AIC Changombe Choir Pazia La Hekalu Official Video
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- AIC Changombe Choir Pazia La Hekalu Official Video
Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music
2024 lots of Love from Kenya 🇰🇪
Mungu azindi kuwabariki
Pazia la hekalu limenitenga mbali na dhambi 12 5 2020
Nibalikiwa sana nikisikiliza wimbo uitwao wasamehe(chang'ombe)
Nabarikiwa sana na huu wimbo wa Neema Gospel,
napenda sana wimbo huu. unajibariki zaidi mbarikiwe wanakwaya
my favourite choir tuko pamoja Mimi hubarikiwa Sana na nyimbo zenu
Nyc song....God Bless u so much...from Kenya.
Nabarikiwa sana wimbo huu Mungu aendelee kuwainua
Huu wimbo jamaan nautafuta uliokamilika kama kuna mwenyenao aupost jamaan
mungu awabarikini sana kwa kazi kubwa ya kutangaza neno LA mungu watumishi wa mungu
Mungu awabariki kazi nzuri.
Akika pale #7:53 sauti inapotea sijui ni mimi tu ndio naona ama tuko wengi
Consolata anyango inapotea kwel
hongereni sana kazi nzuri sana
Jmn naupenda mnooo huu wimboo
Mbarikiwe sana Watumishi wa Mungu wetu.Hakika Kazi Yenu Yote ipo vizuri Tangu Enzi zile za "Usiku wa Manane" Album Yote. Be blessed >>
barikiwa sana na wimbo huu
Nice song.Really blesses me.May the Almighty God increase you spiritually. From Kenya.
Whao, great song, God bless thz ministry, as you continue, blessing the soul of many, am blessed much!
Nice song
the song is a blessing but need to recheck on pazia la hekalu towards the end is silent no sound and this is the climax of the song. God bless you for the ood ministry
wow a well composed song very good lyrics
Mungu ametupa nafasi yakutubu
jamani mbn sauti inapotea
blessed by this song. The audio mutes at the 6.08th min, at the climax do something. from A.I.C Malindi Kenya
Yako inaanza mapema kuzima
Mbona sauti haikamiliki??
nice
Mungu awabariki sana nyimbo zenu zote zinanibariki sana