivi kweli ninyi wa islam mnasema R. I. P? Na Mtume Swal Allahu Wasalam amesema.Ame laaniwa atakae chora tattoo na mwenye kuchorwa .na mwanamke mwenye ku unganisha nywele na mwenye ku unganishwa ( by Al Bukhari)
hi please nina shida na wewe check me 0757715739 or hajuboy9@gmail.com kuna vitu naomba unijuze about islam dini
cna
Wanaume bhana ni moto wakuotea mbali, Blue wewe mbaya sana. 😜😂😂
Lakini enzi zile bado ana yale macho ulikuwa unamtamani umri unaenda sis
kati yako na afande sele nan alijiita simba mpaka we usem unaigwa
tatoo ni tatoo tu dini hairuhusu hata ungeandika tarehe ya kuzaliwa baba yako ujui ndio maana waona kwako sio mbaya ila chukua hii tatoo si ruksa dini ina kataza
Gusa link czcams.com/video/6dhYJpLCkew/video.html Kumuona modo wa kabaisa
usiwe kama babako kwani alifanya nini
Blue kapinga Quran
Lol kakufuru blue
earrings pia ni haramu,sio tattoo tu
blue soma dini, kujichora mwilini yani kujitoboa toboa ni HARAMU, haijalishi umeandika nini,
tena usijejaribu kuandika neno la Mungu ndio unazidi kujilimbikizia madhambi.
Kweli dada
Dream Latifah hawaelewi hao shetani kawaziba masikio na wapo wengi sana hao
Dream wewe nishida
Dream Latifah yaap of coz upo sahihi halafu anasema ametoka ktk familia ya dini bc hukufunzwa vema Tatuu ni zambi na haramu
And don't say that's not sin even if u ar gonner writing Allah's name among ov his name's its not allowed...!
That issue is big case to ur creator (ALLAH)
But also read to the Surat ikhraswi :Allah says
Say,! Allah is one...!
Allah is beam at....!
He's not birth.....!(have no son)
And is no be born...!(have no parents)
He is not compare with anything.....!
So why Herry (Mr blue you tatoed dat you is a son of god....?
Ur so wrong but also u are not differ with naswaraa
Go back to ur God boy and ask forgiving he will forgive u
nyie tatoo tu ndo mmeona haram vp na kaz yake,,,,,,,!?
Hahahahaaaaaa.........!
Heery aka Blue your zero on your Religion..!
Tatoo isn't allowed in Islam..!
That's ze big mistake...! How can remove ur Tatoo u've to take a fire so as to heat all part ov ur body dat has tatoo...!
This is the Allahu subhaana wataala hukmu for all of u
oioi kizaz Sana blue ametsha sanaaaaa