Aina (3) za Tractor, Bora na nafuu zaidi kwa wakulima wadogo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 04. 2020
  • Endelea kua nasi kujifunza Mengi
    Download audio ya mafunzo ya ufugaji wa Nguruwe kuanzia episode ya kwanza 1-10 au sikiliza online.👇
    mdundo.com/a/102344
    _________________________________
    Playlist zetu mbalimbali
    SHAMBADARASA
    Jifunze Mengi kuhusu kilimo na ufugaji Bora👇
    • SHAMBA DARASA
    UFUGAJI WA MENDE
    Jifunze kwa kina Kuhusu ufugaji wa mende👇
    • UFUGAJI WA MENDE
    UFUGAJI WA NGURUWE KIBIASHARA
    jifunze ufugaji wa Nguruwe kibiashara👇
    • UFUGAJI WA NGURUWE KIB...
    UFUGAJI WA KUKU WA ASILI KIBIASHARA👇
    • UFUGAJI WA KUKU WA ASI...
    MAFUNZO YA UJASILIAMARI 👇
    • MAFUNZO YA UJASILIAMALI
    SUBSCRIBE KUJIFUNZA MENGI ZAIDI
    #ShambaDarasa #Tractor
    ________________________________
    For Business & Enquires
    Website: tanzanianakilimo.blogspot.com
    Email: rubabaimani@gmail.com
    Instagram: @RubabaMedia
    Phone: +255764148221

Komentáře • 31

  • @janetndeanasiambene3975

    Asante

  • @rachelsisiu4026
    @rachelsisiu4026 Před 4 měsíci

    Bei

  • @pilimlyomi7505
    @pilimlyomi7505 Před 9 měsíci

    Nataka kujua kazi za shambani zinazofanywa na trekta

  • @annastaziarenatus8046
    @annastaziarenatus8046 Před 7 měsíci

    2:09 bei sh ngapi

  • @esterchamwela-uu5xy
    @esterchamwela-uu5xy Před rokem

    Trecta ya Kubota ni beigani

  • @vedastokeya3344
    @vedastokeya3344 Před 2 lety

    Tuletee na planter za mpunga

  • @isayajonh7363
    @isayajonh7363 Před rokem

    Mnakopesha

  • @JustinLaizer-oj7wd
    @JustinLaizer-oj7wd Před rokem

    Je ukitaka trekta unalipia kwanza shilingi ngapi

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 Před 2 lety

    Naomba mawasiano yako

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 Před 4 lety +3

    Ninayo NEW HOLLAND TT 75, ni trekta nzuri , ina nguvu ,
    Nilinunua mpya kabisa mwaka 2018 kwa Tshs 49,000,000 trekta tu
    Jembe nilinunua brand ya Brazil kwa Tshs 8,500,000 /-
    Kabla sijanunua trekta nilifanya utafiti makini kwa muda mrefu nikafanya maamuzi ya kununua Brand hii ya NEW HOLLAND .

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  Před 4 lety

      Good

    • @mathayona9289
      @mathayona9289 Před 4 lety

      Je kuna utofauti na hizi zingine Kama john deer, marsely Ferguson, na zingine??

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 Před 4 lety +3

      @@mathayona9289
      Kwenye kila brand ya trekta ina utofauti na nyingine , siwezi kueleza kwautaalamu maana mie si mtaalamu , ila kuna trekta unaweza nenda nayo shamba ila haina nguvu ya kusukuma jembe kwenye baadhi ya udongo , kuna ambayo inaua vifaa mara kwa mara mara umevunja kifaa hiki mara kile ,
      Kuna ambayo muda wa service uko karibu karibu sana n.k n.k
      Kwa yote niliyoyaeleza bado NEW HOLLAND is the best .

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 Před 4 lety +1

      @@mathayona9289
      Tofauti nyingine ambayo ni KUBWA zaidi ni kuhusu SPARE , New Holland spare zake ni nyingi kwa maagent unaweza kupata popote karibu na shamba ,
      Lakini kuna trekta ukinunua ikiharibika kifaa chochote basi spare wanauza wenyewe tu , ukivunja kifaa ukiwaendea wanakwambia bei ya kifaa ambayo unaweza kupark trekta , maana wanajua utanunua tu , huna ujanja .
      New Holland spare zake unapata popote karibu na wewe , na kwa bei nafuu .

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 Před 4 lety +2

      @@mathayona9289
      Kwa ubora mimi kwa upembuzi wangu ambao sio wa kitaalamu zaidi , ni wa mnunuzi tu ya 1 ,John deer
      2 . New Holland 3 .Mahindra 4 .Marsey Ferguson zinafuata nyingi nyingi nyinginezo .
      Trekta zipo za Brand nyingi sana hapa Tanzania kwa sasa .
      Katika ubora wa namba nilioupa zingatia swala la upatikanaji spare .

  • @janetndeanasiambene3975
    @janetndeanasiambene3975 Před rokem +1

    John Deere inatamkwa (dia)

  • @josephatmtweve6534
    @josephatmtweve6534 Před rokem +1

    Naomba namba yako ya sim

  • @adamusalimu4018
    @adamusalimu4018 Před rokem

    Mnapatikanaje? Nahitaji mawasiliano

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  Před rokem

      Wasiliana nasi 0764 148 221

  • @JustinLaizer-oj7wd
    @JustinLaizer-oj7wd Před rokem

    Na namba zenu tunapataje kwa mawasiliano zaidi