AHMED ALLY" SIMBA TUNA FEISAL KAMA 70/CHAMA TUTAMPA THANK YOU/MANURA NI MCHEZAJI WETU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Leo July 16,2023 Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ameeleza maandalizi yao kuelekea Msimu mpya wa Ligi kuu ya NBC PL.
    Aidha Ahmed Ally amezungumzia Maandalizi ya Kuelekea Simba Day tarehe 03 Agosti 2024

Komentáře • 84

  • @zakwetuupdate3387
    @zakwetuupdate3387 Před měsícem +9

    MASHINE INATEMA madini🔥🔥🔥

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před měsícem +3

    Chama anawaumiza Sanaa Simba hiiiii Kali sana

    • @user-vd3ce2zv5p
      @user-vd3ce2zv5p Před měsícem +1

      Mbona mnafosi tuumie kiukweli mimi sioni cha kumuumiza kwa uyo chama alikua anajiona star sana

    • @simonjoseph4337
      @simonjoseph4337 Před měsícem

      Panya nn ww

    • @bone102
      @bone102 Před měsícem

      Kama hujui chama kaondoka Simba mara ya pili nw sasa tuumie vip wakat tushazoea kuondoka kwake

    • @KajunaJovinary
      @KajunaJovinary Před měsícem

      ​@@bone102na alivyorudi mkamshangilia sana maana ndo mlienda kushiriki shirikisho na mkatolewaaa😅😅😅😅😅

  • @FrankKashamakula-xb1pc
    @FrankKashamakula-xb1pc Před měsícem +15

    Samaji huwa hapendi kuzungumzia Yanga kabisa nani anagundua ilo

    • @danielchamoto9376
      @danielchamoto9376 Před měsícem +3

      Ana akili sana huyu jamaa😂😂

    • @athumanibakari8618
      @athumanibakari8618 Před měsícem +2

      Ndiyo Rahaa ya Kuwa na Msemaji Msomi

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 Před měsícem

      @@athumanibakari8618yule ashura kutwa simba simba 🎉

    • @abdallahal-khaify
      @abdallahal-khaify Před měsícem +1

      Yule dogo wa nyuma mwiko kazi yake kuzungumzia habari za Simba badala ya kuzungumzia nyuma mwiko yao anaweweseka na Simba , juzi analeta habari za uongo kuwa eti "wamefungwa goli sita kisha hawasemi " .

    • @seikhan5115
      @seikhan5115 Před měsícem +1

      hii ni fact kwel hyu mwamba aongelei timu ya yanga yupo bize na simba tu 😅😅😅
      UBAYA UBWELA

  • @wencerich
    @wencerich Před měsícem +4

    Machine ya kuongea hana mda wa kuwaongelea Team nyingine Akili nyingi kwa kichwa 😂😂😂😂😂😂

  • @SaidiMngoko
    @SaidiMngoko Před měsícem +3

    Chama aliwahi kuondoka,lakini simba ilibaki kwenye nafasi nzuri kuliko sasa wakati chama yupo simba!! Au mmesahau

  • @Salum-ij6mg
    @Salum-ij6mg Před měsícem +3

    Uyu ana cha kuoji

  • @MajidMajid-ll8mf
    @MajidMajid-ll8mf Před měsícem +3

    Semaji bora ndani ya medani ya michezo nchini na dunia

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před měsícem +4

    Hapa pa Chama mnajiabisha sana. Ni aibu kubwa. Ni kama mwanamke unamwacha halafu unajifungia chumbani kulia kisa mke yupo nyumba ya jirani.

  • @HalifaMohamedMohamed-pr5eh
    @HalifaMohamedMohamed-pr5eh Před měsícem

    Everything is possible on the earth surface when you will depend on GOD 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před měsícem

    Simba nguvu moja 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Před měsícem +2

    Jamani chama anaezungumziwa na awa wandishi siyo chama uyu wa sasa nichama wa miaka 4 nyuma.

