🔮

SdĂ­let
VloĆŸit
  • čas pƙidĂĄn 6. 07. 2024
  • 🔮#Live: MSTAAFU KIKWETE na MTOTO wa MANJI WAZUNGUMZA KWA UCHUNGU MAISHA ya MANJI HADI KUFARIKI...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    đŸ‘‰đŸ”„đŸ‘‰forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫ OUR PLAYLISTS:
    ⚫ MICHEZO na BURUDANI: ‱ Habari zote za michezo...
    ⚫ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫ iOS:apple.co/38HjiCx
  • Sport

Komentáƙe • 163

  • @BismarkStephen
    @BismarkStephen Pƙed 18 dny +14

    Kikwete mumgu akubariki Sana uzeeki Una roho nzuri

    • @WilliamMsungu
      @WilliamMsungu Pƙed 17 dny +2

      Hizi kauli zingine za kishamba kwahiyo wanaozeeka Wana roho mbaya?

    • @allythabiti8150
      @allythabiti8150 Pƙed 17 dny

      ​@@WilliamMsunguNdyo hujui kuwa roho mbaya na kuweka vitu moyon vinamzeesha mtu haraka

  • @SHIJADAVIS
    @SHIJADAVIS Pƙed 18 dny +11

    Poleni kwa msiba mkubwa, Mungu awatie nguvu.

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq Pƙed 18 dny +6

    Tunawapa pole wafiwa INNA LILAH!

  • @user-qc9jf6rn7u
    @user-qc9jf6rn7u Pƙed 17 dny +3

    Pole sana kijana. Mungu akupe baraka katika kuyaishi yake mzee ameachia.

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Pƙed 18 dny +5

    Allah awape moyo wa subra kwa nyakati zote daiman

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 Pƙed 18 dny +6

    Mashallah mtoto mzuri sana hatari... Pole sana... mwenyezi Mungu amlaze pahala pema peponi amini

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Pƙed 18 dny +19

    Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake na alitie nuru kaburi lake pamoja na sisi tuliohai utupe mwisho mwema.

    • @AbdulmujibAhmed
      @AbdulmujibAhmed Pƙed 18 dny +2

      Kwanini wataje habari ya yanga kwani dini hiyo? Manji namjua sana alikua mtu wa Dunia tu mimi mtanzani mkazi wa mbagala kuu kwa sasa nipo South africca hakuahi kujenga hata msikiti mmoja katika maisha yake

    • @ramashauritanga8966
      @ramashauritanga8966 Pƙed 18 dny

      Pp

    • @meshackeliau8973
      @meshackeliau8973 Pƙed 18 dny

      ​@@AbdulmujibAhmed kwani ni lazima ajenge msikitiki 😂😂

    • @mariamkikula1614
      @mariamkikula1614 Pƙed 18 dny

      Amin yarabii

    • @shakilakhamis2109
      @shakilakhamis2109 Pƙed 17 dny

      Amiiin

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Pƙed 18 dny +14

    The late , Yusuf Ally Mehboub Manji, was very hardworking man!

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y Pƙed 18 dny +5

    Jk nakukubali sana na Mungo akubariki na kukupa miaka mingi na kheri duniani

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x Pƙed 16 dny +2

    Mungu awatie nguvu watoto wa manji naelewa uchungu mliopata ila Mungu awatie nguvu na kuwafariji sana

  • @beatuskulwa2912
    @beatuskulwa2912 Pƙed 18 dny +5

    RIP Manji ,uliiheshimisha Yanga natutaendelea kukukumbuka kwa waalama ulioiacha

  • @dassustephen731
    @dassustephen731 Pƙed 18 dny +4

    Yusuph was a very humble rich man

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Pƙed 18 dny +6

    MashaAllah amekua mkubwa ivi, Mungu akupe subra 😱😱

  • @aishamtaula1959
    @aishamtaula1959 Pƙed 18 dny +5

    Poreasamwanangu mungu ampuunzisha baba magari pema oeponi jamani nimeeumia sana

  • @emanuelmushi9917
    @emanuelmushi9917 Pƙed 18 dny +7

    N kwel manji alionewa sana na kikombe hich makonda anakjuaa

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 Pƙed 18 dny +4

    Pole sana kwa wana familia wa Manji

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Pƙed 18 dny +6

    Umesema Ukweli hapa sio maswala ya siasa ni msiba acheni ujinga wa kusema mzee kaiba mnsushaidi upi

