TAMKO jipya la Waziri bashe kuhusu sakata la MAHINDI "Mnataka kuua soko........"
Vložit
- čas přidán 22. 06. 2023
- Waziri wa Kilimo akijibu hoja ya bei ya mahindi yanayonunuliwa na NFRA wakati wabunge walipotaka shughuli za bunge ziahirishwe ili kujadili suala hilo leo Ijumaa, juni 23, 2023.
Foreigner afungue kampuni kununua mahindi sio practical dogo.process ya kufungua kampuni mwaka mzima mahindi bado yanamsubiri.maneno mazuri matendo porojo.pressure ya wakubwa.pole sana.
Huyu dada yupo vizuri, hoja nzuri🙌☝️👍👍
Jamani soko ra mazao mahindi sh
Misijakuelewa luvuma amani makolo kilo 290 mambo Gani hayo
Hebu wabunge punguzeni makofi ya hovyo hovyo tusikilize hoja
Upo vizuri ilaa ni muongeaji sana unapunyanga
Mikoa mingine mnatusaidiaje?
Bado pumba na mashudu wageni wanaenda mpaka maji moto Mpanda
Haogopi kusema ukweli huyu ndo mridhi wa magufuli hamna mwingine
Bei.ndogo
Wew mhuni tu, WEWE TUPISHE, KTK NAFSi HIYO,
Hapo nimekuelewa sana Mh piga kazi baba
Nakuombea ufike mbali kisiasa mzeee
Singida hatuna kituo, tunaomba kituo Singida.
Nenda mbele Bashe Go forward
Kabisa kabisa kabisa safi sana,safi sana,ndy ndy ndy
Bashe anachoshindwa kuelewa ni kitu kimoja, huo utaratibu wa hivyo vibali vyote vinachukua muda mrefu sana kwa mkulima kuvikamilisha. Kama vipi kuwe na one stop centre ambayo hivyo vibali vitapatikana kwa pamoja
Hilo haliwezekana kwa saza mazao hununukiwa kila mahali kote nchini. Hivyo kila halmashauri nchini inatoa vibali vinavyotakiwa kwa ajili kusafirisha mazao ya chakula.
@@FIFO28 haliwezekani nini?
Kuwa na akili
@@chemicalmathayo3327 umepotea njia mkuu au?
Alex
Bravo Bashe
Safi sana dada umeongea point sana lkn pia je, tunao fanya biashara ndani ya nchi ni utaratibu Gani tufate?
Ivi hayo anayo zungumza niyakwake? au anafosi kwann asiingize hoja yake bungeni ifanyiwe uchunguzi? Naona kama anafosi sheria😂
Bashe kila siku anagomba hivi huwa anamgombeza Nani😄
Kwa nini tra na wizara ya mambo wa siamue kupiga kempu kwenye mikoa yenye matatizo kumaliza hilo
Njoo uwachukuwe kikomba
Eti musirusu asajili
Safi sana
Please naomba Bashe ugombee urais please Sana wewe ndo mtu pekee mwenye moyo wa unyenyekevu
Huyu jamaa ni jembe
Kwani nyie wabunge mmelipwa na hao wafanya biashara??
Kenya mumesikiya na watanzaniya walioko kenya wasifanye biyashara machinani