Assalam Aleikum Akhui, Masha Allah Suleiman Mazinge mawaidha yake ni mazuri sana nimeipenda na inawaelisha watu wasiojua duniani unaendelea nini,mm ningependa Suleiman Mazinge, Uthman Mazinge na mashekhe wakubwa wenye elimu east Africa wamualike Dr Zakir Naik katika muhadhara iwe mkubwa na iwe uwanja mkubwa iwe Kenya au Tanzania, please ndugu yangu.
Sheikh mazinge Maashallah....hatujakuona kitambo kwenye daawa...!..tunahitaji tukuone na kama Kuna mitihani yoyote basi ALLAH Kwa uwezo wake akuondolee, na awape wepesi na AFYA njema MASHEIKH wetu ili muitangaze kalima ya LAA ILLAHA ILLA ALLAH...! ALLAH hashindwi jambo awaondolee mitihani migumu kama alivyowaondolea mitume wake, AMIIN RAB'BIL'ALAMYYM
Yani mwajiita wakristo kwakukosa elimu shida nikutojua Ku tafsri maandiko hao wachungaji wao wanawapoteza wakiangalia lini mwanadamu mwenzio akawa mungu Kama sikudata nikuchanganikiwa huko tatizo shule
This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED! Thanks. RAY FROM CANADA
Yesu sio mungu na wala yesu sio mtoto wa mungu hakuna utatu mmelaaniw hakika Allah hafanani kitu chochote wala hana mshirika,ni uwezo wa Allah kun faya kun Mariam alipata mimba na Alizaliwa Issa bin mariam na mungu hana mshirik
Wwe unasemanga vitu vizuri but hapaa kwaheshima ya kidini umekosea juu kila mtu tuliletwa na mtu mmoja na wote tunaishi dunia iliojaa dhambi so sioni haja yakudharau dini ya watuu nakujigamba kua yenu nisahihi kuliko yaw engine wakati wote tukitoka hapaa hatujui tuendako kuna nni banaa
Assalam Aleikum Akhui, Masha Allah Suleiman Mazinge mawaidha yake ni mazuri sana nimeipenda na inawaelisha watu wasiojua duniani unaendelea nini,mm ningependa Suleiman Mazinge, Uthman Mazinge na mashekhe wakubwa wenye elimu east Africa wamualike Dr Zakir Naik katika muhadhara iwe mkubwa na iwe uwanja mkubwa iwe Kenya au Tanzania, please ndugu yangu.
Allah u Akbar ustaadh Allah akuzidishie
Sheikh asante sana tena sana maana kupitia nyie nimejifunza mengi sana kuusu mungu
Mi binafsi anapo simama Shekhe Suleiman mazinge sinaga shaka uyu jamaaa anajua sana aisee
mashaa ALLAH Tabarak Allah
sheikh ,,ALLAH akuzidishie umri mrefu Uzidi kueneza Da'awa
Mafundisho mazuri yanayoeleweka, Alhamdullah. Mwendelezo tafadhali
MashaAllah, Sheikh wangu nakufuatilia sana napenda mijadala yako
Kijana Hodari karibu katika channel yetu
Masha Allah
May Allah bless you sheikh mazinge 😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Ameeeee
MASHA ALLAH Huyu Shekhe Suleman Mm Nakupenda Kufwatilia Muhadhara Zko Twakuombea Kila La Kheeri Na Umri Mrefu Akuhifadhi Ewe Bro
Sheikh mazinge Maashallah....hatujakuona kitambo kwenye daawa...!..tunahitaji tukuone na kama Kuna mitihani yoyote basi ALLAH Kwa uwezo wake akuondolee, na awape wepesi na AFYA njema MASHEIKH wetu ili muitangaze kalima ya LAA ILLAHA ILLA ALLAH...!
ALLAH hashindwi jambo awaondolee mitihani migumu kama alivyowaondolea mitume wake, AMIIN RAB'BIL'ALAMYYM
Muslims don't limit God. With God all things are possible. God bless you pastor 🙏
Mashaallah mafundisho manzuri sijawahi yaskia tabaraka Allahu khyran
Yani mwajiita wakristo kwakukosa elimu shida nikutojua Ku tafsri maandiko hao wachungaji wao wanawapoteza wakiangalia lini mwanadamu mwenzio akawa mungu Kama sikudata nikuchanganikiwa huko tatizo shule
Shifaa Zawadi kabisaa
masha Allah mungu awazidishie sheikhs wetu.
Yunis boshe amiin
Mimi,Musa,Farah,yaro,kutoka,taveta,manshaalah,shekh,Suleiman,mazinge,mungu,akusidishia,inshaalah
Mazinge allah kakupa kipaji cha mijadalla...yaan kudefend hoja
This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED! Thanks. RAY FROM CANADA
Sheikh Souleymane Allah akulinde sana kila libaya.
