MAKONDA ACHARUKA, AAGIZA WACHAFU WOTE WASIINGIE MJINI
Vložit
- čas přidán 28. 07. 2019
- MAKONDA ACHARUKA, AAGIZA WACHAFU WOTE WASIINGIE MJINI
Mkuu Wa Mkoa Wa Dar Es Salaam, Paul Makonda amefungua Kampeni ya kufanya usafi wa Mazingira kwa ajili ya kuweka Jiji safi na amewataka watu wenye tabia ya kuwa wachafu kwenye miili yao kutokuingia mjini kwa kipindi hiki cha ujio wa wageni wa marais zaidi ya 15.
Akizungumza na Waandishi Wa Habari leo katika uzinduzi huo uliofanyika Uwanja Wa Ndege Terminal 1 , amesema lengo kubwa ni kuweka Jiji Safi huku akizitaka Taasisi zote za Serikali kuhakikisha kwamba zinakuwa na watu wao Wa usafi katika maeneo yao ya kazi.
Aidha amesema pamoja na kuweka Jiji safi pia ni moja ya maandalizi ya kuwaonesha wageni Wa SADC kwamba Tanzania ipo sehemu salama katika usafi hususani Jiji la Dar Es salaam ambapo mkutano huo Wa Marais 16 unakwenda kufanyika.
Amesema ugeni wa SADC ni heshima kwa Rais Dkt John Magufuli na Mkoa wa Dar Es Salaam kwa ujumla hivyo lazima Jiji liwe safi wakati wa kuwapikea wageni pia usafi huo uwe endelevu.
Amewataka Maafisa Mazingira kuhakikisha miti yote inayopandwa inaota kwani Serikali imekuwa ikitenga bajeti kubwa na pesa hizo hazioneshi matunda na Mazingira chanya kama inavyokusudiwa.
Aidha amewapongeza wamiliki wa vyombo vya Usafiri hususani Dala dala kwa mwitiko wao wa kuhakikisha kwamba ndani ya gari kunakuwa na vyombo vya kuhifadhia taka taka ( Dastibini).
Pia amewataka watendaji wa mitaa kuhakikisha maeneo yao yanakuwa safi lasivyo watapoteza ajira zao.
Naye Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni na Mratibu wa Kampeni ya usafi Mkoa wa Dar, Sara Msafiri, amesema wamejipanga kuhakikisha Jiji la Dar linakuwa safi kwa kila maeneo hususani katika Wilaya zote 5 .
Amesema katika zoezi hilo limewahusisha Maafisa Mazingira kutoka katika kila Manispaa zote Dar, Maafisa wa Afya wa Kata zote , pamoja na wakandarasi na vikundi vya usafishaji.
#rcmakonda#sadc
czcams.com/users/playlist?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Takataka mitaani hayachukuliwi na magari yahusika city council lazy sana
Makonda katembee mitaa ambayo taka haichukuliwi miezi na hii si haki kwa wananchi wanaolipa
Big up ....sana kwa hili
Saf sana mkuu
huyu nahisi ni taahira,bangi ilimuathiri sana
Hiv mkuu ile ya mateja na mashoga imeishia wapi?
SAFI MKUU WA MKOA NA WAKIONDOKA WAGENI WA SADC MOTO UBAKIE HUO HUO!!!
Safi Sana Nchi Bila Usafi Nisawa Na Polic Kubeba Bunduki Bila Risasi Ndani Yake Akitokea Mualifu Inakura Kwake
chemba kariakoo full mimaji ya choo mitaani
UNAJUA KUNA WATU HAWAOGI ILI TU KUWAKOMOA WENGINE NA HARUFU MBOVU ZA MIILI YAO
NANCY JOHN 😂🤣😂
Usafi ni tabia ya mtu tuu. Elimisha watu ili wajue madhara ya uchafu kuanzia mwilini hadi mazingira. Then mjenge public restroom ambazo ni safi na atakae chafua analala jela. We can do this. Hizo bara bara, airport lazima ziwe safi sana kiwango cha kimataifa.
