NAIBU SPIKA MH. MUSSA AZZAN ZUNGU AWAPA UJUMBE MZITO VIONGOZI/"TUMEKASIRIKA/TUNATAKA MABADILIKO"
Vložit
- čas přidán 15. 05. 2024
- SUBSCRIBE NOW:
▶
🌐 Site: simbasc.co.tz/
📱 App: Iphone User: apps.apple.com/us/app/simba-s...
📱 App: Android User: play.google.com/store/apps/de...
🔵 Facebook: / simbatanzania
📸 Instagram: / simbasctanzania
𝕏 Twitter: / simbasctanzania
🎶 Tiktok: / simbascofficial
About the Official Simba SC CZcams Channel:
Simba Sports Club is the most successful club in the history of football in East Africa. Enjoy the best goals, highlights, tricks, new players, training's,exclusive interview and live press conference
🔵🔴⚪ #NguvuMoja #Wenyenchi - Sport
Asante sana Mzee wetu zungu umetuwasilishia mawazo yetu sisi wanasimba
Tunakuomba Sana Mo.. Usife MOYO kwa Sababu ya Mashabiki Maandazi. Umeieshimisha sana SIMBA yetu na nchi kiujumla. Ubarikiwe Sana.! Inshallah mwakani Tunatoboa.
Badilika hayo mawazo mgando
Simba yetu mueshimiwa umeongea maneno mazuri sanaaa
Mungu atubariki wanasimba wenzangu
Hongera sana mzee Zungu! Wachezaji wetu wapo vizuri sana na wanajituma! Tatizo lipo kwenye masharti na mapatano ya Adui shetani ni mjinga sana na huwa anangalia mahali penye mafanikio makubwa ndo hapohapo anataka kuangamiza! Lakini Mungu wetu ni Mkuu na anayaweza mambo yote( Biblia,kitabu cha wafilipi 4:13 na Isaya 41:10 kwa jina la yesu kristo wa Nszsreth) UBARIKIWE SANA mzee zungu SsC nguvu moja
Ahsante sana Mzee wetu! Kuuhalisia kweli tumekasirika! Tunataka Mabadiliko viongozi Acheni kubweteka siyo Mpaka muone cheche ndo Mzinduke nendeni na utandawazi Mafanikio ya klabu ni Pamoja na Ushindi kwenye Mechi zake!
Anayemkashifu MO ni vyema akaweke mwiko nyuma,hajui umuhimu wa Mo ktk kuendekeza soka la nchi hii,Mungu akubariki sn Mh Zungu kwa busara zako,naamini tukiwa makini tunaweza kuikuta Simba kwenye sayari nyingine ki soka.Mungu mmbariki MO ,Mungu ibariki SIMBA!!
Mimi namuomba mungu Sana Simba yetu urudi kwenye ubora wake maana tunaaibika Sana wazee wetu tunawaomba msimamie hili
I ♥️ u simba
Ibariki Simba
SIMBA SPORT CLUB ❤❤❤WAKALI WA KARIAKOO
Facts Mweshimiwa kaongea maneno makubwa sana ila kayaweka kwenye Mabano na katumia Hekma nyingi mno ili umuelewe unatakiwa kutumia akili yenye uwezo sabiti wa kuchanganua mambo....!🙌
Asante mzee went.
ndio inatakiwa sana viongozi wajia angalia sana pamoja sana simba nguvu moja
Simbaaaa nguvu moya
Simba Nguvu Moja mwanzo mwisho
Simba hata afungwe je siwezi kuhama ng'ooooh!!!!!!!!!!!!
