GHARIB MZINGA AUKUBALI UWEZO WA JEAN CHARLES MVP WA SIMBA SC YAMETIMIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 07. 2024
  • #cafcl #manara #usajilimpyayanga #ligikuu #simba #yangaleo #yangatv #yanga #mayele
  • Sport

Komentáře • 22

  • @emmanuelkisanga9092
    @emmanuelkisanga9092 Před 11 dny +2

    Kaka Ghalibu Mzinga, nakukubali sana Mwamba

  • @abdallahakida7908
    @abdallahakida7908 Před 21 dnem +4

    This is simba.simba ni simba tu huezi mfananisha na paka

  • @user-po6yb9en7l
    @user-po6yb9en7l Před 21 dnem +3

    mzinga nakukubali sana nikiwa uku Mozambique simba nguvu moja

  • @abdulshakulahmed7903
    @abdulshakulahmed7903 Před 5 dny

    Kaka unasauti nzuri sana kwenye utangazaji wako wa mechi unajua kuchambua sifa za wachezaji vizuri kuliko wengine azam media nakubali sana

  • @user-vv9wb9he2x
    @user-vv9wb9he2x Před 21 dnem +1

    Salute Gharibu mzinga

  • @Amahujohn
    @Amahujohn Před 21 dnem +1

    Nakuelewaga kinoma,,,we ndy mchambuzi wangu namba Moja

  • @jafaribenta73
    @jafaribenta73 Před 18 dny

    Mwamba anauwezo wa uchambuzi sana kwa sasa

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 Před 21 dnem +1

    ligi ya Tanzania ni Dhaifu sana ndio maana bingwa hujulikana na kupatikana mechi Tano kabla kumalizika

  • @Nasibuhelemani
    @Nasibuhelemani Před 14 dny

    Kaka uko wapi siku zote mbona unanifulaisha

  • @DaudMasanja-g2s
    @DaudMasanja-g2s Před 21 dnem

    Mzinga watu kukubali uwaga ni vigumu lakini kusema kwel mwamba uko vzr kwenye uchambuz wa mchezaj had mchezaj unafuatilia michezo mpaka nchi za nje wewe nimchambuz wa kisasa

  • @user-hy1yv9en4h
    @user-hy1yv9en4h Před 20 dny

    Richi rujewa mzinga nakukubari he mpanzu kweli amekuwa mnyama?

  • @user-ge3yd1tx5e
    @user-ge3yd1tx5e Před 21 dnem

    Mhm ngoja ligi lianze tuone MVP Wap hapa Bongo

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Před 20 dny

    Tatizo moja bongo huwezi kuchambua mtu mpaka acheze mpira umuone

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791 Před 21 dnem

    Ata Onana pia MVP.

    • @tanfootballchanneltv
      @tanfootballchanneltv  Před 21 dnem

      Tatizo sio MVP Ila MVP kutoka wapi? Tumpe muda ajihukumu mwenyewe

    • @ibrahimrasimi256
      @ibrahimrasimi256 Před 21 dnem

      ​@@tanfootballchanneltvyaaa huyo anaongea pumba sasa onana alikuwa MVP wapi na Charles Alikuwa MVP wapi

    • @user-gb2pl3ln9m
      @user-gb2pl3ln9m Před 21 dnem +1

      Kwani Onana mbovu sema tu ajielewi

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Před 21 dnem

      @@ibrahimrasimi256 MVP ni MVP tuu! ata kama MVP atatoka INDIA.

    • @kassidpandu866
      @kassidpandu866 Před 21 dnem

      onana hujatoka evory coast