  • @aishamtaula1959
    @aishamtaula1959 Pƙed 18 dny +4

    Mwanae mfanya biashara jamani kama kaandika manji kisa riko wapi mwizi kakuibia Nini mtajeni marehemu Kwa mazuri yake nawara sio mabaya yake wewe ukisajamwa umekufa nduguzako hajisikii vizuri mungu iraze pema rohi ya mpendwa wetu oeponi amina

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Pƙed 18 dny +3

    Manji na Kikwete walikuwa marafiki wakubwa, ndio maana Manji aliingia Yanga.

  • @jokhamohammed976
    @jokhamohammed976 Pƙed 12 dny

    Poleni sana family ya manji M/mungu awape nguvu na subra 😭😭

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 Pƙed 15 dny

    Amina yaaraab

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile5462 Pƙed 17 dny

    MUNGU amulaze mahara pema peponi Amen

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 Pƙed 6 dny

    Wamemdhulumu sna mpka wamemuua maskiin!! makonda utalipa yote kwa Mungu

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678 Pƙed 18 dny +1

    Allahu Marehemu 🙏🙏🙏

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Pƙed 18 dny +2

    Mwenyezimungu hashindwi na jambo lolote hana kubwa wala hana dogo

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 Pƙed 18 dny +3

    R.I.P YUSUPH MANJI

  • @salmaramadhan2725
    @salmaramadhan2725 Pƙed 11 dny

    Kikwete ana roho nzuri,najuta kupoteza simu na no zake kupotea...

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Pƙed 17 dny

    Makonda kaka yangu, mtafute huyu Kijana, unafanya mambo makubwa sana, usikose Baraka Bure, muombe Msamaha Kwa ajili ya baba yake kabla ya kufanya Toba Kwa Mungu Ili uwe na amani, pia umuombe Msamaha Joseph Warioba, pia Mtoto wa Lowasa,
    nayasema haya kwakuwa nipo na wewe sana siku hizi, unafanya mambo makubwa sana, usikubali hawa watu wote wafe hujawaomba Msamaha. Manji aliteseka na moyo wake ulizidi kumdhoofu akiwa magereza Kwa kisasi kisicho na Afya. Nakupenda Makonda fanya hivyo my Brother.

  • @BismarkStephen
    @BismarkStephen Pƙed 18 dny +2

    Acheni kulaum wqtu fanyeni KAZI Acha kusema watu vibaya

  • @piusmdoe3200
    @piusmdoe3200 Pƙed 17 dny +1

    RIP.Yusuf Manji.

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Pƙed 18 dny +1

    Ya rabbi nsataraa manji

  • @user-tz8tg2sk5r
    @user-tz8tg2sk5r Pƙed 18 dny +6

    Yan mnatarajia mtu kafika level ya urais awe maskin/ kama kaiba hamna ushahid nyamazeni

  • @walterngowi5835
    @walterngowi5835 Pƙed 18 dny +2

    Vp Makonda naye yupo hapo au 😎😎

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Pƙed 17 dny +2

    Chalamila sasa atamkebehi nani? Alipo sema kariakoo, manji kakimbia nchi

    • @nsiamasawe4578
      @nsiamasawe4578 Pƙed 17 dny

      Yaani acha tu Mungu atamlipa

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Pƙed 17 dny

      ​@@nsiamasawe4578NYIE UTOPOLO MLIMPIGA MANJI BAKORA NA MKAMUITA MWIZI SHENZISTAN NYIE

  • @user-ts4zn1sx7h
    @user-ts4zn1sx7h Pƙed dnem

    Amen

  • @ramadhanikigoto
    @ramadhanikigoto Pƙed 18 dny +1

    Innallilah wainailaih rajiun

  • @pauloegbert515
    @pauloegbert515 Pƙed 16 dny

    Mungu amuweke mahali pema amani

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Pƙed 17 dny

    Manji ameacha alama ya upendo na upole. Mungu amtunzie vijana wake wazuri na timu ya yanga pia. RIP Manji.

