Makonda Alivyokosa Penalti Mechi ya Wabunge Vs Mabalozi Usalama Barabarani
Vložit
- čas přidán 11. 08. 2017
- SUBSCRIBE NOW / uwazi1
Katika tamasha la usalama barabarani lililofanyika hapa katika Uwanja wa Taifa wa Uhuru Dar kumekuwa na burudani mbalimbali kutoka kwa wasanii mbalimbali pamoja mchezo wa mpira wa miguu ambapo wamechuana mabalozi wa usalama barabarani na wabunge na hadi kukamilika kwa dk 90 hapakuwa na aliyefanikiwa kuchungulia lango la mwenzie, kilichofuata ikawa ni mikwaju ya penati ambapo Mkuu wa Mkoa wa Dar Paul Makonda alaikosa penati. na hapa tumekuletea ilivyokuwa.
Kupata video nyingine kama hizi SUBSCRIBE kwenye channel yetu kwa jubofya link ifuatayo / uwazi1
/ uwazi1
/ uwazi1
WEBSITE: globalpublishers.co.tz/
FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari
INSTAGRAM: / globalpubli. . - Sport
Pamoja na mapungufu yake lakini ni ukweli usiopingika jamaa yuko vizuri, hakika Mungu hakunyimi vyote!
makonda Napenda kazi yako....
Mh makonda kweli ni dish yupo yeye na goalkeeper lakini anashindwa kufunga goal du
yuko vzr nmempenda shep yake
nice
Oooooo rimakonda rimekosa
Bashite bana hata goalkeeper akiondoka golini atakosa tu.
Haaaaaaaaaahaaaaaaa makonda bhana
Bigap Makonda
Hahahah hatarii sana doh
makonda booooouuuuuu
Mashaallah makonda anamshepu
hahahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa
jamani kaaa mbona shida
kukosa ndio burudani
ye mpira sio fani yake
makonda hunafani yatuta
Kunajamaa pembeni hapo namsikia nikiboko wanamponda sn makonda
makonda siyo kwa hips hizo umbo zuri
Caslida Josephat mmmmmh
mh! ahahah.
Kipa uko vizuri
Haaaaaaaah mh.
kakosa vyeti anakosa na penati
bashite kweli kila kitu unaferi kwenye masomo umeferi kwenye penalti umekosa kweli wewe kilaza
We uliyesoma kazi yako ni IPI?
Makondo all because of Roma homa ya nn Mkubwa
I wish kama angekuwa na bnti kwa shape ile Noouma
mchina ule
Limy Masele vipmwangu
Hahahhah
kako na hips kajamaa soo lazima kakose tuu
Mbona mwatuletea matako makubwa humu mwatumlizia mb bwana
kkha! hahahh.
Hassani Sadiki
Makonda hata apewe penant 100 atakosa ana mahipce kama punda miliya.
humu mnachojadili ni maunene yake tu. hahahahah.
Wewe mungu anakuona ujue hahahaha