DR.SULLE SAFARI YA MTUME MUHAMMAD S.A.W (SEHEMU YA 1)2024 ISRAA NA MIRAJI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 08. 2024
  • #drsulle #tanzania #islaamic #health

Komentáře • 112

  • @user-rd6he3pu2o
    @user-rd6he3pu2o Před 3 měsíci +1

    Hakika Dr sule ni Nuru na zawadi kubwa katka uislam katk kuilingania dini mungu akupe maisha marefu inshallah.

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 Před 6 měsíci +7

    Maashaallah Allah akupe umri mrefu uzidi kuwepo kuipigania dini ya Allah Inshaallah Allah atakulipa

  • @aminahassani-jh5rp
    @aminahassani-jh5rp Před 3 měsíci

    Mashallah Shekhe wetu mungu akuweke sana tu

  • @abuushomari7533
    @abuushomari7533 Před 6 měsíci +3

    Mashaallah umeelezea vizur kwenye nyongo na digestion system 😊😊

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul Před 7 měsíci +8

    Wakristo hawawezi kuelewa hii,,,,
    Dr sulle u always great 👍👍

    • @user13375
      @user13375 Před 6 měsíci

      Kumbe mlango upo India😢😢 sijuwi tunafanyeje huku si tuhamie karib na milango😂😂😂

    • @favoritebrayo
      @favoritebrayo Před 6 měsíci

      so nyinyi ndo mnaelewa kumuabudu mohammed😁

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Před 6 měsíci

      ​@@favoritebrayoMuongo mkubwa we, waislam toka lini waka mwamini binaadam.

    • @AmirJuma-p5j
      @AmirJuma-p5j Před 2 dny

      😂😂😂 wakristo hawakosi kwa dokta sule 😂😂😂 . Wanamfatilia balaa

  • @user-kl6vb4yv6i
    @user-kl6vb4yv6i Před 7 měsíci +2

    MashaAllah nakupenda sheikh Dr. Sule

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 Před 6 měsíci +1

    Mashallah Mashallah Mashallah

  • @user-jb1qk1rk7o
    @user-jb1qk1rk7o Před 6 měsíci +1

    Sheikh mungu akujaalie maisha malefu tuweze kupata elimi iliyopanuka ila makosa aliyoyafanya Adam kwa kudanganywa na Hawa hujaiyaja au haifahamiki

  • @Yahyasalim-wg1fi
    @Yahyasalim-wg1fi Před 7 měsíci +2

    Mashaallah kazi nzuri

  • @fahadherrera8172
    @fahadherrera8172 Před 7 měsíci +1

    MashaAllah shukran Maalim

  • @user-mi9ll7zr3x
    @user-mi9ll7zr3x Před 7 měsíci +3

    Unajua Sana Dr sule

  • @naxirybeachboy
    @naxirybeachboy Před 6 měsíci +1

    Inshaallah Dr sule MUNGU azid 2wezexha

  • @user-uw7qr6wk9q
    @user-uw7qr6wk9q Před 7 měsíci +1

    Inshaallah mwenyezi Mungu atubariki

  • @jamesrichard3971
    @jamesrichard3971 Před 7 měsíci +7

    Asante shekh,, nakuelewa Sana, Ila ndacha nikichwa maji Sana,, anaogopa kurudisha Gari ya kanisa na nyumba ya kanisa 😅

    • @tuliaalimasi6404
      @tuliaalimasi6404 Před 6 měsíci

      Mungu akusamee.

    • @mohammedrajabumwamba1322
      @mohammedrajabumwamba1322 Před 6 měsíci

      ​@@tuliaalimasi6404 😂😂 mungu akusamehe ww

    • @miishhassn
      @miishhassn Před 6 měsíci

      Wee kumbe sikuwa najua hilo😂😂

    • @umdtv2749
      @umdtv2749 Před 6 měsíci

      @@mohammedrajabumwamba1322 mna mezeshwa vitu vya ajabu sanaaaaa.
      Mwambie atoe ayo maneno anayo yaongea anatoa wapi.
      Atoe na maandiko kwenye iyo quaran. Aache uongo basi mungu sio mwanadamu shauri yenu

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 Před 6 měsíci

      Kwamba wewe umeisoma quran kuliko yeye na unaona anachokisema ni uongo au sio 😃​@@umdtv2749

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Před 7 měsíci +2

    Nakupata vizuri kutokea Dubai nakufatilia sana

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db Před 7 měsíci +2

    MashaAllah Dr Sule Allah Atuhfadh waislam wte

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 Před 6 měsíci +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mashaaallaah