  • @user-xd2tg8eq1h
    @user-xd2tg8eq1h Pƙed 15 dny

    President kikwete miaka 100 nakuombea mana kuna wachawi wanahesabu marais eti walotangulia mbele ya haki wewe kwa kuwa ulikuwa na roho nzuri hadi mia inshallah utafika kwa uwezo wa alwah

  • @aishamtaula1959
    @aishamtaula1959 Pƙed 18 dny +2

    Mjombaumeongea vizir sana hata Mimi nimeeumia sana nimesikia Jana kuwa yusufu amekufa

  • @markmushi8940
    @markmushi8940 Pƙed 18 dny +1

    Apumzike kwa amani yusuf manji alikuwa ni m2 wa wa2

  • @adrianowillix5491
    @adrianowillix5491 Pƙed 17 dny

    The team , the network

  • @ashapearubart2624
    @ashapearubart2624 Pƙed 18 dny +2

    R l.P.

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Pƙed 16 dny

    😱😱😱maskn anajikaza kiume
    Innalilah waina ilah rajiun

  • @user-lu5vg9kc7y
    @user-lu5vg9kc7y Pƙed 18 dny +2

    Kikwete kumbe Bado hajawa mzee Bado Yuko ,đŸŠŸ

    • @user-ie2sr4fi4k
      @user-ie2sr4fi4k Pƙed 18 dny

      👍👍👍

    • @KenedyMwaipaja
      @KenedyMwaipaja Pƙed 18 dny

      Awam ya 5 alizeeka zeeka awamu ya 6 kamwili kamenona😂😂😅

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 Pƙed 18 dny

      Ukiwa na moyo Safi huwezi kuzeeka haraka, Ila ilukiwa na moyo wa chuki, fitina na wivu Lazima uonekane mzee hata kama una umri mdogo!!

    • @KenedyMwaipaja
      @KenedyMwaipaja Pƙed 17 dny

      @@wazirisaid8326 moyo safiii!! ???

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 Pƙed 18 dny +3

    Yusuf Sio Yusufu..😂😂😂

  • @salmakirundu2076
    @salmakirundu2076 Pƙed 16 dny

    Innah lilah wainah illah rajioon

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th Pƙed 18 dny +3

    bonge la handsome jamani waoool

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 Pƙed 18 dny +1

      Acha tamaa na uzinifu

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Pƙed 17 dny

      HAYA MAJINA YA WEMA WANAKUWA NA NYEGE SANA 😂😂😂

  • @friendsofpeopleorg1157
    @friendsofpeopleorg1157 Pƙed 17 dny +2

    Poleni sana

  • @abdallahabdallah7872
    @abdallahabdallah7872 Pƙed 18 dny +8

    Kikwete ametokea katika familia ya kiungwana

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u Pƙed 17 dny

    RIP YUSUF MANJI.

  • @josephmihayo6236
    @josephmihayo6236 Pƙed 17 dny

    RIP Yusuph Manji

  • @geofkabo7843
    @geofkabo7843 Pƙed 15 dny

    Ridh1 alikuwa na urafiki na manji? Haraf kunafukunyuku anamsema makonda?

  • @greysonjohn9778
    @greysonjohn9778 Pƙed 16 dny

    R. I. P

  • @hamidashaban1203
    @hamidashaban1203 Pƙed 18 dny

    Wacheni wivu aliyepewa na Allah hakuna wakumnyang'anya hasadi zinawasumbua.

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 Pƙed 17 dny +1

    Kikwete ni mtu mzur saana, Hekima na busara ni vitu vikubwa sana katika maisha.

  • @bakermusa9033
    @bakermusa9033 Pƙed 17 dny

    Sasa wee mzee kikwete umekabidhiwa mtoto umelee mpaka unashtukizwa msiba we vipi mzee

  • @SalimSalimu-z5c
    @SalimSalimu-z5c Pƙed 18 dny

    Makonda hajafika msibani?