  • @bensonokwaro9225
    @bensonokwaro9225 Před měsícem

    semaji hvi unatoaga wapi maneno ww❤

  • @bensonokwaro9225
    @bensonokwaro9225 Před měsícem

    na kama "ubaya ubwela' itakuwa kweli mbona 2ta enjoy kuckiliza tambo zako ahmed

  • @serekachacha-zg2vp
    @serekachacha-zg2vp Před 22 dny

    Jamani jeni yu wapi

  • @user-hd5rn8fh5b
    @user-hd5rn8fh5b Před měsícem

    Mashiiiiine ya kuongea😂😂😂😂 ,❤❤🦁🦁🦁💪

  • @mrishotv5553
    @mrishotv5553 Před měsícem +1

    Kweli ss hii pw

  • @halidmauga96
    @halidmauga96 Před měsícem +1

    Hakuna mahojiano ya kusikiliza,

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y Před měsícem

    Semaji la cuf,Shirikisho na Simba sports ❤❤❤ ubaya ubwela Yanga maji yamemwagikaaa Eng ????

  • @IddyMzuri
    @IddyMzuri Před měsícem

    JAMAA ANAJUA AISEE, HUYU NI SEMAJI LA FAMILY

    • @KajunaJovinary
      @KajunaJovinary Před měsícem

      Anajua au ni comedian?? Yani ww humjui Kazi?? Ndo anamsifia utafikiri ni Puyo

  • @THADEOCHUNDU-eu3ez
    @THADEOCHUNDU-eu3ez Před měsícem

    Sema Chama anakuumiza wewe sio simba.

  • @gaspergasper5163
    @gaspergasper5163 Před měsícem +2

    Eti Shakira shakiraa😂😂🙌🏽

  • @jofreymwampamba1236
    @jofreymwampamba1236 Před měsícem

    Tumeenjoy intewvier

  • @DullahJazza
    @DullahJazza Před měsícem

    Semaji umenifulaisha nasa

  • @kennyjohn-ov7sn
    @kennyjohn-ov7sn Před měsícem

    Shakila shakila

  • @emmanuelzwallo3933
    @emmanuelzwallo3933 Před měsícem

    Kwa WACHEZAJI HAO NDO UNASEMA UNAKUSANYA MATAJI?NGOJA NICHEKE SASA

  • @niyogushimaOscar-bh6mj
    @niyogushimaOscar-bh6mj Před měsícem

    Hivi huyu jama ako anauliza ao ako anamwambia habari ya yanga na Azam?mpenja huu ulimtowa wapi kweri umetuangusha

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Před měsícem +1

    Haka kajamaa hakajui kuhoji.. jenny yupo wapi sijui.. hiki kinjemba kinaboa kinavyo hoji..

  • @ImuKibene
    @ImuKibene Před měsícem

    Sijawai kuuona mwandishi wa hovyo kama uyu Yan hovyo kabsaa

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Před měsícem

    Kwani ww umekujaa kuuliza mambo ya Simba au umetumwa nayanga

  • @briansenga584
    @briansenga584 Před měsícem

    Zungumzia Simba dogo narudia kamuangalie Jane

    • @briansenga584
      @briansenga584 Před měsícem

      Yeah ndiyo maana nimesema huyo dogo azingua

  • @HukerRama
    @HukerRama Před měsícem +1

    Ahmed ni hatar😅😅😅😅😅😅😅

  • @emmanuelsiyengo7401
    @emmanuelsiyengo7401 Před měsícem

    Hiyo imeenda semaji

  • @MuammaryAbdalla
    @MuammaryAbdalla Před měsícem

    Munakumbuka la chama2 la fei hamlikumbuki nyuma mwiko

  • @ChembeaKhalfani
    @ChembeaKhalfani Před měsícem

    Jamaa wa ovy ujui hat kuhoj

  • @janethelly4986
    @janethelly4986 Před měsícem +1

    Ww ndio umepoa na unaboaa😂,semaji ajawahi kupoa ata dk mojaa😂😂mpenja plz turudishie jane uyu cjui mmemtoa wap😅

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo Před měsícem

    U nawaingiza mashabiki chaka

  • @abdallahal-khaify
    @abdallahal-khaify Před měsícem

    Shida mnarogwa na kisha mnakwama .