  • @user-ed3ny9hi6t
    @user-ed3ny9hi6t Před 5 měsíci

    Safi sanaa Dr sule Allah akuzidishie❤

  • @BashiriAllyibrahim-kr3fb
    @BashiriAllyibrahim-kr3fb Před 7 měsíci +1

    Nakufatilia Dr sule kutka marekani napenda historia kama hizo

  • @user-pn8se5li5p
    @user-pn8se5li5p Před 6 měsíci

    Hizi hadithi ni nzuri na zinachekesha sana

  • @AbuuSiiriin
    @AbuuSiiriin Před 6 měsíci

    Sule mwenyewe mbovu Allah amuongoze

  • @Kizua417
    @Kizua417 Před 5 měsíci

    Mashaallaah

  • @user-jg4zc9fk8p
    @user-jg4zc9fk8p Před 6 měsíci

    Akuna binadamu mwenye kiswa bofu kama kumuona Dr sulle,anatoa MANENO ya kasfa lánatula nawashukia sana-sana

  • @hamisimuhammad3656
    @hamisimuhammad3656 Před 6 měsíci

    Nakufatilia dr sulle kutoka miwaga dimani kibiti

  • @fabimbilinyi2529
    @fabimbilinyi2529 Před 6 měsíci

    Ishrra

  • @MasizieRahim-gw1bf
    @MasizieRahim-gw1bf Před 5 měsíci

    ❤❤❤❤❤❤

  • @fatumaomari5978
    @fatumaomari5978 Před 6 měsíci +1

    Mashallah ❣️❣️❣️🥰🥰

  • @naxirybeachboy
    @naxirybeachboy Před 6 měsíci

    kutoka kenya Dr upo sawa kihistory

  • @ibrahmsafiry1575
    @ibrahmsafiry1575 Před 6 měsíci

    ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 Před 6 měsíci +1

    Naipataje hiyo kadi sasa mimi nipo oman

  • @hadjiemedy494
    @hadjiemedy494 Před 5 měsíci

    😮b

  • @user-kn2bg7ki6u
    @user-kn2bg7ki6u Před 7 měsíci

    Kuteremka kutoka mbingun kwan kuna ushahid kuwa adam kaumw mbingun allah anasema fil ardh nyny mnasema fi samai

  • @miambayankeba1084
    @miambayankeba1084 Před 6 měsíci +1

    Hawa alivuka mitoni mapori vipi mpaka afike saudi Arabia?

    • @bellasi349
      @bellasi349 Před 4 měsíci

      Yan ni vichekesho eti walipoteana miaka 40 😂😂😂 yani hawa jamaa kwa visa😂vya kijinga wana diplôme

  • @FatmaHussein-j1p
    @FatmaHussein-j1p Před 11 dny

    Safari YA mtume alikuwa akisafiri Sana wapi

  • @user-hg5zj3it3j
    @user-hg5zj3it3j Před 5 měsíci

    Hadith gani au aya gani inasema ivoo?

  • @ahmada2072
    @ahmada2072 Před 5 měsíci

    27:44 P.O
    V

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 Před 6 měsíci +1

    Dr sule je kufanya mazoezi ya meditation mazoezi ya kukaa kimya peke Yako na kutafakari ukiwa umefunga macho je ni haram? Kwajina lingine wanaita yoga

  • @allysaidlyambange4500
    @allysaidlyambange4500 Před 6 měsíci

    Shehe hivi wakina adamu wanashushwa duniani wafrika TULIKUWEPO AU HATUKUWEPO

    • @bellasi349
      @bellasi349 Před 4 měsíci

      😂😂😂😂😂😂 eti kuna milango 37 za kwenda peponi ila hakuna iliyoko africa 😂😂😂😂😂

  • @umdtv2749
    @umdtv2749 Před 6 měsíci +1

    Lakini alkahaba ilikuwa sehemu ya kuabudia masanamu ilikuwaje ikawa nyumba takatifu.
    Leo ndo nimeamini mtume muhamadi alifanya mingu yote ya pale alkahaba kuwa mungu moja kubwa na kuabudiwa adi saiz.

  • @BadiMwanengo
    @BadiMwanengo Před 7 měsíci

    Tatizo lako shekh video zako zaina hatupati next video

  • @BadiMwanengo
    @BadiMwanengo Před 7 měsíci

    Sadakta

  • @umdtv2749
    @umdtv2749 Před 6 měsíci +1

    Iyo milango sio ya kuingilia mbinguni ila ni kuzimu

  • @obedkalinga9704
    @obedkalinga9704 Před 6 měsíci

    waislamu eti unamwelewa sule. badala ya kuhoji, kwanini aende yerusalem na sio macca munaoamini ndio mji mtakatifu, ameenda mbinguni nani alimuona?, alikutana na allah?, aliona nini huko mbinguni?, alifikaje mbinguni?

