"SIKUWAHI KUKAA KARIBU NA DIAMOND, NIMEGUNDUA ANA UPENDO SANA, NDIO MAANA MUNGU KAMBARIKI" MR BLUE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • "SIKUWAHI KUKAA KARIBU NA DIAMOND, NIMEGUNDUA ANA UPENDO SANA, NDIO MAANA MUNGU KAMBARIKI" MR BLUE
    www.youtube.co...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 37

  • @sassboy9360
    @sassboy9360 Před 10 měsíci +23

    Blue ameongea kwa hisia kwa wema aliooneshwa sio wakinafiki sema diamond anamkubali blue since day one

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Před 10 měsíci +7

    Baisa the most dangerous artist on the stage 💥💥💥💥 Hii imeenda

  • @hassanmohammed6229
    @hassanmohammed6229 Před 10 měsíci +6

    Nice nimependa

  • @aliyumuhammed6054
    @aliyumuhammed6054 Před 10 měsíci +4

    Ukimchukia Diamond umeuchukia mziki wa Bongo , ni ngumu kumkwepa Jamaa , na saivi alivo na media wasanii ndo wanajisogeza zaidi kwake

  • @davidibrahim9138
    @davidibrahim9138 Před 10 měsíci +61

    Abby skills kasema pia kuhusu upendo wa diamond kuwa mkubwa sana, na akaenda mbali akagusia kutamani kufanya collabo na diamond, ujue wasanii walio wahi kuwa karibu na alikiba waliamini kiba ni mtu poa sana lkn kiba ni mbinafsi sana choyo sana ndo maana hata label yake haikui, anajikuta kwendekeza uking ambao ni uking uchwara, diamond ni msanii poa since day one basi anachafuliwaga na washamba, ,

    • @muhsiniamiri9310
      @muhsiniamiri9310 Před 10 měsíci +1

      acha uongo wew wot wak poa sem kib utofaut wak ni msir

    • @SophlaJackson-nt1nc
      @SophlaJackson-nt1nc Před 10 měsíci

      ​@@muhsiniamiri9310 🤔🤔🤔🤔

    • @Fahadi2023
      @Fahadi2023 Před 10 měsíci +4

      ​@@muhsiniamiri9310😂😂😂Siri wap ,lakata la mkew lenyewe tu linajionesha mdg wake na wasanii wake akuna anajiwafanyia

    • @didasmashwilili
      @didasmashwilili Před 10 měsíci +1

      🎉🎉🎉🎉🎉

    • @dianerditto
      @dianerditto Před 10 měsíci +1

      Kwani hiwez tu kumsifia mond bila kumtaja ally mbna wasanii wengi sana lkn ni ally tu ndio mbinafsi

  • @LenatusPosiano-hi7tk
    @LenatusPosiano-hi7tk Před 10 měsíci +12

    We simba namasimba la masimba dangote

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před 10 měsíci +9

    Huyu ndio maaana ya msela anachuki za kilofa lofa

  • @jcwformedia5032
    @jcwformedia5032 Před 10 měsíci +6

    É Verdade Diamond Amo Muito os Músicos Abby skills e Mr Blue

  • @muhsiniamiri9310
    @muhsiniamiri9310 Před 10 měsíci +7

    wasanii walivo akitofautian lzm amseme mabay ila blue hanaga hzo

  • @ibrahimlunku6969
    @ibrahimlunku6969 Před 10 měsíci +1

    sa itakuaje tukiishi bila upendo.❤❤❤❤

  • @peterdaniel6687
    @peterdaniel6687 Před 10 měsíci +5

    Simba la masimba dangote

  • @marshialmarshah9032
    @marshialmarshah9032 Před 10 měsíci +4

    ❤❤

  • @emanuelmhagama8193
    @emanuelmhagama8193 Před 10 měsíci +2

    Izo mike zenu studio haziskikii vzr

  • @user-kb1gy8kz9m
    @user-kb1gy8kz9m Před 10 měsíci +2

    Acha Wamuchafue Ilamungu amesha mpa simb Simba lamasimba

  • @chibudangote0126
    @chibudangote0126 Před 10 měsíci +3

    Aaliya yuko wapi??

  • @dismasjerome1658
    @dismasjerome1658 Před 10 měsíci

    Unajua mkiwa mtaani mnalishana maneno ya kupakaziana wakati siyo kweli

  • @djfunk255
    @djfunk255 Před 10 měsíci +3

    Baba la baba Simba

  • @novatussambi6765
    @novatussambi6765 Před 10 měsíci

    Hakika usemavyo

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Před 10 měsíci +3

    Zaman ulikuw kubali ivi unamsema vizuri mtamsema tuu

    • @michaeljengwaz4328
      @michaeljengwaz4328 Před 10 měsíci +1

      Kwenye dunia adui wa kudumu Ni Shetani tu wengine Ni vipindi 2 vinapita

    • @sulexh
      @sulexh Před 10 měsíci

      Kabisa broooo hakuna adui wamilele zaid ya shetan

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 Před 10 měsíci

    Uko poa buluu