Malkia Foods
Malkia Foods
  • 315
  • 2 085 386

Video

Chicken Burger tamu sana... Make this at home 😍
zhlĂ©dnutĂ­ 1,3KPƙed měsĂ­cem
Chicken Burger tamu sana... Make this at home 😍
Unahitaji Blenda tuu kutengeneza hii Ice Cream 💛 Mango Ice cream
zhlĂ©dnutĂ­ 3,4KPƙed měsĂ­cem
1 Mango/ Embe 1 1/2 cup Sweetened condensed Milk 2 cups whipping Cream 1/4 tsp Mint flavor 1/2tsp Yellow food coloring
Eggless Red Velvet Cake 🍰Rahisi na Taaamu 😍
zhlĂ©dnutĂ­ 1,5KPƙed měsĂ­cem
Butter Milk ( Fresh Milk 1 cup 1tbsp white vinegar) Dry Ingredients unga 1 1/2 cup cocoa 1 tbsp backing powder 1tbsp backing soda 1tsp Wet Ingredients Sukari 1cup mafuta 1/2cup butter Milk vanilla flavour 1/2 tbsp red colour 1tbsp
Tengeneza Mafuta ya Nazi Nyumbani. Coconut Oil from scratch #coconutoil #homemade
zhlĂ©dnutĂ­ 5KPƙed měsĂ­cem
Tengeneza Mafuta ya Nazi Nyumbani. Coconut Oil from scratch #coconutoil #homemade
Maini Mataaamu,😍😍😍
zhlĂ©dnutĂ­ 1,1KPƙed měsĂ­cem
Maini Mataaamu,😍😍😍
Sherpherd's Pie.Pumzika Wali. pikia watu hii waenjoy
zhlĂ©dnutĂ­ 3,1KPƙed měsĂ­cem
Sherpherd's Pie.Pumzika Wali. pikia watu hii waenjoy
Mchuzi wa Kuku wa Kienyeji. mtaaaaamu
zhlĂ©dnutĂ­ 1,9KPƙed 2 měsĂ­ci
KUCHEMSHA kuku chumvi 1tbsp swaumu na tangawizi 1tbsp kitunguu maji 1 pilpil manga 1tbsp KUPIKA mafuta kitunguu maji 1 swaumu 1tbsp nyany 6 kidonge cha supu 1 garam masala 1tsp karoti 1 kubwa hoho 1
Njegere tamu sana za Malkia/ recipe ya Malkia kabisa na wali nazi
zhlĂ©dnutĂ­ 6KPƙed 2 měsĂ­ci
Njegere tamu sana za Malkia/ recipe ya Malkia kabisa na wali nazi
Subway Sandwich Bread 😍Mkate wa Sandwich
zhlĂ©dnutĂ­ 1,3KPƙed 2 měsĂ­ci
2 cups maji ya vuguvugu 4 1/4 cups Unga 1tbsp/pakti 1 Hamira 1tsp Chumvi 4tbsp Sukari 2tbsp mafuta
Mkate wa Ndizi/ Best Banana Bread Ever
zhlĂ©dnutĂ­ 2,2KPƙed 3 měsĂ­ci
DRY 1 1/2 Cup Unga wa ngano 2tsp baking powder 1tsp Baking Soda 1/4tdp Chumvi 1tsp Mfalasini WET 3 ndizi zilizoiva sana 2 mayai sukari 1/2 cup Mafuta ya kupika 1/4 cup Vania 1 tsp
Vegetable Fried Rice wa Next Level
zhlĂ©dnutĂ­ 4,3KPƙed 3 měsĂ­ci
Mafuta 3tbsp or zaidi kitunguu maji 1 carrot 1 kubwa hoho za rangi kila moja 1/2 ngegere viko 2 maharage machanga kikombe 1 sausages 6 kata cubes zabibu kavu kikombe 1 chumvi kiasi Viungo garam masala 1tsp chicken masala 1tsp
Maandazi ya Kuoka/ Maandazi ya Kubake mazuuuri
zhlĂ©dnutĂ­ 4,3KPƙed 3 měsĂ­ci
Unga 3 cups hamira 1tbsp sukari 5tbsp chumvu 1tsp iliki 1tsp maziwa 1 1/2 cups
Mishkaki ya Kuku/Chicken Skewers. taamu