mmmhhh hapo penye MADUNIA SASA ni nomaaa sanaaaa
This is powerful state hata nchi za Europe na nchi zingeni wanafanya hivyo hivyo great Makonda
Je wasio oga na kufua lakn ni wazaliwa wa apo apo dar unawafanyaje tumia akili unapo ongea kiongoz au ndo zilo
Sasa kodi munakusanya za nini iyo kazi ya city raia si wanalipa kodi
Mheshimiwa fanya usafi na uwafundishe watu wanaoishi Buguruni Kariakoo Ilala wafanye usafi maana yake Buguruni inatisha sana haswa sokoni
Hahahahhahah 🇹🇿🇹🇿🙏🤣🤣😂😂😂
Duh makonda to much
Kiukweli nithamu imebaki jeshini sisi laia hatuwezi 🤠🤠🤠🤠
Mvae Nguo Safi Mpake Mafuta Yenye Kukata Arufu Ya Jasho Nikweli Ugeni Huo Ni Mkubwa Tuache Chuki Tufiche Makucha Yetu Kwa Muda Wakienda Basi Wenye Kujua Samani Ya Usafi Awatarudi Nyuma Mana Hata Kipindupindu Ni Ugonjwa Utokanao Na Uchafu
Wekeni mdastimini k/koo nzima hamna dastibini za kijamii
Najiuliza mifuko iliyokatazwa ni ya plastiki kwa sababu aiyozi sasa mbona mikate inaifaziwa kwenye mifuko iyoiyo na inatumika mpaka leo? Tunafanyana watoto
Na izo barabara ambazo ni za vumbi unafanyaje usafi?tengenezeni barabara zote na muweke mapipa ya taka kila kona ndio muongelee usafi,unaanza kuvaa chupi kisha suruali,huwezi kuvaa chupi juu ya suruali.
mkuu mateja vipi
Vp kuhusu mashoga,na mikopo kwa wasanii je?
Salamu. Haya mambo ya kufanya kwa sababu ya wageni ni kujidanaganya kwani hao wageni wanaokuja na watakaokuja na waliokuja haiifahamu Dar es Salaam? Siku hizi kuna Google maps, Satellite, kuna vyombo vya habari vinatoa tafsiri za mabo yetu kwa uwazi kabisa na pengine haimlazimu kujua Tanzania tulivyo si mpaka aje nchini.
Tupange miji yetu, tuelimishe wananchi, tuweke miji yetu vizuri na iwe katika desturi zetu
. Kutupa taka taka nakuunga mkono lazima Watanzania tujifunze usafi tusitupe matakataka hovyo.
Ingefaa na watu wasiooga wasije mjini
Wekeni madasipini barabarani itakuwa powa
jaman nimeona mifuko ya plastic jamani jamani
Atununulie nguo na pasi duh jamani yani hii nikashifa sana mara clause, mara ngwajima,mara wachaga,mara pyeele ,mara mifuko ya plastic na sasa kuoga na kupiga pasi mmmmmmmm
Nimecomment moyoni
Huku sio poa....
Ila TZ hiii...
MAFURIKO NI MWANZO WA UCHAFU MIUNDO MBINU MIBOVU DAR USISUBIRI WAGENI NA UFUNGUZI
Tunajua mkuu wa mkoa hana akali. Kinachonisikitisha na kwamba kuna raia wanakubaliana nae. Weka garbage bins, recycle what needs to be recycled, ban those damn plastic bags. But nooooo that's too Fucking reasonable
Kkoo na magomen mzibue mtoro aibu
Duh jamani hahahahaha sipat picha mgeni akifika ndio upikwe wali? Akiondoka niugari tu?
Wiki yamwananchi
TZ bana muheshimiwa anavaa kama msaidizi.kkkkkk alaf sio mchafu
Kipato bwana yote kwakua kazi yake achafuki wengi tupo gereji wengne tunauza mkaa kutwa tunakua wachafu na cc tunachukuliwa hatua gani Makonda fikili kabla ya kuzungumza
Uchafu wa mwili cyo nafsi
Mchafu,msafi Hawa watu tunawatambuaje?
kumbe mifuko ya plastic Dr inatumika bado
Nchi ya baba ako ety....?
ssa makonda hakuna mji mchafu kama was dar HIV kweli utaweza kusafisha jji au wajishau
Rudini mikoani kwenu mtuachie jijiletu Zaramo land kachungeni ng'ombe mzee Magu ameweka lami Kila mkoa hivyo muondoke
Kipindi cha nyerere unge nyongwa wewe
Musilete jeuli Dar inawenyewe msituchafulie jiji kwani mkuu wa mkoa kasemaje anamaana musije waambie na ndugu zenu mikoani uko