Jinsi ya Kupika MAANDAZI / MAHAMRI LAINI ZA NAZI NA ILIKI | Mapishi ya Ramadhan #9
Vložit
- čas přidán 24. 04. 2021
- Assalamu aleikum. Recipe ya leo ni ya maandazi / mahamri laini sana. Ni nzuri sana na rahisi kutengeneza. Na pia ni nzuri sana wakati wa ramadhan
Mahitaji:
3 cups all purpose flour
1/4 cup sugar you can add more
1 tbsp yeast
1/2 tsp cardamom powder
Coconut milk
Oil for frying - Jak na to + styl
Masha alla mzori sana ماشاءالله تبارك الرحمن روعه جزاك الله خير الجزاء من اليمن منmamango swhile❤
Mahamri y’a ajabu sana mashaallah imetokea vizuri sana Mara y’a kwanza kujaribu leo tamu imetoka kama yako chef asante sana sana
V well Explain A2Z mahamri mandazi recipe to n understanding, n supper results,I'm pleased n happy watching ur post from TANGA Tanzania.
Rangi ya haya maandazi MashAllah.
Dada mzuri MashaAllah ❤️ nakupenda sana Allah akuhifadhi
Mahamri ajjab wallahi...nice 👍
Mashaallah...Nakumbuka madrasa Enzi zile baada ya maulidi tukiletewa kama hizi na thuzi la mbatata. Weehh
Mapishi yoko ni safi natafuta wa kunipikia kwa hoteli yangu
Now I am craving mahamri, thank you for the recipe, so simple.
Masha Allah mazuri alafu sikuona ukitia mafuta kwa kuchanganya unga husaidia nn mafuta ukitia wakati wa kuchanganya
Wow mashsallah mungu azidishie mapishi yako
Mashaallah mashaallah yana pendeza sanaaa nimeyapenda🤗
Ma Shaa Allah maandazi yanaonekana
Mazuri sana....Jazaka llahu kheir
Just made them!! Very nice and easy recipe 👌👌
Mashallah looks yummy. Tutajaribu. Thanks for sharing
Ma Shaa Allah... Yameumuka vizuri sana
Love it!
Mashaallah! mandazi mazuri hayana nyama ndani halafu laini😋
Mashallah thank you for sharing
Mashaallah very nice recipe keep it up
Thank you ❤
Mashallah great 👍
Safi na rahisi Sana,👌.. Shukran,🙏
Mansha'Allah nice habibty I will try this recipe
MashAllah expert siz Allah akubariki
Mashallah mazuri sana
Amazing .
Masha Allah ubarikiwe
Mashaallah very nice
Tried it today 😋😋 ... Mashallah god bless you ❤
mashaAllah
Mash'Allah 😋
Ajjab sana MashAllah
Thanks. Good work.
Asante Dadaa hii nategeneza saa hii tu ndio breakfast yangu 😋😋😋 bye good day stay blessed
Mashalllah
Nzuri sana ❤️
Asante💖
Mazuri sana
shkrn hbbti maandazi yanaonesha matamu sana
MashaAllah Bismillah. Nishapata pishi la leo. JazakaAllah habibaty for sharing. Nkipata na mbaazi 😋
Hapo umesema we itakuwa muunguja mwenzangu maana umejua kupangia
I hope zilitoka vizuri❤
@@Mapishirahisi sana tuu habibty. I wish nikutumie picture uone kazi ya mwanafunzi
MashaAllah
I like it very good
Mashallah Allah
Wooooh masha Allah mazur ad raha
Masha Allah
Ubarikiwe
Mashallah very simple and one of the best recipes thanks dear
Thank you too❤
Shukraan habibty
Mashallah Mashallah
Waooo tamu tamu
Mashaalla
Mashaalah
mashaallah
Mashallah mahamri maxur sanaaa hapo upate na mbaaz zako zanazii khalasss
Yeah😋😋
ماشاءالله
Asalam alekum habibty ktk recipes ya hayo mandazi huti oil? Shukran
Nzur sana lkn ndani hakuna kituh jmn
Nice dear
Mashallah
mashallah
👍👍👍👍😋😋😋
Hamri shetheshethe da.... Yameumuka vizuriii....
MashaaAllah MashaaAllah shape ajab
Hadija hongera unapenda mapishi kama mimi nakuona unajitahidi kufatilia recipe za wapishi mbalimbali CZcams
Asante
@@pelagiafred9637 mimi mwenyewe nimpishi na napenda kujifunza kila namna ya mapishi hata ww ukipika ukipost bado nitaangalia pishi lako kama kuna kitu kipya itakua nimejifinza shukran.
انا احب طبخات السواحل ياريت ترجمين بالعربي اعرف قليل سواحلي انا مولدة سواحلي من اليمن
Already translated .check on the video
Naic
Nice
Mazuri
Nikiwa sina nazo kipenzi nafanyaje na nimeyapenda
Tumia maziwa
Ni Ann w kutoka uko Sawa Sana dada.
Yummy
TabarakaAllah Ma Sha Allah Ma Sha Allah
salàm alekum mashallaah
Je kama hupendi coconut milk unaweza tumia maji?
3mins left. Waiting !!
Woooow mashallah very nice recipe
Aslm. Yummy .kwa 1 pwrson unga kisi gani
UngaNilainiVizuri
Laini Sana mashallah na mbaazi weeh 😂😂
👌👌
UnaezaUkanifundisha
Mbona mengine yanatoka flats,ni sababu ya kuumuka sana au nimesukuma yakawa membamba sana? @mapishi rahisi
Samahani,ivyo vikombe vya unga ni sawa na kiasi gan robo au nusu kwasababu wengine hawana ivyo vikombe ulivyopimia😮
Vikombe ni sawa na ujazo wa mls 250.
Nasubiri kwa hamu sana
Induction cooker hiyo inasoma temperature au watts ngapi ukiwa unakaanga?
Mashallah yummy na ramadhani hii atakae shindwa kucopy kutengeza hivi tunamuogezea mke hahaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣
@@shamisfahiye9628 tumewavumilia sana sasa ni waqti wenu muwe na subra
MonaAli
❤❤
Mbona hayana nyama
Mama nivikombe viaili watia sukar kiasi gn
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yanaka Metamucil sana
Kama huna tuji majiwa hayafai
😋😋😋😋😋😋
Nauliza hizo cups hazina measurements coz ukisema cups ziko tofauti in size Sema kiasi gani ya tui as in ml or grams
Kwahiyo mafuta haina haja naona hujaweka mafuta au tui la nazi linajitosheleza?
Haina haja dear because nazi natural Ina mafuta ndani yake
Beautifully done. Any ideas how I could make this for early morning breakfast. Can I knead and keep in the fridge, after rolling out into rounds, maybe☺️Tk you for sharing
You can keep in the fridge at knight but just knead put less yeast and cover it in a bowl with cling. Then in the morning remove it abit early so the dough becomes warm and start doing what she says a before frying them
@@nimsmsa6635 thank you. Wl try
@@gracymachado469 you are welcome dear, I do this all the time and also you can freeze your dough. Then like after like few days you want to use just remove early so it becomes soft then start doing the round shape then let it rise but cover with cloth then fry ok
Cold coconut milk?
Vikombe vitatu sawa na kilo ngap
Halo. Mahamri yangu is too oily. Any idea why?
mbona ndani yana tobo
Nusu unatia sukar kiasi gn
Msaada kila nikipika maandazi yanakua na mafuta sana nakosea nn
Huja weka maiyayi
Hutumii mafuta?
Tafuta Watu WA kuonja
Hilo ni tui zito mine ama