Always huwa una mawazo chanya sana, ila kina kitu nahitaji kukuongezea, ishu ya pikipiki ni nzuri ila haitokuwa na mwendelezo hasa wewe utakapohama kwenye huo mkoa, ishu ni hivii kila mtaa unaosadikiwa arusha kuna matukio ya uhalifu nunueni eneo kama serikali weka kituo kidogo cha polisi, kwa mantiki hiyo itaongeza maximum ya ulinzi na usalama changanya na hizo pikipiki, vijizi vya arusha vitahamia mikoa mingine. Coz arusha hawatopata nafasi
THANKS MR. PRESIDENT WAPE TAARIFA MAPEMA,.,. MOTO UMEANZA KUKOLEA 😊🦾
kazi rahisi hiyo makonda ongea na mkuu wa upelelezi mruhusu afanye maamuzi magumu kidogo utaona hapo panatulia tuli
Bora Mh shimiwa makonda akimaliza Dr samia uingie ata ww Mungu akulinde❤
Makonda cjui kama anapumzika huyu baba M/mungu atakulipa sisi hatuna chakukulipa.
Nampenda makonda halali ofisini
Daraja mbili Kuna ujambazi kwa kuwa wanalindwa na Mojaaa. Mojaa akiwekwa rumande mtaa utatulia
😢 aisee
Waache uongo daraja mbili wizi umeshamiri
Always huwa una mawazo chanya sana, ila kina kitu nahitaji kukuongezea, ishu ya pikipiki ni nzuri ila haitokuwa na mwendelezo hasa wewe utakapohama kwenye huo mkoa, ishu ni hivii kila mtaa unaosadikiwa arusha kuna matukio ya uhalifu nunueni eneo kama serikali weka kituo kidogo cha polisi, kwa mantiki hiyo itaongeza maximum ya ulinzi na usalama changanya na hizo pikipiki, vijizi vya arusha vitahamia mikoa mingine. Coz arusha hawatopata nafasi
Wakati umefika maeneo ya daraja mbili, sinoni, themi yafungwe cctv camera kwa usalama zaidi
Cctv camera haito sahidia, zitaibwa pia, dawa ni kuwamaliza
Viongozi wa vijiji wa hovyo sana uyo mzee atakuwa anawatetea Mh.fika mwenyewe uko
Hawa police ukweli ni kwamba wakiitwa kwenye tukio ni wazito sana kutoka kuingia field
Huo mtaa ni kuuwana tuuuuu, huyo mzee anasema uongo
Duh
Huyu Mzee ningekuwa nae karibu nampiga ngumi ya mgongo anatetea ujinga gani watu wanaibiwa hadi mchana kweupe
Wamasai wa 2 na watu wa 2😂😂😂
Pole Sana mh makonda
Yaani arusha kuchomana kisu wanaonaga sifa sijui nn
Ni nn lkn
Arusha lazima inyooke
huyu mzee anawatetea vijana wakabaji
Arusha ikiwa namba mmoja kwa usalama,inatosha?.
Mikoa mingine?
Jmn waiz Arusha wapo kote km hk Ngusero usiongee kuambiwa tupe mazaga yetu n kawaida
Mmh
Huo mkoa basi shida
Nani kamuona mkuu wa wilaya
Mtendaji alipewa mshahara
makonda akisema msilaumiane anamaanisha mwenye akili anaelewa
Kusaga kama unasomaga comment zangu kuhusu msofe nadhan umeelewa sasa
Kwan huwa unawaambiaga nin? Tujuze na sisi hapa
mtapotezwa waalifu wote acheni
Wacha uwongo matukio daraja mbili mengi sama