Mnaobeza hamjalazimishwa kuamimi hiki kinachoendelea. Endelea na Imani yako hakuna haja ya kugeuka kuangalia ya pembeni ambayo hayakuhusu. Uwe nii Mkristo au Muislam acheni kubeza hakuna anayejua ukweli isipokuwa ni Imani tu ndiyo itakupa nguvu ya kuamini au kutoamini. Mababu zetu waliabudi miti, mito, milima, mawe nk waliamini na kufanikiwa.
Nimegundua bongo wanaishi kwa kukariri,, type ya wachezaji wanasajiriwa sasa sio ile ya mwaka Jana. Elie Mpanzu sio wa masihara, Steven Mukwala, nk sio wale zinatengezwa nafasi nyingi wanabutua. Hizi mashine zinakupiga direct ni mafundi wote wakucheka na nyavu unashindwa umkabe Nani umuache Nani mabeki kz ipo
Wazeee waende Utopolo , wakalogane, na wataishi kudai
Saw me yang macho mana Bado mwez mmoja hayo yote 2tayaona!!
Sasa ni balaaaa
Hahahaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂siasa itatwalaaa
Mnaobeza hamjalazimishwa kuamimi hiki kinachoendelea. Endelea na Imani yako hakuna haja ya kugeuka kuangalia ya pembeni ambayo hayakuhusu. Uwe nii Mkristo au Muislam acheni kubeza hakuna anayejua ukweli isipokuwa ni Imani tu ndiyo itakupa nguvu ya kuamini au kutoamini. Mababu zetu waliabudi miti, mito, milima, mawe nk waliamini na kufanikiwa.
Wachambuzi WA myama msimalize sifa za wachezaji mnaosajili ligi ikianza mtakuja kuwaponda hao
Nasubiri game ianze do mitaamini wakiingia kwenye mfumo wa mwalimu ambaye hajulikani moyo wangu utatumia
Tukutane kwenye dimba, msimalize maneno WACHAMBUZI wa MAKOLO
Nimegundua bongo wanaishi kwa kukariri,, type ya wachezaji wanasajiriwa sasa sio ile ya mwaka Jana. Elie Mpanzu sio wa masihara, Steven Mukwala, nk sio wale zinatengezwa nafasi nyingi wanabutua. Hizi mashine zinakupiga direct ni mafundi wote wakucheka na nyavu unashindwa umkabe Nani umuache Nani mabeki kz ipo
Mbona mashine!😂😂😂
Mwaka jana vishindo kama hivi Sasa Wacha tusubiri makocha watafukuzwa mechi zipi!!!
Simba watafungwa sanaaaaaa
Sawaa
Subiri kipigo cha goal 10 we gongowazi a.k.a utopolo. Mtalala na viatu siku hiyo.
Mtafungwa nyie wenyewe
Mie nangoja msimu uanze ndio niongee maana msimu uliopita tuliambiwa hivihuvi mwisho tukaona 5G
5 za mchongo
Propaganda fc,mpita hauchezwi kwa matangazo,huyo Oruma ndiye anajikanyagaga kila leo na kuomba msamaha
Simba Bado safari sio ndogo!!!Bado vijana je wamecgeza ligi ipi nafasi ya ngapi .timu zao zimefika Cuf.na shirikisho!!!!!
Leteni timuuuu uwanjani mamaeee...mtakula 7-2 nje ndan tena hamtaaminu😂😂
Hebu wanaowaona utopolo wa mo dewji ni manyumbu tujuane😅😅😅😅
Hahahaaaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂siasa itatwalaaa