Jifunze kilimo bora cha mahindi kwa kutumia mbolea za Yara na Bw.Vespa Kwavava.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 08. 2021
  • #YaraTanzania#YaraMila#kilimochamahindi
    Katika kilimo chake Bw. Vespa Francis Kwavava ametumia Programu ya mbolea za Yara kwa zao la mahindi kuipa mimea lishe kamili na linganifu.
    Wakati wa kupanda-YaraMila OTESHA
    Mahindi majani 6 hadi 8-YaraVera AMIDAS
    Pia ni muhimu kunyunyizia mbolea ya kwenye majani booster(YaraVita CROP BOOST) mahindi yakiwa na majani 4 hii itasaidia kuongeza kasi ya ukuaji na uotaji wa mizizi midogomidogo mingi yenye kusaidia mmea kunyonya mbolea na maji hivyo kuzuia upoteaji wa mbolea vipindi vya mvua nyingi.

Komentáře • 3