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Pƙed 18 dny +2

    Kumbe uliachiwa Hayati Yusuf Ally Mehboub Manji umlee? Mbona hukutuambia hayo kabla,,,,? Kama ulikuwa umekabidhiwa kama mwanao mbona hawakukukaribisha katika mazishi yake? Kumbe mlikuwa unakutana nao nje ya nchi,,,dah, haya bwana!

    • @emazjassam2452
      @emazjassam2452 Pƙed 18 dny +1

      Hujitambui,ulitaka lini asimame aseme aliachiwa....

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 Pƙed 18 dny +2

      Mtu kifa kila kitu utasikia hp sifa kibao utasikia wamemtesa wee na kumpmaradhi

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Pƙed 18 dny

      @@emazjassam2452 punguza makasiriko ndugu,,

    • @ibrahimrajabu8722
      @ibrahimrajabu8722 Pƙed 18 dny

      Yako ushamaliza kiasi ubebe ya wengine???

    • @ramsojimmykelly3379
      @ramsojimmykelly3379 Pƙed 18 dny

      ​@@nishaabdula5015makonda hii dhambi inamuhusu na marehemu magu

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Pƙed 18 dny +1

    Kikwete bado kijanaaaa

  • @user-cd5ch7mi1e
    @user-cd5ch7mi1e Pƙed 14 dny

    MNAZUNGUMZA KWA UCHUNGU SABABU YAMANJI SASA NI HISTORIA ILIOBAKI KIONGOZI MKUU RAIS MSTAAFU MAREHEMU ALI H😊HASSAN MWINYI ALISEMA MAISHA NIHADITHI SASA TUELEWE.HIVYO NASI TUKO NJIA 1 MOJA HAKUNA KUZUNGUMZA KWAUCHUNGU LAZIMA TUONDOKE

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 Pƙed 18 dny

    Laisi watanzania anaendelea kupenda madaraka ila kwasababu ya katiba yaccmtu ila isinge kua hio angehutubu mpaka kifo

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed Pƙed 18 dny

    Kupenda yanga ndo nini sasa

  • @user-my7qi2qv3p
    @user-my7qi2qv3p Pƙed 17 dny

    Rip jembe ulaya

  • @eightofhearts
    @eightofhearts Pƙed 17 dny

    The older son is very handsome and eloquent. He gives off a “trustable” vibe. MashaAllah.

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Pƙed 18 dny +1

    Mbona unataja ugonjwa wa mtu?

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 Pƙed 18 dny +2

      Shida ipo wapi....amezungumza historia ya uhusiano wa yeye na familia ya manji

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Pƙed 18 dny

      @@kaoretosha6668 hata madaktari Huwa hawasemi ugonjwa wa mtu hadharani

    • @HannanSomaiyah-wp7ny
      @HannanSomaiyah-wp7ny Pƙed 18 dny +1

      Tumuombee na Tujiombee,Si vyema kuongelea mabaya yake, Hakuna mkamilifu Dunia Allah ampe kaul thabity pamoja na Wazaz wetu yaraby 🙏

  • @victorkamugisha2282
    @victorkamugisha2282 Pƙed 17 dny

    Huyu mtoto ataichukua Yanga

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Pƙed 18 dny +2

    Mmemtesa bqba ake wee adi kumsababishi mardhi leo mnongea nae nn mtt wk

  • @danielkipingu354
    @danielkipingu354 Pƙed 17 dny

    DP ..... tumepigwa.

  • @dilludillu2747
    @dilludillu2747 Pƙed 18 dny

    Jk đŸ”„

  • @AbdulmujibAhmed
    @AbdulmujibAhmed Pƙed 18 dny +3

    Lakini aliathirika na madawa na alikua simtu wa dini alipenda sana dunia

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 Pƙed 18 dny +4

      Ni kheri wewe usiyependa dunia kwa maana utaishi milele!

    • @ip_header
      @ip_header Pƙed 18 dny +3

      @abdulmujibAhmed
      jaribu kusoma vizuri dini ya uislam, si vyema kumsema vibaya mtu aliefariki. Hakuna binadamu mkamilifu kikubwa kuomba mwisho mwema.

