TAMKO jipya la Waziri bashe kuhusu sakata la MAHINDI "Mnataka kuua soko........"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 06. 2023
  • Waziri wa Kilimo akijibu hoja ya bei ya mahindi yanayonunuliwa na NFRA wakati wabunge walipotaka shughuli za bunge ziahirishwe ili kujadili suala hilo leo Ijumaa, juni 23, 2023.

Komentáře • 34

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo1201 Před rokem +1

    Foreigner afungue kampuni kununua mahindi sio practical dogo.process ya kufungua kampuni mwaka mzima mahindi bado yanamsubiri.maneno mazuri matendo porojo.pressure ya wakubwa.pole sana.

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Před rokem +1

    Huyu dada yupo vizuri, hoja nzuri🙌☝️👍👍

  • @NeemaMtambo-m6f
    @NeemaMtambo-m6f Před 21 dnem

    Jamani soko ra mazao mahindi sh

  • @GraceNdunguru-l4f
    @GraceNdunguru-l4f Před měsícem

    Misijakuelewa luvuma amani makolo kilo 290 mambo Gani hayo

  • @mako331
    @mako331 Před rokem +1

    Hebu wabunge punguzeni makofi ya hovyo hovyo tusikilize hoja

  • @tonnyclinton
    @tonnyclinton Před rokem

    Upo vizuri ilaa ni muongeaji sana unapunyanga

  • @DitrickKawogo
    @DitrickKawogo Před 16 dny

    Mikoa mingine mnatusaidiaje?

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Před rokem +1

    Bado pumba na mashudu wageni wanaenda mpaka maji moto Mpanda

  • @chemicalmathayo3327
    @chemicalmathayo3327 Před rokem +1

    Haogopi kusema ukweli huyu ndo mridhi wa magufuli hamna mwingine

  • @mtumishimathias7762
    @mtumishimathias7762 Před rokem +1

    Bei.ndogo

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha5933 Před rokem

    Wew mhuni tu, WEWE TUPISHE, KTK NAFSi HIYO,

  • @oswiitvonline6514
    @oswiitvonline6514 Před rokem +2

    Hapo nimekuelewa sana Mh piga kazi baba

  • @marylyimo746
    @marylyimo746 Před rokem

    Singida hatuna kituo, tunaomba kituo Singida.

  • @andersonchongoma1723
    @andersonchongoma1723 Před rokem +1

    Nenda mbele Bashe Go forward

  • @lennymallya8675
    @lennymallya8675 Před rokem +1

    Kabisa kabisa kabisa safi sana,safi sana,ndy ndy ndy

  • @joesimba
    @joesimba Před rokem +1

    Bashe anachoshindwa kuelewa ni kitu kimoja, huo utaratibu wa hivyo vibali vyote vinachukua muda mrefu sana kwa mkulima kuvikamilisha. Kama vipi kuwe na one stop centre ambayo hivyo vibali vitapatikana kwa pamoja

    • @FIFO28
      @FIFO28 Před rokem

      Hilo haliwezekana kwa saza mazao hununukiwa kila mahali kote nchini. Hivyo kila halmashauri nchini inatoa vibali vinavyotakiwa kwa ajili kusafirisha mazao ya chakula.

    • @joesimba
      @joesimba Před rokem

      @@FIFO28 haliwezekani nini?

    • @chemicalmathayo3327
      @chemicalmathayo3327 Před rokem

      Kuwa na akili

    • @joesimba
      @joesimba Před rokem

      @@chemicalmathayo3327 umepotea njia mkuu au?

  • @JoelinaKirway-ht5eh
    @JoelinaKirway-ht5eh Před rokem

    Alex

  • @albertchubwa2546
    @albertchubwa2546 Před rokem +1

    Bravo Bashe

  • @edwardmagige3187
    @edwardmagige3187 Před rokem +1

    Safi sana dada umeongea point sana lkn pia je, tunao fanya biashara ndani ya nchi ni utaratibu Gani tufate?

  • @saidPeace-xq1ld
    @saidPeace-xq1ld Před 4 měsíci

    Ivi hayo anayo zungumza niyakwake? au anafosi kwann asiingize hoja yake bungeni ifanyiwe uchunguzi? Naona kama anafosi sheria😂

    • @zagarinojo4227
      @zagarinojo4227 Před 2 měsíci

      Bashe kila siku anagomba hivi huwa anamgombeza Nani😄

  • @mndambokilavo2502
    @mndambokilavo2502 Před rokem

    Kwa nini tra na wizara ya mambo wa siamue kupiga kempu kwenye mikoa yenye matatizo kumaliza hilo

  • @isiraeli
    @isiraeli Před rokem

    Eti musirusu asajili

  • @lennymallya8675
    @lennymallya8675 Před rokem

    Safi sana

  • @chemicalmathayo3327
    @chemicalmathayo3327 Před rokem

    Please naomba Bashe ugombee urais please Sana wewe ndo mtu pekee mwenye moyo wa unyenyekevu

  • @yohanambilinyi5856
    @yohanambilinyi5856 Před rokem

    Huyu jamaa ni jembe

  • @worldherotv
    @worldherotv Před rokem

    Kwani nyie wabunge mmelipwa na hao wafanya biashara??

    • @jumandegwakazee
      @jumandegwakazee Před rokem

      Kenya mumesikiya na watanzaniya walioko kenya wasifanye biyashara machinani