  • @user-kn2bg7ki6u
    @user-kn2bg7ki6u Před 7 měsíci

    Peponi sawa cio mbinguni pepo yao ilikuw hapa hapa dunian ...mnapotesema wameshushwa mbingun ndo unajichanganya

  • @user-jf2gp7wb9i
    @user-jf2gp7wb9i Před 6 měsíci

    Enseleeni kudanganyana waislam mnaishi kwa hadithi

    • @mwarabumbarak4342
      @mwarabumbarak4342 Před 6 měsíci

      Kumbe Biblia ni maneno ya kuhadithiwa
      Luka 1
      .1 Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu,
      2 kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,
      3 nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,
      4 upate kujua hakika ya mambo yale uliyofundishwa.

    • @miishhassn
      @miishhassn Před 6 měsíci

      We mwenyewe unaish kwa hadith we ulimkuta yesu wew ama ulikuja kuhadithiwa na babu zako kuna yesu😏

    • @bellasi349
      @bellasi349 Před 4 měsíci

      Yan ivi kuna mtu anaweza kuamini huo upumbavu eti muhamadi alienda mbinguni ?

  • @ManenoPapalu-ku3vl
    @ManenoPapalu-ku3vl Před 7 měsíci +1

    Mbona nimesikia sauti ya mpira kwenye hii video

  • @obedkalinga9704
    @obedkalinga9704 Před 6 měsíci

    waongopee waislamu, eti milango 36 ya kuingilia mbinguni

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os Před 4 měsíci

      Lione ili kafiri linavyoteseka kwan kakwambia ww uamini kenge ww??

    • @bellasi349
      @bellasi349 Před 4 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @AmirJuma-p5j
      @AmirJuma-p5j Před 2 dny

      Kama una pointi na wewe toa usiponde za wenzio ?

  • @nicholouskavindi8512
    @nicholouskavindi8512 Před 6 měsíci

    Historia za waislamu n za kutunga sana kila shehe na stori yake kuhusu israa mnasoma kitabu gani?

    • @nicholouskavindi8512
      @nicholouskavindi8512 Před 6 měsíci

      Adam Na Eva walikua Eden Sio peponi Eden n hapahapa Duniani

    • @nicholouskavindi8512
      @nicholouskavindi8512 Před 6 měsíci

      Hiyo mahali ya Hawa alipewa nani

    • @miishhassn
      @miishhassn Před 6 měsíci

      ​@@nicholouskavindi8512kwanz unajua mahali yake ilikuewa nn ama unauliza tu

    • @miishhassn
      @miishhassn Před 6 měsíci

      Shekh yupi kaelezea tofauti ama ni chuk zako tu

    • @nicholouskavindi8512
      @nicholouskavindi8512 Před 6 měsíci

      Hakuna chuki ukisoma ktk Qur'an yenyewe huwezi Ona hiki wanachosimulia masheikh ndomana kila mtu Na chumvi zake shk Othman msikilize au shk Othman maiko nae

  • @umdtv2749
    @umdtv2749 Před 6 měsíci +1

    Hahaha 😂🙂😂 adam alilipa mahali kwa nani wakati wao ndo walikua watu wa kwanza

  • @umdtv2749
    @umdtv2749 Před 6 měsíci +1

    Kwakua nyie mnao wake weng sema ndoa zako sio ndoa yako.
    Ila mtu unaoa wake 4 huko ni kudhini bwawa

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Před 6 měsíci

      Watu wa bara wa ngapi na wa kristo wana wake zaidi ya mmoja?

    • @AmirJuma-p5j
      @AmirJuma-p5j Před 2 dny

      Solomon kaoa wake wangapi wewe ?

  • @obedkalinga9704
    @obedkalinga9704 Před 6 měsíci

    milango ni miwili tu wa kuzimu na peponi basi.mingine hiyo ni uongo kujifanya unajua bali upotoshaji

    • @bellasi349
      @bellasi349 Před 4 měsíci

      Kwa kudanganya wapo vizuri

  • @princeacama401
    @princeacama401 Před 6 měsíci

    Wapi imeandikwa milango yakuingia mbinguni ni 36?? Hii ni elmu ya mashetani yako cjui unatoa wapi hizi hekaya za abunwasi??

