TUKIO ZIMA LA PENATI YA PAN AFRICAN DHIDI YA BIASHARA | BOMOA ANAFANYA KAZI KUBWA YA KUOKOA PENATI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 04. 2024
  • Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
    ►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSI...
    ►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
    ►Instagram / tv3tz
    ►TikTok / tv3tz
    ►Facebook / tv3tanzania
    ►Twitter / tv3tanzania
    #Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish)
  • Sport

Komentáře • 16

  • @Josamjosam8
    @Josamjosam8 Před 11 dny +2

    Hiyo team haina adabu

  • @chembejohn9605
    @chembejohn9605 Před 22 dny +2

    Ndio yupoh sahih refa

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Před 22 dny +1

    Xax mpira wa hivyo huw n wa hovyo mana hata wachezaji hawana nidhan huo c wa kuangalia wapuuz hao wanataka kumpiga refaree

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Před 10 dny +1

    Loh tff mshughulikie ili suala

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 Před 17 dny +1

    Kisha Kunamtu Yupo Anauliza Eti Wale Security Wanafuata Nini Uwanjani Wakati inaonekana Wazi Refa Amezongwa Na Wachezaji Wa Pan. Kiukweli Yupo Sawa Kwenye Haya Maamuzi Yakutoa Penati Clear Penalty. Ila Wachezaji Wame Nidhamu Nakushindwa Kuzuia Hasira. Inasikitisha. Of Course Niwakati Mgumu Kwao Lakini Nivyema Kuheshimu Maamuzi.

  • @meddyroshan74
    @meddyroshan74 Před 16 dny +1

    TFF HICHI KITIMU KIONDOENI KABISA KWENYE MASHINDANO

  • @saidyusuph7357
    @saidyusuph7357 Před 22 dny +1

    Ndio tatizo mpira wa bongo

  • @emmanuelmwamlima1027
    @emmanuelmwamlima1027 Před 21 dnem +1

    TFF WAPENI ADHABU YA MAANA HII TIMU

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432 Před 8 dny

    Halafu huyo mpuuzi kakaa na kisimu chake anarekodi anashangaa securities kuingia ilitakiwa askari kabisa waingie na sio wawili wengi tu maana refa angeweza kudhurika. Kwanza penalti halali na ilitakiwa kurudiwa kipa kawahi kutoka miguu yote marefa wameogopa tu

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před 21 dnem

    Mechi hii inakosaje ulinzi wa jeshi la polisi kama refa anapigwa na kujeruhiwa lawama atabeba nani, bila shaka ni tff

  • @EnockNanyaro-lk1zi
    @EnockNanyaro-lk1zi Před 16 dny

    Kipa katoka kwenye line kabla mpira haujachezwa

  • @mathewjohn6912
    @mathewjohn6912 Před 16 dny +1

    Hii penati ilitakiwa irudiwe, mchezaji Mmoja ameanza kuingia kwenye mstari wa 18 kabla mpigaji hajaupiga mpira. Refa ametumia busara zaidi maana hapo ingerudiwa, refa angechapika vizuri tu.

    • @MohdAli-cx7bc
      @MohdAli-cx7bc Před 15 dny +1

      Kama ww ungesema irudiwe😂

    • @ngoshakulwa8348
      @ngoshakulwa8348 Před 6 dny

      😂😂😂 kweli aisee maana hata kadi kaogopa kutoa. Red card ziliwahusu wachezani wa Pan

  • @ARNOLDMAKORA
    @ARNOLDMAKORA Před 22 dny

    😂😂❤

  • @StonesSemwenda
    @StonesSemwenda Před 15 dny

    Loo🙏