KAWAMBWA: BALEKE NI BORA ZAIDI KULIKO MUSONDA, MZIZE/FEISAL KUJIUNGA NA SIMBA NI GUMU SANA KWA SASA
Vložit
- čas přidán 6. 07. 2024
- Mtangazaji na Mchambuzi wa Soka kutoka Azam Media LTD,Mussa Kawambwa "Mzee wa Upupu" @kawambwajr_ amezungumza na Mpneja TV kuhusiana na usajili unaoendelea wa Timu za Ligi Kuu Tanzania Bara huku akigusia usajili wa nyota Jean Baleke.
- Sport
Huyo hajui soka Msonda ni mkali sana Kwa Baleke. Baleke hamna chochote
Mzee wa Upupu
Mwamba kbsa mzee wa upupuu😅😅
Mzee wa upupu umepoa