    • @favoritebrayo
      @favoritebrayo Před 6 měsíci

      mimi namshangaa kwanza mohammed alikufa yeye anasema alienda mbinguni

  • @josephchrizostom8437
    @josephchrizostom8437 Před 6 měsíci

    na pia safari hiyo ilikuwa ndoto kwa mujibu wa quruani 17:60

    • @miishhassn
      @miishhassn Před 6 měsíci

      Jam huielew Quran ni vyema ujar kimya usiaibike aya unasema hatukuifanya ndoto inamaanisha haikuwa ndot ungesena tuliifanya ndot hapo sawa tungesema ilikuwa ndoto ama ulimkimbia teacher wa kiswahil saiv kibakulamba huelewi lugha😂

    • @nicholouskavindi8512
      @nicholouskavindi8512 Před 6 měsíci

      N ilkua ndoto hakuna Alie mshuhudia Hata mmoja hivi kweli akiwa Hai alipaa kwenda mbinguni Ila alpofariki mkamzika kwanini asingepaa maana mbingu alishaonyeshwa?

    • @miishhassn
      @miishhassn Před 6 měsíci

      @@nicholouskavindi8512 kila nafsi itaonja mauti ndio maan wote hata walio wema waliobja maut hata yey lzm angepitia hapo

    • @hansiselemani8025
      @hansiselemani8025 Před 6 měsíci

      Sm dini br

  • @mosesmutharimi5837
    @mosesmutharimi5837 Před 6 měsíci

    Swali ni je mtume alienda mbinguni kwa mwili au ni roho

    • @bellasi349
      @bellasi349 Před 4 měsíci +1

      Hakuna😂cha kwenda mbinguni ni upumbavu tu mbinguni hakwéda Mussa ibrahim😂aende muhamadi yani kweli africa wajinga hawataisha

    • @AmirJuma-p5j
      @AmirJuma-p5j Před 2 dny

      ​@@bellasi349ilo swali we umeelewa? Au unajibu kifala

  • @user13375
    @user13375 Před 6 měsíci

    😂😂😮😮

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 Před 7 měsíci

    Niwaambie TU Jamani mnakosea sana eti video ni ya mawaidha lakini ukiifungua inaanza na tangazo la mziki hivi kweli mko serious

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 Před 6 měsíci +1

      Kumbuka hii mitandao ni mitandao ya watu ayo matangazo hawaweki wao ni gugo wenyewe wanaweka na ndio unapoangalia tangazo ndio pesa inaingia lkn lengo la mashekhe ni kufikisha ujumbe

    • @abdulazizitwalib5859
      @abdulazizitwalib5859 Před 6 měsíci

      ​@@shubebunyesi542FACTY

    • @miishhassn
      @miishhassn Před 6 měsíci

      Acheb ushamba hayo ni matangazo ya weny media zao ama umenunua sim juz😂

    • @shabanramadhan7632
      @shabanramadhan7632 Před 6 měsíci

      @@miishhassn kwahyo unasapot kwenye taarifa ya msiba watu wacheke kidogo.

    • @miishhassn
      @miishhassn Před 6 měsíci

      @@shabanramadhan7632 unaonrkan urlewa wako mdogo elewa sio wao wanaweka ni anaemiliki app ya CZcams ndio maan inahesabu hapo pemben ukibonyeza hiyo skip baafa hizo sekunde inaonfoke we umrkaza fuvu unasema ni wao sio wao hata katikati wanaweza kata video eawek tangazo la kampun flun mgano glovo kwan dr sule anamilik glovo kuea muelewa bas hee

  • @SmilingAnacondaSnake-sp8ct
    @SmilingAnacondaSnake-sp8ct Před 6 měsíci

    Shehe iyo milango uliiona au ni hadidhi zenu zile za siku zote ? Kwa nini mlango usiwepo tanzania? Kwa hiyo tukifa hapa tanzania tunakwenda kuingilia india kha!

    • @amadimagadi7978
      @amadimagadi7978 Před 6 měsíci

      Wewe mbona hukuumbwa paka umeumbwa binadamu...mlango kutokuwepo Tanzania ni mipango ya Mungu huezi mpangia Mungu cha kufanya bwege ww

    • @hashamyusuph2912
      @hashamyusuph2912 Před 5 měsíci

      Sio wewe ni lohoyako wewe utabakia uliko zikwa roho itakwenda kwenye iyo milango

    • @bellasi349
      @bellasi349 Před 4 měsíci

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @bellasi349
      @bellasi349 Před 4 měsíci

      @@amadimagadi7978mjibu kwaiyo watu wa africain wataîgilia india na wataéda kwa ndege😂au nini upumbavu jamani africa hapana

    • @ShomiLongwa
      @ShomiLongwa Před 2 měsíci

      Asante kwa kwa kumuelewesha chizi

  • @emilioadremaneadremane2706
    @emilioadremaneadremane2706 Před 7 měsíci

    I kiboko

  • @josephchrizostom8437
    @josephchrizostom8437 Před 6 měsíci

    soma vitabu cha wito kwa mflme cha ahmad mizra utajifunza pepo ni nin mbingu ni nini