Pika. Maandazi Nazi kama ya Malkia af Uje hapa unambie Asante .
Vložit
- čas přidán 16. 08. 2023
- Unga/All Purporse Flour 1 +1/2kg
Hamira/Arise Yeast 1satchet (1+1/2 tbsp)
baking powder 2tbsp
Chumvi/Salt 1tbsp
sukari/Sugar 1/2 cup
butter 2tbsp
machicha ya nazi/ fresh coconut Flakes 1+1/2 cup
Oil for frying
💯nice 👌
Malkia leo nimeijaribu hii recipe. Nitakupa majibu.
Dada hii recipe kesho weekend nakupa majibu mana huku Nazi had tunafanyia scrub😃😃🙌
Your good on cooking
Hongera my
Following keenly I like mahamuri ya Nazi,nzuri asubuhi na samaki pamoja baazi, watching from Mombasa Kenya
Wooow. Karibu sana
Jambo dadayangu, unaweza tutilia recipes ya vitumbua vya mchele, please
Nimepika Leo,asante
asantee nitajaribu baadae
Hongera dear,hakaka nasi tutakuwa wapishi wazuri
Thank you dada, nimewaza maandazi ya nazi hii wiki nawe kumbe ushatu-bless❤❤❤
Asante sana
Ukiweka machicha ni mazuri
Imeandaliwa vizuri sana
Hongera dada
Shukrani
I would love utupe recipe ya bagia za dengu na za Kunde habibaty 😊❤
Nimejaribu dada ni fireeeeee 🔥
❤
Shukranii
Naweza kupika maandazi na Nazi ya pakti
Dear ,hilo tui la kwanza na pili natoa kwenye haya machicha nayokandia ?au ni separate.Asante
Good but give measurements list kwenye box....
Utamu
Hii recipe nimonyeshwa na dada yangu leo. Na tumepika muda si mrefu. Badala ya machicha ya nazi na tui la nazi. Tumetumia maziwa 750 mls na unga zaidi ya 1½ kg. Yametoka vizuri sana.
Da malkia hivi unga nusu kilo sukari natakiwa niweke vijiko vingapi
Samahani hilo tui la nazi umeweka kiasi gani?je lazima niweke hayo machicha ya nazi?
Asked myself same thing
Mimi nikipika ndani linakuwa zuri ila juu ngozi inakuwa ngumu changamoto ni nn
Hukandi sana love
Hongera my
Hongera dear,hakaka nasi tutakuwa wapishi wazuri