Simba mnaifelisha nyinyi mapimbi bhana... mnaleta wachezaji wasio na viwango na pesa mnapiga zausajili.. mnamtesa Mo. Tunaumja sana
Mwaka jana mh zungu alisema hivi hivi hadi akawaambia kama inatakiwa michngo ya usajili semeni ila viongozi naona walipotezea na mwaka huu karudia watu wanaumia sana
Big point 👍
❤❤ watu wanaongea tu awajuh mo mungu amtunze
Sawa kabisa baba
Hap kwa Mo kumpongez saw nimekubal ila wasimtegee tu hal ya kuwa kwa sasa haonesh green light ktk mafanikio ya club...Ila tunashukur kwa kuwap somo ndiy hay hay wanayoyakataa upand wa pili na kugoma kwend kujifunz...Na kwa maneno mazur mashaallah utekelezaj xax yan hap wanasimba wameshasahau yote...Subir leo wapgwe uone
Simba nguvu moja
Huyu mzee namkubari sana
Mhe.Zungu ASANTE sana Sisi washabiki na wapenzi tumefarijika kwa mwongozo ya Kitaalamu kwa VIONGOZI
Asant sanaa
Asante Jeremiah daudi
Tumekasirika na tunakasirika ,watambue Hilo warekebishe
Fanyieni kazi uwo ushauri
Hawa ndo wanauchungu na Simba try again na wenziew Wanajali masilai yao lakn siyo timu
chama yupo 5:01
🥵🥵🥵
Shida baba rushwa unasumbua viongozi waliopo hawajitambui kimsingi
HAO HAWAELEWI WATABAKI KIWA HIVYO INABIDI WAJIUZULU
Media za Tanzania asaiv zinaaminishwa ujinga wanasifia chura wakat mo ndie alie anza
Kila mmoja buku hitakuwa poa sana
SASA KAMA MO AMEANZA KUTURUDISHA NYUMA TULIKO TOKA MAANA YAKE NINI SASA TULICHUKUA UBINGWA MARA NNE MFULULIZO YANGA AMECHUKUA MARA 3 BADO MOJA TU ,MO SASAHIVI HATOI HELAA ANASEMA TEAM INAMPA HASARA HAINAHAJA YA KUJIBEMBELEZA AACHIE TEAM ANATUFELISHA KWA SANA KWASASAHIVI, ENDELEA KUMULILIA MPAKA YANGA ACHUKUE MARA 40
Ushauri wa Bure punguzeni wachezaji ambao umri na viwango vimeisha Kwa kusajili wachezaji Mahiri wa ndani na nje, Kila nafasi lazima iwe na wachezaji wawili wenye viwango sawa.
Mzee amevaa kofia ya Samia Suluhu Hassan 😂😂😂😂😂😂
Mtuletee wachezaji wazuri
Akuna kitu kama icho uongozi uliyopo auna mipango ya mapenzi na Simba
🤔🤔🤔
Kuna watu na sio mashabiki wanaihijumu timu wanataka uongozi na mamluki wanaiharibu timu,Mo haondoki tutamlinda daima
kama Mo hawezi kufanya uwekezaji kwasasa it means ndipo uwezo wake ulipoishia.
Simba bilamo hatufiki mbali kikubwa tumsapoti
Mimi umoja wapo naitaji kujisajiri niwe mwana cham nini sio shiringi 4 tu hata raki❤🎉
Mimi huwa nasema ni uzembe tu wa viongozi lkn wakichangamka mbona kuna pesa kwa mashabiki nyingi tu.
Mzee wetu katuwakilisha vyema
😅😅😅😮
Mhu!
Amekasirika ndio ateme cheche tatizo lipo wapi mwaka watatu viongozi wanasajili wachezaji wakimataifa wasioweza kuanza kikosi cha kwanza
Wadhamini wote(Kama Azam media, M bet, Mo extra n.k) lkn bado mnamlilia MO au wadhamini wanatoa pesa kwa MO kisha MO ndio anaipa Simba?, jaribun kuangalia nje ya box
Hao wadhamini wanatoa ngapi kwa mwezi na Simba anatumia ngapi kwa kindindi hicho?
kinachotakiwa ni kandanda safi mpira wa kumiliki ambayo ndio jadi ya simba lakini makocha wanaletwa ni "direct football" na ndio maana wanashindwa kukaa na wanaidhoofisha timu nasikia anakuja ibenge ambaye naye ni kocha wa direct football hiyo ndio shida kisa tu profile yake ni nzuri hicho tu. Hii mwachie mgunda mpeni mshahara mzuri fanyeni usajili mzuri halafu tuone na sisi washabiki tutulie sio kafungwa mechi hafai kana kwamba anayekuja hatafungwa
Msimu ujao viongoz wajalibu kutembea na wachezaj kuwatia moy
Tafuteni viongozi makini hizi timu zinajiendesha sio kila siku kumsifia Mo
Waambie na suala la kusajili wanachama wapya tuongeze mapato pia
Tatizo hao viongozi wanajali matumbo yao2
Yan apo viongozi wapigaji ao wanatuumiza t ss mbwaa haoo wananenepa wao t
Uhaka anko
Haaaah ila kolo bana😂😂
Tuijenge simba yetu wanachama tunatakiwa kujitoa kwaajili ya klabu yetu kwa pmoja tunaweza # simba nguvu moja.
Mo nakuomba ufanye Haraka institutional self assessment kitaaalam
Mo apepewe kagame na mwanae jaribu tena waondoke
Hili ji timu ni la hovyo halina msimamo halijulikani uongozi wake kila jitu ni kiongozi😂😂😂😂😂😂😂
Utopolo umetopoloka Toka topolo la topolo Gani?
pigeni porojo sana, sie tuko paleeee tunawasubiri.