zhlĂ©dnutĂ­ 1,4KPƙed 3 měsĂ­ci
1kg chicken Breast 1tbsp Onion Powder 1tbsp garlic powder 1tbsp chicken Masala 1tsp Garam Masala 1/2tsp Salt hallogen Oven Instagram @gwa_home_appliances
The Best Caramel Popcorn Ever. Tengeneza hizi uenjoy đŸ˜đŸ„°
zhlĂ©dnutĂ­ 1,9KPƙed 3 měsĂ­ci
The Best Caramel Popcorn Ever. Tengeneza hizi uenjoy đŸ˜đŸ„°
Aina Mbili za Smoothie yenye Rozela/ two types of hibiscus smoothie
zhlĂ©dnutĂ­ 1,3KPƙed 3 měsĂ­ci
Aina Mbili za Smoothie yenye Rozela/ two types of hibiscus smoothie
Mchuzi wa Nyama wa haraka haraka
zhlĂ©dnutĂ­ 2,4KPƙed 4 měsĂ­ci
Mchuzi wa Nyama wa haraka haraka
The Best Juice Combo. enjoooy đŸ„°
zhlĂ©dnutĂ­ 2,2KPƙed 4 měsĂ­ci
The Best Juice Combo. enjoooy đŸ„°
Chicken Burger unaandaa kwa dakika chache sana. Taaamu
zhlĂ©dnutĂ­ 2,5KPƙed 4 měsĂ­ci
Chicken Burger unaandaa kwa dakika chache sana. Taaamu
Uji wa Muhogo wa Pilipili Manga đŸ˜˜đŸ„° Mtaamu Mzazi au mgonjwa anakunywa pia
zhlĂ©dnutĂ­ 1,5KPƙed 4 měsĂ­ci
Uji wa Muhogo wa Pilipili Manga đŸ˜˜đŸ„° Mtaamu Mzazi au mgonjwa anakunywa pia
Aina 2 za juice tamu na nzuri sana enjoy #juices #juicing
zhlĂ©dnutĂ­ 5KPƙed 4 měsĂ­ci
Aina 2 za juice tamu na nzuri sana enjoy #juices #juicing
Ftari ya Viazi Vitamu na Kuku wa Limao wa kuoka. mtaamu
zhlĂ©dnutĂ­ 1,3KPƙed 4 měsĂ­ci
Ftari ya Viazi Vitamu na Kuku wa Limao wa kuoka. mtaamu
Jinsi ya kutumia Breakfast Maker... Breakfast in few weeks
zhlĂ©dnutĂ­ 1KPƙed 4 měsĂ­ci
Jinsi ya kutumia Breakfast Maker... Breakfast in few weeks
Ice Cream za Embe. taaamu, za levels #youtubemadeasy #icecandy #mangoicecandy
zhlĂ©dnutĂ­ 2,1KPƙed 4 měsĂ­ci
Ice Cream za Embe. taaamu, za levels #youtubemadeasy #icecandy #mangoicecandy
Maini Malaini ya Kulia waliiiđŸ„°đŸ„°
zhlĂ©dnutĂ­ 8KPƙed 4 měsĂ­ci
Maini Malaini ya Kulia waliiiđŸ„°đŸ„°
Samaki Choma wa chaap, crunchy outside and soft inside 😘😘
zhlĂ©dnutĂ­ 1,4KPƙed 4 měsĂ­ci
Samaki Choma wa chaap, crunchy outside and soft inside 😘😘
Taccos
zhlĂ©dnutĂ­ 915Pƙed 4 měsĂ­ci
Taccos
Homemade Pizza. Tengeneza mkate wa Pizza, Pizza Sauce na Pizza nzuri sana
zhlĂ©dnutĂ­ 2,5KPƙed 5 měsĂ­ci
Homemade Pizza. Tengeneza mkate wa Pizza, Pizza Sauce na Pizza nzuri sana
Pilau Kuku| Pilau Nyeupe| Pilau ya kuku kienyeji| Tanzanian Pilau. Taaamu sana
zhlĂ©dnutĂ­ 4KPƙed 5 měsĂ­ci
Pilau Kuku| Pilau Nyeupe| Pilau ya kuku kienyeji| Tanzanian Pilau. Taaamu sana
Cinnamon Rolls Taaam saana.
zhlĂ©dnutĂ­ 1,4KPƙed 5 měsĂ­ci
Cinnamon Rolls Taaam saana.

