ORUMA.! SHIKAMOO HUU NI MOTO SIMBA WAMELETA HAKUNA MVP MJINGA IVORY COAST NZIMA...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024
  • #cafcl #usajilimpyayanga #ligikuu #manara #simba #yangaleo #yangatv #simbasc #yanga #mayele
  • Sport

Komentáře • 22

  • @josepahatmargwe6504
    @josepahatmargwe6504 Před 6 dny +2

    Wazeee waende Utopolo , wakalogane, na wataishi kudai

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Před 6 dny

    Saw me yang macho mana Bado mwez mmoja hayo yote 2tayaona!!

  • @saidikhalidi159
    @saidikhalidi159 Před 6 dny

    Sasa ni balaaaa

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před 6 dny

    Hahahaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂siasa itatwalaaa

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před 3 dny

    Mnaobeza hamjalazimishwa kuamimi hiki kinachoendelea. Endelea na Imani yako hakuna haja ya kugeuka kuangalia ya pembeni ambayo hayakuhusu. Uwe nii Mkristo au Muislam acheni kubeza hakuna anayejua ukweli isipokuwa ni Imani tu ndiyo itakupa nguvu ya kuamini au kutoamini. Mababu zetu waliabudi miti, mito, milima, mawe nk waliamini na kufanikiwa.

  • @soudomar2591
    @soudomar2591 Před 6 dny

    Wachambuzi WA myama msimalize sifa za wachezaji mnaosajili ligi ikianza mtakuja kuwaponda hao

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana Před 6 dny

    Nasubiri game ianze do mitaamini wakiingia kwenye mfumo wa mwalimu ambaye hajulikani moyo wangu utatumia

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 5 dny

    Tukutane kwenye dimba, msimalize maneno WACHAMBUZI wa MAKOLO

  • @user-px1gd4de7k
    @user-px1gd4de7k Před 6 dny +1

    Nimegundua bongo wanaishi kwa kukariri,, type ya wachezaji wanasajiriwa sasa sio ile ya mwaka Jana. Elie Mpanzu sio wa masihara, Steven Mukwala, nk sio wale zinatengezwa nafasi nyingi wanabutua. Hizi mashine zinakupiga direct ni mafundi wote wakucheka na nyavu unashindwa umkabe Nani umuache Nani mabeki kz ipo

  • @suleimanzimbwe373
    @suleimanzimbwe373 Před 6 dny

    Mwaka jana vishindo kama hivi Sasa Wacha tusubiri makocha watafukuzwa mechi zipi!!!

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 Před 6 dny

    Simba watafungwa sanaaaaaa

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 6 dny

    Mtafungwa nyie wenyewe

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 Před 6 dny

    Mie nangoja msimu uanze ndio niongee maana msimu uliopita tuliambiwa hivihuvi mwisho tukaona 5G

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před 6 dny

    Propaganda fc,mpita hauchezwi kwa matangazo,huyo Oruma ndiye anajikanyagaga kila leo na kuomba msamaha

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před 6 dny

    Simba Bado safari sio ndogo!!!Bado vijana je wamecgeza ligi ipi nafasi ya ngapi .timu zao zimefika Cuf.na shirikisho!!!!!

  • @jei_maimu6957
    @jei_maimu6957 Před 6 dny

    Leteni timuuuu uwanjani mamaeee...mtakula 7-2 nje ndan tena hamtaaminu😂😂

  • @user-mg1yl2rl8s
    @user-mg1yl2rl8s Před 6 dny

    Hebu wanaowaona utopolo wa mo dewji ni manyumbu tujuane😅😅😅😅

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 Před 6 dny

    Hahahaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂siasa itatwalaaa