Jifunze kilimo bora cha mahindi kwa kutumia mbolea za Yara na Bw.Vespa Kwavava.
Vložit
- čas přidán 16. 08. 2021
- #YaraTanzania#YaraMila#kilimochamahindi
Katika kilimo chake Bw. Vespa Francis Kwavava ametumia Programu ya mbolea za Yara kwa zao la mahindi kuipa mimea lishe kamili na linganifu.
Wakati wa kupanda-YaraMila OTESHA
Mahindi majani 6 hadi 8-YaraVera AMIDAS
Pia ni muhimu kunyunyizia mbolea ya kwenye majani booster(YaraVita CROP BOOST) mahindi yakiwa na majani 4 hii itasaidia kuongeza kasi ya ukuaji na uotaji wa mizizi midogomidogo mingi yenye kusaidia mmea kunyonya mbolea na maji hivyo kuzuia upoteaji wa mbolea vipindi vya mvua nyingi.
Habari
Saf
Siombolea hizo