TAARIFA YA KUSAGA TV KUHUSU UHALIFU DARAJA MBILI NA WATOTO KUBAKWA YAMPELEKA MAKONDA KUFIKA MTAANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 31

  • @spendjulius-qz9mt
    @spendjulius-qz9mt Před 3 měsíci +1

    THANKS MR. PRESIDENT WAPE TAARIFA MAPEMA,.,. MOTO UMEANZA KUKOLEA 😊🦾

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 Před 3 měsíci +3

    kazi rahisi hiyo makonda ongea na mkuu wa upelelezi mruhusu afanye maamuzi magumu kidogo utaona hapo panatulia tuli

  • @victorelisamia1409
    @victorelisamia1409 Před 3 měsíci

    Bora Mh shimiwa makonda akimaliza Dr samia uingie ata ww Mungu akulinde❤

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Před 3 měsíci +3

    Makonda cjui kama anapumzika huyu baba M/mungu atakulipa sisi hatuna chakukulipa.

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm Před 3 měsíci +3

    Nampenda makonda halali ofisini

  • @fridamossony2821
    @fridamossony2821 Před 3 měsíci +3

    Daraja mbili Kuna ujambazi kwa kuwa wanalindwa na Mojaaa. Mojaa akiwekwa rumande mtaa utatulia

  • @MwajumaAbdallah-yj9nk
    @MwajumaAbdallah-yj9nk Před 3 měsíci

    Waache uongo daraja mbili wizi umeshamiri

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 Před 3 měsíci

    Always huwa una mawazo chanya sana, ila kina kitu nahitaji kukuongezea, ishu ya pikipiki ni nzuri ila haitokuwa na mwendelezo hasa wewe utakapohama kwenye huo mkoa, ishu ni hivii kila mtaa unaosadikiwa arusha kuna matukio ya uhalifu nunueni eneo kama serikali weka kituo kidogo cha polisi, kwa mantiki hiyo itaongeza maximum ya ulinzi na usalama changanya na hizo pikipiki, vijizi vya arusha vitahamia mikoa mingine. Coz arusha hawatopata nafasi

  • @TasteVoyage44
    @TasteVoyage44 Před 3 měsíci +3

    Wakati umefika maeneo ya daraja mbili, sinoni, themi yafungwe cctv camera kwa usalama zaidi

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 Před 3 měsíci

      Cctv camera haito sahidia, zitaibwa pia, dawa ni kuwamaliza

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania Před 3 měsíci

    Viongozi wa vijiji wa hovyo sana uyo mzee atakuwa anawatetea Mh.fika mwenyewe uko

  • @kilonzokallage6159
    @kilonzokallage6159 Před 3 měsíci +1

    Hawa police ukweli ni kwamba wakiitwa kwenye tukio ni wazito sana kutoka kuingia field

  • @abednego3876
    @abednego3876 Před 3 měsíci +2

    Huo mtaa ni kuuwana tuuuuu, huyo mzee anasema uongo

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 3 měsíci +1

    Huyu Mzee ningekuwa nae karibu nampiga ngumi ya mgongo anatetea ujinga gani watu wanaibiwa hadi mchana kweupe

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před 3 měsíci +1

    Wamasai wa 2 na watu wa 2😂😂😂

  • @HeriMagwaza-cd4wg
    @HeriMagwaza-cd4wg Před 3 měsíci +1

    Pole Sana mh makonda

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před 3 měsíci

    Yaani arusha kuchomana kisu wanaonaga sifa sijui nn
    Ni nn lkn

  • @mohddelo
    @mohddelo Před 3 měsíci +2

    Arusha lazima inyooke

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před 3 měsíci +2

    huyu mzee anawatetea vijana wakabaji

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před 3 měsíci +1

    Arusha ikiwa namba mmoja kwa usalama,inatosha?.
    Mikoa mingine?

  • @user-ov7fn3yt6j
    @user-ov7fn3yt6j Před 3 měsíci

    Jmn waiz Arusha wapo kote km hk Ngusero usiongee kuambiwa tupe mazaga yetu n kawaida

  • @SelinaChares
    @SelinaChares Před 3 měsíci +1

    Nani kamuona mkuu wa wilaya

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Před 3 měsíci

    Mtendaji alipewa mshahara

  • @renatusgasembe3338
    @renatusgasembe3338 Před 3 měsíci

    makonda akisema msilaumiane anamaanisha mwenye akili anaelewa

  • @AbdikhaniDiriye
    @AbdikhaniDiriye Před 3 měsíci +1

    Kusaga kama unasomaga comment zangu kuhusu msofe nadhan umeelewa sasa

    • @marrypius576
      @marrypius576 Před 3 měsíci

      Kwan huwa unawaambiaga nin? Tujuze na sisi hapa

  • @renatusgasembe3338
    @renatusgasembe3338 Před 3 měsíci

    mtapotezwa waalifu wote acheni

  • @MagrethKessy-fj1ul
    @MagrethKessy-fj1ul Před 3 měsíci +1

    Wacha uwongo matukio daraja mbili mengi sama