    • @SharifaOmary-ui8vs
      @SharifaOmary-ui8vs Pƙed 18 dny

      Ww tena hakimu wa watu

    • @Legends_Interviews
      @Legends_Interviews Pƙed 18 dny

      Allah amsamehe

    • @allythabiti8150
      @allythabiti8150 Pƙed 17 dny

      Sheikh hayo umetoa wap, Wala tajasasu

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Pƙed 16 dny

    😱😱😱😱😱

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Pƙed 18 dny +2

    WEWENKIKWETE YALE MABASI MWANAO PESSA KAPATA WAPI ?

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Pƙed 18 dny +2

      Ulipopata wewe pesa ya bando kuandika upuuzi.

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 Pƙed 18 dny +2

      Kapewa na baba yake unadhani ndio wewe mwenye baba hohehahe.

    • @KingBuddah-nx3ui
      @KingBuddah-nx3ui Pƙed 18 dny

      @@salmahalfani6307 KWA NINI KAMUANDIKISHA MANJE NDIO MMIRIKI

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 Pƙed 18 dny +2

      Roho za kimaskini.......shidaaaaa.....

    • @KingBuddah-nx3ui
      @KingBuddah-nx3ui Pƙed 18 dny

      @@kaoretosha6668 WEWE WATANZANIA WANAKUMBUKA KWA MATESA WALIOFANYIWA NA HUYU MZEE

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Pƙed 18 dny +1

    baba Kikwete bado kijana kabisa..siri ni ipi mzee?😅 apewe muda na globa TV atupe mawaidha kabla kujaliwa kufika umri huo na Mungu wetu😄😄

    • @doktamathew
      @doktamathew Pƙed 17 dny

      Hali vitu vya kisasa,hali ugali,hali wali,hali vitu vyenye sukari ,hajawahi kunywa soda,pombe. Anakula vitu vya asili mara kwa mara

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Pƙed 17 dny

      @@doktamathew oh ivi kumbe ivo eh?

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Pƙed 18 dny +2

    MWIZI ANAMJENGEA MWIZI MWENZAKE RIZIWANI KANUNUA MABASI KAMUANDIKA MANJE KAIBIA SERIKALI

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg Pƙed 17 dny

    Kumbe ukawa unamsaidia hata kwenye mikwepo ya kodi we zee wewe bwana

  • @mamlomamlo9064
    @mamlomamlo9064 Pƙed 17 dny

    Mrudishieni mali zake mulizomtaifisha

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb Pƙed 18 dny +2

    Siowote tumesikitika ACHA aende tu

  • @kaoretosha6668
    @kaoretosha6668 Pƙed 18 dny +6

    Acheni roho za kimaskini kila wakati mwizi....mwizi...mwizi....toeni ushahidi msisambaze fitnaaa....

    • @user-ym6hd7xh3g
      @user-ym6hd7xh3g Pƙed 18 dny +1

      Maskini ndivyo walivyo.ndio maana wengi wachawi
      Mtu kajitahidi kafanikiwa mnamwambia mwizi
      Nenda nawe kaibe ufanikiwe

    • @didasseveline9013
      @didasseveline9013 Pƙed 17 dny

      Walioshangilia kifo Cha mwamba! Naona anachomoka Mmoja baada ya mwingine! Hakika mungu ni fundi

    • @user-sl1ko9me7u
      @user-sl1ko9me7u Pƙed 17 dny

      RIP YUSUF MANJI....MAREHEMU HAKUWA MKAMILIFU KAMA SISI BINADAMU WOTE....KUNA WAKATI ALIWAKOSEA WATANZANIA KAMA WANANCHI KWA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WETU MAFISADI NA WALA RUSHWA....NA KUNA WAKATI PIA ALIWATENDEA MEMA NA MAZURI WATANZANIA....WATANZANIA TUMSAMEHE KWA YOTE....RIP YUSUF MANJI.

    • @mussamalekela2107
      @mussamalekela2107 Pƙed 17 dny

      ​@@didasseveline9013 kwa hiyo ambao hawakushangilia watachomoka kwa makundi sio! Ujinga mzigo

  • @pauloegbert515
    @pauloegbert515 Pƙed 16 dny

    Mungu amuweke mahali pema amani