"SIKUWAHI KUKAA KARIBU NA DIAMOND, NIMEGUNDUA ANA UPENDO SANA, NDIO MAANA MUNGU KAMBARIKI" MR BLUE
Vložit
- čas přidán 8. 09. 2024
- "SIKUWAHI KUKAA KARIBU NA DIAMOND, NIMEGUNDUA ANA UPENDO SANA, NDIO MAANA MUNGU KAMBARIKI" MR BLUE
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Blue ameongea kwa hisia kwa wema aliooneshwa sio wakinafiki sema diamond anamkubali blue since day one
Baisa the most dangerous artist on the stage 💥💥💥💥 Hii imeenda
Nice nimependa
Ukimchukia Diamond umeuchukia mziki wa Bongo , ni ngumu kumkwepa Jamaa , na saivi alivo na media wasanii ndo wanajisogeza zaidi kwake
Abby skills kasema pia kuhusu upendo wa diamond kuwa mkubwa sana, na akaenda mbali akagusia kutamani kufanya collabo na diamond, ujue wasanii walio wahi kuwa karibu na alikiba waliamini kiba ni mtu poa sana lkn kiba ni mbinafsi sana choyo sana ndo maana hata label yake haikui, anajikuta kwendekeza uking ambao ni uking uchwara, diamond ni msanii poa since day one basi anachafuliwaga na washamba, ,
acha uongo wew wot wak poa sem kib utofaut wak ni msir
@@muhsiniamiri9310 🤔🤔🤔🤔
@@muhsiniamiri9310😂😂😂Siri wap ,lakata la mkew lenyewe tu linajionesha mdg wake na wasanii wake akuna anajiwafanyia
🎉🎉🎉🎉🎉
Kwani hiwez tu kumsifia mond bila kumtaja ally mbna wasanii wengi sana lkn ni ally tu ndio mbinafsi
We simba namasimba la masimba dangote
Huyu ndio maaana ya msela anachuki za kilofa lofa
É Verdade Diamond Amo Muito os Músicos Abby skills e Mr Blue
wasanii walivo akitofautian lzm amseme mabay ila blue hanaga hzo
sa itakuaje tukiishi bila upendo.❤❤❤❤
Simba la masimba dangote
❤❤
Izo mike zenu studio haziskikii vzr
Acha Wamuchafue Ilamungu amesha mpa simb Simba lamasimba
Aaliya yuko wapi??
Unajua mkiwa mtaani mnalishana maneno ya kupakaziana wakati siyo kweli
Baba la baba Simba
Hakika usemavyo
Zaman ulikuw kubali ivi unamsema vizuri mtamsema tuu
Kwenye dunia adui wa kudumu Ni Shetani tu wengine Ni vipindi 2 vinapita
Kabisa broooo hakuna adui wamilele zaid ya shetan
Uko poa buluu