Historia Fupi ya Mkoa wa Dodoma, Tanzania

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Katika video ya leo nashare nanyi historia fupi ya mkoa wa Dodoma. Kuanzia jina lake na vitu vingine.
    Asante kwa kuangalia, Kususcribe, kulike na kushare!

Komentáře • 25

  • @kudraayoub9855
    @kudraayoub9855 Před 4 lety

    Naupenda sana huu mji wa dodoma

    • @JaneShussa
      @JaneShussa  Před 4 lety

      Ni mji mzuri kwakweli... hakuna joto sana wala baridi sana...

  • @SDFLASHTV
    @SDFLASHTV Před 4 lety

    Dada ubarikiwe sana. Uko vizuri sana. Content piA ni nzuri

  • @teeade
    @teeade Před 4 lety

    Asante sana kwa video!

  • @mamafranjovlog72
    @mamafranjovlog72 Před 4 lety

    Waooh hata mimi sikujua kabisa asante kutujuza jane eti yadodomela🤣🤣🤣🤣 nimeipenda our beautfuly country

    • @JaneShussa
      @JaneShussa  Před 4 lety

      😂😂😂😂 nakwambia wagogo...

  • @dennismawolle5909
    @dennismawolle5909 Před 4 lety

    Waooh! I like it umeelezea vizuri kuhusu Dom city

  • @dicksonmushi4025
    @dicksonmushi4025 Před 4 lety

    Outside the context. The voice (tone) 😍😍😍

  • @mussamwinga9257
    @mussamwinga9257 Před 4 lety

    Keep them coming.

    • @JaneShussa
      @JaneShussa  Před 4 lety

      Will do... thank you for watching 🙏

  • @malililubasha8345
    @malililubasha8345 Před 4 lety

    Nice one Jane, mie nachojua kuhusu Dodoma ni Rainbow na Pestana basi

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 Před 4 lety

    Nice video bt we need more videos from dodoma city

    • @JaneShussa
      @JaneShussa  Před 4 lety

      I promise to upload more videos from Dodoma... thank you for watching

  • @hemedikassimu5617
    @hemedikassimu5617 Před 4 lety

    Rusha drone tuone dodoma now inafananaje hasa kwenye hiyo mirad mipya

    • @JaneShussa
      @JaneShussa  Před 4 lety

      Asante, Hemedi. Nitafanya hivyo mwezi wa nne ambapo tutatimiza mwaka tangu Dodoma kutangazwa kuwa jiji...

  • @hemedikassimu5617
    @hemedikassimu5617 Před 4 lety

    Watu tuna kiu ya kuona dodoma imepiga hatua kias gani tangu serikali iitangaze kuwa jiji

  • @michaelsiweya6500
    @michaelsiweya6500 Před 4 lety

    Mmmmmmh... sauti yako ni taamu... Baaaai...
    ILa ni kweli ukiangalia kwenye ramani. Unapata picha halisi kuwa Dodoma na Singida zipo kwenye Central Province... Hasa Singida... Ndo maana natamani sana jiji la Dodoma likikamilika.. Na Singida nayo ..uwe ni mkoa wa aina yake kwa uzuri.. Nadhani JPM atafanya tu hivyo

    • @JaneShussa
      @JaneShussa  Před 4 lety +1

      Kabisa yaani...ikifanyika hivyo itakuwa nzuri... nitajitahidi kuleta video nyingine ya Dodoma tuone maendeleo yake kwasasa....

  • @juvenaldasilva4688
    @juvenaldasilva4688 Před 4 lety

    It is not impressive as a new capital city .