Huyo mwenyekit wa bodi kawekwa na Mo na ndo anaetukwamisha hlf mo yupokimya kwanin tusimeme mo?
Nakumbuka alipoweka Billion 2,watu walibeza. Simba walichua mara nne mfululizo ndo yanga wakaelewa mpira ni pesa!!
Mo ni msingi wa mpira wa Tanzania leo.
Kunakukashifu na kuzungumza uhalisia nivitu viwili tofauti apo zungu ameongea kisiasa mpila ni mchezo wa wazi pia mnatakiwa mjuwe kwanini mo analaumiwa? msikurupuke kama mwaka jana hukupata gubudha ya njaa mwaka huu umepata gubudha ya njaa usizungumze lazima ujuwe umefeli wapi
Mbona mooo2 kwani icho kikao Cha nn mbona kule wakieka kikao ujue mzamini kilusaini mikataba uku kwenu sielewi mm
Tatizo siyo Mo Tatizo viongozi wake ,haiwezekani Kwa Sasa yanga ndo awe King wa soka la Tanzania wakati Simba ndo timu kubwa Tanzania
Ni kweli MO katufanyia mengi Simba lkn Sasa kachoka, tupate mfadhili mwingine, Yanga walikuwa na Manji, Sasa yupo Eng. Hersi wanapeta, usiogope mabadiliko Mzee Zungu. Kwa Sasa Simba tunamhitaji Mfadhili mwingine, MO kachoka na anatuzingua tuu, kila mwaka mwaka analalamika anapata hasara, mbona haondoki, anatuzingua tu huku anakuza biashara zake chini ya mgongo wa Simba, tunamhitaji Mfadhili mwingine Kwa Sasa, aachie ngazi TU.
Unauhakika kuwa GSM anaifadisha yanga au unakurupuka tuu
Viongozi hawa ni kuwapiga viboko hawajawahi kutuelewa yaaan Azam atakaa nafasi ya pili tuna mengi ya kujifunza aiseee team hii 🚮
Waachie timu hao unaongea nn
Kesho mnagongwa tena,au sare
Ata tukigongwa hayakuhusu
@@AbuuAlly-fg5df Mtaridhika au siyo🤣🤣🤣🤣
Kwani yanakuhusu??
@@user-lb6my9qs5c Hayanihusu,ila gongweni tu.
Kabra ya moo Kuna manji mnajitoa ufahamu au kwakuwa nyie ni madunduka?
Manji alifanya nini kweli wewe unafatilia mpira au unaongea kiushabiki kipindi manji yupo yanga alikuwa nafasi ya ngapi Afrika na ulikuwa na point ngapi caf
MILLIONI 6 anaota HUYU 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa kinacho kuchekesha Nini kwani ni uwongo acha umama
HAYA MTU WA DIGITAL HAKUNA SIMBA YANI😭😭🤮
WEWE MZEE USEME SIMBA AU MO ALIIGA KWA MANJI,BAADA YA MANJI KUWEKWA KIBRA NDIPO MO AKAIGAAAA,TULIKUWEPO NA ALITANGAZA SO ISSUE YA UWEKEZAJI WA MO NI KWA SIMBA NOT YANGA NA WOTE.
Time bovu badala ya kusajili munaongea usenge
Kwan usenge uko wap hapo, ww mjinga tu ndio mnaosemaga maneno ya kijinga
umechanga kwanza ela au unanjaa😂😂😂@@muksinimbaruku1233
Tena nimjinga mkubwa uyu unatukana Kuna timu ni mbovu inakuusu nn
We mboo kaa kimya we si mm-bovu?kwn kuna timu isiopitia changamoto?kwn ht kwako na familia hampitii changamoto jitathimi we ut
Mo akiacha hii timu inashuka DARAJA
Ss hatuwataki hao washenzi watokee ktk uongozi kwnza CO jarbu tena na mangungu
Acha uwoga we mzee huyo mo unavyo sema kaweka pesa kwani afaidiki na matangazo yake??asepe simba ilikuwepo tangu na tangu.shida mnachanganya ufisiem na mpira
Kwa mpira wa sasa kama hauna mtu mwenye uchumi imara hutoboi utakuwa unashiriki kama zilivyo Mtibwa, Mashujaa, Dodoma Jiji na zingine ukiondoa Yanga na Azam.
Hata mwakajana waliambiwa nahuyohuyo lakini wanafanya yao