Komentáƙe

  • @nancyamos4734
    @nancyamos4734 Pƙed hodinou

    Jitahidi kuelezea vizr unaongea haraka haraka ata sijasikia chcht sijui nn zabibu? Ndo nn

  • @magrethlyatuu5124
    @magrethlyatuu5124 Pƙed hodinou

    Hi malkia unavyosaga unakuwa unasagia hapo hapo ukiwa jikon

  • @anethsissya6451
    @anethsissya6451 Pƙed 7 hodinami

    Malkia leo nimeijaribu hii recipe. Nitakupa majibu.

  • @jasminmosha6069
    @jasminmosha6069 Pƙed 10 hodinami

    Mani unaweka kias gm

  • @ndolangatz9415
    @ndolangatz9415 Pƙed 4 dny

    Asante sana

  • @periceshekibula8064
    @periceshekibula8064 Pƙed 4 dny

    Nice najifunza sana kwsko

  • @zuhurarajabu6379
    @zuhurarajabu6379 Pƙed 4 dny

    Help me Pamoja na nikipika chapati zinakua ngum Na maandaz yananywea mafuta

  • @zuhurarajabu6379
    @zuhurarajabu6379 Pƙed 4 dny

    Da malkia me napata shida ya maji kwenye wali

  • @annastazialukombe8976
    @annastazialukombe8976 Pƙed 4 dny

    Asante sana sis Nmepata oda ya watu 40 kesho nkasema nikiingia kwa my wangu malkia sikos kitu kesho wateja wangu watajidai walah nitarud na bonge la feedback

  • @adelahamandus9946
    @adelahamandus9946 Pƙed 5 dny

    When you say butter ni blue band ama butter kama zile lato or?

  • @careenmoshi
    @careenmoshi Pƙed 5 dny

    Sis ni mm tena naomba unisaidie na recipe ya mozzarella cheese

  • @NeemaKivelia
    @NeemaKivelia Pƙed 6 dny

    i tried this recipe today but i also added ndizi bukoba...and sis u gat me hooked,...to say "it was delicious" would be an understatement, but anyway it was so easy to make and didn't take long to prepare...i think from now onwards this is gonna be my to-go recipe whenever i wanna make a fish dish

  • @aisharamadhani5244
    @aisharamadhani5244 Pƙed 7 dny

    Nimeipenda

  • @EdnaMuro-tx8os
    @EdnaMuro-tx8os Pƙed 7 dny

    Zikiwa jikon iliniwe na uhakika kma zimeiva zkae dk ngap kwa kukadria 🙏

  • @TumainHabibu
    @TumainHabibu Pƙed 8 dny

    Mbona hulekezi duka unalo nunua vyombo jaman

  • @zaitunilucas3289
    @zaitunilucas3289 Pƙed 8 dny

    Hello Sissy kwenye oven moto wa juu na chini au moto wa juu peke yake ?

