TUKIO ZIMA LA PENATI YA PAN AFRICAN DHIDI YA BIASHARA | BOMOA ANAFANYA KAZI KUBWA YA KUOKOA PENATI
Vložit
- čas přidán 22. 04. 2024
- Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii :
►JOIN OUR WhatsApp Group: chat.whatsapp.com/Go7uQgGCzSI...
►SUBSCRIBE: / @tv3tanzania
►Instagram / tv3tz
►TikTok / tv3tz
►Facebook / tv3tanzania
►Twitter / tv3tanzania
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish) - Sport
Hiyo team haina adabu
Ndio yupoh sahih refa
Xax mpira wa hivyo huw n wa hovyo mana hata wachezaji hawana nidhan huo c wa kuangalia wapuuz hao wanataka kumpiga refaree
Loh tff mshughulikie ili suala
Kisha Kunamtu Yupo Anauliza Eti Wale Security Wanafuata Nini Uwanjani Wakati inaonekana Wazi Refa Amezongwa Na Wachezaji Wa Pan. Kiukweli Yupo Sawa Kwenye Haya Maamuzi Yakutoa Penati Clear Penalty. Ila Wachezaji Wame Nidhamu Nakushindwa Kuzuia Hasira. Inasikitisha. Of Course Niwakati Mgumu Kwao Lakini Nivyema Kuheshimu Maamuzi.
TFF HICHI KITIMU KIONDOENI KABISA KWENYE MASHINDANO
Ndio tatizo mpira wa bongo
TFF WAPENI ADHABU YA MAANA HII TIMU
Halafu huyo mpuuzi kakaa na kisimu chake anarekodi anashangaa securities kuingia ilitakiwa askari kabisa waingie na sio wawili wengi tu maana refa angeweza kudhurika. Kwanza penalti halali na ilitakiwa kurudiwa kipa kawahi kutoka miguu yote marefa wameogopa tu
Mechi hii inakosaje ulinzi wa jeshi la polisi kama refa anapigwa na kujeruhiwa lawama atabeba nani, bila shaka ni tff
Kipa katoka kwenye line kabla mpira haujachezwa
Hii penati ilitakiwa irudiwe, mchezaji Mmoja ameanza kuingia kwenye mstari wa 18 kabla mpigaji hajaupiga mpira. Refa ametumia busara zaidi maana hapo ingerudiwa, refa angechapika vizuri tu.
Kama ww ungesema irudiwe😂
😂😂😂 kweli aisee maana hata kadi kaogopa kutoa. Red card ziliwahusu wachezani wa Pan
😂😂❤
Loo🙏