Aina (3) za Tractor, Bora na nafuu zaidi kwa wakulima wadogo
Vložit
- čas přidán 29. 04. 2020
- Endelea kua nasi kujifunza Mengi
Download audio ya mafunzo ya ufugaji wa Nguruwe kuanzia episode ya kwanza 1-10 au sikiliza online.👇
mdundo.com/a/102344
_________________________________
Playlist zetu mbalimbali
SHAMBADARASA
Jifunze Mengi kuhusu kilimo na ufugaji Bora👇
• SHAMBA DARASA
UFUGAJI WA MENDE
Jifunze kwa kina Kuhusu ufugaji wa mende👇
• UFUGAJI WA MENDE
UFUGAJI WA NGURUWE KIBIASHARA
jifunze ufugaji wa Nguruwe kibiashara👇
• UFUGAJI WA NGURUWE KIB...
UFUGAJI WA KUKU WA ASILI KIBIASHARA👇
• UFUGAJI WA KUKU WA ASI...
MAFUNZO YA UJASILIAMARI 👇
• MAFUNZO YA UJASILIAMALI
SUBSCRIBE KUJIFUNZA MENGI ZAIDI
#ShambaDarasa #Tractor
________________________________
For Business & Enquires
Website: tanzanianakilimo.blogspot.com
Email: rubabaimani@gmail.com
Instagram: @RubabaMedia
Phone: +255764148221
Asante
Bei
Nataka kujua kazi za shambani zinazofanywa na trekta
2:09 bei sh ngapi
Trecta ya Kubota ni beigani
Tuletee na planter za mpunga
Mnakopesha
Je ukitaka trekta unalipia kwanza shilingi ngapi
Naomba mawasiano yako
0764148221
Ninayo NEW HOLLAND TT 75, ni trekta nzuri , ina nguvu ,
Nilinunua mpya kabisa mwaka 2018 kwa Tshs 49,000,000 trekta tu
Jembe nilinunua brand ya Brazil kwa Tshs 8,500,000 /-
Kabla sijanunua trekta nilifanya utafiti makini kwa muda mrefu nikafanya maamuzi ya kununua Brand hii ya NEW HOLLAND .
Good
Je kuna utofauti na hizi zingine Kama john deer, marsely Ferguson, na zingine??
@@mathayona9289
Kwenye kila brand ya trekta ina utofauti na nyingine , siwezi kueleza kwautaalamu maana mie si mtaalamu , ila kuna trekta unaweza nenda nayo shamba ila haina nguvu ya kusukuma jembe kwenye baadhi ya udongo , kuna ambayo inaua vifaa mara kwa mara mara umevunja kifaa hiki mara kile ,
Kuna ambayo muda wa service uko karibu karibu sana n.k n.k
Kwa yote niliyoyaeleza bado NEW HOLLAND is the best .
@@mathayona9289
Tofauti nyingine ambayo ni KUBWA zaidi ni kuhusu SPARE , New Holland spare zake ni nyingi kwa maagent unaweza kupata popote karibu na shamba ,
Lakini kuna trekta ukinunua ikiharibika kifaa chochote basi spare wanauza wenyewe tu , ukivunja kifaa ukiwaendea wanakwambia bei ya kifaa ambayo unaweza kupark trekta , maana wanajua utanunua tu , huna ujanja .
New Holland spare zake unapata popote karibu na wewe , na kwa bei nafuu .
@@mathayona9289
Kwa ubora mimi kwa upembuzi wangu ambao sio wa kitaalamu zaidi , ni wa mnunuzi tu ya 1 ,John deer
2 . New Holland 3 .Mahindra 4 .Marsey Ferguson zinafuata nyingi nyingi nyinginezo .
Trekta zipo za Brand nyingi sana hapa Tanzania kwa sasa .
Katika ubora wa namba nilioupa zingatia swala la upatikanaji spare .
John Deere inatamkwa (dia)
watanzania,
Naomba namba yako ya sim
0764148221
Mnapatikanaje? Nahitaji mawasiliano
Wasiliana nasi 0764 148 221
Na namba zenu tunapataje kwa mawasiliano zaidi
Whatsup 0764148221