  • @FelixMwanjawike
    @FelixMwanjawike Pƙed 8 dny

    Asantee dada unajua sana kupika ndizi na umenifundisha Sanaa mine enjoy kwakwel

  • @pikanakellie2995
    @pikanakellie2995 Pƙed 10 dny

    â€đŸ˜‚đŸŽ‰ it tas so is

  • @KhadijaWanah
    @KhadijaWanah Pƙed 10 dny

    Asante

  • @KhadijaWanah
    @KhadijaWanah Pƙed 10 dny

    Asante

  • @Theopistas20
    @Theopistas20 Pƙed 10 dny

    đŸ€Ș yummy yummy

  • @julietjulius1999
    @julietjulius1999 Pƙed 11 dny

    Hii sasa ukiweka na sodium benzoate inakaa muda mrefu na haipotezi ladha

  • @PaulinaMshana
    @PaulinaMshana Pƙed 11 dny

    Uko vinzur dd sema lunga ulio tumia kwaajili yakuandaa sijaielewa naomba no yako

  • @FarajaPerfectdove
    @FarajaPerfectdove Pƙed 13 dny

    Imependeza sana sikunyingie mboga iwe kwenye chombo chake dada akee❀

  • @careenmoshi
    @careenmoshi Pƙed 14 dny

    Please tunaomba recipe ya mozzarella cheese

  • @ZawadiSalum-o9v
    @ZawadiSalum-o9v Pƙed 14 dny

    Nice

  • @JoyceIgnacy
    @JoyceIgnacy Pƙed 15 dny

    Ulivomchemsha samaki uliweka maji??? Naona umeweka mchuzi wa samaki mwishoni najiuliza tu umetoka wapi??

  • @nancyamos4734
    @nancyamos4734 Pƙed 16 dny

    Unaweza kuniunga kweny group lako

  • @MsFavour
    @MsFavour Pƙed 16 dny

    Malkia. I made this pizza. Aisew hii recipe ni noumeeeeeer đŸ€—đŸ€—đŸ€—

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs Pƙed 16 dny

    Nimeipend hii

  • @rachelemmanuel5274
    @rachelemmanuel5274 Pƙed 17 dny

    Thank you malkia

  • @QuantamQuill-z7
    @QuantamQuill-z7 Pƙed 18 dny

    Gilliland ni nini?

  • @gracesylvester7433
    @gracesylvester7433 Pƙed 18 dny

    She is soo kind imebidi tu ni subscribe 😂

  • @IsegeAlphonce-sd4bm
    @IsegeAlphonce-sd4bm Pƙed 18 dny

    Je naweza kutumia zesta powder, maana ndani yake ina corn starch

  • @NaifatNassor
    @NaifatNassor Pƙed 19 dny

    umepika vizuri masha Allah.lakin umekosea watakiw uwelez umetia nini na nini au umesag kwa blend umetia kitu gani.lakin wey umepika km kutuonesha wapika nini?

  • @sabahabdallah5791
    @sabahabdallah5791 Pƙed 20 dny

    💯nice 👌

  • @juditholotu7249
    @juditholotu7249 Pƙed 20 dny

    Very true dear above 30 ni shangazi kabisa lazima uchange ulivyokua ukiishe in 20s

  • @nadirarizwan2410
    @nadirarizwan2410 Pƙed 20 dny

    Unaanika kwa mida gani juani?

  • @nadirarizwan2410
    @nadirarizwan2410 Pƙed 20 dny

    Mbona hujaorodhesha vitu vyote

  • @AgnessArem
    @AgnessArem Pƙed 21 dnem

    Thanks dear

  • @user-ef5qv6qd8e
    @user-ef5qv6qd8e Pƙed 22 dny

    Na hangaika jaman kupata viungo viungo vitamu vya mboga

  • @user-yi9sv9dn7j
    @user-yi9sv9dn7j Pƙed 22 dny

    Waoo nitatengeneza

  • @user-uw5gq1xo7j
    @user-uw5gq1xo7j Pƙed 22 dny

    Da malkia hivi unga nusu kilo sukari natakiwa niweke vijiko vingapi

  • @FelisterSimon-r3o
    @FelisterSimon-r3o Pƙed 23 dny

    Safi sana Dada ang kwama pish yak

  • @annastazialukombe8976
    @annastazialukombe8976 Pƙed 23 dny

    Thank you sis Ntakuja na feedback Barikiwa sana mamy

  • @IsegeAlphonce-sd4bm
    @IsegeAlphonce-sd4bm Pƙed 23 dny

    Mate yananitoka 😀

  • @aminamohammed7115
    @aminamohammed7115 Pƙed 23 dny

    hizo karanga umezipitisha kweny moto kdg kbla haujaanza kutengeneza au ni zilzokauka

  • @IsegeAlphonce-sd4bm
    @IsegeAlphonce-sd4bm Pƙed 24 dny

    Wish niwe katika crew yako ya catering

  • @tayanamasanja3952
    @tayanamasanja3952 Pƙed 24 dny

    Woow nijaribu savi

  • @julenaashery4606
    @julenaashery4606 Pƙed 27 dny

    Tamu