Shekh mazinge unakupenda kwa ajili ya Allah ,,,mashaallah awalipe mema
Fatima hussen Asante
MashaAllah sheikh Mazinge.
Safi sana waungwana
Mashaallah
Nak kariibu ndugu
Asalm alaikm
Eeeeh I'm speechless Mashallah Yani Uislam Raha
Asalam mwalakm walahulah wabarakatu nilikua naswali sheheee
Maashaallah
Msisahau kusabaza
Part 2 plzzzz 🥺🥺
MashaAllah sheikh.. aibu kama wakristo hawajui dini yao
May Allah bless u with Janantul Fatso's🙏🙏🙏🙏🙏🙏
ustaz mazinge kuujjeeni Adi Eriya yeettu
Hawa makafiri wnamkosea sana Allah
Masha Allah wafunze wamuceAllah
Where’s part 2 please
MASHA ALLAH SHEIKH MAZINGE
Takbiiiir👏👏👏👏👏👏👏🖒🖒🖒🖒
Sheikh Ismail yule mwezako yuko wapi?
Wakiristo vichwa maji very vichwa box from Oman
قال الله تعالى "ولاتسبّ الذين يدعون من دون الله"
@@shamirkarim4304unaelewa wasemaa ninii, nanii amekwambia hvyoo usikufuruu usemee maneno yakoo ambayo hayakoo kwa Quran maana Kiarabu twakijua
Ya habibii yusuf khan mbona wa sema mimi nakufuru hebu fungua surah الانعم ayah ya 107-108 kisha unambie kama kweli si quran
@@shamirkarim4304 kweliii, polee ni uelewaje wanguu shukran
Yousuf Khan haina shida ndugu yangu sote twakosea
Fundisha watu kuusu Mungu usifundish wat kuus udhaifu wa din ya mwenzak maan dini aikupeleki mbinguni mamb yak mem ndo yanakupelek mbinguni
Sheikh ukona Subra MashALLAH
Nimechelewa kuipata hii ila ina
Mafunzo ya kutosha kwa wasioelewa
Yesu sio mungu na wala yesu sio mtoto wa mungu hakuna utatu mmelaaniw hakika Allah hafanani kitu chochote wala hana mshirika,ni uwezo wa Allah kun faya kun Mariam alipata mimba na Alizaliwa Issa bin mariam na mungu hana mshirik
Mazinge piga vitu safi
Thanks
skh. may Allah rewards you. keep ahead
Mashaallah may Almighty ALLAH reward you
Mazinge kiboko.. wanageuka mabubu 😂😂😂
allah limited God, dependent god. Dependent on his creation to manifest mercy.
Shekh Hawa km hz zitoe 2
Salam Aleikum
Waelimishe hao wapotevu
A
kwa kweli ukweli hutengana na ulongo.
Kila siku unaongelea wakristo ww ufundishag ww unatafut udhaifu wa dini ya kikristo akat yak hina udhaifu mwing
Wwe unasemanga vitu vizuri but hapaa kwaheshima ya kidini umekosea juu kila mtu tuliletwa na mtu mmoja na wote tunaishi dunia iliojaa dhambi so sioni haja yakudharau dini ya watuu nakujigamba kua yenu nisahihi kuliko yaw engine wakati wote tukitoka hapaa hatujui tuendako kuna nni banaa
M:a keep it up
Simoni mimi sioni kama kadharau ila Hawa wauslamu wanafundisha ukweli sisi tunafeliwapi
Hjjb
Mazinge ahutubu kuhusu Corona Virus, Eastleigh czcams.com/video/-KvnVdP7VCY/video.html
Aisee japokuwa mimi ni mkiristo nimewakubali waisilamu mnamafundisho mazuri nipo tanzania na mimi napenda siku moja niwe mwisilamu kama alivyo yesu
@@andreaandrea1295 Una hakika Kristo alikuwa Muislamu?
@@yesukristo8626 kabisaa anaongea ukweli Hakuna mtume hta mmoja alieingia kanisani hata kwa bibilia inasema hivo
@@yesukristo8626 Yesu alikuwa muislam upende ukatae yesu alikua muislam
@@juariaswabrina4549 Kabisa mwambie huyo hajielewi
Pasipo Yesu hakikufanyika chochote
Kitu gani kaka hakikufanyika pasipo yesu?
Bwahaha kwaivyo kabla yeye hajakuja kulikuwa hakuna maisha wakati yeye alikuja na kuomba Mungu,umepotea ww na mchungaji wako
Aya unayo au ni uxhabiki tu
Leta aya ambayo yasema bila yesu hakifanhiki chochote shida yanu ninyi tatizo elimu
Mashaallah