  • @allynicco4607
    @allynicco4607 Před měsícem

    hvi huyu mtangazaji anataaluma kweli? hana hata ubunifu

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před měsícem

    Hiiii mashiiiiiiiiine ya kuongea

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 Před měsícem

    Mi pia ntakuja Simba Day Kukuona unajua kuongea hauna jazba una akili sana

  • @briansenga584
    @briansenga584 Před měsícem

    Wewe muandishi kasikilize interview za Jane ujifunze namna ya kumuuliza maswali semaji unazingua Sana unakaa na wachezaji kila SAA WA wapinzani wewe jiangalie alfu jitathimini

  • @MsafwaTv
    @MsafwaTv Před měsícem

    Jobe ni shujaa wetuuuu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h Před měsícem

    Dawa imeingia kuna mtu anatakiwa kutoka nyuma mwiko kumbe ni janja janja

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo Před měsícem

    Presha zitawaua ngoja inyeshe

  • @JeremiahKiberenge
    @JeremiahKiberenge Před měsícem

    Huyu jamaa hata hajui kufanya interview kabisa yaani anahoji vitu vya hovyo kweli.

  • @Snydacut
    @Snydacut Před měsícem

    Ww ndio mashine ya kuogea. world wide

  • @JustineSanga-r9e
    @JustineSanga-r9e Před měsícem

    Makoloooooo mpaka msemeeee.

    • @Gisakijamaduda
      @Gisakijamaduda Před měsícem

      Hujui makolo maana yake kwa kizaramo ni wajomba wako😅😅😅😅😅 hahahahaha

  • @SaidiMngoko
    @SaidiMngoko Před měsícem

    Mmesahau nafasi ya simba wakati chama uko nje?

  • @MsafwaTv
    @MsafwaTv Před měsícem

    Ubaya ubwela

  • @castromhilu6491
    @castromhilu6491 Před měsícem

    Mwandishi ubongo wake mgumu kuelewa

  • @SanziNzige
    @SanziNzige Před měsícem

    Utopolo hawana msemaji waangalie hapa wanaokota okota na hawana hata semina ya kuwafunza wasemaji wao wanaokota na kuacha msaji awe mropokaji tu.kaambieni hako kashoga kenu kaende shule au kamtafte huyu bwana ahamed ali kajifuze.huyu bwana mpaka hata siyo mwanasimba unapata hamu tu ya kumsikiza siyo hako kajinga kenu mnakaachia kuropoka tu

  • @Mwinyi-xo7jt
    @Mwinyi-xo7jt Před měsícem

    Twataka Jane ndio amuhoji semaji

    • @jairosmnahi1218
      @jairosmnahi1218 Před měsícem

      Kaondoka hpo mpenja tv sijajua khamia wap ila aliagwa tyr

  • @user-cc4jk1ll5v
    @user-cc4jk1ll5v Před měsícem

    Huyo alikuwa jeuri atakula jeuri yake

  • @AmonBenjamin-z1o
    @AmonBenjamin-z1o Před měsícem

    Semaji bhna😂😂😂😂

  • @AmonBenjamin-z1o
    @AmonBenjamin-z1o Před měsícem

    Samaji nimoja tuu😅😅

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 Před měsícem

    😅😅😂😂😂

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p Před měsícem

    ha ha ha ha ha ha nyie nyie itamgarimu uyu m2 nyie aya

  • @mushtaqakram9843
    @mushtaqakram9843 Před měsícem

    Mwambieni semaji aingie na Simba mnyama mwenyewe wa zoo wako ambao wamezoea watu

  • @alistidesclemence3992
    @alistidesclemence3992 Před měsícem

    Mpenja atafte mtu mwingine tu....jamaa hajui kohoji huyu!!

  • @DanielMarco-js1kz
    @DanielMarco-js1kz Před měsícem

    Mpenja hapa hauna mtu!

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5p Před měsícem

    u.nakutana nani wee wee aya kulia kuko palepale